Dah dada Vero hyu dada ana roho mbya sana hanstahili kuishi.
@priscarjohn8 ай бұрын
Dah Mungu naomba wasaidie watt wote wanaopitia haya
@estarelias68138 ай бұрын
Nakupenda dada vero esta elia
@abdulsalim10698 ай бұрын
Mmmh aisee!!!😳😳
@khorima8 ай бұрын
Ila Haji ana bahati sana ile siku mama mdogo alikuwa anemwekea sumu tena sumu kali sana na angekufa bila kelele Ana bahati sana Kudhibitisha hilo, ndugu wa baba aliposikia hizo habari haraka sana alimwamnia asiende kukaa tena kule japo ndio kwao maana kengele ya hatari ilishalia angemuua
@agnesmbanga54298 ай бұрын
Ninaumia sanaaa
@SalmaJafari-o7r8 ай бұрын
Huyo Mama mchawi
@agnesmbanga54298 ай бұрын
@@SalmaJafari-o7r Kabisa niliishi na mama design hiyo Yaani wa Baba wanakuaga kaa wehu hiyo michawi
@EsterMajaliwa-u3b8 ай бұрын
Da vero ,tunaomba usiwe unatuwekea na matangazo bana fanya kama mwanzo
@abdulsalim10698 ай бұрын
Alafu Vero Kwa nin cku hizi huweki mfumo wa episode?
@BintHassan-o1y8 ай бұрын
Kweli kabisa then aliama kabsaa kuli kwa cmulizi sai kabase live sanaa😢😢..kule ni bora ata ukipitwa wiki zima waeza ipata tuu
@abdulsalim10698 ай бұрын
@@BintHassan-o1y ule mfumo mzur xan hauna mambo mengi
@abdulsalim10698 ай бұрын
Lkn ametuleta huku matangazo kibao mara oooh afcon mara oooh mkopo wa sasa tunataka cm
@BintHassan-o1y8 ай бұрын
@@abdulsalim1069 yni mboka inaboo...dakika za matangazi nyingi kushinda cmulizi
@NajmaKassim-x5h8 ай бұрын
Naitwa kessy kimego Niko posta upande wa radio atuwapati vizuri
@janethkomba44858 ай бұрын
Mh🙆 baba kashalishwa vyakulishwa😢😢😢😢😢
@estermgalla45868 ай бұрын
hiii story inafanana kabisa na ya ex wangu jmn😢😢😢.... yan alifanyiwa visa sana na mama ake wa kambo yan hapa naona n yeye kabisa sema sasa yeye mama ake alikua anachoma mpk nguo za shule anaficha nguo za shule lkn Mungu alimpigania mpk sasa ni mtu mwenye maisha yake na always namuombea afanikiwe uko aliko
@Zuhuranadadoita8 ай бұрын
😢😢😢😢😢Duuh
@anoldsakaya8 ай бұрын
Duuuh 😢😢😢
@jumapiliissa48358 ай бұрын
Nikweli mapenzi yanapawa ila kwa asieona mbali kiakili upende wangu haiwezekani mtoto wangu nimfukuze kwao wakae mafala tu baba kafeli uyo
@ireneaurelian9078 ай бұрын
Kulogwa ndugu😢 uchawi upo huwez jua huyo baba haji anamuona haji km muuwaji au ana matatizo
@jumapiliissa48358 ай бұрын
@@ireneaurelian907 nikweli aisee nimtihani labdo ndugu ndowamtembe lee kwa watam wanaume ndomana tunakufa mapema
@elizabethmwakapesa99098 ай бұрын
Husikikii kwenye radio
@lazarozebedayo74778 ай бұрын
Dada Veronika kwenye ledio Amna saut eti mm Lazaro mdau wako
@joycemetili38762 ай бұрын
Hicho chakula lazima kina kitu..sio bure..kama sio sumu basi uchawi
@aminashabani-h3o8 ай бұрын
Mhmm dada vero una sauti nzuri sna
@SatwantHoogan-yu6oh8 ай бұрын
Mama wa kambo uyo,😢Ameshamroga Haji!😢dah! Hatari sanaaa...na babake Haji nae amesharongwa,na uyo mkewe mshenzi! 😠 Si Bure yaani!
@marthakitinusa96968 ай бұрын
Daha
@linahmeena8 ай бұрын
Wanawake wanao nyima chakula si mama wakambo tu mimi mama yangu mkubwa alinitesa sana zaid ya sna kamwe siwez sahau
@Fatima1234-wl1nu8 ай бұрын
pole kipenzi
@MsAggie58 ай бұрын
Mie wifi yangu baada ya nyumba yetu kuungua, yaani anapika anakula na watoto wake anaosha vyombo na hamna chakula cha usiku. Wakati huohuo nyumba ya baba etu! Mimi sikuwa Kama Haji.
@monicagerald66768 ай бұрын
watoto wamekariri tu, kuna ndugu anaweza kukutesa mpaka ukakoma.
@khorima8 ай бұрын
Huyu baba kweli ni Bwege Vipi kuhusu ile ndoto aliyosema kwamba ameota akiwa safarini?
@lightnesstewart18018 ай бұрын
Nilicho jifunza kwa hizi story, adui yako ni adui yako tu, Ikitokea kaomba msamaha, Msamehe ila awe mbali na wewe
@chichigrilltz77078 ай бұрын
Umesema Vyema kabisa… 👏
@Doryatilio8 ай бұрын
Kabisaa wanasema usimuamini adui kwa wema wa siku moja.
@NeemaSamson-ti8pc8 ай бұрын
Jamani dada vero punguzeni matangazo mweeee
@simonmaige77858 ай бұрын
Akipunguza matangazo mshahara ataupata vipi Sasa?
@NeemaSamson-ti8pc8 ай бұрын
@@simonmaige7785 kwani mshahara wake unategemea matangazo?
@MsAggie58 ай бұрын
Ma mdogo alisha mroga huyo baba, ali plan iwe hivyo, Haji aondoke abaki yeye na watoto wake ajichane vzr.
@saidipinda78808 ай бұрын
Yan yule ndugu alijua kbs huyo mwanamke alijipanga keshamroga huyo baba akili co yake maskin karogwa atakuja kustuka baadae dawa zikiisha
@YacntaJohn-i7c8 ай бұрын
Uo mrogo kwa baba haji ni balaa
@graciousmwacha8 ай бұрын
Kweli mrogo ulikuwa umepikwa ukapikika
@khorima8 ай бұрын
Ile kwensa shule na chakula ilikuwa zuga tu kama alivyosema yule mwanafunzi mwenzie kwamba baba alikuwa karibuni kuja na nadhani alishampigia simu huyo muuaji
@jumakingambe43238 ай бұрын
MWENYE NO YA KUWASILISHA MIKASA ANITUMIE TAFADHALI
@Shareandheal8 ай бұрын
Karibu 0716465944
@chemilembestanslaus47978 ай бұрын
@veronica
@MamaHairath-hx2js8 ай бұрын
Maisha ya kunyimwa chakula nimeyaishi sana baada tu ya kufa mamaangu nikaishi kwa shangazi
@Fatima1234-wl1nu8 ай бұрын
duuh hatari pole sana kipenzi
@khorima8 ай бұрын
Pole sana Hata mimi nimepitia kwa mama wadogo, mbaya sana Ila funzo ni kwamba mwanao usimpeleke kwa watu mlee mwenyewe unless otherwise
@chemilembestanslaus47978 ай бұрын
Duuuu!ulimwengu huu bhana
@jumapiliissa48358 ай бұрын
Aisee haji kwakumsibitishia baba yake angesema kama nasema uongo waitwe mashehe waapishwe kwene musahafu ndoangeamini hiyo ndodawa ya mnafiki