Shilole ndiyo mshari sana na hapendi maendeleo ya wenzake kwasababu ya roho mbaya tu kwasababu anataka yeye tu awe juu kila wakati, Zamani alikuwa akimuonea wivu sana Snura kwasababu ya kuimba na kucheza na hadi alikuwa akimdhalilisha mwenzake mbele za watu lakini Snura ni mstaarabu sana na ana busara alikuwa hajibizani naye.