Huyu bwana mdogo mwenye t-shirt ya blue ndio watu tunaoitaji kuchambua mpira wetu.Wengi wanaongea kishabiki lakini huyu dogo ana point nzuri sana..He knows football
@aishabakari804011 күн бұрын
Kuazia leo simtukani tena Nasri kipindi tunashinda moja moja alikua akitusema sana ila hatukumuelewa bali tulikua tukimshambulia Nasri tusamehe
@RaymondBoniface-lc5qv6 күн бұрын
Nasri anaongea ukweli
@lazarojohn625611 күн бұрын
Nasri hachambui Ila analalamika jamaa anaumia
@mohayussuf205710 күн бұрын
Huyu Nasir Hana anachuchua mnamtetea kocha fatness inatafutwa mazoezini
@mohayussuf205710 күн бұрын
Simba mbona Kachina timu huko huko Algeria nasri acha kuitetea yanga
@bellenoe41411 күн бұрын
Mwarabu hawez jificha maumivu na hasira😅😅😅😅😅😅😅😅
@mussamwasongela246811 күн бұрын
Kaja Mwakisu sasa mterezi mwl Rama 😅😅😅
@JustinMkumbwa11 күн бұрын
Hajakosea Koch ameona GSM kaharibu lig yanga anatengenezewa ushindi
@mudrikramadhani3211 күн бұрын
hivi huyo nasri anajielewa kweli!!!😂
@gwamakaadamson290911 күн бұрын
chizi huyu hata haeleweki
@AthumanMuggarahjr7 күн бұрын
Muiyande timu yanu owe imara sio muntafuta kichaka cha kukimbilia wenzetu wanasajili wachezaji nyie mnasajili na majina mavuno yake GUSA ACHIA RUDI NYUMBANI