Huyu jamaa mtangazaji Rwambano upeo unatia mashaka. Mada zake nyingi zimekaa kiunafiki na kichochezi. Mfatilieni
@AyubuDaudi-yt1gxАй бұрын
Simba wasiendelee kumfuatilia chama nyota wengi wamepita mfano Emmanueli okwi Mgosi Odhiambo ko asitutishe huyo chama
@Juma-r6z23 күн бұрын
Yani mashabiki wayang povu lanini tuacheni na Simba yetu
@AthumaniMmbwamboАй бұрын
VP usajoli simba
@godfreychikandamwali326319 күн бұрын
Simba ina sajili sawa lkn mbona beki chemalon alisema shida ipo ktk uwongozi sasa kuh ilo kina fanyika nn ?
@IbraimOmary-qx8xd25 күн бұрын
Naitwa ibrahimu diblo kutoka Kilimanjaro nilikua nauliza kwenye mkataba wa feitoto kina kipengele chochote ikitokea ameuzwa kwenda kilabu ingine kwamba yanga wapewe bonas yao..??
@DannyKilemile23 күн бұрын
Simba nilikuwa na wapenda hawa machupa,ulimboka,victa Costa,odhiambo,mgosi,kaseja wote wamepita chama na wewe nilikupenda lakini pita na wewe