Simba bado kabisaa wanahitaji kufanya kazi zaidi😮😮😮
@ignatiuskaishe342 ай бұрын
Umeanza vizuri sana😊 1:39
@athmanimkangara92902 ай бұрын
Simba ni mpya imecheza vizuri sana leo na itakuwa motoo zaidi
@issaali13212 ай бұрын
Mbona Muna haraka sana wachezaji kupaform haraka ivyo. Ni jambo la kawaida mchezaji kuingia kwenye mfumo. Thiery Henry ilimchukua muda mpaka kuwa mfumgaji bora kwa Arsenal na angalia Kai Havet wa Arsenal pie angalia ilimchukua muda mpaka akaaza kufunga magoli sasa Bado kwa time ya mpya kama Simba ikapafom vizuri. Bado ni mapema mno kujaji ipeni muda timu .
@IdrissaHabibu2 ай бұрын
Kwani huoni uzito wa ligi yetu
@wimranpatrick2 ай бұрын
Msunari fc
@MuuminShamra2 ай бұрын
Kuna baadh yawatu sio watu wa mpira wanaongea tuu simba inaitaji muda yani mashabiki wampira kwasasa tusifikirie kikombe tuwe nasubira tutafurai naamin
@KabungaKalla-fw4pp2 ай бұрын
😮😮😮kipimo chabeki kinakijaje? Timu haija shambuliwa unaisifia beki imeimarika wakati hawakupewa presha!!?
@abrahamchengula81372 ай бұрын
TIMU waliiocheza nayo haikuwapa test sahihi kwa ushindani
@AsifiweMwamatenge2 ай бұрын
Simba timu zuri natuwape mdawatafanya mambo makubwa baada ya miezimitatu TU mtafurahi.wenyewe.
@AsifiweMwamatenge2 ай бұрын
Watu mnachokosea mnafananisha Simba na Yanga Yanga ambayo imetengenezwa miaka mitatu nyuma mnaonngeasana kama mautopolovile mnapenda sifatu.
@PaulMuasya-z8c2 ай бұрын
Safu ya ushambualiaje ya akina Kagere, Okwi na John Bocco ndio bado lakini kwa Chama hamna kitu kwani mechi nane za mwisho msimu uliopita chini ya mwalimu Mgunda Chama alikaa nje na timu ilipata matokeo kinyume na mechi ambazo Chama alikuwepo ndani. Tambora walijaa golini kitu kilifanya mchezo kuwa mgumu lakini kama wangelifunguka hivi ungelikua unasema mengine wewe hapo