nenda kwenye udi.no/en/want... kuanza maombi ya visa nenda kwenye www.norway.no/... kupata orodha ya vitu vya kuweka kwenye maombi ya visa
Пікірлер: 24
@zackariangonyani Жыл бұрын
Sawa sister mungu akubariki
@MwalimuShauri Жыл бұрын
Amina, tubarikiwe sote
@HabiBarnabas-t5xАй бұрын
@@MwalimuShaurishikamo dada habar za kazi hongera sana kwa kazi nzuri unayoifanya ...samahani dada mimi nahitaji niende kwa njia ya visit visa kwa sababu visa ya kusoma sina pesa iyo milioni 32 ... sasa nawaza nikienda kwa Visit visa alafu nikifika huko nauwezo wa kutafuta shule kwa izo siku 90 nz nikifanikiwa nauwezo wa kubadili visa yangu iwe ya kusoma au hapo inakuwaje dada ... ? Yaani me natamani sana kusoma nje ya nchi
@abrazizi93tv98 Жыл бұрын
Asante dda kwa muongozo mzuri, mungu akubariki uzidi kufaniakiwa, na uwe na mou uo uo wa kujitorea kutupa taarifa
Sister unaweza kunitafutia family friends soo tht i can start from there...
@MwalimuShauri11 ай бұрын
Hilo siwezi liko nje ya uwezo wangu kwa sasa
@mathiasalfred15455 ай бұрын
Asante madam I love it your consultation. Hivo madam naweza nikabadili visa ya utalii nikifika huko. Naomba majibu plz
@MwalimuShauri5 ай бұрын
Kubadili kwenda ipi? Nieleweshe vizuri
@MwalimuShauri5 ай бұрын
Kubadilisha kwenda ipi?
@saimonrodgers826211 ай бұрын
Dada unazunguka hebu nitafutie mwenza 😂😂😂😂😂pesa tunazo mwenza wa kupush plzzz Age 40/50
@MwalimuShauri11 ай бұрын
Kuhusu mambo ya wenza tembelea channel hii youtube.com/@OfficialDatingAssistance?si=paeO7RsFz5NGCsxB utajifunza kitu
@ghaosalsalum Жыл бұрын
Eti dada kusoma Norway lazima uwe na IELTS certificate na mbona tuliambiwa kusoma Norway ni bure mbona naona kuna fee na nikubwa sana?
@MwalimuShauri Жыл бұрын
Kuanzia mwaka huu kusoma huku kama wewe sio mkazi unalipia, lakini kabla ilikuwa bure kabisa
@MwalimuShauri Жыл бұрын
Kuhusu IELTS nitafatilia na kukuletea majibu. Lakini ninajua kuwa bachelor degree programs zinatolewa kwa lugha ya Norwegian isipokuwa chache sana. Kuhusu master’s na PhD nitafatilia
@MwalimuShauri11 ай бұрын
Update: inaonekana huhitaji kuwa na matokeo ya IELTS kama umesomea Tanzania kwa sababu elimu yetu inatolewa kwa Kiingereza
@juliaskayanda35785 ай бұрын
Ni kwamba watanzania hatuhitaji IELTS certificate kwasababu masomo ya vyuo vya ndani ga tz ya nafundisha kingereza..?
@saimonrodgers826211 ай бұрын
Unaweza kunisaidia ni kazi gani ambazo zinapatikana kirahisi na unaweza kuombea viza Plzzz nisaidie au naomba email yako tuwasiliane unisaidie🙏
@MwalimuShauri11 ай бұрын
Tazama video hii kzbin.info/www/bejne/m2fVh6mhfKyhasUsi=zaQYDP81K7mU_vxH