#live VURUGU ZA CHADEMA MUDA HUU WAMEFUNGA BARABARA KAMA KENYA
Пікірлер: 31
@JamesMatondo-fk4bh21 күн бұрын
Chadema itashinda kwa kishindo
@JamesMatondo-fk4bh21 күн бұрын
Watu ni WWE unayeweka bando na kusikiliza syo mpakauendeko
@JamesMatondo-fk4bh21 күн бұрын
Ww mabadiliko ni lazima kwan we we ufunga mkataba na ccm acha kufeli maisha ni siasa et majukum
@shabanabdalatupa21 күн бұрын
Tanguliza ndugu na wanao mbele kwenye vurugu
@IdrisaTuppa20 күн бұрын
Viti Vya Chadema Vinarudi Tena. Bungeni.😱
@BIGBOSS-hl3bu22 күн бұрын
Sisi ambao hatutegemei siasa ,tunapenda amani ili tupate muda wa kwenda kubangaiza ili watoto wetu wale ,na hawa Wakipewa ubunge wananyamaza kimya na gari watatumia kama viongozi wengine ,mbona hatujaona wabunge wa chadema au cuf wakigoma KUCHUKUA mishahara mikubwa au posho za bungeni ???
@JamesMatondo-fk4bh21 күн бұрын
Mpunbaf ni ww ambaye hujui maana ya siasa
@user-zm7kk1tr5l22 күн бұрын
Kushinda lazima tushende tunaima na chadema 😂
@user-bz5ti6op6z21 күн бұрын
Sera zingine sizielewagi vizuri
@mussakilo491622 күн бұрын
Dah jombaa amani kwanza we lete sera tupime habari ya mspanga tena?hapo ndipo mnapo feli mmmmm chadema yangu
@theophilyedward244821 күн бұрын
Haki anzeni ndani ya chadema kwanza mwekeni mwenyekiti mpya wa chama aachie mboweee kwanza
@linetnekesa22 күн бұрын
😂😂😂Kenya waliasa ivyo tia biti
@AlphaxardMRusweka-jr1wi21 күн бұрын
Kwani wewe unachoogopa nini ?
@sospeterodhiambo686921 күн бұрын
Hakika tuna wapi ambao hata ukiwapeleka chekechea bado watatoka kapa CCM imechokwa bado wanawategemea watu ambao hawajielewi na elimu kwao ni sifuri lkn itafika muda watajielewa tu Akija lala njaa cku mbili mwenye atafuata chadema wako wapi
@dizzosukariyaoSukariyao22 күн бұрын
Chadema inaongea ukweli
@ChristerKoku22 күн бұрын
Ushindi wa haki si vinginevyo
@nyanjachannel551722 күн бұрын
Mbona unaongea mwenyewe watu hamna au unahutubia wapita Njia
@mbwanahasan297122 күн бұрын
Tayari hata wewe ushasikiliza unatisha chawa mkubwa wewe
@clemencemkondya856122 күн бұрын
Pikipiki zinawauma na wewe towa pikipiki .Fedha zako ulichangia wapi . kusema nirahisi sana .CCM hamtaiweza hata mngepayuka kama vichaa
@raymondnlelwa42722 күн бұрын
Hawataiweza kwenye nini? Mbona hauko wazi… kwani ccm si watu? Acha atoe hoj zake atamaliza tu na ujumbe unawafikia aliowalenga. Hongera rafiki.
@BIGCHENDREADLOCKS22 күн бұрын
Subili uone kweny uchaguz utakubali
@JosephMagige-lf9ns22 күн бұрын
@@clemencemkondya8561 hakika nimiongoni mwawalio laaniwa na wew ni mmoja wao.Ama kweli Africa is a black continent
@dizzosukariyaoSukariyao22 күн бұрын
@@BIGCHENDREADLOCKS CCM imefka mwisho mwanza nzima hatuitaki
@binsherbal608922 күн бұрын
Clement Mkondya unalipwa kiasi gani kua Chawa?
@cosmaskulwa329722 күн бұрын
WW MPUMBAFU HAYO MANENO PELEKA KWA FAMILIA YAKO
@JosephMagige-lf9ns22 күн бұрын
Wew usiye mpumbavu mbona kama unadaliliza uk
@ezekielkiduge873022 күн бұрын
Uchawa na uoga ndio umaskini wako
@evelynmwaimu-vd9jo22 күн бұрын
Chawa
@AlphaxardMRusweka-jr1wi21 күн бұрын
@@JosephMagige-lf9nshuyu jamaa ni wa UK,,namshangaa sana,badala ya kuunga na watu wakwao,,yeye sijui anaungana na watu wapi hao,mtu kwao acha ushamba