LULU Atoa ya MOYONI Kuhusu MAMA KANUMBA - "NIMEM-BLOCK, mimi sio MNAFKI"..

  Рет қаралды 182,116

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

LULU Atoa ya MOYONI Kuhusu MAMA KANUMBA - "NIMEM-BLOCK, mimi sio MNAFKI"..
MUIGIZAJI Elizabeth Micheal (LULU) hatimaye amefunguka kuhusu kauli alizotoa Mama Kanumba kwenye mahojiano aliyofanya na Wema Sepetu..
Lulu amesema kuwa ataendelea kubaki kimya kwani anaamini mzazi hakosei..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 261
@globaltv_online
@globaltv_online 4 жыл бұрын
DOWNLOAD GLOBAL APP ili usipitwe na habari: play.google.com/store/apps/details?id=com.globalpublishers.mainapp
@gaeljagger3231
@gaeljagger3231 3 жыл бұрын
I realize it is pretty off topic but do anybody know a good place to watch new movies online?
@ronnieatticus8455
@ronnieatticus8455 3 жыл бұрын
@Gael Jagger i use Flixzone. Just search on google for it =)
@rylandlarry4853
@rylandlarry4853 3 жыл бұрын
@Ronnie Atticus Yea, I have been using FlixZone for since march myself :)
@gaeljagger3231
@gaeljagger3231 3 жыл бұрын
@Ronnie Atticus thanks, signed up and it seems to work :D I really appreciate it !
@ronnieatticus8455
@ronnieatticus8455 3 жыл бұрын
@Gael Jagger glad I could help :)
@josefmaiko3662
@josefmaiko3662 4 жыл бұрын
Lulu you are such a wise girl l could never imagine, but today you have proved to me what kind of an intelligent person you are.
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 4 жыл бұрын
Big up lulu, mbele kwa mbele kama injili, never look back haters were here since Jesus Christ na wataendelea kuwepo
@consolathakidohela6715
@consolathakidohela6715 4 жыл бұрын
Nm*p
@lisahhans295
@lisahhans295 4 жыл бұрын
YAAANI KATATAA JAMANI LULU HAJAUWA PLEASE.HEBU ANICOL
@mamakendrick7538
@mamakendrick7538 4 жыл бұрын
Mungu akutunze sweetheart, huo msalaba uondoke kwako hata haustahili haya. U are a star yan angekuwa mwingine angehaha kujibu
@agneskadzo6105
@agneskadzo6105 4 жыл бұрын
Amen 🙏
@sambinyanya
@sambinyanya 4 жыл бұрын
Duuh! Leave the young lady alone! Mtamsulubisha mpaka lini?nkt! Mob love for lulu from Kenya!
@Ikkiyoongi
@Ikkiyoongi 4 жыл бұрын
Ucjali lulu wng...yote maisha mungu yupo zidi kumuomba tuh 😘😘
@theceefamily7764
@theceefamily7764 4 жыл бұрын
Mti wenye matunda mazuri lazima utingizwe au kurushiwa mawe,shout up👏👏👏🌞🙏🇰🇪.
@agneskadzo6105
@agneskadzo6105 4 жыл бұрын
Kabisa Brother... Mungu aulinde huu mti in Jesus name
@gracehaule3884
@gracehaule3884 4 жыл бұрын
Akili mingi lulu wangu
@evancetilya5140
@evancetilya5140 4 жыл бұрын
God bless you lulu
@tumpenaboth799
@tumpenaboth799 4 жыл бұрын
Safi lulu unajibu kwa hekima Mungu awe nawe ktk maisha yako
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 4 жыл бұрын
I wish nijaaliwe kufanya kazi pamoja na Lulu....Ni very smart ktk kila sector.
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 жыл бұрын
smart girl, always ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Lulu
@fortunatedominic7845
@fortunatedominic7845 4 жыл бұрын
You're such a beautiful girl with brain. You so very brave.
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 жыл бұрын
Cjui kwann nakapendaga haka kalulu.kako smart sana.ya ALAH akutunze 🥰
@shardalove1159
@shardalove1159 4 жыл бұрын
Swadakta lulu love from 🇰🇪
@ziadaomeri6058
@ziadaomeri6058 4 жыл бұрын
Lulu my mwanangu nakupenda sana upo vizuri hiyo ni mitihani tu
@edgasimkoko321
@edgasimkoko321 4 жыл бұрын
mungu akubaliki na akutangulie katika kazi zako ufanikiwe
@erianaezra2416
@erianaezra2416 4 жыл бұрын
Nakupenda sana pambana namaisha binadamu ndo tilivyo, hongera kwa majbu mazuri
@candiceximba7308
@candiceximba7308 4 жыл бұрын
Straight talk love this lady Lulu
@zainababdulrahman9246
@zainababdulrahman9246 4 жыл бұрын
Mashallah very intelligent we are still supporting you no matter what
@specialminds23
@specialminds23 4 жыл бұрын
Lulu my baby sis 😘
@Wolfgang-q6f
@Wolfgang-q6f 4 жыл бұрын
Nakupenda sana dada angu natamani kuwa kama wew🥰🥰🥰
@michaell8566
@michaell8566 4 жыл бұрын
Safi sana lulu wewe kaa kimya hivyo hivyo usimjibu chochote.yule ni mtu mzima!!
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 4 жыл бұрын
Ukimya haunaga hasara😍
@agneskadzo6105
@agneskadzo6105 4 жыл бұрын
Muachie Mungu Dadangu... Siku Mungu akikuchukua atafurahi cz hilo ndilo alitakalo..wivu pia anao huyo Mama...cz hataki kukuona ukiendelea...awe pole ila ajue sote tuwa Mungu na ahera tutarudi kwa njia zozote zile...
@rachelpease7302
@rachelpease7302 4 жыл бұрын
She's intelligent,hekima ya hali ya juu hii,big up lulu
@irenelukumay877
@irenelukumay877 4 жыл бұрын
barikiwa sana kwa,busara ulio nao mdogo wangu
@godwinhaule6100
@godwinhaule6100 4 жыл бұрын
Safi Sana Lulu mungu azidi kukupa kekima zaidi
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 4 жыл бұрын
Huo ndiyo utu hakika umejaaliwa nao chakuongeza ni kukwambia funga ndoa uzae watoto wako utalea wa mwenzie mpaka lini umekua kijakazi wa majizo mda mrefu Zinduka🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@magrethgeorge9253
@magrethgeorge9253 4 жыл бұрын
Ila Lulu mdogo wangu Mungu aendeleee kukupa uzima,wewe nimarikia wanguvu,jaman msiombe mkakutwa nakitu hiki unaweza ukataman ujiuwe,Lulu wewe nakupa big up
@gaudenciamallya9779
@gaudenciamallya9779 4 жыл бұрын
Lulu katika ubora wake.Una hekima sana Eliza.
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 4 жыл бұрын
WELL DONE LULU 👌💕💕💕💕
@sylviesylvieleonardoliveas6138
@sylviesylvieleonardoliveas6138 4 жыл бұрын
Ongera Dada umeongeya vizuri saaana
@umugwanezazuhura8282
@umugwanezazuhura8282 4 жыл бұрын
Nagupenda sana
@raudhamahmoud9538
@raudhamahmoud9538 4 жыл бұрын
Mungu akulinde
@fdff3980
@fdff3980 4 жыл бұрын
Lulu nakupenda kwa busara yako mtoto mdogo mungu akulinde.
@calolinamwandali3599
@calolinamwandali3599 4 жыл бұрын
That's good,response,we have to leave the past&get forward,congrates lulu
@nicasteven4651
@nicasteven4651 4 жыл бұрын
Hiyo inaitwa nifundishe kunyamaza mungu akupe maish maref
@marymanoni5536
@marymanoni5536 4 жыл бұрын
Pole hilo ni jaribu lako Mungu atakusimamia ,watu wanafia Gest na hawastakiwi waliokuwa nao sembuse ww bi mkubwa anabidi ashukuru mungu Ili apate riziki nyingine kutoka kwA Mungu
@damarissaline.2315
@damarissaline.2315 4 жыл бұрын
This girl is always mature.
@mashaallhmkonokwakwamkonog4845
@mashaallhmkonokwakwamkonog4845 4 жыл бұрын
Mashaa Allah unamaneno yahekima dear
@Malaikakisseto
@Malaikakisseto 4 жыл бұрын
Acha nae huyo mama ajielewi na usimjibu hivyohiyo mtu ambae anaakiri hawezi kukuraumu ukweli unaoneka binafsi sikuhukumu huna kosa sisimizi hawezi kumuua tembo mungu anakupenda ishi miaka mingi uwe na amani lulu wangu nakupenda sanaaa mdogo wangu
@hemediidd3886
@hemediidd3886 4 жыл бұрын
Umezingua tu kusema huamin km uchawi upo weeee Elizabeth wajina wa mwanangu upo uchawi mwanangu oooh
@wilsonkombeyeri4623
@wilsonkombeyeri4623 Жыл бұрын
Pole dada Lulu kwa yote yanayokusibu ila ukweli Kanumba alikuwa freemason wala wewe hukuwa na makosa
@sophiampili4265
@sophiampili4265 4 жыл бұрын
Nimempenda Sana huyu dada🥰🥰anaongea Kama mtu ambaye sio maarufu, yaan daah ♥️♥️nakupenda mdada
@mulokzsimon197
@mulokzsimon197 4 жыл бұрын
Nipunguzie kdg izo akil dogo
@sophiampili4265
@sophiampili4265 4 жыл бұрын
@@mulokzsimon197 🤣🤣🤣mbona chenga tu nimeongea hapo
@esthermwaniki7938
@esthermwaniki7938 4 жыл бұрын
Beauty with brain kudos dear 👍
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 4 жыл бұрын
Safi Lulu endelea kukaa kimya tunakupenda sana . That's being clever .
@agneskadzo6105
@agneskadzo6105 4 жыл бұрын
Lulu anaishi kwa Neema ya Mungu...cz hatujui Mama kanumba anafanya mbinu ngani ili amuangamize lakini kwa kuwa Neema ya Mungu ijuu ya Lulu ndiyo maana anaishi.. Mungu azidi kukulinda Dadangu cz unahadui wa peupe sisi Wetu hatuwajui ila wewe wako yuko wazii...
@evancetilya5140
@evancetilya5140 4 жыл бұрын
Lulu blessed
@elizabethmkumbo323
@elizabethmkumbo323 4 жыл бұрын
Nakupenda Sana wajina
@irenemosha1645
@irenemosha1645 4 жыл бұрын
Hongera sana lulu unajielewa sana
@neemanyangure2981
@neemanyangure2981 4 жыл бұрын
Vzr dada ang.Kwa majib ya hekima na busar
@Boaz22
@Boaz22 4 жыл бұрын
Lulu ana akili kubwa sanaaaa
@nanginyiimases5613
@nanginyiimases5613 4 жыл бұрын
Lulu nakupendaga kwa busara zako ktk kujb na kujieleza Mungu akulinde Sana Kila iitwapo leo.
@salsashmomy
@salsashmomy 4 жыл бұрын
honger sana lulu supar woman
@loycejoely8967
@loycejoely8967 3 жыл бұрын
Lulu mungu akusimamie hako ka wema kamesha zeeka kameona katumie nyota yako kafie huko
@sylviamombo815
@sylviamombo815 4 жыл бұрын
Hongera kwa ndoa yako na majizo
@jestinamagembe2125
@jestinamagembe2125 4 жыл бұрын
Songa mbele Lulu,una busara sana,nakupenda sanaa
@salomevenance9555
@salomevenance9555 4 жыл бұрын
Nakupenda sana Lulu,unaakili sana Mungu azidi kukusimamia 😘😘😘❤️❤️😘😘💕🙏❤️unajitambua sana tena sana😘❤️
@rachelmliwa9830
@rachelmliwa9830 3 жыл бұрын
Nimefwatilia Mikasa ya lulu mama kanumba anakosea tena Sana ningekuwa Mimi lulu angeisoma namba Mana niukweli Freemason walichukua kwani Nani hajuh
@rukynoor4459
@rukynoor4459 4 жыл бұрын
Kunyamaza inatosha lulu mungu atakulipa,kanumba kafa kwa siku zake kufika .
@annangowi7950
@annangowi7950 4 жыл бұрын
Siyo sawa
@Timetravel289
@Timetravel289 4 жыл бұрын
Nampenda Sana huyu dada
@nasraabdul3884
@nasraabdul3884 3 жыл бұрын
Good girl
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 4 жыл бұрын
Usijifanye msafi kivile ulishauwa mama wa watu bado ana uchungu moyoni
@jackierama1817
@jackierama1817 4 жыл бұрын
Sk ya mt ilifika km mungu hajakuita huwez kwenda na km ndo ivo aliondoka bs sk yake rasm ya kuaga dunia hata asingesukumwa bs ingetokea chochote na ikawa ila ww kaa na frikra zako potofu ukiendelea kuhuku nyau ww😏😏
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 4 жыл бұрын
@@jackierama1817 Asante
@christinapeterntibagiligwa2556
@christinapeterntibagiligwa2556 4 жыл бұрын
@@cheiknamouna2058 tarehe ilikua imefika acha kuwanga
@happymwinuka2637
@happymwinuka2637 4 жыл бұрын
Ulikuwepo
@priscadaniel7
@priscadaniel7 4 жыл бұрын
Kwanini Jamani mama Kanumba Kwani ajasamehe had Leo lulu mungu anajuwa wapi unapitia binadamu kuweni upedo wema nae Mubaya iv kwanini munamusakama Sana lulu mungu anawaona lulu nakupenda bole🙏❤
@sylviesylvieleonardoliveas6138
@sylviesylvieleonardoliveas6138 4 жыл бұрын
Uko na hekima saaana mungu aendeleye na Ku bariki
@ernestsinje8693
@ernestsinje8693 4 жыл бұрын
Mama huyo anaweza hata kukutoa roho kisaikolojia hayuko sawa fanya maisha yako kwa sababu wewe sio ziraeli wa kutoa roho bwana
@tulanyagawa3271
@tulanyagawa3271 4 жыл бұрын
Amaizing
@فاالشبيبي
@فاالشبيبي 4 жыл бұрын
Sasa nyinyi mnamsifiya lulu je angekuliya watoto wenu angefanjaje mngemsamehe au mngemuuwa
@rachelphilbert7394
@rachelphilbert7394 4 жыл бұрын
Kwa kadrii ambavyo Mungu angetuongoza.
@aminaali8839
@aminaali8839 4 жыл бұрын
Uchungu Wa Mwana Ajuwae Ni Mzazi Mama Wa Wa Wawatu Ana Uchungu Mukubwa
@subirajohn728
@subirajohn728 4 жыл бұрын
Shangaa haya mambo uyasikie kwa mwenzako tu ndio utacommen unavyosikia yakikukuta utabana ngenga Mama K anamachungu ya kuondokewa tusimkejeli!
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 4 жыл бұрын
Na wewe sasa kwani aliyekufa atarudi?
@aminamwangile4020
@aminamwangile4020 4 жыл бұрын
Lulu nampenda yupo makini na majibu ni yny busara tupu
@veronikachuwa8932
@veronikachuwa8932 4 жыл бұрын
Uko vizuri hata kukaa kimya ni jibu alafu hata hao waandishi WA habari wasikuchanganye na maswali yao
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 4 жыл бұрын
Nakupenda bure lulu Mungu atazidi kukuifazi
@movickboazy7642
@movickboazy7642 4 жыл бұрын
Nakuelewa Saaaana mtoto mzuur
@josefmaiko3662
@josefmaiko3662 4 жыл бұрын
LULU KUWA NA AMANI, ENDELEA NA MAISHA YAKO MAANA HAKUNA MKAMILIFU HAPA DUNIANI. KIKUBWA UMESHAOMBA MSAMAA. THAT'S IT. NA ENDELEA HIVOHIVO KUMUHESHIMU MAMA KANUMBA MAANA NI SAWA NA MAMAKO MZAZI. USHAURI KWA MAMA "Ondoa KINYONGO msamehe mwanao lulu anza maisha mapya" Mungu hatokuacha. Usisikilize USHAURI MBAYA wa watu. Maana maneno yao mabaya ni sawa na kukunywesha sumu wewe kwakutegemea Lulu adhurike, haiwezekani maana Anayedhurika ni yule anaekunywa sumu sivinginevyo. Ushauri mbaya wa watu ni sawa na sumu. Msamehe binti yako Lulu na kila kitu kitakuwa sawa. Kama inawezekana kuweni karibu mtafarijika zaidi nyote wawili na umtakuwa mfano mzuri na kila mtu atakuongeleeni vizuri.
@enezaelnanyaro4853
@enezaelnanyaro4853 3 жыл бұрын
Nimependa jinsi unavyo jibu maswali kwa busara kweli Lulu una akili sanaaaa ubarikiwe Sana.
@hajraomar1812
@hajraomar1812 4 жыл бұрын
Nampenda sana uyu dada mpole Na hajidai.. Na hana sifa
@asiamatembo4434
@asiamatembo4434 4 жыл бұрын
Nakupenda sana lulu unajielewa sasa
@zuwenaalamini4158
@zuwenaalamini4158 4 жыл бұрын
Mashallah mamy umeongea vzr Sana mamy
@aisha-ro5fr
@aisha-ro5fr 4 жыл бұрын
Ninacho kupenda wewe dada uko real yani mkwelii unaga makuu
@josephkomba64
@josephkomba64 4 жыл бұрын
Dada nampendaga huyuuu hajickii kama wadada wengne wanaoigiza yaani mungu amuweke miaka mingiiiiiiiii icyo na kikomo
@salmaseif1070
@salmaseif1070 4 жыл бұрын
Beauty with brain
@onesterabayo9067
@onesterabayo9067 4 жыл бұрын
Whether rich or not, never disrespect old people. They deserve respect and if you don't respect them, God curses you. Lulu learn to respect people who deserve it.
@mariamswedy4291
@mariamswedy4291 4 жыл бұрын
It's real true
@ahuriladaniel9849
@ahuriladaniel9849 4 жыл бұрын
Nakubali sana
@neemamfinanga639
@neemamfinanga639 4 жыл бұрын
Nakupenda sana lulu una pweti
@naomisamatwa6690
@naomisamatwa6690 4 жыл бұрын
NAMPENDA lulu toka mda hanag skendo labda wamuongelee anasem kwel
@christinathomas9907
@christinathomas9907 4 жыл бұрын
Nakupenda sana lulu wangu😙😙
@kpetres2872
@kpetres2872 4 жыл бұрын
Achana na maneno ya watu Lulu piga kazi acha na kudanga pia🙏🙏🙏
@christinapeterntibagiligwa2556
@christinapeterntibagiligwa2556 4 жыл бұрын
Mlidanga wote acha uchawi ww
@zawaditito5111
@zawaditito5111 4 жыл бұрын
@@christinapeterntibagiligwa2556 😂😂😂
@zukrabuethi5068
@zukrabuethi5068 4 жыл бұрын
DAWA YA LIVEN kiboko ya maumbile ..na nguvu za kiume ..... . Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo. 1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia 2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo 3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk 4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka 5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha 6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility) 7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika 8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU) 9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume 🔟 Inarutubisha mayai NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA Epuka aibu hii tumia" LIVEN " ndio kiboko yao Karibuni sana ofisini kwetu Wasiliana 0659982160 shuhuda zinazidi kuongezeka kila kukicha
@kalitupu753
@kalitupu753 4 жыл бұрын
Elizabeth,kwa muda mrefu nakutumia text jaman TWEET no reply. my dear if GOD WISHES bas tutaonana na kuongea siku moja
@nurafedrick378
@nurafedrick378 4 жыл бұрын
Inauma lkn itabidi uzoee lkn pia wew ujifunzee kuongea kumbe waezaa kuumwa wema bs aliumia zaidi yale ulimrushia
@dennismusiba4836
@dennismusiba4836 4 жыл бұрын
Nice speech
@jacquelinerayamu3187
@jacquelinerayamu3187 4 жыл бұрын
Mashallah binti mdg akili kubwa .....mtt mzuri sana
@sizelinamarolen1167
@sizelinamarolen1167 4 жыл бұрын
Anaakili kuliko umri wake,napenda jinsi anavyojiele
@naomikadenge2319
@naomikadenge2319 4 жыл бұрын
mama kanumba kubali mwanao alikufa wacha kumsumbua lulu hata ufanye nini haezi fufuka kubali matokeo mshukuru mungu kwakila jambo
@mariarin6428
@mariarin6428 2 жыл бұрын
Nahic ujui kile unasema .. N heli ungejaribu kuva kiatu chake
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 4 жыл бұрын
Ila lulu usimchukie wema kwa upande mwingine kakuonesha ukweli wa upande wa pili ungendelea kujichekesha kwa yule mama wakati moyo wake anakuona vingine shukulu Mangu kakuonesha kupitia kulopoka kwa wema ,
@emmanuelmasisa1998
@emmanuelmasisa1998 4 жыл бұрын
Lulu umesema ukweli Mariam Ismail Ni the best
@mickeymorric9131
@mickeymorric9131 4 жыл бұрын
Hahaaa lulu bana eti kaanza kujenga akiwa na miaka 14 , msalimie mage
@ppesampingo9042
@ppesampingo9042 4 жыл бұрын
Ilove you sana dogo Lizzy
@PhoneReset-vl3ti
@PhoneReset-vl3ti 4 жыл бұрын
Hongeraa Luluu
@mariarin6428
@mariarin6428 2 жыл бұрын
Dunia n dunia na pia wewe lulu ipo cku utalipa kwa kenye ulimtendea uyo mama .....jajajua dunia bado na pesa n maua tu
@tynernkwabi9316
@tynernkwabi9316 4 жыл бұрын
Kufiwa kunauma atukatai tena sana lkn tukumbuke sisi sote ni binadam jaman atuna haki ya kumu hukum yoyote sababu wote ni wa Mungu
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 жыл бұрын
Kweli umeongea vizuri
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
#EXCLUSIVE: DIAMOND AFUNGUKA UKWELI WOTE RAYVANNY KUONDOKA WCB...
9:18
LULU ATOA MACHOZI MAHAKAMANI, HUKUMU YAKE NOVEMBA 13
1:52
DANDE TV
Рет қаралды 33 М.
Diamond na Harmonize uso kwa uso kwenye Futari ya Ikulu Jumamosi hii
1:50
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 169 М.
MZEE YUSUPH ATAMANI ANGETAMBULISHWA 'WCB' KAMA D VOICE
6:05
Wasafi Media
Рет қаралды 7 М.
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН