Kurithiwa siyo lazima hata atakae mrithi hawez ziba pengo la mtu moyo wa mtu hamuujui alivyoumizwa
@TaraKh-jw1pd4 күн бұрын
Familia ya mme isimsahau wamwachie Mali za mmewe alee na watt wake aendlee na Kaz zake mungu amsaidie
@viviankemunto44353 күн бұрын
Mungu hana sababu ,tulimua lakn inabidi akumbali ,waja apate furaha katika moyo alee watoto wa marco
@MargaretOmondi-pf3uz2 күн бұрын
Kwani Mke wa Jafeth atakubali mme wake achukue Mke wa Marco? Kifo haina huruma Jameni!!! Mungu ampe Mke wa Marco amani yakutosha. Marco atamlalia vyema atapata mme wakipekee siku moja. Kwa Sasa bado ni mapema sana kidonda haija pona Jameni
@anthoniaanthony45732 күн бұрын
Kumrithi ndiyo kitu gani jamani mbona watu hamna huruma😢
@kwizeraelly92613 күн бұрын
Acha ujinga wewe na maneno yako ya kipagani.
@Giresi-p2u3 күн бұрын
Mungu atampa mme mwingine maana bado ni mdogo
@Giresi-p2u3 күн бұрын
Yeye amtunze, Ila hata hivyo sio raisi, kufatia na tetezi za jafeti, na hii familiya