Maalim Seif jemedari wa siasa za UKWELI, MUNGU akupe Maisha marefu na nguvu ili mapambano na dhamira yako ya KWELI itusaidie kufikia malengo tunayotazamia. Asubuhi i Karibu sana kuliko usiku songa mbele baba
@makamemufadhil6275 жыл бұрын
Maalim Nakupendaa mzee Allah akupewepes hapa duniani na huko Akheraa
@sahilnaass50903 жыл бұрын
Mungu atakupa nguvu mzee wangu , nakupenda sana
@diltondilunga99155 жыл бұрын
Unayemsikiliza Maalim Seif ,huwezi kukaa kimya bila kusema jambo,
@mzenjitz22425 жыл бұрын
mheshmiwa ZITTO nakuona umetuliaaaaaa! unabeba hekma kwa Mzee Maalim seif
@johnkatindasa17505 жыл бұрын
Mmekutana wote wasemaji.
@Byondorujulika175 жыл бұрын
Upo vizuri na umeeleweka mzee
@suleimansuleiman54985 жыл бұрын
BALAHAU KUNKWISHA 😃😃😃😃😃 WABURUZE WASIOJIELEWA
@hoseakaponya50705 жыл бұрын
Maalim, usihofu baba mungu atakulinda na sisi watanzania tuko nyuma yako, dola haina nguvu mbele ya haki na nguvu ya wananchi
@omarymohamed48055 жыл бұрын
Cuf haitoingia madarakani mpaka wanafiki wamalizike Kutoka " Maalim Seif
@salehemayunga9715 жыл бұрын
Maalim ulishafeli tangu uliposhindwa cuf ukakimbilia kwa Mfanyabiashara wa siasa ila na wewe siasa zako za Upemba kaingie kwenye jahazi uanze uvuvi huoni jinsi sukari inavyokutafuna we huna lako sasa hivi umekuwa kibaraka ws zito kabwe ambae katangeneza kampuny yake ambayo kaiita act wazalendo
@AP-uk3mq5 жыл бұрын
Kweli akili ni nywele. Baki na hicho kipara chako
@maulidmohamed44945 жыл бұрын
Utaiweza jella au ukamatwe tuu
@mudinhoalbarto83975 жыл бұрын
We inaonekan mgeni w siasa hatoanza leo kukamatwa wala kuwekwa jela!!!!
@zuwenasaid97075 жыл бұрын
Halafu muuweni ili amani ibakie
@fatmahamad21565 жыл бұрын
@@zuwenasaid9707 kaaamue ww
@mohamedothman97695 жыл бұрын
Ww hata mkeo akit..bwa utakaa kimya kwa kuogopa jela. Dume zima..
@pantaleokulaya53085 жыл бұрын
hata kama ukipewa urais maalim utatawala miaka mingapi hii mikikimikiki ungewaachia akina zito ndobado vijana
Pantaleo Kulaya Maalim Seif hana njaa ya uraisi wala njaa yapesa anachokiendeabio ni zanzibar tuu hakuna jengine ww usimfanye mpumbavu akijuwa anachokifanya jinsi tunadhalilika wanzanzibar
@abdulmohd68805 жыл бұрын
nlitaka nimueleweshe lakini kw vle mmeshamuele wesha huyu ndugu ytu dhamira halisi ya Maalim bas me nakaa kimya, km hajaelewa bas ana malengo yke binafc..
@mohamedothman97695 жыл бұрын
Watanzania wajinga wakiongozwa na ccm wanawaza madaraka tu, wamesahau kichwa kisicho kisicho na maarifa ni mzigo kwa miguu
@theodoremilenzo94205 жыл бұрын
Hivi huyu Mzee hajaachana na siasa tu. Ama ndio katika mpango wa kutuletea fujo Watanzania ambao tunataka Maendeleo. Urais unatuhusu nini sisi. Acheni tamaaa za uongozi
@zuwenasaid97075 жыл бұрын
Kwani hukumu ya mleta fujo ni nini muwajibisheni tu asituletee ujinga mbona makundi yapo ya kummaliza just ni maamuzi tuu
@mohamedothman97695 жыл бұрын
Lini ulimsikia akisema anataka uongozi. Ujinga wako ndio umasikini wako
@buhulachassama48585 жыл бұрын
wewe ni jinga jinga tu.
@mohamedfaris30005 жыл бұрын
Zuwena masudi jina zuri lkn hujui nn mana ya uhai, unashauri mtu amalizwe so unajua ni faida gani mwanadamu mwenye kumuokoa binadam mwnzake mmoja2 ni sw amewakoa watu wote dunia nzima, tambua thamani yabdini yako na sio dunia yako, hivi vyama ni duniani2 haviwezi kukusaidia siku ya Kiama
@omarymohamed48055 жыл бұрын
Mbona wapemba wenzangu hamtoi community za matusi sasaivi?
@ahmadjuma14805 жыл бұрын
Ww cio mpemba
@omarymohamed48055 жыл бұрын
Kwan kukosa kuwa mpemba vibaya? Au haui mwanadam mpk uwe mpemba? Kwan haui muislam mpk uwe mpemba?
@@danadana6450 izo community za matusi zote ni za Kutoka huku Pemba, mana ndo tunaomfanya Maalim Seif km ni kiongozi wa uwislam, tunavoamini km ukitofautiana na Maalim Seif ndo kushakua kafiri, visima vinanagisiwa huku, miskiti inaharibiwa huku eti kisa katajwa shein,vipando vya watu vinahujumiwa huku, na izo community za matusi zote ni za Kutoka huku, na hata wewe unajua na wala usipate tabu zisome tu wewe ili kuhakiki, message ya Kutoka Pemba unaijua tu, ndo tunafanya hayo na watu wengine wakitupa maneno ya dharau tuseme wapemba tunaonewa
@danadana64505 жыл бұрын
Omary Mohamed ww humpemba usituzinguwe wapemba wote wajielewa hata kama umpemba itakuwa niwakuja siwakuzaliwa au itakuwa nikibaraka wa CCM
Zefa Mange kenge ni ww wakwanza musitukane wazee wa wenzenu na nyinyi wenu mutatukaniwa
@danadana64505 жыл бұрын
Ramadhani Joho yaan kuna watu mizigo kabisa wafkiriya kama inakwenda utashi wao
@johariabdalla33195 жыл бұрын
Zefa kuma la mamaaakoooo😂,na sijakujuwa tuu,ila utaona kitakacho kufikaa,mbwa mkubwaa unafurutu ada sasa!!
@khatibhijja39585 жыл бұрын
Good
@sulemohd48125 жыл бұрын
Kawaida ya jambo linapo aanza huwezi kutambua mwisho wake ila mwisho wa jambo Analijua rabuka.
@salummussa30945 жыл бұрын
Mzee vita umevipiga siasa umeiweza sasa pumzika staafuu baba umri umekwenda ...huna miliki ya kuchrza na siasa hata kama uwezo unao na nguvu unazo umri umekwenda ...huwezi kupewa kazi ya kuongoza nchi katika umri huo...
@fatmahamad21565 жыл бұрын
Uzeee ni dawa,upooo na apewe muone nchi itakavyosonga mbele,nyie wenyewenu mtalia,
@Apeacfulguy5 жыл бұрын
Wakukamate vipi na wewe kibaraka cha ccm na wanakulinda wao wao halafu unawadanganyi watu muda wako ushakwisha na watu wakubali matukiyu mana hayo mapinduzi miyataka wenyenu mwaka 64
@husseinkonz51925 жыл бұрын
Mmeipora cuf Mali tele kwa nn isitumie dola achen ujanja huo
@mohamedothman97695 жыл бұрын
Si wangeenda mahakamani km kweli, acha ujinga wa kijiweni ww hautakusaidia