Рет қаралды 422
Baadhi ya wazazi nchini #Kenya hawajawaona watoto wao tangu yafanyike maandamano ya hivi karibuni ya kuipinga serikali. Wana wasiwasi kwamba vijana wao huenda wametekwa kutokana na ushiriki wao katika maandamano hayo. Mama mmoja ambaye amezunguka vituo vya polisi, hospitali na vyumba vya kuhifadhi maiti bila mafanikio amesimulia kwa uchungu hofu aliyonayo, zaidi tizama vidio hii. #kenya #kurunzi