Pole sana ndugu zangu wa Congomani 🇨🇩 .Uho ni uzaifu wa serikali.
@lucksonsikaona5057 сағат бұрын
Waislamu tunajuwa nyie kazi yenu ni kulialia kupigana na lsraeli naawa na kupigana na mungu
@MarckMasaki7 сағат бұрын
Ila. Izrael ilipigwa hamtangaziau mnawaogopa hao mashoga
@ssenlubi11637 сағат бұрын
Magharibi ndo walivo vitu vyao huwa wanavikuza sana..... story zao mara nyingi hua hazina uwiano. t
@isayamwambene65229 сағат бұрын
Hapana. Si vizuri kuua kiumbe hai maana Mwenyezi Mungu alifanya kazi kubwa sana kuumba. Ivo nikutafuta namna ya kuwafukuza Mbu katika eneo lisilo takiwa.
@hamidamussa-sy4fm12 сағат бұрын
Usalam wa inchi yako unalindwa naweye mwenyewe sio usalama wako uhakikishwe na marekani thubutu
@JumaParmayoКүн бұрын
Lakini mtu aliye anza shida hii ni Raila
@GibishiMadahaКүн бұрын
Poleni Sana wapendwa MUNGU awatie nguvu
@JosephEkidorКүн бұрын
Wivu ndio mbaya
@JosephEkidorКүн бұрын
Good news 😂😂
@TumainiMunaleКүн бұрын
👍👍👍👍
@LameckOtuomameshackКүн бұрын
KENYA ni nchi chafu sana kweli makamu wa Rais anasema serikali ni kampuni kweli anayo akili sawasawa . Huyo makamu afukuzwe
@SUZANASUZANA-ku3jkКүн бұрын
Asante
@NardhisMhagama-sy3eqКүн бұрын
Mbona viongozi wa kiafrika ni kama wakolini tena wanaiba Hela wanaenda kuweka ulaya Wana watesa wa afrika wenzako nchi Toka zipate uhuru maji tu shida waki ingia madarakani hawataki kutoka wabadili katiba wanajiongezea muda kuongiza yaaani ni maajabu tu
@rosemarykipesha4242Күн бұрын
Dr. Vipi kama umetoka kufanya tendo la ndoa je nisahihi kusafisha uke ndani au usafishaje baada
@ShijaJafari-o8sКүн бұрын
Rest in paradise for guys
@MtotoKanyaКүн бұрын
Nini.kîatotekea.ivita.muhandixi
@Awezae-w8oКүн бұрын
Bwana ally Mali mungu akulinde kaka umeongea Kweli nakuweka mambo yote wazi Africa viongozi wengi Ni vibaraka Na wengi Ni manafki nakujiangalia wao nafamilia zao nandio maana umaskin ningumu kututoka maana myoyo ya viongozi wetu bado nimbaya
@NashriAbdalahКүн бұрын
Dw mnasikika vizur
@ZakariaYahya-c3n2 күн бұрын
Kumbe Israil ana wivu kwakua Iran iko na mafuta napige majeshi isipige mafuta
@IsmailBagayabakwe-bb1plКүн бұрын
Wewe jeshi ya israeli inanguvu kubwa sana kuliko iran sana zaidi israeli alisha pigana vita mengi sana zaidi
@kevicristian2738Күн бұрын
Kunywa maji ukalale😂😂😂@@IsmailBagayabakwe-bb1pl
@ismailmshana28282 күн бұрын
Endapo Israel itajibu mashambulizi Iran Iran isijaribu itashidwa vibaya
😭🇨🇩Najisikia maumivu makali sana mimi kama mkongo hasa nikitazama ambacho kinaendelea katika inch yangu, Sina la kufanya namwachia Mungu aliye juu mbinguni tangu Ukoloni mpaka sasa ni miaka 30 wakongomani tunaishi maisha ya shida vita watu wanaendelea kufa kila siku Mungu ni wewe ndiye uliye tukabidhi inch hii tajiri lakini kwa ajili ya mataifa mengine yameuza mali zetu zimekuwa laana kwetu sisi wakongo .
@ChrisJohn-w5z2 күн бұрын
Mungu Awe Mfariji Wenu,Baba Zetu Waliamuwa Kukimbia Nakuwa Wakimbizi Kwenye Inchi Jirani Kuhu Tanzania,Tumezaliwa Ukimbizini Kwa Ukosefu Wa Amani Inchini Kwetu Eeh Mungu Kongo Yetu Hilikulaga Vya Nani?? 😭😭😭🇨🇩🇨🇩🇨🇩Ndgu Zetu Wataendelea Kuisha Tu Nimeumizwa Sana Kweli Kuna Muda Tunatamanigi Kuona Inchi Yetu Lkn Kwenda Kongo Nikama Unaenda Kutafuta Kifo Chako Mungu Okoa Kongo Yetu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩😭😭
@Rehemaponera2 күн бұрын
Pole sana ndugu. Inauma sana. Baki tu hapahapa Tanzania 🇹🇿. Sisi kama watanzania tunawapenda jirani zetu , Mungu asimame katika yote
@elizabethmwamdanga73772 күн бұрын
so sad
@AllyMwinyi-rx8gr2 күн бұрын
Poleni sana yaarabb wape subra wafiwa na uwaponye wale walio nusurika yaallah
@OnesmoEphrata2 күн бұрын
Poleni sana wakongo KWANINI wa Africa ni wakufa kufa tuu jamani ajali Zina tumaliza eet EEH MUNGU TUSAIDIE 🌹🌹🌹🙏🙏🙏 MAXXAWE wa TANZANIA
@birangwaphilip17362 күн бұрын
Philip kutoka marekani poleni sana dungu uko goma.
@Jitenge982 күн бұрын
MAKIWA ,
@jumaseif42632 күн бұрын
Dunian muuwaji mkuu ni marekan ambae hana huruma anajali maslah yake tu kuna wasom lakin ni wasomi wa kumwaga dam ni vigeugeu wanaocheza na akili za watu mungu awalaan watu hawa
@NnalaNsangalufuMwangati2 күн бұрын
Poleni sana ndugu zetu 😭😭🙆
@basilisamsaka84692 күн бұрын
Mnapenda vita ss wtu wamekufa kwa maji mnali
@AllyMwinyi-rx8gr2 күн бұрын
Wape pole ww ndio nn sasa nyoko
@NajmaAmir-j9x2 күн бұрын
Huna unachokijua funga mdomo unajua vita vya Cong vimesababishwa na nn
@basilisamsaka84692 күн бұрын
@@NajmaAmir-j9x bits ni vita tu hata kama angedababisha babu yk
@AhmedHassan-vl5zf2 күн бұрын
SASA wewe umeenda ulaya kuna mambo mangapi ya kuwafundisha watanzania wewe hembu toka
@Awezae-w8o2 күн бұрын
Nyie wa Congo kwanini chochote Kile mnashindwa hata miondo mbinu ya Bara Bara mnashindwa kwani hakili Amna ao Ni roho zenu mbaya Kila mtu serikalini anajiangalia mwenyewe Na familia yake basi gaweni inchi
@GodfreyMagembe-yw9or2 күн бұрын
Polen Bhatu ba Congo
@SazafKiba3 күн бұрын
Polen sana ndugu zetu congo mm sazaf kutoka Zanzibar