Mabruki by Maquis Original

  Рет қаралды 99,855

Dekula2 Band [official]

Dekula2 Band [official]

Күн бұрын

Пікірлер: 41
@hamisidale2704
@hamisidale2704 3 жыл бұрын
Mziki mzuri suruali zimekaza viunoni,Dunia ya kizazi ilichojitambua Mungu awarehem wengi wao hatunao tena duniani,wametuachia hazina kubwa ya muziki wenye mashairi safi,Hamisi Dale USA
@mwaitamlanga1485
@mwaitamlanga1485 7 жыл бұрын
Hii nyimbo mtunzi ni ilunga banza mchafu nikama alimtunga baba yangu tulikua tukiishi nyumba moja mtaa wa mikumi.. Jina alilotumia la arafa ni la mama yangu wa kambo alikua anaishi na baba na hiyo watoto wanne tulikua wanne sisi watoto mimi na wenzangu wawili baba yetu alikua huyo aliyemfumbia kwa Jina la maburuki alafu mama yetu wa kambo alikuja na mtoto mengine ambaye akuzaa na baba yetu na pale nyumbani tulikua kweli tumepanga
@mapimwankemwa6778
@mapimwankemwa6778 6 жыл бұрын
sasa unambishia Vumbi yaan we bana
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 5 жыл бұрын
Hatar sana polen sana
@SaidMohamed-j2v
@SaidMohamed-j2v Жыл бұрын
Duh aisee. mziki unaweza kukupeleka kumbukumbu za mbali sana
@mpunga40
@mpunga40 Жыл бұрын
Wow, nami najiona kama Mabruki wa Dar. Mwaita hope umetokezea
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 10 жыл бұрын
maburuki miaka 10 ya kazi hata msingi huna hatari kwa family, hili kweli selebuka chekecha rumba limetulia
@patricksagai7093
@patricksagai7093 Жыл бұрын
Tumba ilipigwa na Siddy Mori🪘🪘
@MrSinafungu
@MrSinafungu 14 жыл бұрын
wimbo mzuri , ujumbe bado una nguvu ktk dunia yetu ya leo, ingawa wimbo una miaka mingi, ahsante kwa kazi nzuri bro, huu ni urithi wetu acha hizi nyimbo za nailon za bongoflavam unatungwa leo kesho umeyayuka
@msponab
@msponab 2 жыл бұрын
That song touches my soul heart so much. I am Nigerian an African Daughter. Could you please tell the Song Mabruki is saying🙏
@msponab
@msponab 2 жыл бұрын
@datch mkally That song touches my soul heart so much. I am Nigerian an African Daughter. Could you please tell me what the Song Mabruki is saying🙏
@isayamazani22
@isayamazani22 3 жыл бұрын
Nakumbuka mwaka 1987 mwezi June siku nimefika nyumbani likizo ya muhura wa kwanza F1 Kantalamba nilipokelewa vizuri sana na baba nazi r.i.p
@christophermpanji2961
@christophermpanji2961 2 жыл бұрын
Dah hiyo likizo ya f1,,,umenikumbusha nami likizo ya f1 kigonsera sec 1993,, baba alinihusia sana,,,RIP mzee mwl mpanji
@bcamerounne
@bcamerounne 12 жыл бұрын
I can hear the voice of Kasongo Mpinda Clyton, big up Dekula
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 9 жыл бұрын
Da poleni sana, pole na mimi pia sababu mi mpenzi mkubwa wa Tumba,dada Grece, Dekula2 kahanga na wana maquis du zaire. lakini kazi kweli ni nzuri imefanyika.
@pambasr2345
@pambasr2345 10 жыл бұрын
Though by that time nilikuwa sihudhurii kumbi za dansi kwa kigezo cha umri ,bado hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana mkuu,nakumbuka baba yangu mdogo(now retiree army man) na Shangazi Zahra(R.I.P) alikuwa akija kutoka zenji kufata hizi mambo almost kila mwisho wa mwezi
@ibrahimmwasambili9799
@ibrahimmwasambili9799 5 жыл бұрын
Safi sana Hawa jamaa walikuwa ni shida ya mjini jama i
@THEGSMGSM
@THEGSMGSM 10 жыл бұрын
Nazikia hizo Tumba zilipigwa na mjomba wangu marehemu Siddy Moris.
@victormkongewa235
@victormkongewa235 10 жыл бұрын
ooo pole sana kumpoteza mjomba wako hua mimi nachanganyikiwa na hizo tuma
@PatricksagaiSagai
@PatricksagaiSagai 8 жыл бұрын
nikweli Morris six ndo aligonga hizo thumba
@PatricksagaiSagai
@PatricksagaiSagai 8 жыл бұрын
Namkumbuka sana mjomba wako Morris sid kwenye rumba alikuwa vzr
@patricksagai7093
@patricksagai7093 3 жыл бұрын
Nikweli siddy Morris alikuwa fundi kweli na hapa naitikia mikito ya Tumba
@mbujifrancis5860
@mbujifrancis5860 6 жыл бұрын
Sidi Moris R.I.P ni habari ingine ati
@kudramasoud2694
@kudramasoud2694 7 жыл бұрын
Kwenye saxophone namuona king maluuu
@bensonmero8919
@bensonmero8919 Жыл бұрын
Nyimbo nzr sana
@senatormwinyi9065
@senatormwinyi9065 8 жыл бұрын
@Grace nakumbuka marehemu Mjomba wako Sid Moris Marquis walimtoa Msondo kisha ilipokuja kuanzishwa bendi ya The Mk Group akaamia huko Ngoma za maghorofani
@patricksagai7093
@patricksagai7093 3 жыл бұрын
Thumba ilipigwa na sid mpaka raha
@johnmundo816
@johnmundo816 11 жыл бұрын
Enzi hizo kule kwetu kusini mwa Pwani ya Kenya radio zote stesheni ilikuwa RTD na Idhaa ya Biashara tu.Miziki ni kama hii kwenye vipindi kama vile -wakati wa kazi,mchana mwema,jioni njema,mziki ni upendao,club raha leo,kipindi cha majani chai cha idhaa ya biashara,.......Watangazaji mahiri kama vile uncle J Nyaisanga,Khalid Ponera,Samadu Hassan,Sarah Dumba .......bado wapo kweli?
@bernhardtpaulmlisumwandu6673
@bernhardtpaulmlisumwandu6673 7 жыл бұрын
john mundo kumbe Samadu Hassani ni mkongwe?
@gilbertmasaki795
@gilbertmasaki795 7 жыл бұрын
Hata Mimi nilikuwa napenda vipindi hivyo via RTD
@gilbertmasaki795
@gilbertmasaki795 6 жыл бұрын
Nilikuwa napenda hivyo vipindi vikiletwa na hao watangazachi
@jeniferruta3675
@jeniferruta3675 6 жыл бұрын
john mundo - Uncle J alishatangulia mbele ya haki
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 10 жыл бұрын
Grace huyu mjomba wako bado yupo hai? kama yupo mpe hongera kwa kazi nzuri,
@twahamtumbi7823
@twahamtumbi7823 3 жыл бұрын
@@Dekula2 kwa kweli kaka Dekula kazi mlifanya yani mnastahiri pongezi zote bila kupepesa Macho. Dekula mola akupe maisha marefu..
@patricksagai7093
@patricksagai7093 3 жыл бұрын
Alisha tangulia mbele ya haki
@patricksagai7093
@patricksagai7093 3 жыл бұрын
Alisha tangulia mbele ya haki
@gilbertmasaki2965
@gilbertmasaki2965 6 жыл бұрын
Asante kwa hizi Nyimbo za mawaida.
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 5 жыл бұрын
Nilikuwa nasemaga Jina la Arafa halijawahi tumika kwanyimbo 😂😂😂😂
@michaellimu2332
@michaellimu2332 5 жыл бұрын
Mafunzo tosha.
@yusuphmligiliche8353
@yusuphmligiliche8353 5 жыл бұрын
Hivi nani anamiliki masters za hawa waheshimiwa?Nani ana mamlaka ya publishing?
@patricksagai7093
@patricksagai7093 Жыл бұрын
🎉
Ni Wewe Pekee by Nguza Viking & Orch.Maquis(on Guitar Maestro Dekula)
11:12
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 163 М.
Maquis du zaire Kiongo in dar
10:35
Pablomachine07
Рет қаралды 130 М.
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Los Wagners
Рет қаралды 52 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 131 МЛН
Maquis Original/du Zaire - Clara
7:04
Tizedboy Zilipendwa Channel
Рет қаралды 253 М.
Orchestra Maquis Original - Niweve Pekee
7:00
dinkotom
Рет қаралды 374 М.
Double Double by Nguza Viking & Orchestra Maquis
7:17
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 56 М.
DDC Mlimani Park - Edita
5:25
Tizedboy Zilipendwa Channel
Рет қаралды 405 М.
Promotion by Tshimanga Assosa & Orch.Maquis Original(Ogelea Piga Mbizi)
5:41
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 57 М.
Shemeji/Orchestra Maquis Original OMACO Ltd
5:28
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 53 М.
Maquis Original - Kiongo
7:51
Power Nguzo
Рет қаралды 159 М.
Ngalula
6:30
Tshimanga Kalala Assosa - Topic
Рет қаралды 24 М.
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Los Wagners
Рет қаралды 52 МЛН