Kwenye upande wa maswala ya politics wasafi walimuotea huyu charles william yuko smart sana
@chiefkaitaba.m.94664 жыл бұрын
Haswaaa
@lucasmasaga76874 жыл бұрын
Yeah huyu dogo yuko vzr sana anajua namna ya kuuliza/kuhoji vitu
@elshaarawymuhabesh3164 жыл бұрын
Nyegezi kwetu mwanza nyegezi... Ifungulieni nyimbk ya nyegezi. Wangapi tunajivunia mkoa wa mwanza...
@nahyialetomia92844 жыл бұрын
Nyegezi wimbo wa nguvu
@EliyacostantinoPius4 жыл бұрын
ninao kwenye simu
@elshaarawymuhabesh3164 жыл бұрын
Charles uko vzr broo
@peterwilson28524 жыл бұрын
Kaka mabura ukweli wa mungu nyamagana uiwezi sepa tuu
@leylenard87004 жыл бұрын
mwambie mabula aaache dharau 2020 peoples power
@jonasmaregesi14564 жыл бұрын
Hapana mabura hapana mabura sisi vijana tumekupiginaa Sana ulipo ingia bungee ukatusahauu Sana green grand nyamagana
@abuusaady82614 жыл бұрын
Umesemaa kwelii kabisaa kuna na mtu mwengine alinambia hiliii
@dichodaplaiza4 жыл бұрын
Nakubal sana hiii kipindi
@EliyacostantinoPius4 жыл бұрын
charles dah ndugu yang sio kwa ukabila ila wewe ni mtangazaji na nusu
@ibrahimjaphet55374 жыл бұрын
Mh mabula stanslaus mnatakiwa kutengeneza barabara ya sosoka kwenda kishiri mbn unakuwa unazingua kiivyooo
@donomar68764 жыл бұрын
Number 2
@Tizah-2554 жыл бұрын
Kwa maendeleo gani aliyofanya huyo mabula aache ujinga hajafanya kitu zaidi ya kula bata tu, wananchi wako uliowahaidi barabara ya kishiri mpk Buhongwa wanakusubiri 2020 wakunyooshe 😎😎😎
@chriss_Cm4 жыл бұрын
Vzr kabisaa
@nyungumjeshi2074 жыл бұрын
Jamani
@wilusmalisa1954 жыл бұрын
Nice
@byansmwaipopo69774 жыл бұрын
Number one today....
@nyungumjeshi2074 жыл бұрын
Wasukuma juu
@peterbujuchinyo57254 жыл бұрын
Nakubalii
@barakafidelisfidelis74514 жыл бұрын
Wapi
@joelstanslaus81064 жыл бұрын
Kumhoji mwanasiasa lazima akudanganye tu😎😎😎
@omarymaterego66634 жыл бұрын
Jaman nataka ku subscribe tena kwenye hii channel
@leoncearistides34484 жыл бұрын
Vp jmn mbna Leo hamjaruka hewan
@elshaarawymuhabesh3164 жыл бұрын
Nyegezi
@anethbuhung75444 жыл бұрын
ASANTE KWA KUSHIRIKI NA KUTENGENEZA WASIFU WAKO,,,,SAHAU KURUDI BUNGENI
@fardsonjaphet91054 жыл бұрын
Ok
@mussajoshua50064 жыл бұрын
Msumari wa Moto
@evaristmkama85734 жыл бұрын
Jimbo la Nyamagana hakuna Mbunge ambae amewai kushinda vipindi viwili mfululizo
@phielyrn42524 жыл бұрын
Ndoto yang ni kua kama wasafi media ..ngependa support kutoka kwenu watanzania
@abduljvo55494 жыл бұрын
Utafanikiwa pambana tu
@edwingwesso68184 жыл бұрын
Huyu mzee alinishangaza mm namna alivyo shinda maana alikua akiita mkutano watu wanaenda wachache ila cha jushangaza mwenzake wenje ndo alikuaga naashabik wengi ila akawa na zarau ya kuto kufuka mda mwafaka huenda ndo kilimponza mpaka akashindwa kufauru
@adamgobeka56644 жыл бұрын
Duuuh
@luismamba10314 жыл бұрын
kura za maoni tu zenyewe aliiba sasa asubili october moto umuwakie
@runyotafrancis37724 жыл бұрын
Mnajua kukwepa kwa witch doctors wakati ndiyo wenyewe, utaaribiwa we wabeze, halafu mnajifichia kwenye ukristo!!
@graphixmaster61464 жыл бұрын
Kampeni zimeanza?
@ezapesambili21304 жыл бұрын
Nimekuja huku kwa sabab ya mond
@francisg20334 жыл бұрын
Rusheni kipindi hiki kwenye Tv
@EliyacostantinoPius4 жыл бұрын
dah unamawazo kama yangu
@Commentsplus4 жыл бұрын
Dakika ya 1:10 watu wanapeana mikono wakati wa korona
@EliyacostantinoPius4 жыл бұрын
kipind kimerokdiwa lin ndio issue, kwasababu hakiko live
@victorpeter79904 жыл бұрын
Kakao bandi
@usanifumaandishi75194 жыл бұрын
😂😂
@tiznetInfinityStudio4 жыл бұрын
Wa pili kukoment like zangu jaman
@mariamkirari13104 жыл бұрын
Ndugu igoma shida soko shida.pili zahanat yaigoma tunapata shida sana huduma mbov manes wanahudumia kwanyodo.
@mariamkirari13104 жыл бұрын
Ww hautembelei Jimbo lako.mbona anjelina mabula yuko shap kwenye Jimbo lake.
@jumahasan33354 жыл бұрын
Atuna korona tumesha ishinda mikono mwanzo mwisho
@hamismwangi46424 жыл бұрын
Mahojiano yalifanyika kabla ya corona ndugu
@saiditembo64844 жыл бұрын
Mabula kafanya makubwa yamanga tena sn kushida wabunge wote waliowai kupita nyamangana
@EliyacostantinoPius4 жыл бұрын
hiki kipind tunakitaka kiwe lve tv
@timotheohongera90424 жыл бұрын
Hovyo kabisa wewe. Barabara za nyamagana especially bohongwa kishiri to igoma iko hovyo kabisa unaweza kutamani king msukuma aje akusaidie
@rizikimsingili3304 жыл бұрын
Nyie mbona unafanya utani hiyo mikono unayo peana du