MADA IBADA SAHIHI YA MANABII ILIYO ONYESHWA KATIKA LOLWE TV

  Рет қаралды 30,364

YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp

YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp

Күн бұрын

Пікірлер: 102
@jashisham6280
@jashisham6280 6 жыл бұрын
Masha Allah tuna faidika sana na mawaidha nyenu na TV Lolwe Jazakallahu Kheri
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Amin,thanks
@jamalathman6219
@jamalathman6219 4 жыл бұрын
Shukran masheikh wetu kwa kweli munfanya kazi mzuri sana ya da'waa,Allah awajalie pepo inshallah,wakiristo bado hawajaweka mada sahihi yao ya ibada kila moja wao yuanongea tofauti kabisa
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 4 жыл бұрын
Amin sote
@siwajibufarida3428
@siwajibufarida3428 6 жыл бұрын
Ma shaa Allah mada nzuri Sana , Allah awape kher duniani na akhera masheki wetu
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Amin sote
@husnaodhiambo6848
@husnaodhiambo6848 4 жыл бұрын
Mashallah Allahu Akhbar aki huyo pastor wa kwanzaa ni msiba kama hivi ndio anafundisha kanisa msiba. Mashee wangu Mashallah
@mariamum350
@mariamum350 6 жыл бұрын
. mashallah jazaka Allah kheir kwa kazi njema
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Amin
@rehemaahamadiahmadi566
@rehemaahamadiahmadi566 6 жыл бұрын
Alihamdulilah Rahma Ahmad mwagilo kuzaliwa nikiwa muislamu na naomba pia mwisho wangu unikute nikiwa muislamu. Mungu wape umri mrefu na afya njema waendelee kutufundisha lnshaAllah
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Amin sote
@linetkikin4023
@linetkikin4023 6 жыл бұрын
Mada nzuri Sana Yusuf mwambie garison shatain alikua mwimbaji hatari na pia kwa wale wanaofata ibada za shetain wanawimbo zao wanaimba
@raelmonda1878
@raelmonda1878 6 жыл бұрын
Mashalah Mashalah Mashalah, imeeleweka kutoka kwa upande wa uislam.Allah awajaze nguvu muendelee kutufundisha.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Amin sote
@faridabakari8511
@faridabakari8511 5 жыл бұрын
MASHALLAH ALLAH ajalie tuwe waislam sote Ameen inshallah kazi nnzuri masheikh
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 5 жыл бұрын
Amin sote.Shukran
@mohamilah
@mohamilah 6 жыл бұрын
Jezaka'Allahu kheiran
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Amin ,Antakadharika
@nchemuwilfredwilfred9572
@nchemuwilfredwilfred9572 5 жыл бұрын
Mchungaji Dui nimekupemda sana baada ya kuzikiza challenge yako kwa Gerrison. Mungu akubariki sana na wahushika wote katika huu mjadhala.
@zongosabena4647
@zongosabena4647 6 жыл бұрын
Guérison sio muda mrefu ata kua muislam insha Allah
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Inshaa-Allah
@mawazotundosa6939
@mawazotundosa6939 5 жыл бұрын
Tusizifanye dini kama timu za mpri wa miguu huyu anashabikia huku huyu huko badala yake kila mtu aamini anachoamini maana mungu wetu hana ubaguzi ila wajawake ndo tunatofautiana ukweli ni ule uombapo mungu na kupata hitaji lako si dhehebu wala msikiti
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 5 жыл бұрын
Hayo maoni yako sio bibilia wala quraan
@mohamwamadimwamadi4344
@mohamwamadimwamadi4344 4 жыл бұрын
@@mawazotundosa6939 wewe umepotea
@mohamwamadimwamadi4344
@mohamwamadimwamadi4344 4 жыл бұрын
@@mawazotundosa6939 hapo sio kushabikia bali ni kueleza ukweli wa ibada za manabii.sio kupotoshwa na watu wenye tamaa za maslahi yao badala ya kueleza yaliyofanywa na manabii wa mungu.
@zongosabena4647
@zongosabena4647 6 жыл бұрын
Nikweli guérison ata pendeza kua muislam wallh shekh yhya na yussuf nawa penda sana
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Inshaa-Allah,Asante
@rehemaahamadiahmadi566
@rehemaahamadiahmadi566 6 жыл бұрын
Mungu awalinde sana masheikh wetu na awaongoze zaidi
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Amin sote.Asante
@myoutubecom-gg7sb
@myoutubecom-gg7sb 6 жыл бұрын
MashaAllah Allah awape the highest janah
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Amin
@mohamilah
@mohamilah 6 жыл бұрын
Masha'Allah 👍
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Thanks
@mathiasmandalu935
@mathiasmandalu935 5 жыл бұрын
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp Kwema sheikh nilikuwa naitaji baadhi ya vitabu sijui tqvipataje
@ahlanwasahlan373
@ahlanwasahlan373 4 жыл бұрын
MAA SHA ALLAH
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 5 жыл бұрын
Safi sana mashaAllah.coz ni elimu tosha na aso2mia vema akili yake akienda motoni asimlaumu m2/wa2 coz 2natakiwa 2some na 2elimike na kuyafanuia kazi baada ya kuelimika. Bila ya kuwa na elimu ibada yako itakuwa na mashaka.
@rkenea4262
@rkenea4262 6 жыл бұрын
Mashaa Allah shekhe yahya na ust yusuf
@rachelevarist70
@rachelevarist70 5 жыл бұрын
Mimi nilichogundua kila zama zilikua zinamfumo wake hivyo basi ukirsto umeanzishwa na Paulo wakristo msome jamani
@gobba3437
@gobba3437 6 жыл бұрын
Good job
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Thanks
@ramzanqarim4977
@ramzanqarim4977 4 жыл бұрын
Watu wasome ..kuna Rev. NEEMA angalieni youtube uone vile anahubiri mtaona yesu hawezi kuwa mwana na awe mungu maana yesu katumwa na mungu .kwahivyo kuna mungu na yesu.
@Mamursal5
@Mamursal5 4 жыл бұрын
I like this kind of honest discussions!
@iddyjuma8036
@iddyjuma8036 2 жыл бұрын
Chenga huyooo
@happyarooun6037
@happyarooun6037 6 жыл бұрын
walah wabillah dini ya uislam ipo wazi kujieleza ni ya haki ila hao wote hapo wanalijua hilo ila niushabiki tu na maslah pia
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Alhamudulillah
@malicboy7973
@malicboy7973 5 жыл бұрын
Hehehe.. Sheikh Yusuf hebu mpatie salamu zangu Dr Gerison.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 5 жыл бұрын
Inshaa-Allah
@fahmyabbas9954
@fahmyabbas9954 3 жыл бұрын
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp d
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 5 жыл бұрын
Ibada sahihi ni kufanya/kufuwata ibada walizofundisha mi2me na manabii wa Mungu. Ibada sahihi ni kutenda/kufanya yale aliyoridhia Mungu na kuwacha alokataza Mungu( kufuata na kutenda haji na kuwacha batiri). Kujuwa na kutenda haki na kuwacha batiri (ibada) inabidi uwe/ufuate mfumo wa Mungu/njia ya Mungu (dini ya Mungu). So kama hufuati mfumo/kanuni za Mungu (dini ) haiwezekani kufanya/kutenda ibada sahihi coz dini ni njia/muongozo but Wakristo kiuhalisia hawana dini (hawafuati Muongozo) ktk kuabudu wamejipangia/wamepangiwa mfumo (dini) wa kuabudu kupitia/kutoka kwa Wapagani (Waasisi wa Ukristo na Makanisa) kupitia Paulo ambaye ni adui wa Mungu but kiujanja Paulo kajifanya/wanamfanya m2me.
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 3 жыл бұрын
Sawasawa
@biggestnasritv2601
@biggestnasritv2601 4 жыл бұрын
THE BIGGEST BOSS NASRI
@saidibwato9605
@saidibwato9605 4 жыл бұрын
Abali ya saai mm tatizo naitaji kujua kuusu kitabu cha nyakati ndio nn mm naishi cape town
@jamilaomari1823
@jamilaomari1823 6 жыл бұрын
Titus ni msiba wallahi
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Hahaha,Titus ameisha
@faridabakari8511
@faridabakari8511 5 жыл бұрын
Mashetan wafuwasi wao ni wapendao imbaa kusikiliza NA sio ibada so al ISLAMIC wafunzeni dini yahakh niyetu ona wao wanavyo babaika makafir🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nmecheka END kwa wasia😅😅😅😅🤣🤣😃😃 wawacristo
@husenimareja1907
@husenimareja1907 6 жыл бұрын
Ibada sahihi ni uislam
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Kabisa,ibada ya uisilamu tosha
@ngerezamsagati3348
@ngerezamsagati3348 5 жыл бұрын
Masha Allah
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 5 жыл бұрын
Thanks
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 5 жыл бұрын
Ibada ni matendo mazuri yote anayoridhia Munu na ibada yeyote ili ikubadilike na Mungu shuruti ibada hiyo ifanywe/itendwe kwaajili ya Mungu tu na iwe imekubalika/inaelekeza na Mungu, ibada zipo nyingi but ibada kuu SALA. But Wakristo mnamfanyia ibada(mnaabudia) Yesu na Maria, mnafanya ibada j2 (Sunday)siku ya kuabudu Mungu jua? (Kwanini mnaabudia viumbe?!).
@ibrahimmarwa3502
@ibrahimmarwa3502 6 жыл бұрын
amina mchungaji pamoja na taita pigeni kazi
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Hahaha,sisemi kitu
@jamalathman6219
@jamalathman6219 4 жыл бұрын
Wakiristo bado hawajathibitisha ibda yao sahihi kutoka kwa mandiko wpi bible inasema muimbe mukiwa kwa kanisa.
@shadrackdeche1677
@shadrackdeche1677 6 жыл бұрын
tatizo bwana mwenye kiti unaliika mapasta wenye hawana ufahamu mkubwa wa maandiko aliika watu kama pasta Ndacha ,Chaka
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
😁😁😂Chaka tulimwalika na tukamutengeza vinzuri , Tafuta Mada msalaba katika lolwe tv .utamuona chaka, Ndacha naye tumemuarika mara mingi lakini muoga, hapo kwa tv hakuna ushabiki na bwebwe ni hoja tu, Na ndacha hawezani na hoja
@peterkibaki6702
@peterkibaki6702 5 жыл бұрын
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp à
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 5 жыл бұрын
Wewe Shadrack Deche lipi unalijua walilo lisahau kwenye bibilia ukawasaidie?
@ramzanqarim4977
@ramzanqarim4977 4 жыл бұрын
Chaka hutegemea mkusanyiko aseme haleluya na bwana asifiwe apate kelele za watu ..mahali pa tv hawezi maana nguvu yake ni watu ama vile nguvu ya maji ni mawe.
@mariamothman7404
@mariamothman7404 4 жыл бұрын
tatizo la wakristo ni watu wa porojo tu ibada yenu ni ipi saa moja na dkk 13 sijaona ibada yenu inakuaje
@Chychy.w
@Chychy.w 3 жыл бұрын
Asalam aleikum...mm nko na ombi mmoja kuwa hii ni online tv kwanini musifanye live ili watu waweze kuliza maswali na madukuduku yao kwa walimu
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 3 жыл бұрын
Waleikum Salam warahmatullahi wabarakatu, hiyo program ilisimama
@shabaninzaka450
@shabaninzaka450 5 жыл бұрын
Pasta kifua kimekuja ju hahahhhahah😂😂
@ibrahimmarwa3502
@ibrahimmarwa3502 6 жыл бұрын
hapo huwez sema kitu yusuph kwani nilikwambia mumesaya ni mwenda WA zimu ukadhani mm sijui najua vizuri yaan huyo mchungaji mwambie Tanzania tunampa hai sana huka kanisani SDA church yuko poa anaroho mtakatitu tunamuombea azidi kutangaza inji ya bwana yesu kristo amina amina .
@mohamwamadimwamadi4344
@mohamwamadimwamadi4344 4 жыл бұрын
Gerrison ni mkiristo tu.it is just a matter of language,because Mesiah ,masihi,christ, and christo ,they all mean one thing.Therefore,it is a matter of language.He is contradicting himself.
@alsaarh239
@alsaarh239 6 жыл бұрын
Jamani huyu pastor alisimu au bado bz hana ishu sioni anacho gombania asilmu 2
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Kabisa hana lake jambo
@kalulemusajr2201
@kalulemusajr2201 6 жыл бұрын
Wachungaji wanatapatapa tu, Lakimi Imaani yao haina chimbuko.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Kabisa
@deluxermahyono5290
@deluxermahyono5290 5 жыл бұрын
Mola awape afya njema nyoote hapo studio nami pia.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 5 жыл бұрын
Amin sote
@deluxermahyono5290
@deluxermahyono5290 5 жыл бұрын
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp nawapata sana ndg zangu huku Songea kusini mwa Tanzania.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 5 жыл бұрын
@@deluxermahyono5290 mashaa-Allah
@janekwahada580
@janekwahada580 5 жыл бұрын
Mbona musienda kwa Mwalimu Ndachi, onyango na chaka na wale wanajuwa vitabu zote mbili, munaenda kwa wali hawajuwe hiso mazwali yanu ndiyo muonekane but to Jesus you lie yeye mwenye ndiyo mwanye vita hata mukichukuwa 2 people tatarudisha 10 so you doing nothing because he says wale MUNGU alinipe hawata poteya hata moja so you are lie. Nyinyi ndiyo munatafuta lakini sisi wakirisoto tuna juwa yale yako katika maandiko.
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 5 жыл бұрын
Chaka alialikwa tafuta mada msalaba katika lolwe TV mwalimu wako Chaka alitolewa mapovu 😃😃😃
@lagosmutemi9691
@lagosmutemi9691 5 жыл бұрын
waislam hatubagui ,Ndacha ameshafanya mihadhara nyingi na kuna wanao jua maandiko ata kuliko Ndacha wako na Onyango.wako huru kuja hawajakatwazwa
@ramzanqarim4977
@ramzanqarim4977 4 жыл бұрын
Chaka hawezani hutengemea watu kama nyie aseme bwana asifiwe mumpe nguvu ya kusema ameen apate nguvu ..lakin kwa mdahalo wa waalimu tu hawezani akialikwa yuahepa
@ramadhanjuma610
@ramadhanjuma610 3 жыл бұрын
Auna jipya ww sikiliza elimu apo
@iddyjuma8036
@iddyjuma8036 2 жыл бұрын
Na ndacha msimuache
@iddyjuma8036
@iddyjuma8036 2 жыл бұрын
uyo anaengea k brania msilimishen
@iddyjuma8036
@iddyjuma8036 2 жыл бұрын
Hana lolote chenga tyu
@ibrahimmarwa3502
@ibrahimmarwa3502 6 жыл бұрын
niukweli mumesaya amepatikana muongo huyo mumesaya ushetani wake apeleke huko alijo utoa ashindwe kwa jina la yesu .
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Hahaha
@ibrahimmarwa3502
@ibrahimmarwa3502 6 жыл бұрын
mungu akubaliki mchungaji kwa kunena vema na kufundisha vema .huyo mumesaya ni bule kabisa haongera mchungaji .huyo mumesaya nikama kachanganyikiwa anatapatapa hajui kabisa mchungaji pigs kazi mungu atakushika mkono na atakulinda amuna
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Hahaha,
@hashimmhashim2663
@hashimmhashim2663 6 жыл бұрын
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp jazaka llah kheiran
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
@@hashimmhashim2663 Amin
@asmaabdallah4055
@asmaabdallah4055 6 жыл бұрын
Nawahurumia mungu wao hawezi kuwasamehe mpaka auwe watu jamani mungu gani huyo hana huruma ya kusamehe waja wake mpaka auwe mtu msiba kwa wakristo
@asmaabdallah4055
@asmaabdallah4055 6 жыл бұрын
Yusuf kiboko wa makafiri wao kasi yao kuimba kujifurahishatu hata kina damond wanaimba kuna tafauti gani nyinyi nawaimbaji wengibne upuzitu munafanya makanisani wanawake wa nava vibaya huko makanisani hiyo ibada gani
@ramadhanmohamed4197
@ramadhanmohamed4197 2 жыл бұрын
Masha Allah
WAKRISTO WACHANGAA KUSIKIA PAULO SIO MTUME WA MUNGU
2:13:04
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 25 М.
MJADALA KUHUSU PAULO ULIONYESHWA  LOLWE TV,KUTANA NA ASKOFU GERISON NA BISHOP GICHUHI
1:34:19
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 44 М.
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
В Швеции ищут, кто разорвал подводный кабель
1:01
Euronews по-русски
Рет қаралды 49 М.
BIG DEBATE MUHURU BAY COUNTY YA MIGORI DAY 1
1:40:53
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 15 М.
MASWALI NA MAJIBU KATIKA MUHADHARA ISIOLO NA USTADH YUSUF NA USTADH SAID NA USTADH JUMA
1:13:33
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 34 М.
FEEDBACK YA MATIBABU YA USTADH YUSUF WAMBUGU
22:22
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 6 М.
WAKRISTO WA MJI WA NYANDIWA WAKATAA BIBILIA WAKISEMA SIO ILE WSNASOMA KANISANI
1:07:56
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 26 М.
MAPASTA 7 WASHINDWA KUTETEA UKRISTO
1:00:07
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 644 М.
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН