BIG DEBATE MUHURU BAY COUNTY YA MIGORI DAY 1

  Рет қаралды 15,928

YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp

YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp

Күн бұрын

Пікірлер: 119
@bukobamoviestv5960
@bukobamoviestv5960 6 жыл бұрын
Ndasha piga kazi upo vizuri kuitangaza injili iliyo gharimu maisha ya mtume wa mungu
@masungwasalumu1278
@masungwasalumu1278 4 жыл бұрын
Hakika Mch Ndacha Mungu yupo nawe Mungu akubariki sana shindano Kali kwa waislam
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 4 жыл бұрын
😁😁😁👊Ashidwe katika jina langu
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 4 жыл бұрын
😁😁😁😁👊 Ashidwe katika jina langu
@ashajuma8686
@ashajuma8686 5 жыл бұрын
Allah waongoze maustadh wetu uwape maisha marefu..
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 5 жыл бұрын
Amin sote
@hamzarajab4648
@hamzarajab4648 6 жыл бұрын
shukrani zangu zoote ziwafikie mashekhe wetu kwa kazi nzuri ya kunusuru dini ya mwenyezi mungu subhanahuwataala, kwa kuwa nilitamani Sana kwa pastor huyu kukutana na wasomi waliobobea katika massala ya dini, amekuwa akiwachanganya wasomi wa daraja LA chini kule Kisumu na Eldoret, nimekuwa niki mwangaliasana, asante sheikh wambugu.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Asante brother,karibu sana
@thechallangeboystheawadh5195
@thechallangeboystheawadh5195 6 жыл бұрын
Mashaلله Ustadh Yusuf na Daawa team. Inshallah Allah awape kheri nyingi. This is Islam
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Amin sote
@myoutubecom-gg7sb
@myoutubecom-gg7sb 6 жыл бұрын
mashaAllah good lecture may Allah guide us all to the right path
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Amin
@minaminaa1669
@minaminaa1669 6 жыл бұрын
Aamiin Rabul Aalamin
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 6 жыл бұрын
Mashallah Asanteni Sana masheikh yani Mada mumeichambua mukaichimba Kweli Kweli
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Alhamudulillah
@thxzbst49cnh80
@thxzbst49cnh80 6 жыл бұрын
Amen & Amen
@zainabwamboi3230
@zainabwamboi3230 6 жыл бұрын
Nemokile leu tumake Jazakallah kheir ya sheikh
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Hahaha,Antikadharik
@barakabmasalu5642
@barakabmasalu5642 6 жыл бұрын
Hata hii nayo nai download najua italeta wengine tu,Mungu akujalie sana mwalimu @francis dasha waislam tafuteni waKristo wengine mfanye nao mdahalo,kwa wa SDA mtakuwa mnaadhirika tu
@happyarooun6037
@happyarooun6037 6 жыл бұрын
kweli ww huna macho na masikio huna nadhani hata ubongo huna nyie makafir
@barakabmasalu5642
@barakabmasalu5642 6 жыл бұрын
Matusi ya nn? Huko ktk uislam nilishatoka kitambo sababu ya ubabaishaji uliopo.Hakuna muislam anayeielewa dini yake zaidi ya kusikiliza kiongozi kasema nini.
@minaminaa1669
@minaminaa1669 6 жыл бұрын
@@barakabmasalu5642wewe pia nimfuasi wa ndacha 😅😅
@janenjenga5639
@janenjenga5639 5 жыл бұрын
Roho wa bwana atazindi kumtumia atufundishe
@omarshaban9157
@omarshaban9157 6 жыл бұрын
Masha Allah muhadhara umekua mzuri Allah hawape nguvu hi ya kuitetea uisalmu na mwesho mwema
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Amin sote
@mohamilah
@mohamilah 6 жыл бұрын
Jezaka'Allahu kheir 👍
@abdullahibaris7182
@abdullahibaris7182 5 жыл бұрын
Manshaallah hapo hakuna kujificha Amir Yusuf AllAh akupe umri mrefu inshaallah semeni amiin ndiyo asafishe watu walio potea na AllAh aoneshe haki
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 5 жыл бұрын
Amin sote
@isiakamfugale3621
@isiakamfugale3621 5 жыл бұрын
Aaamin
@thomasenockgogomoka6056
@thomasenockgogomoka6056 5 жыл бұрын
Amina
@michaelwainaina4476
@michaelwainaina4476 6 жыл бұрын
Mwalimu Ndacha-wape dosi watakaokubali wabatizwe
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Hahaha,hizo ni ndoto
@anthonyminjire8490
@anthonyminjire8490 5 жыл бұрын
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp si ubatizwe na maji kabla ajapo mwenye mwenye hubatiza na moto(YESU KRISTO)
@abdullahibaris7182
@abdullahibaris7182 5 жыл бұрын
Manshaallah
@farhiaaliabdillahi3276
@farhiaaliabdillahi3276 2 жыл бұрын
Ndasha ana macho makavu
@abdullahibaris7182
@abdullahibaris7182 5 жыл бұрын
AllAhu Akbar
@rosemasoud4028
@rosemasoud4028 3 жыл бұрын
Waislam hamuongozwi na roho mtapata shida kuuelewa ukristo
@gobaonlinetv9690
@gobaonlinetv9690 6 жыл бұрын
takbiir!!!
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Allahu akbar
@Kenyayetu24
@Kenyayetu24 6 жыл бұрын
Allaah awape nguvu sheikh yusuf na wenzako...na ndugu dasha Mola amuongoze katika haqqi kwa hakika Moyo wake upo mbali na ukweli na karibu na ukafiri
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Amin
@BURHANDAWAHMAN
@BURHANDAWAHMAN 6 жыл бұрын
Sh.Yusuf n sh.sasaka Allah awape mazuri
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 5 жыл бұрын
Sheikh Yusuph Ndio huwa unamtia sindano vizuri dasha....!....maana unaimalizaga hii mada ya Msalaba kule kule mwanzo’ ..! Dasha haongei hapo...!....ukimtia kwenye khitilafu zao Ndio unazidi kumchanganya...!..haijulikani Yesu yupi ni yupi aliyesulubiwa...! Kweli QUR’AAN ni kitabu kisichokuwa na shaka...!...WAKRISTO HAWANA HAKIKA KATIKA KIFO CHA YESU..!
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 5 жыл бұрын
Alhamudulillah
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 5 жыл бұрын
Yaani ukisubiri Dasha ampeleke Yesu Golgotha ujue umekwisha ‘ ... Lkn ukimkamata huku mwanzo toka hukumu Kwa pilato mpk pale anaposaidiwa msalaba na simeoni mkerene ‘ baba yao Eskanda na lufo ‘ halafu umuulize ni wapi Yesu aliubeba tena Msalaba ‘ Dasha anarukaruka..! Ukimpeleka tena muda aliyesulubiwa Yesu ni upi hasemi’ ukimpa tofauti za wanawake wangapi walienda kaburini’ ndio unazidi kumchanganya...! Ila kwenye mjadala lazma Dasha ajifunze kuondoa hoja zinazowekwa ‘ maana hakutuambia hizo tofauti zimekuaje’ kusoma maandiko sana si kigezo kama hupangui hoja za mwenzio...! Ni msomaji mzuri wa maandiko Usiku Lkn mchana anashindwa kuelewa KISWAHILI na kuchambua MAANDIKO...!...Yaani Dasha hana tofauti na KASUKU ...!
@allyjabily7957
@allyjabily7957 6 жыл бұрын
Namuomba mungu anijalie kipato nije kuwaona live na mim walimu wangu wa kisilamu Allah awape heri endeleni kupigania dini ya allah.......
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Amin inshaa-Allah,Asante kaka
@rkenea4262
@rkenea4262 6 жыл бұрын
Swadakta ujumbe umefika mashekhe wetu
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Alhamudulillah
@AmiirAlwajidiAsomaal
@AmiirAlwajidiAsomaal 6 жыл бұрын
Nikiona wakristo wananukuu 1:17 Ufunuo na cheka Alpha and omega anakufa.
@godlistenemanuel4538
@godlistenemanuel4538 6 жыл бұрын
Ndiyo maana akafufuka na kupaa mbinguni,sasa unashangaa nini na elimu ndogo,angesema Muhammad maneno hayo ndo ungesema hivyo maana alipokufa hakurudi tena.Unamchezea BWANA YESU wewe?
@petromachanga5538
@petromachanga5538 3 жыл бұрын
@@katrafandhe466 mhamedi amekufa tarehe ngap?
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 6 жыл бұрын
quran 18:22 inazungumzia watu wa pangoni umechemsha babu Mada ni msalaba sio watu wa pangoni. stick kwenye Mada
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Ndacha ameishi kuchanganyikiwa
@johnmnonjela9809
@johnmnonjela9809 6 жыл бұрын
Sehemu akiwapo Francis ndacha hakuna kinachoharibika Kwa maongozi ya roho mtakatifu
@nassrubushoot5750
@nassrubushoot5750 5 жыл бұрын
Kasome huyo jamaa yako hana lolote imagine katika Quran amesoma aya inayozungumzia kisa cha watu wapangoni imean as'habul qahf 18:22 ndo ilikisema watu walikuwa waki tangatanga kuwa wale vjana walikuwa saba na mbwa wao wengine wanasema wanne watano wao mbwa wao ndo Allah akasema yeye ndo anajua hesabu yao # Ndasha akaifananisha na khitafiana ya wale waliosema kina Marko na yohana kila mtu na hesabu yake
@benjaminiheadmani7538
@benjaminiheadmani7538 5 жыл бұрын
Waislamu jifunzeni jamani kwasababu tunaamini katika manabii,hatuwezi kumuamini muhamadi kwasababu nayeye anaamini ktk manabii hao.mohamadi si nabii!
@oopsm3574
@oopsm3574 5 жыл бұрын
@@benjaminiheadmani7538 prove it
@minaminaa1669
@minaminaa1669 6 жыл бұрын
jamani ukrsto kazi mmmh
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 6 жыл бұрын
tatizo shule kufisha haimanishi ni kufa na Kama kufisha ni kufa basi kila siku binadamu wanakufa usiku quran 6:60 Allah anawafisha binadamu wakati wa usiku kisha anazikagua roho zote zile zilizo maliza mda wake zinabaki Alafu zile ambazo hazijamaliza mda hurudishwa duniani. nabii issa alifushwa wakati alikuwa ananyanyuliwa
@jeremiemutshindakahire9732
@jeremiemutshindakahire9732 4 жыл бұрын
Wakristokifuampele
@erastusscharo6645
@erastusscharo6645 6 жыл бұрын
Ndacha wambie ukweli wamjue mungu wa kweli
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Ndacha mwenewe ni masikini waimani kama wewe ETASTUSS, Yote wawili hsmumujui Mungu,.ukisema yesu ni Mungu umepotea sana na hakuna lingine ila ukifa na imani hiyo ni motoni direct
@janenjenga5639
@janenjenga5639 5 жыл бұрын
Heri Yesu kuliko Mohammed bonoko kujituma
@eliamugini8494
@eliamugini8494 5 жыл бұрын
Nimegundua waislamu wana kiburi cha asili na ubishi yaani kila kitu kiko wazi ila kukubali hsmna
@janenjenga5639
@janenjenga5639 5 жыл бұрын
Wanaogopa kifo
@suzanaagustinookelo4953
@suzanaagustinookelo4953 3 жыл бұрын
Na hata Yesu alisema watasikuyaa lakini wasisadiki hata sishangaii
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 6 жыл бұрын
biblia Kama bamia yani unaweza kulichemsha Sawa ,kukaanga Sawa ama ukalichoma pia Sawa biblia zipo aya ukizisoma utaona Kweli yesu amesulubiwa na kuna aya ukisoma zengine yesu hajasulubiwa sasa hizi Imani zengine msiba mtupu
@kalulemusajr2201
@kalulemusajr2201 6 жыл бұрын
Mungu atamfisha, hio ni wakati ujayo. na QUR'AN haisemi ya kwamba nilimuuwa.andiko lilipo ni peupe lakini basi.
@johnmnonjela9809
@johnmnonjela9809 6 жыл бұрын
Acha ujinga wewe kufisha ni kuua yaani Qur'an yako hata huielewa
@fakiswalehe9785
@fakiswalehe9785 6 жыл бұрын
Mwalimu yuphuf umenichekesha kwa furaha tu hapo kwa nyoka ya duplicate wallahy umepeana mfano mzuri ambao ningekuwa mkristo ningesilimu kwa mfano huo
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Mfano uliyo hai ,but wangumu wakuelewa,Allah awaongoze
@AishaAli-lk7gh
@AishaAli-lk7gh 6 жыл бұрын
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp kuelewa ni ngumu hao coz Allah ameshawafanya viziwi ata useme vipi hawakubali
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 6 жыл бұрын
namtafuta Sana Dasha kwenye meza ya maswali yani Hakuna siku hata moja atajitetea kimaandiko ila kazi yake ni kusoma Maelezo na kuzikanyaga aya. msiba Huu Eti kuna noble Quran Hata kusoma kiingereza balaa
@jamilaomari2444
@jamilaomari2444 6 жыл бұрын
Yusufu mwalimu tosha!
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Asante sister
@bidafumbuka855
@bidafumbuka855 6 жыл бұрын
Shehk yusuph acha kubwabwaja unatakiwa utoe andiko linalosema yesu hakufa kwenye Quran na Biblia.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Andiko limetolewe na sasaka (1Timotheo 6:15-16) fwatilia video vinzuri wacha kubwabwaja
@bidafumbuka855
@bidafumbuka855 6 жыл бұрын
Sijaona andiko hapo linalokataa yesu hakufa lifatilie vzuri tu
@barakabmasalu5642
@barakabmasalu5642 6 жыл бұрын
Yusufu hana jipya,kwanza hao hao ndio huwa wanasema Paulo sio mtume halafu kakimbilia andiko huko huko ktk nyaraka za Paulo kudai Yesu hakufa halafu huwa wanasema Paulo si mtume halafu wanadai hakuna andiko Paulo alionana Yesu hivo si mtume leo Yusufu anaenda kwa Paulo huyo huyo wanayemkataa kuwa hawezi kuwa mtume sababu hakuonana na Yesu,hawa kwa kuruka ruka hawa, Au Yusufu unakubali Paulo ni mtume,
@janenjenga5639
@janenjenga5639 5 жыл бұрын
Hawezi kubali kusema ukweli unauma
@hamisikulola8481
@hamisikulola8481 6 жыл бұрын
Dasha wacha uongo quran 3:55 haisemi issa bin Mariam anamiliki roho ya Muhammad
@godlistenemanuel4538
@godlistenemanuel4538 6 жыл бұрын
Basi twambie wewe quran 3:35 inasemaje?
@godlistenemanuel4538
@godlistenemanuel4538 6 жыл бұрын
twambie quran 3:55 inasemaje wewe unayejua
@mhogomchungu7168
@mhogomchungu7168 5 жыл бұрын
@@godlistenemanuel4538 3:55 when Allah said, "O Jesus, indeed I will take you and raise you to Myself and purify you from those who disbelieve and make those who follow you [in submission to Allah alone] superior to those who disbelieve until the Day of Resurrection. Then to Me is your return, and I will judge between you concerning that in which you used to differ. Tumia google easy kutafuta acha uvivu
@adammasunga6382
@adammasunga6382 5 жыл бұрын
Waislimu ni watumwa mpaka lughu mhuu ama kweli walabu wanawazidi hakiri ndiyo maana wawatumikisha
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 5 жыл бұрын
😂😂😁😁Kani kuna mtume mzungu maana munatumia kinzungu,wanzungu dio maana wakawatawala,.lugha ya kiarabu diyo lugha bora NOTE sefania 3:9,zakaria 14:9
@janenjenga5639
@janenjenga5639 5 жыл бұрын
Nao bubu wafanyeje
@adammasunga6382
@adammasunga6382 5 жыл бұрын
watubu na waokoke wamjue YESU NDIYE MWOKOZI WETU
@adammasunga6382
@adammasunga6382 5 жыл бұрын
Yesu hachagui lugha wala rangi yy ni wawote Asomae na afahamu
@oopsm3574
@oopsm3574 5 жыл бұрын
Lugha yako ya kiswahili hujuwi kuiandika jifundishe lugha yako kwanza.
@profs.a5412
@profs.a5412 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 .waislam wanavyo fundisha hata kichaa atajua tu kwamba wanadanganya wameshndwa hoja😂😂😂
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 3 жыл бұрын
Maoni yako hayo
@profs.a5412
@profs.a5412 3 жыл бұрын
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp Na ndio ukweli pia, dini gani mnaabudu jiwe, eti lilitoka peponi 🤣🤣🤣🤣🤣.....nyie Mungu wa kweli kwenu hayupo mtakuwa mnamsikia tu kwenye vitabu vitakatifu, kama zaburi ...aliyo yatenda enzi za akina Daudi enzi za akina Musa .........kwenye Qur'an huwezi ukaona hata siku moja matendo ya Mungu wa kweli , utaona Mauza uza tu ya Muhammad. ..alipokuwa amelogwa na anabanwa mbavu mapongoni Kule mpaka akaumwa🤣🤣🤣....shetani alibana mbavu mpaka akakubali kutumwa naye🤣🤣🤣
@Amishjuma
@Amishjuma 6 жыл бұрын
Yani wakristo washeherekea kusulubiwa kwa yesu kweli huu ni msiba ...Kweli waislam tunampenda Issa (a.s)kwa dhati...Ole wenyu wakristo wafuasi wa Paulo anae sulubiwa mnajuakuwa amelaaniwa?yani yesu alikuwa amelàaniwa Inna_lillahi wainna ilaihi rajiun.
@janenjenga5639
@janenjenga5639 5 жыл бұрын
Wacha tufute pia mafundisho ya paul
@kalulemusajr2201
@kalulemusajr2201 6 жыл бұрын
kama Yesu ndie alikua Msalabani, mbona ameshindwa kshuka ?
@Amishjuma
@Amishjuma 6 жыл бұрын
Wakristo wacheni kiki sisi waislam hatufichi lolote ukitaka ww mwenyewe waweza enda kuangalia hizo vitabu manake waislam hawaongezi na hawapunguzi chochote wacheni kuchafua muhadhara.
@georgekimasa7393
@georgekimasa7393 5 жыл бұрын
Amishjuma kwa hiyo Quran imeandika kila kitu nikiuliza swali ntajibiwa au zitaanza siasa?
@abdullahibaris7182
@abdullahibaris7182 5 жыл бұрын
Walahi kama mnataka njia ya ALLAH msikilize malimu Yusuf hapo ame wafudisha malimu kamili kabisa
@jamilaomari2444
@jamilaomari2444 6 жыл бұрын
Wakristo mmefilisika...sasa mmeenda sura khaf kufanya nni?
@janenjenga5639
@janenjenga5639 5 жыл бұрын
Kufirisika kivipi??
@oopsm3574
@oopsm3574 5 жыл бұрын
@@janenjenga5639 kama neno lako uliloliandika "umefirisika" umekosea na na dini yako imefilisika..
@janenjenga5639
@janenjenga5639 5 жыл бұрын
Kivipi
@oopsm3574
@oopsm3574 5 жыл бұрын
@@janenjenga5639: kajifunze kuandika kiswahili
@janenjenga5639
@janenjenga5639 5 жыл бұрын
Sina hela za masomo
@abdilatifhashi9659
@abdilatifhashi9659 6 жыл бұрын
Huyo mkiristo anasoma surah kahf kuthibitisha Kifo cha yesu Inalilahi wa ina ileyhi rajiuun. Sheikh Yusuf wafundishe pole pole tu wewe na ustadh saidi
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp 6 жыл бұрын
Inshaa-Allah
@asmaaabdalla9372
@asmaaabdalla9372 5 жыл бұрын
Hawa wakristo washa zoeya wachungaji wao huko kanisani kwamaana wachungaji huwasomea baibol ndiyo sivyo washa soeya kanisani kutukuwa sadaka
@asmaaabdalla9372
@asmaaabdalla9372 5 жыл бұрын
Mahubiri ya wachungaji ni sadakatu Hawana injili wao hukimpilia sadaka mwanzo WA Maginot mpaka mwisho
@asmaaabdalla9372
@asmaaabdalla9372 5 жыл бұрын
Ndacha sindanu imemuingia amezuba
@janenjenga5639
@janenjenga5639 5 жыл бұрын
Kwa Yesu hakuna kulazimizwa au ukiachana na Yesu unauwawa kama waisilamu.check Pakistan, Iraq and many Muslim countries killing Christians.why?? If it's a religious of peace. Hypocrisy
@happyarooun6037
@happyarooun6037 6 жыл бұрын
hakuna mkristo yoyete anaye fua dafu kwa mwiislam nyie hamuelewi maandiko kazi kufokafoka tu
@lazaromalanga6543
@lazaromalanga6543 6 жыл бұрын
Kama kwa vulugu atutii dafu Kweli lakini kwa maandiko nyinyi niwachanga sana
@barakabmasalu5642
@barakabmasalu5642 6 жыл бұрын
Hahaha safi sana Lazaro,kwa vurugu kweli hatufui dafu ila maandiko kushney,kwani waislam huwa wanajifunza maandiko au wanakariri maandiko?
Were Israel’s Actions in the Gaza War Justified? Eylon Levy vs. Mehdi Hasan
1:06:50
MADA IBADA SAHIHI YA MANABII ILIYO ONYESHWA  KATIKA LOLWE TV
2:36:55
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 30 М.
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
DEBATE MUHURU BAY DAY 2  TAREHE 16-10-2018,MADA YESU AMETUMWA KWA WATU GANI
1:41:19
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 13 М.
Втратив сина, онуку і невістку через обстріл
0:32
Суспільне Новини
Рет қаралды 26 М.
DEBATE KUU MUHURU BAY MADA IBADA SAHIHI YA MANABII 2018 10 17 22 45 31
1:52:09
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 11 М.
2024: Gaza’s Defiance and the Miserable Muslim Rulers with Sami Hamdi - Part 1
1:26:00
MASWALI NA MAJIBU- NDACHA NAKURU
1:06:53
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 151 М.
WAKRISTO WA MJI WA NYANDIWA WAKATAA BIBILIA WAKISEMA SIO ILE WSNASOMA KANISANI
1:07:56
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 26 М.
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН