Рет қаралды 1,148
Wakili Peter Madeleka ameeleza wanahabari kuwa mlalamikiwa 'Afande' kwenye kesi ya Paul Kisabo hajafaika Mahakamani hapo na hivyo kumuomba hakimu kutoa hati ya kukamatwa ili afikishwe kwenye Mahakama hiyo na ombi hilo limekuvaliwa na litatekelezwa endepo hatofika tena kwenye tarehe inayofuata ya kesi hiyo 5 Septemba 2024 endapo afande huyo hatofika tena mahakani kwa kuwa atakuwa ameidharau Mahakama.