Madereva waliokamatwa DR Congo baadhi yao waingia Rwanda

  Рет қаралды 392

UTV Tanzania

UTV Tanzania

Күн бұрын

Chama cha Madereva wa Malori Tanzania (CHAKAMATA) kimesema kuwa madereva kadhaa kati ya waliokamatwa kwenye machafuko nchini DR Congo wamefanikiwa kuingia nchini Rwanda salama huku baadhi ya mali zao zikiporwa.
Kwa mujibu wa taarifa inasemekana zaidi ya madereva 40 wamekamatwa katika eneo la vita Goma huku jitihada zikiendelea kufanywa ili kuwaokoa.
#AzamTVUpdates #azamnewsupdates
✍Esterbella Malisa, Warda John
Mhariri | @official_jennifersumi

Пікірлер
人是不能做到吗?#火影忍者 #家人  #佐助
00:20
火影忍者一家
Рет қаралды 20 МЛН
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
Mji wangu: Goma
4:36
DW Kiswahili
Рет қаралды 10 М.
M23 waandaa mkutano Goma
8:44
BBC News Swahili
Рет қаралды 78 М.
Waandishi wa BBC waingia Goma: Dira ya Dunia TV Jumatatu 03/02/2025
28:00
Goma DRC: Juhudi za kutafuta amani, M23 wakiendelea na mashambulizi
9:02
Goma DRC: SADC wakutana huku M23 wakiendeleza mashambulizi
5:55
BBC News Swahili
Рет қаралды 50 М.