Ukweli endapo kikokotoo hakitobadilishwa uchaguzi utakuwa mgumu huu ni wizi unaogusa utawala ulioko madarakani ni sawa kodi ya payee inalipwa ila Sheri'a ya nyongeza ya mshahara kila mwaka sasa miaka kumi bila nyongeza ndio usawa na wezi wanalindwa waibe kodi yetu na rushwa juu kama nyongeza ya mabeberu akina mwigulu, taarifa ya cag inanuka kwa wizi mkubwa hawa hawafai kupigiwa kura wanyongwe mioyoinauma sana skill zao kwanini tusilinganishe na mbwa
@ChachaSamburu3 күн бұрын
asante kwa mwongozo mzuri .naomba mawasiliano yako
@deniskakendo9103 күн бұрын
I like ur headlines,kindly make a timeline for English 2,si unajua kiswahili si mdomo chetu🇰🇪
@BarakaAthanas-d7d3 күн бұрын
Mbele yetu nyuma yenu
@MercyHamis2 күн бұрын
Mmh mbele yao nyuma yetu
@BarakaAthanas-d7d3 күн бұрын
Poleni sana
@RamadaneAmisse3 күн бұрын
Muito obrigado pelo Tanzânia
@Timothymlamba-pq3oi3 күн бұрын
Tulimpenda sana
@Timothymlamba-pq3oi3 күн бұрын
Lowasa kweli
@DianaLyimo-be7yp3 күн бұрын
Shkamoo mapenz
@JovinyKifyasi-m6u4 күн бұрын
Shingap ving'amzi
@issambawala97784 күн бұрын
Imekaa pow xana
@FelicianSimon4 күн бұрын
Mbona umekakata mlipueni bashe kwenye full video
@alisaid90244 күн бұрын
Mbowe anaaanza kuvaa kofia ya kiislam kama Lisu wakati wa kuomba kura ,,,mnadhani Waislam watahadaika kwa hilo?? Uongo wenu na unafiki wenu ndio unawatafuna wenyewe ,,,poleni sana
@JosephineItambu4 күн бұрын
1/7 nmerudi tena baada ya Triple C kusajiliwa Yangaaa😂🔥
@Jenero_wa_Kijapani3 күн бұрын
Nawapenda jaman
@DeusRobart4 күн бұрын
Mungu akutangulie katika safari yako ya kutetea watanzania
@MwitaMwita-q2y4 күн бұрын
saw tuombe msimu ujao
@stevenhm15614 күн бұрын
Enzi zake alikuwa ni mtu wa kuigwa kibiashara na ufadhili!
@mjitahidubyabato4 күн бұрын
Yaan mpaka mseme Bado tunaangalia
@mjitahidubyabato4 күн бұрын
Tulia
@WistoneTibazaWistone4 күн бұрын
Nawapa pole familia ya yusufu
@user-kk6gj7cw3h5 күн бұрын
IVYO IVYO TUTAFIKA TU
@zebedayokatamaduni96765 күн бұрын
Kamanda sugu
@RobertAdam-w1t5 күн бұрын
Stumii nguvu kubishana na Wana simba
@damsonmpusi50265 күн бұрын
Kudos
@seifseifmohamed71185 күн бұрын
Chalamila must be happy now. Chalamila sasa amefurahi alisema juzi Kariakoo yakuwa wamemfukuza Manji. Mungu kwake hakujai nafasi zitakuwepo kwa wote. Na hakuna wa kukwepa. Innalillahi wainna ilayhi rajiuun.
@King_Of_Everything5 күн бұрын
Dah! R.I.P Big Boss
@babuumaeda76715 күн бұрын
Sitosahau uongoz wa Rais ENG HERS YangA nii hiii 5-1 😅 NEW GENERATION
@babuumaeda76715 күн бұрын
Goal la 3 Tobo mbili goooooooooool 🎉🎉
@babuumaeda76715 күн бұрын
If u like gonga 5-1 🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤
@withomsigwa49185 күн бұрын
Mm Hadi Leo tar 30/6/2024 nipo naangalia yaani naendelea kupata rahaa