Watumiaji ugoro hatarini kupata Sonona Kuu
3:15
Пікірлер
@yusuphntamagara8050
@yusuphntamagara8050 12 минут бұрын
2riwa shenyenta kwerikweli
@mariamumukakarodonaldmasat8390
@mariamumukakarodonaldmasat8390 2 сағат бұрын
Huyu bint asiyesikia anayetaka kusoma tunaweza kupata mawasiliano yake? Au tutawezaje kujua jinsi kumsaidia?
@maholelatv7274
@maholelatv7274 8 сағат бұрын
Well-done
@MasheheMnkande
@MasheheMnkande 8 сағат бұрын
Penda sana mkuu wa wilaya shupavu
@Danielkomba-t8k
@Danielkomba-t8k 8 сағат бұрын
Sana yn waliteseka
@Danielkomba-t8k
@Danielkomba-t8k 8 сағат бұрын
Sana yn waliteseka
@Danielkomba-t8k
@Danielkomba-t8k 8 сағат бұрын
Kumbe km mm
@magrethgeorge2938
@magrethgeorge2938 9 сағат бұрын
Mada nzuri sana
@kafwimbimilambo8556
@kafwimbimilambo8556 11 сағат бұрын
Kibaraka 100%
@FatumaMwage
@FatumaMwage 12 сағат бұрын
nikiwa nasira tu narudia kuangalia hii mechi makolo walivyo teseka😅😅😅😅
@AmanMilongr
@AmanMilongr 19 сағат бұрын
Leo 1 / 2 / 2025 tunakumbuka hhahaha
@abdulqadiruday6790
@abdulqadiruday6790 10 сағат бұрын
@kanokyando
@kanokyando Күн бұрын
nakupataj?
@kanokyando
@kanokyando Күн бұрын
naomba namba yako
@AbdallahAyubuh
@AbdallahAyubuh Күн бұрын
Yule dereva ambeye aliye kuwa anaojiwa anaitwa nani vile jamani
@thomastemu3332
@thomastemu3332 Күн бұрын
Ndiyo magonjwa hayo..wanyama kama mbuzi ngombe ni majani tu..wasije wakaleta tena ugonjwa wa mbuzi lamba lamba 😮😮
@magarinangu
@magarinangu Күн бұрын
😂
@bene28april
@bene28april Күн бұрын
Rwanda na Uganda wanajenga reli yao kupitia Uganda na Kenya
@ALLYALLY-z6e
@ALLYALLY-z6e Күн бұрын
Nilikuwa nje ya sayari kimasomo ndo nimerud leo duuuh kumbe makolo ndo walinyanyasika hvi ahah balaa
@Zakariamalulu
@Zakariamalulu Күн бұрын
hhahahhah
@EmmanuelCharles-yu6cv
@EmmanuelCharles-yu6cv Күн бұрын
Huyu Mripotiaji navutiwa sana na uripotiaji wake HONGERA BRO KEEP MOVING
@SayiSawadi-m3j
@SayiSawadi-m3j 2 күн бұрын
Tunaoangalia tr 31 January tuko wangap
@SayiSawadi-m3j
@SayiSawadi-m3j 2 күн бұрын
Mi sayi nikiwemo
@PlickaChacha
@PlickaChacha 2 күн бұрын
Nimesikita sana hyo verse ya waefeso 3:20 inatumika ktk vitu vya hovyo hovyo kama magari Mambo makubwa mno kuliko yale tuyawazayo mnatoa mfano wa magari Mungu ninayemwamini mimi afanyi mambo anayoweza kufanya binadamu kwa mfano mvua,kufanya usiku na mchana ,kukuponya unapokua unaumwa etc sio hayo mavyuma yakupita na fashion
@thomastemu3332
@thomastemu3332 2 күн бұрын
Steve nyeyere namuona hapo bado anajichomoza chomoza mara utastukia ni staiki meya mda si mrefu..😂😂😂😂😂😂
@MagdalenaBoaz
@MagdalenaBoaz 2 күн бұрын
Mim hapa
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 2 күн бұрын
Serikali inajichelewesha yenyewe miundo inakaa miaka 40 mkijilinganisha nchi za afrika eti umeme ni bei nafuu ni ujinga kinachotakiwa ni uchumi dar hawafungi a/c kwa sababu bei ni ghali huoni kama serikali inakosa hilo soko
@ANONYMOUS-v5t4x
@ANONYMOUS-v5t4x 2 күн бұрын
MAREKANI NCHI YA MASHOGA, WASENGE, NA WASAGAJI INAISHUTUMU NCHI NYINGINE!!!!! MAREKANI IMEUA MAMILLION GAZA, IRAQ, AFGHANISTAN, HAITI, SOMALIA, PAKISTAN, YEMEN....WAKAE KIMYA MBWA HAO
@kamandashupavu206
@kamandashupavu206 2 күн бұрын
1. Wanakijijii ni wengi haiwezekani wote wakaenda tofauti na huyu mwamba shida huyu KONYA alitakiwa kusema hana pesa kwa kipindi hicho na sio kuwakimbiza watu na panga usiku, wakati sheria ya kijiji inakutaka ulipe pesa ya mwani kwa mshindwaji wa kesi .. 2.KONYA anajituma sana kutafuta pesa, tatizo ganjaaaa😃😃😃 na ule ubabe wa zamani nakujiona hakuna wa kumwambia kitu coz wanamuogopa kutokana na matendo yake na inaweza kuwa alikuwa akiwindwa toka zamani japo yeye hakujua anawindwa kutoka na mwenendo mbaya kwa jamii na kiburi kwa ajili ya Mali alizonazo , hivyo kipitia hili wanakijiji wamepata fursa ya kulipizia machungu yao😬😬.. 3. Mi nimuombe mwenyekiti kupitia kijiji chake, afanye mchango mdogo kwa wanakijiji kununua uniform za shule za watoto ili wasikose vyote, kama kimebaki chumba kimoja inatosha au kama hakipo muwasaidie ili watoto walale pazuri ila huyu KONYA na pisi zake waache wapigwe baridii wajue kuwa umoja nguvu na kisha MWANI tumemsamehee.✍📊
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 2 күн бұрын
vituko tuuuu wakati TZ kuunga umeme bei laki 3 hadi na 60
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 3 күн бұрын
Kibaraka huyu mzee
@ManaseBuhanza-cl1lc
@ManaseBuhanza-cl1lc 3 күн бұрын
Wafanyabiashara wa nafaka mkoani kigoma baadhi ya wataalamu kubaini kuhifadhi nafaka zaid ya miaka 2 kwa kutumia kemikali kari & kuwasababishia magochwa makali watumiaji hivyo nafaka hizo hazitakiwi kufika kwenye masoko yoyote nchini Irani kwa walaji nk
@ManaseBuhanza-cl1lc
@ManaseBuhanza-cl1lc 3 күн бұрын
Taharuki uwepo wa magochwa hayo zaidi kinga inatakiwa bira uonga
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 3 күн бұрын
Busara Hakuna
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 3 күн бұрын
Tanzania sasa hivi kila mtu anafanya apendavyo kama Hakuna kiongozi
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 3 күн бұрын
Jamani huu uonevu hadi huruma
@ManaseBuhanza-cl1lc
@ManaseBuhanza-cl1lc 3 күн бұрын
rais wa Tanzania kaupiga mwingi & wanao mutusi rais baada ya uteuzi kira mkoa wakamatwa haraka sana hasa mkoani kigoma kwenye wilaya zote za mkoa wavkigoma
@ManaseBuhanza-cl1lc
@ManaseBuhanza-cl1lc 3 күн бұрын
Serkali ya marekani & Canada &nchi jirani kupima COVID(19) baada ya kupokea wakimbizi kutokana mulipo wa magochwa hatar aidha imeonekana afya zao sio nzuri kupima in kuanzia tarehe 5/2/2025
@annamashauri7421
@annamashauri7421 3 күн бұрын
Mungu wa mbinguni akupe pumziko la Aman🙏
@leonardmartine662
@leonardmartine662 3 күн бұрын
Nice🎉🎉
@Mmenga_junior
@Mmenga_junior 4 күн бұрын
Wangapi wanaiangalia hii January 2025
@MAILAGUN
@MAILAGUN 4 күн бұрын
THE MOMENT OF SADNESS 😭
@AndreasMkundi
@AndreasMkundi 4 күн бұрын
Sasa hapo ndipo simba walipo yakanyaga
@elizabethsimba9743
@elizabethsimba9743 4 күн бұрын
Kabisa hili la ni sharti Africa big up sana.
@sarahemmanuel8115
@sarahemmanuel8115 4 күн бұрын
Mungu wangu
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 4 күн бұрын
Ukweli rais akifanya mazuri tuwapongeze mfano shule za kata .tumkumbuke mkapa. Mh rais kikwete chuo kikuu Dodoma tumukumbuke jamani. Mwendazake magufuri naye tunakumbuka. Bwawa la umeme rufiji.SGR. Barabara. Kusambaza umeme. Ukatili wake uhasama na Chadema .Asingetaka vyama vingi angefuta kama nyerere alovyo kataa vyama vingi Benki ya IMF ikampiga Stop taifa likashidwa kujiendesha akamwachia mwinyi. Lakini ndiye rais aliyejenga viwanda vingi kupita wote marais mkapa ndiye aliuza viwanda vingi kupita marais wote
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 4 күн бұрын
Wasomi muandaye au andikeni vitabu tangu tupate uhuru hadi sasa.
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 4 күн бұрын
mkutano wa marais hongera sana ni ni jambo muhimu sana. Kama mtu hapongezi ni mchawi.hiro ni zuri lakini la bandari la masai hapana.
@Anordmbelwa
@Anordmbelwa 4 күн бұрын
Nawapata nikiwa DAR GOBA SENTA
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 4 күн бұрын
Diaspora anatakiwa apewe ardhi ya uwekezaji yaani kama vile hawa jamaa hawatakiwi kabisaaa, hawa ni watu wenye asili ya Tanzania waruhusiwe kujenga, kuwekeza kama Raia wengine isipokuwa mambo ya siasa na kazi za serikali, au Diaspora awe na shareholder mzawa doesn't make sense kabisaa, wanaharibu zoezi zima la hadhi maalum, sasa kama Diaspora ataambiwa awe shareholder mzawa kwenye kampuni yake tofauti ni nini hapo na raia wengine wa kigeni, kuna mambo huwezi shangaa mana tuko kwenye list ya Nchi Masikini nahisi hata upeo wetu wa kufikiri una kikomo, kama hili zoezi haliwezekani bora mlifute lisiwepo kabisaaa ,mana diaspora wataendelea kutuma remittance nyumbani na ndicho serikali inachokitaka, level ya ubinafsi ni ya juu saaana
@ChristinaLucas-rx7bb
@ChristinaLucas-rx7bb 4 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 4 күн бұрын
👊✌️👍.
@MORCEPLIMITED
@MORCEPLIMITED 4 күн бұрын
Advocate mahinyila safi
@MaximeMasinga
@MaximeMasinga 5 күн бұрын
🙏 point tupu