Wizara ya Maji acheni masiala jamani!! Eti hadi aje Waziri! Wengine mpo wapi? Aibu!! Serikali ajirini watu wengine!! Mambo haya hayana afya kwa Watamzania.
@festohaule97162 күн бұрын
Kwanini Watumishi wengi sana hawatimizi wajibu wao..kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!!
@hashimmawazo55033 күн бұрын
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
@user-tu9ps9kr2o2 күн бұрын
Mhe waziri kwanza hongera.kwa msukumo wako wa nguvu hizo watabadirika Sasa watumishi .mhe makinda umetoa fundisho kwa wateule wa Mhe Raisi
Huyo ameshindwa kutumia cheo chake kwa hiyo anaenda kushushwa kwa lugha nyingine
@mahijayusuph81863 күн бұрын
Tenganisheni siasa na kazi
@mahijayusuph81863 күн бұрын
Nyie mnaoshangilia hamjitambui
@nurdinmfamau34933 күн бұрын
@@mahijayusuph8186inawezekana Wakawa Hawajitambui Lakini Katikati Kuna Uzembe Na Dhuruma Kubwa Inayowapa Au Kutupa Chuki.
@nelsongodfrey99522 күн бұрын
Msumi hatuna maji, lakini mbopo wana maji. 3km difference but dawasa wapo
@husseinamassanza502 күн бұрын
Kero za wananchi zinasababishwa na nyie nyie serekali msione watu wapo kimya ipo siku haina jina.
@user-oy2gp3nq4j2 күн бұрын
Wanauza Maji wanamagari yao waziri wanakudanganya Hata huku makabe
@user-nm2jq7xo5f3 күн бұрын
Tusilee uzembe mheshimiwa waziri wengine wajifunze
@stevensteve75193 күн бұрын
Watumishi wa serikali ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi kutokana na kutofanya kazi kwa ufanisi na kutotambua kuwa wao waajiri wao niwananchi. Hili hawalijui kabisaa, wanadhani kuwa wao wako juu ya wananchi.
@godfreylyimo41772 күн бұрын
Elizabeth ni mtendaji mzuri!!
@LovelyOmbreSky-pu4jt2 күн бұрын
Naona sasa kakayangu umeamka sasa ila ujachelewa nilijuwa kasiyako imeisha ilanakujuwa Utendajiwako sinamashaka nawewe
Mh njoo Morogoro Morowasa utalia maji tunapata mara moja kwa wiki kwa mwezi mara 4 bili inakuja 40,000/= Bhopal kata us bigwa
@lukumanisharifu2 күн бұрын
Uweso njoo masasi mtwara hufiki kabisa Kuna madudu sana
@user-oy2gp3nq4j2 күн бұрын
Wanajifanya Miungu watu watumishi hawa sana ata ukipiga awapokei
@user-oy2gp3nq4j2 күн бұрын
TUNAKUOMBA SASA MTUPUNGUZIE MALIPO YA KUWEKA MAJI MAJI YANAPITA MLANGONI UKIULIZA KUWEKA MAJI SH 270,000/=
@user-kv8sq6qz7gКүн бұрын
Moja Kati ya hazina kubwa ktika Taifa letu Ndugu aweso mzalendo wa kweli
@user-ow7pl6tz2c3 күн бұрын
Mh waziri dawasa nitatizo niwazembe sana
@eddytheophil7626Күн бұрын
Safi sana❤❤
@ProsistaTarimo4 сағат бұрын
mheshimiwa zunguka nchi nzima shida ni hiyohiyo. Utadhani wanaambiana. Ni kudai bill tu na maji hakuna.
@nahlaaasidee18482 күн бұрын
Waziri Njoo Masasi-Mtwara kuna shida
@HamadaZubeirTahir2 күн бұрын
Musichikijuwaaa...mmmmmh..mpaka nawaonea hurumaaa
@monicamaganga86813 күн бұрын
Waziri njoo kinodoni tunateseka sana
@piusmapunda4255Күн бұрын
Mkuu njoo nahuku tanganyika dc kata ya ikola maji hayatoki nimwezi wa 3 sasa!,
@ahmedronga75832 күн бұрын
Ila wanawake dah!😅
@user-ch2it3qt5z3 күн бұрын
Hiii 😂nchi inakiki 😂
@reubenalfred97072 күн бұрын
Chanika Nzasa mradi wa maji ulifunguliwa na mwenge lakini mpaka sasa hatuoni hata tone la maji..!
@user-xm9xr5db1j19 сағат бұрын
Kweli kabisa kaka..
@giftkalenge4182 күн бұрын
Utashitaliwa waziri Sasa huyu dada anakosa Gani wakati mkurugenzi wako ndo tatizo
@FarajaLusukaКүн бұрын
Shida nini viongozi wetu jamani kwanini mnatufanyie hivyo maji hamna hata kwetu makurunge kigamboni hatuna maji wala umeme
@machoguhameri7757Күн бұрын
Wanawake bado sana
@dorahmushi-we6tsКүн бұрын
Tunamuona mhshmw Makonda group kazini.
@monicachacha455Күн бұрын
awesoooooo safiiiiii
@bahatielias64433 күн бұрын
Ila kunawakati mwingine inakela
@husseinkonz519222 сағат бұрын
Wamezoea kukaa ofcn piga na chin wote
@serafinamalecela472821 сағат бұрын
Eliza kiherehere kimemponza angekaaa kimyaaaa maskini
@KilonzoGodson2 күн бұрын
Hivi Tanzania tukoje?
@hamredhamis-cz6qc2 күн бұрын
😊
@Bifa_20242 күн бұрын
Wananchi wachonganishi ipo siku mwanao dadako Ndio atakuwa huyo Eliza alafu wamama wana midomo adui wa mwanamke ni mwanamke
@wamburasungura68125 сағат бұрын
Je maji yapo ? Au hayapo? Kama hayapo maji sawa waondoke tu maana wanachezea kazi sana
@HamadaZubeirTahir2 күн бұрын
Anaweza akafukuzwa mbele ya Wananchi baada ya masaa akaitwa Ofisini akaambiwa endelea na kazi
@AminaAmina-cr8jq2 күн бұрын
Wazir njoo arusha mateves tunateseka na idara,ya,maji bil laki 3 kwa,mwenx na,barabara,vumb tynashidw,hata,kuuza yaya
@mamakayla66973 күн бұрын
Kwa kweli waziri umefanya kazi vizuri ya kuchukua hatua ya kuja wilaya hii ya Kibamba, njoo na wilaya ya Ubungo. Ni shidaaaaa,njoo Kimara Bucha.
@napoleonmutungi686618 сағат бұрын
Waziri kapiga simu kwa mkurugenzi wa miradi vifaa havijaletwa dada amefanya kazi yake waziri anafanya siasa ya kumtoa kafara Eliza na watanzania bila kutumia busara mnashangilia kwa roho mbaya tu
@josemalley16913 күн бұрын
Arusha mtaa x ndo balaa
@HamadaZubeirTahir2 күн бұрын
Eti Wazili..wazili...wazili...sioWazilii...ni Waziri ndio kiswahili sanifu
@PatrickSepetu20 сағат бұрын
Wanalinga mno wakiwa ofcn hao
@ProsistaTarimo3 сағат бұрын
Wanakuangusha mheshimiwa fukuza wote weka wapya waliotoka shuleni Hawa wameshalewa rushwa na uvivu. Wanapokea mshahara na kazi hawafanyi. Wanakera
@ProsistaTarimo3 сағат бұрын
Jana nimelipa bill ya elfu 40 nalalamika kwa mwezi maji yanatoka mara moja kwa masaa matatu tu. Leo mnanihesabia kuwa mwezi mzima sijalipa. Nilipe 40 Tena wanaweka mfukoni. Fukuza wote mheshimiwa Aweso.
@florencekyande4443Күн бұрын
mbona Eliza tu,huyo kaka aliyekosa mafaili ,yaoo wattsap je?mkurugenzi aliyeookea maelekezo kwa waziri asiyafanyie Kazi je?
@sharafisaidi79992 күн бұрын
Njoo na mbagala mheshimiwa maji tunayaonaga kwenye video tu kibondemaja mtaa wa kimbangulile
@monicachacha455Күн бұрын
timua haoooo
@philemonmagesa55482 күн бұрын
Mweshimiwa Aweso ww chukua mfumo wa makonda kusikiliza kero nakufatilia utendaji utakusaidia kisiasa na kujenga imani kubwa kwa wananchi
Ila tujifunze ukipewa nafasi watumikie wananchi,ukipewa maelekezo na mkuu wako tafadhali fuatilia ,hapo unakuta gari ya usafili kapewa lakin mtu anaagiza tu yeye yupo ofsini, ama fungu lapesa linatolewa halafu hizo pesa wanaingiza kwenye biashara zao kwanza mpaka mda unaeenda wee Ndio wanakuja kufanya ,Sasa wananchi inakuwa ni mateso
@DandasiKundi2 күн бұрын
Waziri njoo mkoa wa pwani usikilize vioja vya dawasa eneo la lukuruti, mihande karibi na shule ya skondari wanasema vifaa hamna na hata hivyo wengine wanafungiwa sijaelewa wziri hapo kuna nino happ
@user-qy7he6cl8w22 сағат бұрын
Makonda kaanza kupata mapacha
@petersagilo18713 сағат бұрын
Mi sijaona kosa la Eliza apo mi nadhani udili na mkurugenzi wako ambaye anafuta maerekezo kutoka kwako na hatelekezi
@FilbertKalembe-fy4oq3 күн бұрын
Safi kabisa mumelea ujinga mda mrefu tusaidieni halmashauri zote ziko hivyo
@rahelmpondaКүн бұрын
Kumbe unambadilisha kituo ila kazi yake Bado ipo, ujinga tupu na wanaokushangilia😅😅😅
@venancemwarabu7168Күн бұрын
Ulitaka afukuzwe kazi? Kosa lake ni lipi? Matatizo ya kimfumo hata ukiwekwa wewe hapo utakutana na huo ukakasi
@jescajohn66192 сағат бұрын
Eliza atapangiwa kazi sehemu nyingine ,na maisha yataendelea kama kawaida, hao wapiga kura wajinga acha waendelee kushangilia
@YusuphMwangobola2 күн бұрын
Wananchi wamesha mchoka hyo dada
@SultanaShaban2 күн бұрын
Njoo bonyokwaa mkuu
@thomastemu33323 күн бұрын
Mtumbue huyo hawafai
@FredMwamgogwa-td6ni2 күн бұрын
Fukuzaaaa
@Mumewangu2 күн бұрын
Kama umesikiwa mwananchi anauza bangi. Nipe like zangu
@wisemaliva53762 күн бұрын
Wamesema anauza maji
@danielelikana26152 күн бұрын
Mfumo wa kuajiri unatakiwa kufumuliwa upya kabisa!! Wanaajiriwa watu wasiokuwa na uwezo wa kufanya kazi, wenye uwezo wanaachwa!!
@fatmaathumani71162 күн бұрын
Watu tunahangaika kuzitafuta hizo kazi nyie mazwazwa mnanenepeana tu km mafurushi 😢😢😢
@user-nm2jq7xo5f3 күн бұрын
Awesu fukuza kazi wazembe hao
@monicamaganga86813 күн бұрын
😂 7:28
@KhalidAlly-je8ky2 күн бұрын
Ujinga mtupu
@hashimmawazo55033 күн бұрын
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
@Kalunirashidi3 күн бұрын
kweli uweso ndio mnatakiwa kufanya kazi siokupigiwa makofi wannachi wanaomie