Рет қаралды 549
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka amewataka Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Makete kuacha malumbano badala yake washikamane na Watumishi wa Serikali katika kuijenga Makete
Mhe. Mtaka amesema hayo akiwa kwenye mkutano na wadau wa ngano uliofanyika jana kwenye ukumbi wa Madihani Villa.