MAENDELEO YA UJENZI MRADI WA DART AWAMU YA TATU

  Рет қаралды 7,411

DART TV

DART TV

Күн бұрын

#DARTMwendokasi #MwendokasiApp #Tanzania #TowardsSmartCities

Пікірлер: 36
@SirajiRashidy
@SirajiRashidy 2 ай бұрын
safi sana mfanye halaka kabla 2027
@mussamussa8181
@mussamussa8181 2 ай бұрын
Barabara nyembamba mno
@BagramenshZuma
@BagramenshZuma 13 күн бұрын
Mradi mzur ila vituo havija design vzur kwa muonekano na dart badilikeni muwe wabunifu nataka nion brt ya segerea iwe tofauti vituo na ya ubungo mpak darajan kigambon iwe tofaut
@vinny.morales
@vinny.morales 3 ай бұрын
Ongezeni ubunifu kwenye muonekano wa vituo
@section8ight174
@section8ight174 2 ай бұрын
Yaani, ni kama vibanda vya kuku aisee 😂 very basic hata kile pale SGR station mjini hakina hadhi ya ile station, wonder who comes up with these mundane designs or is it cost cutting?
@israelsimba4954
@israelsimba4954 3 ай бұрын
Good job
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 3 ай бұрын
Kupanda mwendo kasi ni aibu yani mnasukumizana kama wanyama mnapandana migongoni yani hakuna heshima kabisa
@BagramenshZuma
@BagramenshZuma 13 күн бұрын
Kiukwel vituo inatakiw vibadilike sio kituo cha mbagala kiwe hiko hiko temeke wanaochora wawe wabunifu kila sehemu iwe na design yake ya kituo pangependeza mno ila ukiend huku vile vile ukiend kule vile vile badilikeni
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 2 ай бұрын
Kazi nzuri ila wale wa barabara za mitaa DMDP ni majanga matupu Kila siku ahadi tu.pugu, banguro mwembe kiboko, kifuru kinyerezi hakuna kitu mara mwezi wa nne mara wasita na Sasa wasaba duu!
@filamupictures9349
@filamupictures9349 2 ай бұрын
barabara za mitaa ni tarura, DMDP wana mambo mengi, japo hujenga barabara sometimes
@BagramenshZuma
@BagramenshZuma 13 күн бұрын
Mama yetu Samia kuna mdudu anaitwa sijui ni Tarura au DMP kiukweli hawa ondoa wote wanakuangush na wanaangusha watanzania mfano kigamboni ni mji mzuri ila hauna barabara huwa naona wanaziba viraka tu na cjawahi kuona hata barabara za mitaani hata moja kazi kula hela za watanzania tu
@mduda_i
@mduda_i 3 ай бұрын
kwa mabasi yapi labda?
@BagramenshZuma
@BagramenshZuma 13 күн бұрын
Kiukwel mainjinia wa kibongo nabserikali siwaelewi barabara ya gongolamboto na bugururuni zina msongamano ila nashangaa wanajenga barabara nyembamba watueleze tatizo nini barabara ni pana ila wanajenga nyembamba
@WilfredShirima-e2j
@WilfredShirima-e2j 2 ай бұрын
Mwendokas mefeli kilakitu mpk chenji za kuwarudishia abiria hakuna kama vp mjiuzulu wate tuwape wengne
@oscarfilimbi3282
@oscarfilimbi3282 2 ай бұрын
Kuna changamoto nyingine nyingi mno,msongamano kwenye vituo,ukatishaji wa tiketi,wahudumu wanakuwa na lugha chafu,kukosekana kwa chenji,madereva wamekuwa wanatoa lugha chafu kwa abiria,Nauliza swali jingine ni kwa nini UDART mliondoa wale madereva wa awali mkaajiri madereva wa daladala ambao hawajali chochote wawapo barabarani na kusababisha ajali kedekede na kuharibu mabus yenyewe!
@paschaliboniphace8974
@paschaliboniphace8974 2 ай бұрын
KADI WAMEUA MAKSUDI
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 2 ай бұрын
Latra kwenye magar y wt binafisi wapiga faini kisa mtu kazdi mwendokasi tunapandiana kama ngo'mbe mbona hamuweki mabasi yenu tuone ikiwa n wakweli,mtishia raia kilacku
@shabanponera2895
@shabanponera2895 3 ай бұрын
Mnapoteza pesa bure hakuna mabasi ya kupita humo msitusumbue
@amanijampion3045
@amanijampion3045 3 ай бұрын
Rais alituahidi mabasi ya umeme alivyotoka ufaransa
@Kabwela776
@Kabwela776 3 ай бұрын
Ulikuwa uongo mtupu kila siku wanaahidi
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 3 ай бұрын
Hiyo project ina njia zake na ni ya katikati ya mji wala haina uhusiano na mwendo kasi. renovation ya jiji la Dar inakuja soon, muda si mrefu kuna kitu kizito kinakuja kufanyika pale jangwani na hata klabu ya Yanga na wao uwanja wao wa kisasa wanaoutarajia kuujenga hivi karibuni pia nao upo ktk sehemu ya project hiyo. Na istoshe mkumbuke hata treni za kuchongoa alivyosema atazileta mlimbeza hivyo hivyo, mlimuita muongo, mkamtukana na kumkejeli, lakini mwisho wa siku mkaishia kupata aibu, chuma zimekuja na hizo safari zimeshaanza na stori taka zote zimeishia midomoni.
@Kabwela776
@Kabwela776 3 ай бұрын
@@rayisadesigns2646 treni zs mchongoko ni JPM na tokea yuko mzima walishatoa oda na miradi yote anamalizia ya JPM anatembelea nyota ya JPM ! Samia ni nuongeaji hamna kitu sport arena hadi michoro walionyesha na wako kimya tu
@section8ight174
@section8ight174 2 ай бұрын
@@rayisadesigns2646sorry but I would like to know how or where you got that info from “renovation la jiji” I wanna check it out for myself if you have a link?
@isaackm3620
@isaackm3620 3 ай бұрын
Soma comment za bongo wajuaji kuliko wako kila mahali hii hulka sijui tutaiacha lini , mbongo huyo huyo ndo kocha, mchezaji, injinia, daktari…😅 na anasema akiwa anajiamini kabisa 😂
@section8ight174
@section8ight174 2 ай бұрын
Kwani unadhani wabongo vipofu? Kama kitu hakijakaa vizuri sasa unataka tunyamaze wakati ndio kodi zetu hizo!!! Wewe vipi mbona hueleweki?
@MamodelPark
@MamodelPark 2 ай бұрын
Nyie DART uku mbagala ujenzi si ushaisha??? Mbn hamuanzi huduma ?? Yan barabara imanza kujengwa tangu niko diploma ad leo nimemaliza degree. Nyie watu kiboko
@josephmartin292
@josephmartin292 3 ай бұрын
vituo muonekano wake mbaya mradi uko poa,Mjini wekeni vituo dizaini nyingine na kadi zitumike sio tiketi za makaratasi
@section8ight174
@section8ight174 2 ай бұрын
Vilevile waweke A/C kwenye hayo mabasi watu wasafiri kwa style nzuri walau!!
@mukhsintwaha5909
@mukhsintwaha5909 3 ай бұрын
Mwendo kasi imefeli mjitathimin huwez kata ticket ukakaa kituoni zaid ya saa moja umesubiri gari na wakati ikitokea yanapita yanapita empty hayana watu ilhali watu wamejazana vituoni , ifike pahala mjitathimini kama mnatosha kutuhudumia watanzania , Dhamira ya serikali ni nzuri lakin utendaji ni mbovu aswaaa
@LoseB
@LoseB 2 ай бұрын
Kwan c naskia kuna mwendokasi app
@petersonolangu2398
@petersonolangu2398 3 ай бұрын
Ujenzi wa awamu ya 1 uliikamilika 2016, miaka 8 baadae awamu nyingine zinajengwa. Cha ajabu design ni ileile na zaidi ni mbovu kuliko awamu ya kwanza. Hii ni ishara ya kufeli kwa DART na TANROADS kwa ujumla. Shame on you!!!
@section8ight174
@section8ight174 2 ай бұрын
Sa we bwege Kwani ushasahau mambo ya COVID hapo katikati ama unabwabwaja tu?
@petersonolangu2398
@petersonolangu2398 2 ай бұрын
@@section8ight174 COVID inaingilianaje na design ya vituo vya mabasi?
@section8ight174
@section8ight174 2 ай бұрын
@@petersonolangu2398 si umesema hapo kwamba Kuna gepu kubwa kati ya awamu ya kwanza na awazu zilizofuata? Na mimi nilikuwa nakukumbushia tu kwamba mambo yalisimama ama kupungua spidi kubwa dunia nzima.
@petersonolangu2398
@petersonolangu2398 2 ай бұрын
@@section8ight174 bro hapa sizungumzii mda wa ujenzi wa awamu, nazungumzia angalu pangekua na design tofauti za vituo sio vilevile kwa awamu zote...pawe na improvement
@mussamussa8181
@mussamussa8181 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 stupid comment ​@@section8ight174
India Bids Farewell to Ratan Tata | Vantage with Palki Sharma
10:12
Portugal vs Poland 2-0 - All Goals & Highlights - 2024
9:47
جريندو - Grendo
Рет қаралды 691 М.
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 78 МЛН
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
Good teacher wows kids with practical examples #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 11 МЛН
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 112 МЛН
MAENDELEO UJENZI WA FLYOVER
4:04
HABARI ONLINE TV
Рет қаралды 5 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr (ajaxkmr1986)
Рет қаралды 600 М.
CHANGAMOTO ZA UKOSEFU WA CHENJI VITUONI SASA BASI
8:00
MAENEO YANAYOLITAMBULISHA JIJI LA DAR ES SALAAM
6:56
Tanzania Safari
Рет қаралды 88 М.
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 78 МЛН