UJENZI WA SOKO KUBWA LA KISASA EAST AFRICA COMMERCIAL AND LOGISTICS CENTER / UBUNGO DAR ES SALAAM.

  Рет қаралды 34,408

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 90
@JoJo-xh7ph
@JoJo-xh7ph Жыл бұрын
Magu alianzisha Samia alijenga. Samia apewe mauwa yake. Big up mama yetu. Hongera JPM
@kelvinmgendwa1438
@kelvinmgendwa1438 8 ай бұрын
Duuuu aise tanzania uchumi unakuwa
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo Жыл бұрын
Naombeni kazi
@vom84
@vom84 Жыл бұрын
Kariakoo inaenda kufaa
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 Жыл бұрын
Jambo zuri kariakoo kidodo itapumua
@omaryngitu2443
@omaryngitu2443 Жыл бұрын
Vifaa vya kisasa vinahitajika kuzuia majanga ya moto ili isiharibu miundombinu ya gharama kubwa na kuleta maumivu ya hasara na gharama zinazopotea,big up serikali yetu
@mybrain8940
@mybrain8940 Жыл бұрын
Hili sio Kama kariako😅😅
@barakamanga5502
@barakamanga5502 Жыл бұрын
Nilikuwa najiuliza hapa kinaendelea nikitu gani kumbe soko safi sama
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 Жыл бұрын
Wasisaau kuweka pakingi ya magari ya zimamoto
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 Жыл бұрын
Nasikitika naoña Kariakoo ikifa na safar za wa Tz kufa
@mimiraia2531
@mimiraia2531 Жыл бұрын
Yaani Rais wa China aje kuzindua kimradi kidogo kama hicho, #ACHENI UCHAWA
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 Жыл бұрын
Mnatuletea usenhe wenu nakuja kuuwa wafanya biashara wenu wenuewe kwa tamaa zenu wenzenu kenya wamewatimua hao wahuni ila nyie tamaa zenu na kutokua na udharendo hilo soko likiisha hawo wanao jenga watakua wanaleta bidhaa zao nakuuza hapo unazani sasa wananchi wenu waliopo kariakoo wao watafanya biashara gani nawakati wachina watakua nasoko lao hapo huo niupuuz na kutokua na mawazo nakutokua na uzarendo nchi hii imejaa viongoz wahuni na walio kosa malifa weng wamejawa natamaa tu kwaajili ya matumbo yao nawatoto wao
@alfredibrahim7085
@alfredibrahim7085 Жыл бұрын
Mradi ni mzuri japo una wenyewe ila mbon mnarudisha foleni mmefanya utafiti kweli
@wiliummahaya2482
@wiliummahaya2482 Жыл бұрын
Vipi kwema
@thomasbutingo17
@thomasbutingo17 Жыл бұрын
Wachina nawakubali xn kwa Technology na Engineering wao ni no. 1
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo Жыл бұрын
Sawa kabisa. Ila wachina wasiuze na wasiwe machinga kama Kariakoo?
@daudimazengo7772
@daudimazengo7772 Жыл бұрын
Dar inauwezo wa kubeba hata ghorofa 100. Kwanini ni ghorofa 3 tu?
@Andres-qt6kp
@Andres-qt6kp Жыл бұрын
Tatizo la upotoshaji kwa watangazaji wetu ni kubwa kama sio cancer huu Mradi ulianza awamu ya tano na miundo mbinu ya barabara kutoka mawasiliano kwenda ubungo ilikamilika kabla JPM hajafariki ni vizuri historia ikabaki katika uhalisia na kama angekuweko huu Mradi ungekua umeanza kazi mimi ni mdau wa huo mradi nilichukua form sep 2020.
@omarymkamba3045
@omarymkamba3045 Жыл бұрын
Sio kweli bararabara na stendi ni mradi wa mwendo kasi ni mradi tofaauti kabisa na huu wa soko.
@Andres-qt6kp
@Andres-qt6kp Жыл бұрын
@@omarymkamba3045Mradi wa mwendo kasi ni moja ya miundo mbinu ya kuwafikisha wateja hapo kutoka kuona zote za Dar ndio plan ya Soko hilo kwa taarifa kampuni inayo jenga Soko hilo wameweka Kambi Ubungo plaza hotel since 2019 na kuna picha Mvano wa jengo litakavyo kuwa ndio tulipolipia kupata eneo la biashara
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
​@@omarymkamba3045kuma nyingine hii mbichi kabisaa inatafuta BORO la KIRUGULU 😂😂🤣🤣
@luganomwaisumo1938
@luganomwaisumo1938 Жыл бұрын
Wote ni watanzania acheni ushabiki wa simba na yanga kwenye maendeleo ya Tanzania,tunacho taka maendeleo
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo Жыл бұрын
Yes, huo ni upotoshaji mkubwa. Mfano. Eti ameupiga mwingi na kuzima kabisa dira ys hayati JPM? Hii hakika waandishi wetu wawe wakwe? Mnyonge mnyongeni lakini.......? R.I.P. JPM. AMINA.
@SimonpaulMayunga
@SimonpaulMayunga Жыл бұрын
Mheshimiwa nimesikia umesema kutakua na eneo la baa na kumbi za starehe mbona sijasikia kama kutakuwa na maeneo yakufanya na ibada(kuswali) jaman tumkumbuke na mungu yy ndo atupae nguvu ya utajiri
@mosesnyelo1380
@mosesnyelo1380 Жыл бұрын
Kwani misikiti si ipo tu mingi jaman
@abrahmanifarouckissa5662
@abrahmanifarouckissa5662 Жыл бұрын
muhimu sanaaa
@user-kr5dp2ip9g
@user-kr5dp2ip9g Жыл бұрын
Ulitaka hilo eneo wajenge misikiti na makanisa alafu watu waende kumuomba Mungu ili wapate ajira si ndio?! 😂🤦🏾
@J4UPro
@J4UPro Жыл бұрын
Shetani yupo mbele kwa sasahivi
@hsaid8659
@hsaid8659 Жыл бұрын
Mbona UK kila mall kuna sehemu ya kufanya ibada
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 Жыл бұрын
Kariakoo ifungwe kabisa. Kariakoo hamna vyoo hamna barabara za kupita , hamna hewa nzuri , mitaro inashindwa kuhimili maji taka, hamna parking za magari, hamna sehemu za maji ya zimamoto, majengo yamekaribiana sana bila kuacha njia. Naomba serikali ifunge Kariakoo wafanyabiashara wote wahamie hapo.
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 Жыл бұрын
Unatumia akili au haga?
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 Жыл бұрын
Viongoz wakiafrika acheni tamaa mana hizo faida mnazo zipata kwa ajir ya familia zenu kumbukeni hamtazikwa nazo mtaziacha kuweni na uzarendo acheni tamaa ipo siku moja yenu kila kitu kina mwisho siku moja mwisho wenu utafika
@AfricaQueen
@AfricaQueen Жыл бұрын
Na magari ya zimamoto weka nayo matatu🤔Hilo ndio muhimu🤝
@sosthenesmaemba
@sosthenesmaemba Жыл бұрын
Kila kitu Dar, ndio nini, sasa hata sie wa Kanda ya ziwa tunaitaji vitu hivyo
@zolongOne
@zolongOne 11 ай бұрын
Wanunuzi wapo huko? Hilo ndio tatizo
@anthonypatrice5247
@anthonypatrice5247 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢 tunahitaji viwanda siyo maduka
@amosiabdulallh7965
@amosiabdulallh7965 Жыл бұрын
Maduka tunaajiri ww
@amosiabdulallh7965
@amosiabdulallh7965 Жыл бұрын
Tunasajir ww
@eng_jocha
@eng_jocha Жыл бұрын
Ndo tunazidi fanywa soko la bidhaa zao. Ukiwa mfanyabiashara wa kati hutowaza sana kuwepo ama kusiwepo viwanda vyetu
@johnzege209
@johnzege209 Жыл бұрын
Viwanda bila masoko?acha ujinga
@abelimwakijungu1226
@abelimwakijungu1226 6 ай бұрын
Tunahitaji watu wengi zaidi wenye fikra kama wewe
@zolongOne
@zolongOne 11 ай бұрын
Mwezi wa tatu huu
@hajimgwami5224
@hajimgwami5224 Жыл бұрын
KITU KIZURI SANAAAA
@frankmare1708
@frankmare1708 Жыл бұрын
Mtoa maelezo kuna uswahili mwingi sana maswali ya msingi unakwepa, umeulizwa dakika ya 8:09 ila jibu ulo toa hata hueleweki
@havefun4free615
@havefun4free615 Жыл бұрын
anatutoa mchezonii😂😂 huenda hata yeye haelewi maana maelezo aliotoa hapo ni kama maduka hayatokuwa ya wabongo..
@AliAbdalla-lb8su
@AliAbdalla-lb8su Жыл бұрын
Nyie wabara hamna jema kila kitu munaekewa nyie lakini hamutaki sjui munataka nini basi iyo miradi tuleteeni sisi zanzibar maana tumesahaulika kila kitu tunaekwa nyuma km nchi tofauti wakati ni nchi moja hii Tanzania 🇹🇿
@emilbocco5895
@emilbocco5895 Жыл бұрын
Acha wivu, samia ni rais wa bara, Mwinyi ni rais wa zanzibar ,Muungano wetu haumpi nafasi samia kuingilia biashara za zanzibar, ulishasikia samia ameuza kisiwa huko zanzibar, huku bara anaweza kufanya chochote akijisikia, kwa ufupi Tanganyika rais wake ni samia Hassan
@faisalkamara6122
@faisalkamara6122 Жыл бұрын
Uwekezaji ungefanyika kwenye uzalishaji na sio maduka. Tanzania itageuka kuwa nchi ya wachuuzi sia wazalishaji. Tunauza vitu ambavyo hatuvizalishi tunawafaidisha wengine.
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 Жыл бұрын
Hii ni Africa nzima itakuwa inakuja sio tu Tanzania yaani china imehamia Dar
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187 Жыл бұрын
​@@davidanselmo4041unaona sawa kugeuzwa frem? Point ni viwanda
@alfredibrahim7085
@alfredibrahim7085 Жыл бұрын
Wachina wameamua
@tanzaniayetu6973
@tanzaniayetu6973 Жыл бұрын
Arusha kwannn hamjengi soko lakisasa namanga ili mpaka utumike kibiashara,viongozi waarusha hamuutendei haki jiji la arusha kabisa,ukizunguka mipaka mingine ya nchi hii utagundua kunafedha nyingi hazikusanywi ipasavyo mpakani
@felicianfrancis9895
@felicianfrancis9895 Жыл бұрын
Kwani akija mzimbabwe kuna shida gani?? Africa ni moja, wazawa sawa wapewe kipaumbele na wageni pia si mbaya. Kwani hakuna watanzania wanaofanya biashara nje ya nchi hii?? Badili mitazamo, tusonge mbeleew
@mcback4384
@mcback4384 Жыл бұрын
Mzawa kwanza mzee, hata huko unakotaja wazawa lazima wapewe kipaumbele
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿 kwanza wazawa kwanza huo ndio mwendo hutaki hamia Mogadishu 😂😂😂🤣🤣🤣
@Amanofpeople-p5t
@Amanofpeople-p5t 5 ай бұрын
Family abv all & ur county above anything 🇹🇿
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo Жыл бұрын
Imeenda hiyo kwamba Soko la Kariakoo litakuwa na hali gani? Au ndio........?
@straitnews3441
@straitnews3441 Жыл бұрын
Kwa mmenda kuongeza msongamano wa magari hapo tenA😢
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Hayo maduka yalitangazwa kwa watu ili washindanishwe?!
@amanam2735
@amanam2735 Жыл бұрын
Machinga Complex imejaa?
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 Жыл бұрын
Wachina watawekeza Kwa mda Gani hapo?
@brianjulius781
@brianjulius781 Жыл бұрын
bado hakujibu swali Mtu akihitaji mzigo mkubwa Kama pisi 400 au 500 za nguo anaweza kupata hapo hapo au ndo vilevile uagizwe Tena kwa kuweka oder
@malikkb6444
@malikkb6444 Жыл бұрын
Ushambiwa unaupata hapohapo
@jumannemfaume
@jumannemfaume Жыл бұрын
Unapata hapo hapo ni soko kubwa la jumla kama vile masoko ya dubai na Yale ya china
@rarevisuals
@rarevisuals Жыл бұрын
mi nadhani mmeongea na mtu asie sahihi.....hamna kitu anaongea zaidi ya kutuvuruga tu. Mara maduka ni ya wazawa mara ni mbadala wa mtanzania kwenda kununua china....huyu kawaka sio bure.
@MalikJabil
@MalikJabil Жыл бұрын
Wachina wanatengeneza soko inje ya inchi yao, na wewe unaweka mipaka kwa wa zimbabwe ,waburundi na wacongo,unahisi wakisusa kuja kurangua izo bizaa,ilo soko si utafugia nguruwe?
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
@User tulia kuma yako matakoni iwazi 😂😂🤣🤣
@fadhilisecha4268
@fadhilisecha4268 Жыл бұрын
Zembwela huelewekagi tena siku izi.. hopeless.
@mosesnyelo1380
@mosesnyelo1380 Жыл бұрын
Tatzo kila jambo mnawaza siasa ndo shida
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 Жыл бұрын
Wewe akili yako ndio haieleweki ndugu sasa kosa la Zembwela nini hapo? Visilani tu
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
Hilo jina tu unajua kabisaa hii ni hasara 00 akili 😂😂🤣🤣
@altonkanjolonga2380
@altonkanjolonga2380 Жыл бұрын
heshima yake yote imenunuliwa aibu tupu
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo Жыл бұрын
KUMBE WAZAWA TUNAWEZA MIRADI MIKUBWA? HONGERA SANA. KULIKONI BANDARI ZETU? NADHANI TUMEKENGEUKA TU. HADI WAARABU WAMEPEPERUSHA BENDARA YETU KWA KUSHEREHEKEA JAMBO LAO?
@eng_jocha
@eng_jocha Жыл бұрын
Mwenye nyumba anampangisha mpangaji afu mpangaji anafanya sherehe kumpongeza mwenye nyumba ujue ndani hiyo nyumba kuna.......(malizia mwenyewe)
@daudimazengo7772
@daudimazengo7772 Жыл бұрын
Mhhhhh hapo Tanzania ya viwanda imebaki story. Itakuwa Tanzania ya already made materials. Chezea ngozi nyeupe wewe
@emilbocco5895
@emilbocco5895 Жыл бұрын
Kwani viwanda vikijengwa Tanzania ,hizo bizaa wataziuza kwenye soko gani? Tembeleeni nchi zilizoendelea ndio mtajua huu mradi unamaana gani,
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 Жыл бұрын
Huu nimrad wa faida zenu na familia zenu ila sio kwasababu ya mtanzania acheni kuwaongopea watanzania sisi hatujasoma ila akili tunazo mnakuja kuuwa soko la kariakoo ambalo ni watanzania ndiowako hapo acheni kutuona sisi hatuna akili
@jumamnemo8383
@jumamnemo8383 Жыл бұрын
Maneno matatu ya mwisho katika comment yako.yanakueleza ulivyo
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
Balaa! Mvua kubwa Dar, tazama Jamaa alivyoitafuta Pikipiki yake kwenye maji
6:08
MIUNDOMBINU RAFIKI JIJINI DAR ES SALAAM
10:15
Wizara ya Ujenzi
Рет қаралды 8 М.
Serikali ya Tanzania yafikia makubaliano na wafanyabiashara.
9:59
BBC News Swahili
Рет қаралды 17 М.
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19