MAGOLI YOTE MNARA WA 4G TUKIMCHAKAZA FOUNTAIN GATE | FT SIMBA SC (4) VS FOUNTAIN GATE (0)

  Рет қаралды 113,676

Simba SC Tanzania

Simba SC Tanzania

Күн бұрын

Пікірлер: 82
@UpendoMwalukasa-y9h
@UpendoMwalukasa-y9h 2 ай бұрын
Tuiyombee team yetu wana msimbazi saivi ipo kwenye njia eemwenyezi mungu ibariki simbaaa
@khadijaHamis-nf2ko
@khadijaHamis-nf2ko 2 ай бұрын
Amin
@TinaMussa-p3c
@TinaMussa-p3c 2 ай бұрын
Simba inaaza kuunganika wachezaji wanaanza kuelewana uwanjani wanasimba tumtangulize mungu jamani kuiombea simba
@dixhangdecious7528
@dixhangdecious7528 2 ай бұрын
Kama una amini amechukua ameweka ahouwaaaaaaa gonga like apa👍❤️
@monicachacha455
@monicachacha455 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@MariamYahay
@MariamYahay 2 ай бұрын
❤🎉
@dixhangdecious7528
@dixhangdecious7528 Ай бұрын
@@monicachacha455 ❤️❤️❤️❤️karb🥰
@miangijunior4358
@miangijunior4358 2 ай бұрын
Ni 🔥 Tume enjoy sn Asanteni Wanajeshi wetu Kwa kutupatia furaha Na Ongera kubwa Kwa Waalimu kazi kubwa sn Wachezaji wanacheza kiteam na molari pamoja na kiu kubwa ya kupata matoleo mazuri 👏👏 Ila Hispokua YUFUPH KAGOMA Pekeyake ndio kacheza nyondi nyondi kama Kuku anaeumwa mdondo!' Zibwe bro mwambie jamaa ajitambue haifai kunyoosheana vidole kama hivi bhana!".
@SarahCharls
@SarahCharls Ай бұрын
❤❤❤❤huyu ndo mnyama wa miaka ilee kabla ata sjazaliwa
@CarimPhilipo
@CarimPhilipo 2 ай бұрын
Yaaani simbayetu imeanza kutufurahishaaaa❤❤❤
@BoniphasLukas-c3c
@BoniphasLukas-c3c 2 ай бұрын
Busta inazid kufunguka ila viongoz wetu wawe makin Kila sku tusiingiziwe vibaraka ndan timu wawe makin namangungu asituuze Tena mbele yasafar Yan safar hii hata supu yakuongoza msalit. Ndan timu yetu tunakunywa mm nipo tayariii Simba nguvu mojaaaa ubaya ubwelaaa❤❤❤❤❤❤❤
@monde-cg4tt
@monde-cg4tt 2 ай бұрын
Leo nimeenjoy sana,,hasa kwa ahoa na mkwala
@Dativa-b6p
@Dativa-b6p 2 ай бұрын
Naipenda Simba timu yangu ❤❤❤❤❤❤❤❤
@MohamediSadick-z7s
@MohamediSadick-z7s 2 ай бұрын
Simba 2 endeleee❤ 3:23 kupamba 2takua saw2
@nshaijatedy5512
@nshaijatedy5512 2 ай бұрын
Yan kunawatu wanazalau chama lang ila wataelewa , tu, tbr tulioichapa Leo kachukua point 3 kusn
@NgussaSasirio
@NgussaSasirio 2 ай бұрын
Waooooooo nainjoiiiiiii🎉🎉🎉Santee sanaa😂wanasimba😂😂😂😂
@JustineSilukala-io3nd
@JustineSilukala-io3nd 2 ай бұрын
Kocha aangalietu pasi zamwisho Bado sana finish pass Bado wachezaji watulie kule mbele wa mtolee mkwala pasi nzuli zamwisho
@shaffihsiraji3141
@shaffihsiraji3141 2 ай бұрын
Scout wetu Msimu huu wamekula hela kihalali hawajatupiga🫡
@ShafiiMbande
@ShafiiMbande 2 ай бұрын
Saf sana ahoua umefanya kazi kubwa pamoja na wachezaj wenzio, wanasimba tuelewe tunapokosoa wachezaj sio kwamba hatuwapendi no, ila tunajaribu kuwa motivate wasiridhike nguvu moja
@abelimaganga417
@abelimaganga417 2 ай бұрын
Wew ngoda wew Leo umenikosha mnoooo❤❤❤❤
@CarimPhilipo
@CarimPhilipo 2 ай бұрын
Naipenda mileleeee❤❤❤
@AcksunBonifas-mj2sw
@AcksunBonifas-mj2sw 2 ай бұрын
simba's my life❤❤❤❤❤❤❤
@almasijunior103
@almasijunior103 2 ай бұрын
Ahoua 2 match 3 assist 1 goal so far so 👍
@BoniphaceLwambo
@BoniphaceLwambo 2 ай бұрын
Msimu wetu na misimu yetu...
@ferdinandntembagara2949
@ferdinandntembagara2949 2 ай бұрын
Simba Bado sana. Hii tim Haina kipa wa back
@ZachaZacharia
@ZachaZacharia 2 ай бұрын
Charles ahuoa💪💪
@Merrymerry-l4n
@Merrymerry-l4n 2 ай бұрын
🦁🦁🦁🦁🦁
@onanimtemela37
@onanimtemela37 2 ай бұрын
Simba bado sana magoli yambinde tu.
@monicachacha455
@monicachacha455 2 ай бұрын
simba nguvu moja ❤❤❤❤
@PaulKitambala-z4x
@PaulKitambala-z4x 2 ай бұрын
sawa kaka tuiombee oteee
@MariamYahay
@MariamYahay 2 ай бұрын
❤🎉
@absm8084
@absm8084 2 ай бұрын
Huyu Jean Ahoua❤❤❤❤❤
@MaryamMalcolm
@MaryamMalcolm 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 2 ай бұрын
Hii Simba bado naona mabao mengi inapoteza. Ikiwaka maji waita mma😂😂 Simba nguvu moja❤❤❤❤❤❤❤
@john-mj4px
@john-mj4px 2 ай бұрын
🎉🎉❤
@imanuelibra
@imanuelibra Ай бұрын
simba na halihilali sangap jaman
@ogtv9222
@ogtv9222 2 ай бұрын
🔥🔥🔥
@sulejmandj7582
@sulejmandj7582 2 ай бұрын
Love you SIMBA ❤️❤️
@adelikelivisadelikelivis9051
@adelikelivisadelikelivis9051 2 ай бұрын
Waooooooo🎉
@adamtunda7795
@adamtunda7795 2 ай бұрын
Nakubar wanangu
@voisaclassic1866
@voisaclassic1866 2 ай бұрын
Tuna timu nzuri
@neemaraphael8732
@neemaraphael8732 2 ай бұрын
Ahouwaaaa Kama sakho asanteni wachezaji wetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 2 ай бұрын
Kabisa,sakho alikuwa MTAMU sana
@MartinMbwana-t9r
@MartinMbwana-t9r 2 ай бұрын
Nguvu moja 💪💪💪💪💪🦁
@gatsonmatiko8000
@gatsonmatiko8000 2 ай бұрын
Simba nguvu moja ❤❤❤❤❤❤
@ChrispinAchilah
@ChrispinAchilah 2 ай бұрын
Jamani muwe mna upload video zenye quality nzuri
@GabrielJoseph-h7m
@GabrielJoseph-h7m 2 ай бұрын
Simba ya ubaya ubwelaaaaaaaa
@JoseEmanuel-ug3lo
@JoseEmanuel-ug3lo 2 ай бұрын
Mnyamaaaaaa kwenye ubola wake
@MchungajiNzelani
@MchungajiNzelani 2 ай бұрын
Nyie mtakula nyingi ohooo
@DanielChaula
@DanielChaula 2 ай бұрын
Unyama mwingi sana
@Dannymwaki
@Dannymwaki 2 ай бұрын
Ubaya ubwela
@BarakaMgala-c5b
@BarakaMgala-c5b 2 ай бұрын
Nikweli scouti wamejitahidi ila bado kidogo mtowa BC zamwisho
@champion.906
@champion.906 2 ай бұрын
Kipa na mabeki wake wote wakatwe mishahara😂😂
@PhilipoKabalo
@PhilipoKabalo 2 ай бұрын
Yes good
@One_5_l
@One_5_l 2 ай бұрын
Sio poa hizi ni sura za maangamizi
@kassimdadi5406
@kassimdadi5406 2 ай бұрын
🎉
@JentoMmary-et7py
@JentoMmary-et7py 2 ай бұрын
Izo ndio mechi zinazowadanganya nakuwasahaulisha muone mnatimu imara wakat sngda wanakabia macho nawanaachia mianya mingi makosa Kama hayo msitegemee kukutana nayo kiulahis
@KaraniBitacharles
@KaraniBitacharles 2 ай бұрын
Na bado
@Basagamp4
@Basagamp4 2 ай бұрын
Taaratibu taaratibu vitu vinajipa😂
@MwatangaSeleman
@MwatangaSeleman 2 ай бұрын
Ha ha ha Kwan mbna tim pinzan hawakabi au macho yang😅😊
@jamesjoseph-n1o
@jamesjoseph-n1o 2 ай бұрын
Tutumieni mechi nzima jamani sisi tuku nje ya nchi ili tuione tim yetu jamani kwani hamuwezi?
@HOLINESSPIUSE-gv8ud
@HOLINESSPIUSE-gv8ud 2 ай бұрын
Gori bora ni la awaaaaaaaaaaaaaaaa eti 🎉🎉🎉🎉🎉achukue maua yake John
@MohamedKalatula
@MohamedKalatula 2 ай бұрын
Amna kipaa umoo
@JacksonMartin-pb2vq
@JacksonMartin-pb2vq 2 ай бұрын
Hii timu imeingiaje ligi kuu
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 2 ай бұрын
Mimi sihiifahamu kabisa inatoka mkowa gani kwani
@jumasagi2840
@jumasagi2840 2 ай бұрын
marwa .juma sagi❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
@jumasagi2840
@jumasagi2840 2 ай бұрын
Marwa juma sagi na ramdai👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@hancysadaty4799
@hancysadaty4799 2 ай бұрын
Kipa amna kitu magari ya kawaida
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 2 ай бұрын
Kuma ww kwenda
@AsiaShaban-k3w
@AsiaShaban-k3w 2 ай бұрын
Huo Ndio ubaya ubwela
@musahaji5637
@musahaji5637 2 ай бұрын
Timu ni mbovu nyie jipigien tu ila yanga akishinda msiseme amebebwa au amehonga
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 2 ай бұрын
Na jna je??kwel nyani haoni kundu lake
@godstarmovies1527
@godstarmovies1527 2 ай бұрын
mbovu mamko
@iddykanani3311
@iddykanani3311 2 ай бұрын
Wewe mkundu unaongea usenge hapa? Yanga ni nani hapa unaongea uchafu hapa?
@moniepaul8972
@moniepaul8972 2 ай бұрын
Mchawi utamjua ata ukila ugali mkavu ataumia tu
@joshuameckson8032
@joshuameckson8032 2 ай бұрын
Yanga ndo takataka gan
@miangijunior4358
@miangijunior4358 2 ай бұрын
Ni 🔥 Tume enjoy sn Asanteni Wanajeshi wetu Kwa kutupatia furaha Na Ongera kubwa Kwa Waalimu kazi kubwa sn Wachezaji wanacheza kiteam na molari pamoja na kiu kubwa ya kupata matoleo mazuri 👏👏 Ila Hispokua YUFUPH KAGOMA Pekeyake ndio kacheza nyondi nyondi kama Kuku anaeumwa mdondo!' Zibwe bro mwambie jamaa ajitambue haifai kunyoosheana vidole kama hivi bhana!".
@FedPaulo
@FedPaulo 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@marwagimwa4861
@marwagimwa4861 2 ай бұрын
Ubaya Ubwela
@HassaniKorongo
@HassaniKorongo 2 ай бұрын
Ubaya ubwela
@westhaule4946
@westhaule4946 2 ай бұрын
Ubaya ubwela
Family Love #funny #sigma
00:16
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 13 МЛН
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 38 МЛН
Yay, My Dad Is a Vending Machine! 🛍️😆 #funny #prank #comedy
00:17
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
Family Love #funny #sigma
00:16
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 13 МЛН