Mungu mbariki Rais wangu Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa mambo yake mazuri anayo ya tenda kwenye Taifa hili ni mtu anaye penda kukaa na watu na kuwa saidia pamoja na kuwa sikiliza shida za wananchi wake lengo ni kuleta maendeleo ya Taifa hili la Tanzania ili kizazi kijacho pia kije kinufaike na maendeleo ya Taifa hili. God Bless JOHN JOSEPH MAGYFULI
@twalibalihamza2805 жыл бұрын
THE KING IS SAILING WITH HIS PEOPLE WOW
@Jafreez7 ай бұрын
He was not a president nor a king actually he was a small prophet 🎉
@jenyyusuph49735 жыл бұрын
Haki sitachoka kutizama matendo ya Raisi Jpm niwatofauti kabisa niraha sana kua na mkuu wa chi simple namna hii ishi ishi Maguful
@teddykanondo57535 жыл бұрын
Uchaguzi umekaribia ndio maana anajichanganya. Subiri kesi za Tundu Lisu ICC utanyea ndoo.
@damasiwema48595 жыл бұрын
Sex
@davidngutunyi41175 жыл бұрын
Jamani,huyu ndiye rais tuliyemuhitaji...ubarikiwe mzee magufuli....
@rukiaosman84165 жыл бұрын
Wallahi huyu ni raisi wakweli mashaallah
@elizabethgiven83635 жыл бұрын
Wanaomchukia JPM wote niwezi skuzote mwizi ampendi Askali
@mrtv94935 жыл бұрын
Haaaaaaa kabisaaaaa
@michaelmathew83095 жыл бұрын
Magufuli nampenda sana
@frankmnale19005 жыл бұрын
Ongera sana mzee wetu unaonesha uzalendo mkubwa.....
@hapakazitu73645 жыл бұрын
Sina cha kukupa ila nakuombea kwa mwenyezi Mungu maana nchi ilikuwa taabani na umeinusuru kwa ujasiri wako sijaona wa kurithi ukitoka mpaka leo
@elizabethgiven83635 жыл бұрын
Mangufu aunatofauti na yesu Mungu akubariki sana
@meshakikigumbi44595 жыл бұрын
Elizabeth Given acha upumbavu wako achana utani na jina la mokozi yesu
@mhinajohn15485 жыл бұрын
Yani mpaka huwa nalia kwa furaha
@frankmnale19005 жыл бұрын
Mzee wetu 2020 usiangaike kupiga kampeni ...........kaa na familia yako, mambo unayoyafanya yanaonekana...!!!
@lucasnyahi32815 жыл бұрын
Mungu,ninaomba kwa Jina la YESU MBARIKI RAIS WETU,MH MAGUFURI.
@romanambelle63565 жыл бұрын
Ukinuna eleza sababu za kununa. Nakukubali sana Rais wangu Mhe.JPM wewe ni kiongozi wa watu. 2020 wakichukua fomu watishia kuaibika.
@adillhabib20065 жыл бұрын
hzo sifa
@romanambelle63565 жыл бұрын
@@adillhabib2006 hahaaaa Adill bhana hutaki au humpendi?
@exhaudyvalentine17675 жыл бұрын
Alikuwa wapi huyu baba mbaka nchi ilichakaaa tumempata wakuipaka rangi Na Mungu akuongezee vyema
@rosemarymsulwa2035 жыл бұрын
Semeni lingine. 2020 Habari ndiyo hii
@adeckthebodyguardmveme37295 жыл бұрын
tutake nini tena watanzania kwa kiongozi huyu mungu tunasema asante tunaomba maisha marefu kwa president wetu .
@aishaail44555 жыл бұрын
Kinga nibora ,life jackets muhimu sana kwa abiria pindi wanapo 2mia vyombo vya baharin.
@ndamayapemakanda13385 жыл бұрын
Amevunja sheria,hurusiwi kupga picha
@tzmny49095 жыл бұрын
chizi
@dr.erickjmazyala89055 жыл бұрын
Mungu azidi kumuongoza rais wetu mpendwa na serikali yetu! Mungu azidi kuibariki Tz!
@matokeokidatochanneelias48835 жыл бұрын
G
@mambompemba71975 жыл бұрын
Makubwa,,,, anko magu kwend disko, 2020 kura O
@francischarles4985 жыл бұрын
Nchi nisalama ndio unaweza Fanya ivi
@chadogyfrankibrahim29765 жыл бұрын
Love you forever dingi ten
@domisiatimasatu92665 жыл бұрын
atv
@fediliaulomi49695 жыл бұрын
uyu mzee ana atari
@aggreyandrew5465 жыл бұрын
ukinuna uwe na sababu!
@tomasmajariw70605 жыл бұрын
Aggrey Andrew ukinuna
@exhaudyvalentine17675 жыл бұрын
Nmeitazama zaidi ya mara nne hakika ninjema
@elizachota63617 жыл бұрын
love you my President magufuli
@mnzavachris54237 жыл бұрын
Eliza Chota .
@arthurmwakanyamale76517 жыл бұрын
nzuri sana
@rashidimpigachai79875 жыл бұрын
Shikamoo MZEE nakukubali sana kwa utendaji wako wa kazi,mungu akulinde kwa kila shali
@jumahnassor84715 жыл бұрын
Ferry ina lipishwa Tanzania............!?
@salaamclinicoftraditionalm36415 жыл бұрын
Kwa maradhi sugu,uzazi na uungaji wa mifupa karibu kituoni kwetu Chanika kwa Dadi
@witnessemmanuel87855 жыл бұрын
Mimi sijawahi kuona mtu anaependa kujichang'anya na watu wa hali ya chini,nilijuaga ntaishia kuwaona kwenye TV tu,MUNGU akutunze
@johnmagwila30025 жыл бұрын
Raisi wangu hongera saana mie yangu macho na kila nikigeuka sioni wa namna yako baba tunakupenda hakika wewe ni chaguo kutoka kwa mungu, kiboko cha mafisadi, CCM Oyeee
@hassanaloobaidan255 жыл бұрын
Nimeipenda sana hiii
@salaamclinicoftraditionalm36415 жыл бұрын
Hii ni nzuri sana
@christizarzak11735 жыл бұрын
Jamaa mzuri kweli
@petermutuma79705 жыл бұрын
Atafuta kura kwa njia ya aina yake
@hassanissa79425 жыл бұрын
Huyu mzee sikumpigia kura lakini najutta ila marahii kufakupona
@benlaizer99365 жыл бұрын
Hakika Tanzania ilihitaji rais Kama Dr. John atibu taabu no shida zetu, baba Mungu azidi kukuhekimisha na kukupa maarifa zaidi uone mbali wewe ndiwe musa wa leo kwa tz na afrika na ulimwengu wote.
@musahussein32065 жыл бұрын
Huyo jamaa aliye pewa tano kafurahi kweli daaa
@keyakeya89115 жыл бұрын
Anamuiga nyerere nyerere pia alikua simple sana
@abuuashyam84175 жыл бұрын
nanyie asa mnataka sifa yaani mnazani kila sehemu uyo raisi kategwaau
@yonaziyeremia89435 жыл бұрын
Kweli inapedeza sana
@selemanajali63365 жыл бұрын
Hatariii hiyoo
@abdullmathiasjaji68545 жыл бұрын
Hapo walinzi wana kazi kubwa sana
@ebenezerfreight33095 жыл бұрын
Well organised
@niceone93925 жыл бұрын
Dadeq, uyu ndo msukuma
@gabrieladam4915 жыл бұрын
Huyu ndiye JPM
@zakaboy13055 жыл бұрын
daah hii inavutia sana
@evelyneakimanatanzania97565 жыл бұрын
magu.nagupenda.bure.babangu
@novathmosha11195 жыл бұрын
asirei nashilole
@barakalazaromollel62915 жыл бұрын
uyo kasha pita mbn
@zainabuhmbabazi49285 жыл бұрын
Hof ya nn y si binadam alaaa
@nassibsaid73565 жыл бұрын
Watu walipata status za kueka hapo
@mgishajafali99045 жыл бұрын
Akili mingi
@hassanaloobaidan255 жыл бұрын
Mola akupe umri usimamie yale yalo mema
@mshamhemed66075 жыл бұрын
mmmmmh mungu asante
@atibumdem80985 жыл бұрын
Baba piga kazi
@jumaseleman52075 жыл бұрын
mtu wa watu piga kazi tinga tinga
@mourenfrancis65925 жыл бұрын
Cjutii kiku chagua jpm
@franckfreyzol8075 жыл бұрын
Duuuh!rais wa watanzania.
@bahatimuhamedi84815 жыл бұрын
Zur Sana'a
@mjukuuwakaswaga18085 жыл бұрын
Duh!
@alikhamis60335 жыл бұрын
Hana tofauti na raisi wetu wa mwanzo zanziber ila watanganyika walimuua mzee karume