Рет қаралды 1,556
Mahakama Kuu ya Tanzania imekubaliana na hoja zilizowasilishwa na wananchi watatu, Bob Chacha Wangwe, Bubelwa Kaiza na Dk Ananilea Nkya ambapo imetoa ruhusa kwa wananchi hao kuendelea na hatua nyingine za kufungua shauri kupinga Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kusimamia uchaguzi wa Serikali za mitaa.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.