MAHAKAMA YA GEITA YASIKILIZA NA KUKAMILISHA MASHAURI 8,000 (94.2 %).

  Рет қаралды 34

Gold TV

Gold TV

Күн бұрын

Jaji Mfawidhi wa mahakama kuu Kanda ya Geita Kelvin Mhina amesema mashauri zaidi ya elf 8 sawa na asimilia 94.2 yamesikilizwa na kukamilishwa kwa mwaka 2024 ikiwa ni moja ya malengo waliyojiwekea ya kumaliza kesi zote kwa wakati na kwa viwango vya juu zaidi.
Jaji Mhina ametoa kauli hiyi katika Kilele cha maadhimisho ya wiki ya mahakama Nchini ambapo katika mkoa wa Geita yamefanyika katika viwanja wa Mama Samia mjini Geita huku akisema ahadi waliyojiwekea kwa mwaka jana lilikuwa kuwafikia wateja wote kwa wakati.
Kwa uapande wake Mkuu wa mkoa wa Geita Martine Shigela amewataka waandishi wa habari kuandika habari za kesi za madai kwa uwazi bila kuogopa, kwani atahakikisha analinda usalama wao.
Leo Februari 3, 2025 ni kilele cha maadhimisho ya wiki ya mahakama Nchini, ikienda na kaulimbiu isemayo, “Tanzania Ya 2050: Nafasi Ya Taasisi Zinazosimamia Haki Madai Katika Kufikia Malengo Makuu Ya Dira Ya Taifa Ya Maendeleo”.

Пікірлер
SPLASH BALLOON
00:44
Natan por Aí
Рет қаралды 27 МЛН
NERF TIMBITS BLASTER
00:39
MacDannyGun
Рет қаралды 14 МЛН
Шаурма с сюрпризом
00:16
Новостной Гусь
Рет қаралды 6 МЛН
WADAU WATEMBELEA MGODI WA MADINI WA GEITA GOLD MINE (GGM)
13:57
ubx media
Рет қаралды 4,6 М.
NEW: Elon Musk On The Future Of Warfare
30:42
Farzad
Рет қаралды 641 М.
WASIRA ATUA GEITA ATEMA CHECHE AWAONYA WANAOIBEZA CCM
8:52
Storm FM Geita
Рет қаралды 1,7 М.
SPLASH BALLOON
00:44
Natan por Aí
Рет қаралды 27 МЛН