Mahojiano na Mshindi wa Green Card Lottery toka TANZANIA aingia USA wiki hii (PART 1)

  Рет қаралды 14,292

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

Пікірлер: 139
@jocelyneedward
@jocelyneedward Жыл бұрын
Asante @ebm EBM, hakika ninakufuatilia Kwa ukaribu mnoo nazidi kujifunza. Lakini hapo Kwa middle name tunaomba maelezo Kwa kina kidogo. Pia interview ni nzuri. Lakini ningeshauri ungekuwa unawauliza vitu kama Gharama walizotumia, kufanya medical, wamefanya wapi, maswali waliyoulizwa kwenye viza interview, case namba walizo pata, pesa ya visa na je alilipia hapo hapo n.k Mimi ningependa kujua vitu kama hivyo binafisi. Lakini yote Kwa yote Mungu aibariki KAZI Yako na muda wako unajitoa Sana Kwa ajili yetu🙏🏽
@flaziaisack4038
@flaziaisack4038 Жыл бұрын
Imekaa poa sana
@omai2crue
@omai2crue Жыл бұрын
@@flaziaisack4038 Kweli kabisa kashindwa kuuliza maswali ya msingii zaidi amekua akitoa somo, Alipaswa andae kipindi maalumu aeleze maisha na changamoto ya wanaopata Green Card..Maana hapo hakuna mahojiano muda mwingi amekuwa akiongea yeye tu..!Muhojiwa anaitikia tu..Hayo si mahojiano kwa maana ya mahojiano..!
@loveandsociety5379
@loveandsociety5379 Жыл бұрын
Mashauz mengiii mshamba uyo ... usihoji watu wapuuz wenye manyodo
@abednegopaul2705
@abednegopaul2705 Жыл бұрын
Kikubwaa Content personality yake tupa kule hayo ndo maisha
@hamadmtumba4345
@hamadmtumba4345 Жыл бұрын
Sana mbka anaboa nyodo sana
@fahmijape9981
@fahmijape9981 Жыл бұрын
Mara ya kwanza ulipocheza na kukosa haikua tu bahati yako ila Middle name haikuwa sababu maana haijalishi ukieweka au usipoweka haina effect yoyote kwenye kuchaguliwa
@Thyme938
@Thyme938 Жыл бұрын
Kwakweli, maana mi mwenyewe nikaanza kuweka viulizo, Passport yangu ina majina ma 3, na Darasani nimesomea ma 2. Nikaanza kujiuliza apo.
@fahmijape9981
@fahmijape9981 Жыл бұрын
@@Thyme938 usiwe na wasi wasi jina haliwezi kukufanya usichaguliwe, vitu ambavyo vinakufanya usishinde ukikosea ni Picha na kufanya application zaidi ya mara moja
@mejajey1260
@mejajey1260 Жыл бұрын
Asante kwa interview zuri ya mshinda wa Green Card, samaani kaka EBM, mimi ni Mrundi, tunaomba kama Mrundi, ufanye interview na Mrundi ambaye ameshinda Green Card.
@ludobudege1662
@ludobudege1662 Жыл бұрын
Huyu mdada mhh! anajiona ameshamaliza maisha
@tryc_579
@tryc_579 Жыл бұрын
Wadau samahanini sio kamati ya roho mbaya ila huyu dada anaonekana ana nyodo kanaonekana kajuaji😂😂😂😂 afu kanatudanganya eti Tanzania hatuna middle name na mbona passport zina majina matatu,nida pia majina matatu 😂😂😂 ila Asante kaka ebm umeweza tunakushuku Sana kwa interviews kama hizi
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 Жыл бұрын
tanzania middle name ipo isipokua tofauti na marekani middle name ni ya mtu mwenyewe sio ya baba, tanzania middle name ni ya baba yako marekani, Uk ni jina lako mwenyewe. yani unakua na majina yako mawili alafu la ukoo wako. sio jina lako la baba yako alafu la ukoo.
@odinakalinga389
@odinakalinga389 Жыл бұрын
Lidada linajishauwa balaa
@tryc_579
@tryc_579 Жыл бұрын
@@sleeprelaxation8431 Sasa ndio atuambieje hatuna middle name? 😂😂 As for me and my country hata Watu wa immigration wanajua mtanzania jina lake la kwanza ni lake la pili la baba yake( ambalo ndio linatumika kama middle name) na la tatu ni la babu yake Leo hii wanapataje ujasili wakumnyima au kumkatalia mtu visa kisa middle name 😂😥😥 doesn't add up labda walimnyima tu kwa vitu baadhi ambavyo havikukamilika ila sio middle name au lah yeye alikua anatumia majina mawili either la baba akadrop la babu au la babu akadrop la baba hapo ndio nitamuelewa Mmarekani kwa kumnyima ila otherwise Hilo la kunyimwa doesn't make sense 😏😏
@tryc_579
@tryc_579 Жыл бұрын
@@odinakalinga389 😂😂
@deborahmwita9278
@deborahmwita9278 Жыл бұрын
Hapana ndio anvyoongea ila haringi ni mtu wa watu
@Raphaelhopes
@Raphaelhopes Жыл бұрын
Thank you my dady mungu akubariki san
@viatorykashabizi2538
@viatorykashabizi2538 3 ай бұрын
May mighty God bless you abundantly in His mighty name of Jesus Christ
@irenembura8045
@irenembura8045 Жыл бұрын
Mmmh yaani maringo mpaka! Sasa akifika huko USA itakuwaje!!
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 Жыл бұрын
ila EBM hii ni professional yako, mimi interview ingeisha the first 3 minutes,, mlio elewa mmeelewa.
@jtheophil5499
@jtheophil5499 Жыл бұрын
Ha ha ha.bora kamuweka katuonyesha ni jinsi gani kuna watu wa mambo ya ovyo.Eti tanzania hatuna middle name.mmh
@samchris1914
@samchris1914 Жыл бұрын
Huyo Dada anarembua sana,,mara hataki mahajiano si apite hv
@Rumafrica
@Rumafrica Жыл бұрын
HOST UNAONGEA SANA KULIKO MHUSIKA. MUACHE MHUSIKA AONGEE ZAIDI
@pastorcarolicarlostokunmbo826
@pastorcarolicarlostokunmbo826 Жыл бұрын
Nakuangalia kutoka Nigeria safi sana.u inspired me with this idea of lottery i will try it.kila la lakheri katika maisha yake US
@michaelkomwiswa7048
@michaelkomwiswa7048 Жыл бұрын
Tunashukuru Bwana EBM kwa kutuelimisha
@martinbarasa3442
@martinbarasa3442 Жыл бұрын
Hongera ndungu
@jyboy5556
@jyboy5556 Жыл бұрын
Siuongee vizuri maana unanyodoo
@jacobkabura5513
@jacobkabura5513 Жыл бұрын
Hongela sana, karibu Marekani
@Dullah257
@Dullah257 Жыл бұрын
Tunashukuru sana bro chanel yako inatuilimisha sana kabisa Mungu abariki kazi yako
@patomoe3950
@patomoe3950 Жыл бұрын
Thanks Ernest Boniface Makulilo
@richardscofeld9136
@richardscofeld9136 Жыл бұрын
Do 🤣ila huyo dada kiboko ashakua kemikali ☣️ kabla hata ya kuingia marekani,akiingia Sasa si atakua acid kabisa huyo , mpaka namuogopa🤣☣️☣️☣️🤷
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Жыл бұрын
Mbona kawaida tu! Sisi tunaona tupo miaka 15 huku tofauti ni kwamba huku tunalipwa kwa saa sio kwa mwenzi na hela ipo juu. pia huku huduma ya afya ya ukiumwa wanaipa kipaumbele unatibiwa kwanza hela badaye yani human rights kwanza. Lakini pia karibu kila kitu wanakata tax ukifanya sana kazi unalipa zaidi serikalini hawachezi na tax lazima ulipe ndo mana huku kunamaendeleo sana mana hakuna janjajanja kwenye hela ya serikali
@richardscofeld9136
@richardscofeld9136 Жыл бұрын
@@ednaJF1028 appreciate
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 Жыл бұрын
​​@@ednaJF1028 husemi kama watumika sana pia ili ukidhi mahitaji yako?stress za bongo kukosa ajira ni afadhali kuliko stress za kulipia kila hatua yako unayo ipita huku ukiwa under control,inakubidi ufanye kazi kupita Robert ili ulipie
@angelnziajose7655
@angelnziajose7655 Жыл бұрын
😂😂😂😂 eti acid
@evalinelaitayo8684
@evalinelaitayo8684 Жыл бұрын
EBM naomba list ya document zinazohitajika I need green lottery card
@ramadhanipongela80
@ramadhanipongela80 Жыл бұрын
Pamoja sana Mimi ni Balozi wako wa Kujitorea hapa Tz
@Manlike96
@Manlike96 Жыл бұрын
Bro tunahitaj kujua challenges watu wanazokutana nazo wakati wa uombaji wa hiyo green card jaribu kurelate na hiyo green card ili watu tupate ideas katika hilo, still haitusaidii kutupa lifestyle ya watu wa huko na the way people lives over there, bado haitusaidii bro
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 Жыл бұрын
Sina uzoefu sana ila kwa kidogo nilivyoyembea maisha ya nje ya nchi sio ya raha sana kama tunavyodhani. Simkatishi mtu tamaa ila mtu ujiandae kuwa hawako free na friendly kama nyumbani. Nilikaa nchi moja kwa wiki mbili ila ilikuwa kama mwaka. Fursa nyumbani zipo pia, ni kuwaza na kuwa na nia. Home ( Tanzania) is the best place to be.
@athumanizaidi8560
@athumanizaidi8560 Жыл бұрын
Tutaenda tu nje tukipata nafasi
@jumabaranyikwa1833
@jumabaranyikwa1833 Жыл бұрын
Hii ni hotuba ya EBM si interview maana mdada hata haongei
@Blessingsoverme
@Blessingsoverme Жыл бұрын
Safi sana Mwashi, Karibu sana US
@deneagrofarms5884
@deneagrofarms5884 Жыл бұрын
Vipi fursa za biashara za mazao huko? I mean kutoa bongo kuleta Marekani? Na kuchukua pembejeo za kilimo huko kuzileta bongo?
@mohammedcharo8217
@mohammedcharo8217 Жыл бұрын
EBM Mambo mazur Aki natamani sana
@barakaanangisye4812
@barakaanangisye4812 Жыл бұрын
i applied my green card lottery last year is my hope to win may 6 ,
@tamicamorena3956
@tamicamorena3956 Жыл бұрын
Mee too
@aishadotto9667
@aishadotto9667 Жыл бұрын
Hello! Kaka watanzania hatuna middle name
@kiki-ko8vi
@kiki-ko8vi Жыл бұрын
Hapo hajafika marekani yupo hvyo
@hamadmtumba4345
@hamadmtumba4345 Жыл бұрын
Mji gani marekani auna snow yani uko nijoto tuu natka kujua jaman?
@oxwad3836
@oxwad3836 Жыл бұрын
Mahijiano mazuri👏🏿👏🏿👏🏿 . 🇹🇿
@maulidmnukwa3171
@maulidmnukwa3171 Жыл бұрын
Mwashi hongera.... Ila unakapozi kauchokozi🙄🙄🙄
@Vees12
@Vees12 Жыл бұрын
Safi sana....
@abednegopaul2705
@abednegopaul2705 Жыл бұрын
Middle NAME thing?
@jabarmalid5393
@jabarmalid5393 Жыл бұрын
Mazee dem mwenye mdomo mzuri uyo keshachuliwa na uncle Samweli.
@deborahmwita9278
@deborahmwita9278 Жыл бұрын
Congratulations Mwashy
@bakariisack5537
@bakariisack5537 Жыл бұрын
Kalibu utakua jilani kutokea canada vancouver
@herriethtz9833
@herriethtz9833 Жыл бұрын
Mbona anajishaua
@issakitundu617
@issakitundu617 Жыл бұрын
huyu bint ni mrembo na anarembua vizuri sana
@fadhilimbuguni5736
@fadhilimbuguni5736 Жыл бұрын
Mbona issue ya Middle name hujubu kaka??? Dada kasema Tanzania hatuna middle name????
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Жыл бұрын
Hahaha, waafrica wote wana middle name....
@flaziaisack4038
@flaziaisack4038 Жыл бұрын
Bro EBM mbona dada ameongelea kuwa Tz hatuna middle name.. Kwa hyo ile middle name tuliojaza kwenye application itatucost? May you please elaborate hii case
@tamicamorena3956
@tamicamorena3956 Жыл бұрын
Namim najiuliza apa kanichanganya
@barakaanangisye4812
@barakaanangisye4812 Жыл бұрын
kajichanganya yan kuna na middle name au kutokuwa na middle name iyo ni optional yani kushindwa kwake mara ya kwanza haimaanishi kwamba alijaza vibaya ama vizuri coz green card lottery ina chagua randomly wapo walio cheza miaka na miaka lakn hawapati sio kwamba wanajaza vibaya tena wanakuaga makini sana ili wasiteleze tena kushinda ni bahati tu ndyo maana inaitwa bahati nasibu
@erickmatojo317
@erickmatojo317 Жыл бұрын
There is no such a thing, Green card ni lottery kama lottery zingine maana yake ni Sandakarawe, Kuwa na middle name au kutokuwa na middle name si kigezo cha kushinda au kutoshinda, unaweza jaza everything perfect ukakosa hata ten years na mwingine anaeza jaza majina tofauti na anawin. So it's just a lottery na bahati tu uliyo nayo. Tanzania tuko na middle name na ndio maana hata kwenye kujaza form kuna box ya middle name kama uko nayo unajaza kama hauna una untick hiyo box so kwenye majina yako yatatokea mawili
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 Жыл бұрын
Kajichanganya na mishap yake marekani ndio hawatumii middle name lakini unajaza kama kawaida ila wanakuwa kwenye ID zako wanaweka majina 2 tu
@bonifacedanielmwakisunga9638
@bonifacedanielmwakisunga9638 Жыл бұрын
Huyo umemtoa wapi ajui kwanza kujibu maswsli anajifanya kuongea kizungu wakati ni mtanzania mbona makulilo Yuko vizuri
@alfakisaidkilaga7605
@alfakisaidkilaga7605 Жыл бұрын
Safi sana
@kashuradiocles1068
@kashuradiocles1068 Жыл бұрын
Dada ebu punguza speed, upo 120km/h wakati speed limit ni 60km/h. Nadhani umenielewa
@tamicamorena3956
@tamicamorena3956 Жыл бұрын
Anajishaua htr
@kashuradiocles1068
@kashuradiocles1068 Жыл бұрын
Angejua tupo Marekani kabla yake
@pulikisia7963
@pulikisia7963 Жыл бұрын
Ha haha ha ha haaaa! Utafikiri alishaishi miaka.
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 watu mko na maneno
@Vees12
@Vees12 Жыл бұрын
Alishinda ya mawaka gani jamani?
@neemathomas2008
@neemathomas2008 Жыл бұрын
Huyo nimesoma nae kisutu....alikua mcharukooooo....hajaacha tu mashauzi😂😂😂😂😂 mmarekani
@arnoldmambali3770
@arnoldmambali3770 Жыл бұрын
migration policy ya Canada ipoje
@alfakisaidkilaga7605
@alfakisaidkilaga7605 Жыл бұрын
Anamaanisha nn anavyo sema Tanzania hatuna middle name msaada plz
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Жыл бұрын
Hahaha
@GodfreyMdemu-uw2lv
@GodfreyMdemu-uw2lv Жыл бұрын
Ebm nimekua mdau mkubwa sana.
@asyakhatib7942
@asyakhatib7942 Жыл бұрын
Vile unatamani kuenda marekani ila huna mtu yoyote uko wakukupa muongozo elimu ya form four😅 na garama mpaka unafika mtaji tosha ukikumba baridi wee ushauri kwa wenye jamaa nendeni na hii furaha kwa ajili yenu wale wenzangu na mie kwanza tupambane Tanzania kuna fursa nyingi tu tafuta
@saadahrasheedy9468
@saadahrasheedy9468 Жыл бұрын
Tz hua unatumia namba gan ninashida ya ww juu ya program ya Full bright
@hopeantoinenzayisenga7307
@hopeantoinenzayisenga7307 Жыл бұрын
when she applied i think applications of this year not yet out.
@tamicamorena3956
@tamicamorena3956 Жыл бұрын
Not yet yeaaaah
@shanirajab3567
@shanirajab3567 Жыл бұрын
Alikua na usingizi au nd malembuzi😂😂😂🙌
@zaitunirashidi5532
@zaitunirashidi5532 Жыл бұрын
Nataman usome hii comment ""hivi umekuja kuangalia hii interview yako"?? Kama ndio na hujajifunza kitu basi wew ni nyumbu🥵
@shanirajab3567
@shanirajab3567 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@franklingwaraman9319
@franklingwaraman9319 Жыл бұрын
Nice san ....nahitaji kujuaa aliapply mwez gani??
@mjunimilanga
@mjunimilanga Жыл бұрын
hao n wa mwaka jna
@christinemongina788
@christinemongina788 Жыл бұрын
God's time is the best
@saddymwamba7072
@saddymwamba7072 Жыл бұрын
Habari mkuu mambo vipi naitwa Saad natokea Tanzania naishi DUBAI mwakajana nilicheza GREEN CARD LOTTERY ila ninachotaka kujua nikwamba majibu yake huwaga yanatokaga kwa muda gani mwezi huo huo ao baada ya muda flani naomba kujua please asante 🙏
@Vees12
@Vees12 Жыл бұрын
Yanatoka mwezi wa tano tar 6
@namsamson3443
@namsamson3443 8 ай бұрын
Ngoje uje huku uanze ona maisha yalivyo utanyooka
@sheistheblackqueen
@sheistheblackqueen Жыл бұрын
Unamaanisha middle name au maiden name?
@zaitunirashidi5532
@zaitunirashidi5532 Жыл бұрын
Dada Domo bayaaaaa mashauz kibao,, kuwa mpole punguza ushamba mpyuuu
@shanirajab3567
@shanirajab3567 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙌
@amourhemed4343
@amourhemed4343 Жыл бұрын
kaka habari yako naona unakuwa unachukuwa muda kupost video youtube au kuna mambo kidogo yameingiliana
@MALENGWE
@MALENGWE Жыл бұрын
Nimeelewa sana ila Mbona dada kama afunguki vizuli na kaka uwe unawauliza kuusu gharama za za medical na zingine
@matunzojr4862
@matunzojr4862 Жыл бұрын
Ni mwaka gan hyo alishinda?
@eddmina
@eddmina Жыл бұрын
Kamati ya Roho Mbaya imeshakaa Kikao... hehehe
@yusuphjaivi4774
@yusuphjaivi4774 Жыл бұрын
Nadhani hii haikuwa interview bali ni lecture😆
@magicalfootball6369
@magicalfootball6369 8 ай бұрын
Uyu mtoto nkitimba maeneo namtafuta😂
@officialsharifa
@officialsharifa Жыл бұрын
Kaka naomba unisaidie tafadhali nije huko ps
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
MWAMBIE AKIJA HUKU YUES KAMA ANA MAKARATASI WA NIGERIA WATAMPENDA NA KUMUOA ILI WAPATE MAKARATASI
@officialsharifa
@officialsharifa Жыл бұрын
Ukimaanisha Nini makaratasi
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
@@officialsharifa yaani US kuna illegal migrants ambao wanakaa kinyemela so kupata kazi inakua ngumu sanaaaa sabab hawana vibali kwaio kampuni za huku hazikuajir kama huna ivyo vibali ambavyo mwajiri akiingiza mtandaon anaona taarifa zako so wanaishia kufanya mishe zile kama za kilimo au kujenga jenga nk. So ukioa mtu mwenye vibal vya kukaa uku au raia unapata izo documents .. kwaio yeye ninFursa kwa wale wanaume waso na vibali hasa wanigeria na mtu aneza kukuoa bada ya mda anakuacha sabab tayar ashapata anachokitaka . Ayo makaratas usokuwa nayo huku utaimba haleluya
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 Жыл бұрын
​@@officialsharifaNjia rahisi ya kupata right ya kuishi USA, Green card Sio ndo umemaliza mchezo
@lovelymiii1530
@lovelymiii1530 Жыл бұрын
Majibu ya dv lottery yametok au 😢
@DanielKullwa
@DanielKullwa Жыл бұрын
Shida moja ambayo siipendagi kuishi away from home ni, kwanza kuwa ratio profiled, kiwango cha ubaguzi mfano hapo america bado kipo sana tu. na hii inaumiza sana haswa inapokukuta na unajiona live kuwa unakuwa dehumanized hapo utaanza kusikia upweke. Cha pili making a home away from home is a process..inategemea umelenga nini. Ushauri wangu ishi popote unapoona panaweza kukalika lakini always invest nyumbani na nyumbani pabaki kuwa nyumbani tu. Ubaguzi utauelewa ikiwa tu utakutana na hiyo situation vinginevyo ni mbaya sana na isikukute.
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
Marekan hakuna ubaguz kiiivo sema watu wameukuza mnooooooo hasa ambao hawaish marekani
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 Жыл бұрын
Naheshimu mtazamo wako,ila kwa kusoma ulichoandika. Kama hukuwahi kuishi Marekani au nchi nyingine ya ugenini ni kwamba tayari kwa sababu fulani ambazo sizijui una mtazamo hasi kuhusu kuishi nje. Ratio profiling ipo katika nchi yeyote unayoishi tofauti na yako mara tu unapozungumza au kujitambulisha majina yako. Kuhusu ubaguzi ni namna mtu unavyojibeba ndivyo unavyopokelewa sasa ni juu yako wewe. Hata hizi kelele za ubaguzi unazoziona kwenye media mostly ni agenda zinakua propergated lakini you choose to be what you want. Na hata ukibaguliwa you can still stand with no violence na wakakuheshimu tatizo ni namna tunavyojichukulia na jinsi tunavyorespond to situations ndio shida. You go to the country with presumption ideas,you are definitely going to fail kwasababu ya mentality uliyoibeba.
@kibwananordeen3
@kibwananordeen3 Жыл бұрын
wewe upo usa
@elishajustine28
@elishajustine28 Жыл бұрын
Huyu dada i think she is her personality
@omai2crue
@omai2crue Жыл бұрын
Hiyo ni interview ama lecture?? Maana Ilipaswa uwe na maswali mafupi umwache Mgeni haojiwe yeye azungumze yeye zaidi kutoa majibu na kwa ufafanuzi..Cha ajabu wewe ndio umekuwa lecturee yeye anaitikia tu MMh Okey okey.......Tumeshindwa elewa na muhojiwa hapo.
@pulikisia7963
@pulikisia7963 Жыл бұрын
Kha!😒
@floriansimwinga3037
@floriansimwinga3037 Жыл бұрын
Middle name ana maanisha nini huyo?
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Жыл бұрын
Hahaha, jina ya kati ambayo ndio yako, sio ile ya kubatizwa ama ya ukoo....
@officialsharifa
@officialsharifa Жыл бұрын
Aje kasuru afurahie kidongo
@zakariauzia2293
@zakariauzia2293 Жыл бұрын
Inagalama gani
@alfakisaidkilaga7605
@alfakisaidkilaga7605 Жыл бұрын
Hiv ebm, deadline ya FLTa ni Lin?
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI Жыл бұрын
kwenye website yao hawakuandika ila mara kwa mara ni process ya kama miezi 2 hivi. Hivyo jipe deadline ya middle of April ili wao wakimaliza mwishoni mwa April wewe umesha submit
@vituschaila7031
@vituschaila7031 Жыл бұрын
Kaka EBM nimekutumia ujumbe muhimu kwenye namba yako ya whatsapp marekani,Pls coz upo Tz kwasasa naomba pitia u respond ni muhimu sana
@samwelmabula5642
@samwelmabula5642 Жыл бұрын
Kaka ebm huyu dada anamanisha nn kusema TZ hatuna middle name.
@emmamga5495
@emmamga5495 Жыл бұрын
HUYU DADA ANAJISKIA ANAONEKANA NI MBINAFSI, MCHOYO HUYU MCHAGA
@mmasipeter4157
@mmasipeter4157 Жыл бұрын
We unaukabila sana
@emmamga5495
@emmamga5495 Жыл бұрын
@@mmasipeter4157 Sina ukabila lakin huyu Dada naona Kama anazngua ananata sana
@upendogreutert199
@upendogreutert199 Жыл бұрын
Sio Mchaga huyooo, MSUKUMA huyooo
@gidesbalunguza7152
@gidesbalunguza7152 Жыл бұрын
Kaka EBM huyo dada amesema kwa Tanzania hatuna middle name is thqt true?? nakumbuka kwenye video zako hua unasema km kwenye passport au vyeti kuna middle name iandike
@ericknjowoka4245
@ericknjowoka4245 Жыл бұрын
mi mwenyewe nina middle name kwenye vyeti vyangu vyote na nimeweka
@alexndabatinya7953
@alexndabatinya7953 Жыл бұрын
Mi nachojua nikwamba. Mfano jina la John Joshua mwambije, kwa Tanzania ukiulizwa jina lako unataja John Joshua, ukiulizwa Surname unasema mwambije. Marekani John=First name Joshua=middle name Mwambije=Last Name. EBM atanirekebisha kama nimekosea
@silvaraphael9327
@silvaraphael9327 Жыл бұрын
@@alexndabatinya7953 Lakini katika passport kama unayo( middle name huunganishwa kwe jina lako na kufanya kuwa kama jina moja means yote kuwa kama first name yako), majina yako yatasomeka; Jina/Given name; John Joshua ( this is your first name). Jina la ukoo/Surname; Mwambije ( this is your last name). so hakuna middle name.
@tinitojr4141
@tinitojr4141 Жыл бұрын
Watu kama hawa ndio wanafanya nizidi kumpenda EBM, huyu dada anajibeba aiseee, na hapo hana hata mwaka Marekani, ndio maana Binafsi namkubali EBM!!
@frank18112
@frank18112 Жыл бұрын
Umeona eeh yaani anajibeba sana... ila hizi issue ni personality ya mtu tu...
@tinitojr4141
@tinitojr4141 Жыл бұрын
@@frank18112 Definitely, Yes.. Tabia za mtu tu, ila siku zoote kuna msemo unasema Pesa haibadilishi tabia za mtu ila ina onyesha tabia za mtu hasa akiwa nazo, kwasababu kama wewe ni mtoaji ukipata pesa utatoa zaidi, na kama wewe una tabia ya kujiskia, ukipata pesa utajiskia zaidi,, huwezi kuona EBM ana jiskia He is just a humble guy, despite kiasi alicho nacho kwa BANK
@frank18112
@frank18112 Жыл бұрын
@@tinitojr4141 Fact mzee, watu kama hawa ndo wakifika huko they don’t like to share opportunities to others, wanawaona ambao hawako abroad kama ni lazy...
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 33 МЛН
Sigma baby, you've conquered soap! 😲😮‍💨 LeoNata family #shorts
00:37
World’s strongest WOMAN vs regular GIRLS
00:56
A4
Рет қаралды 4,8 МЛН
Usisubirie Green Card Lottery pekee, kuna njia zingine
59:02
EBM SWAHILI
Рет қаралды 7 М.
JAMES AELEZEA NANNA ALIVYOPATA VISA YA CANADA
34:06
SHIJA tv
Рет қаралды 4,6 М.
SINGLE MUMS AND SINGLE DADS IN GREENCARD LOTTERY
19:57
SHIKO HOPE TV USA
Рет қаралды 4,9 М.
MSHINDI WA DV LOTTERY ANATULETEYA UKWELI WA DV LOTERRY 2026
26:07
Think Big Media
Рет қаралды 10 М.
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 33 МЛН