MAHOJIANO: Ufafanuzi wa mfumo mpya wa ulipaji wa mafao ya kustaafu

  Рет қаралды 24,467

Azam TV

Azam TV

5 жыл бұрын

Sheria mpya ya sekta ya hifadhi ya jamii inatarajia kuanza kutoa malipo ya asilimia 25

Пікірлер: 80
@andrewmgoyo8008
@andrewmgoyo8008 5 жыл бұрын
jmn life expectancy ya mtanzania ni miaka 47 sasa km mwenyezi Mungu kaniwezesha kuishi miaka 55 bd tu nisubr mpk miaka 67 ndo pesa zangu ziishe dah hapana ni unyanyasaji Mkubwa sana kwa wafanyakazi ila Mwenyezi Mungu ndo muweza wa yote km ni heri ama sio heri atatudhihirishia mchana kweupe
@riwaladislaus3913
@riwaladislaus3913 5 жыл бұрын
Wizi tu. Hamtaeleweka hata na ma genius
@km-yh9eq
@km-yh9eq 5 жыл бұрын
mda umefika wafanyakazi mchukue hatamu Juu ya mambo yanayohusu maslahi yenu hawa wanasiasa wa kiafrica kihasilia ni wabinafsi hawana haibu kutunga nakupitisha sheria ya aina yoyote hata Kama ni kandamizi kiasi gani ilimradi tuu haiwausu mkiwaachia mambo yote wawe wanaamua wao basi wafanyakazi mtalia miaka yote amkeni wafanyakazi pigeni kelele hii sheria irekebishwe
@tarjamabdulrahman9600
@tarjamabdulrahman9600 5 жыл бұрын
Dah,huuu ni unyang'anyi MBNA bora usifanye kazi tuu
@charleswangele3182
@charleswangele3182 5 жыл бұрын
Musitupangie pesa zetu tunataka pesa zetu tufanyie biashara maana munatuamasisha kujiajiri. Na hizo pesa si zenu. Mbona wabunge hupewa kwa pamoja????
@Mike-yg7pb
@Mike-yg7pb 5 жыл бұрын
Yaaani sijawahi kosoa serikali maana Magufuli ni rafiki yangu sana na namtetea sana katika kazi zake 100%,lakini kwa hili la mafao mzee hawa waliofanya hili Rais wetu wanakuharibia, hata huyu anaulizwa swali na mwandishi hawezi jibu anajing'ata ng'ata tu, kwa hili akitokea mgombea anaepinga hii sheria ataisumbua sana ccm, nawakati sisi tunatamani uongezwe miaka 15,hata mimi hii nimeipinga kwa nguvu zote!! Hatuwezi jilinganisha na nchi zingine zenye uchumi wao uko juu, kwa sisi mafao ndo mkombozi wetu wa kufanya kimaendeleo kidogo
@babucheenyahega2778
@babucheenyahega2778 5 жыл бұрын
Watanzania adi mtakema kee serikal ya ccm haipo kumsaidia mnyonge
@ernestsinje9532
@ernestsinje9532 5 жыл бұрын
hili suala msipolibadilisha uchaguzi ujao JPM simpi kura yangu na kuanzia sasa mawazo yangu na ya wengi kama mimi mtaniunga mkono huu ni ujinga kama serikali haina pesa ya miradi mikubwa KOPA ni suala la kawaida kabisa Marekani na China wanakopa sembuse sisi Watanzania?KENYA mbona wamekopa?Kodi mnaotukata katika mishahara ni kubwa mno ,hivi serikali haina njia yeyote ya kupata mapato mpaka inakata kodi kubwa namna hii katika mishahara yetu?Haya nimetumikia nchi yangu leo nipate mafao yangu ya uzeeni unanipa asilimia 25 ili nife niziache na nikiziacha hakuna mirathi maana hata watoto wangu ..............hili mbadilishe ni upuuuzi.
@Mike-yg7pb
@Mike-yg7pb 5 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nimeanza kuvunjika moyo 2020 nabadili mawazo, utaratibu wa hivi wa kutaka kurecover mapengo serikali ni na wanaoumia ni wananchi wa chini kabisa, kwa hili urafiki wa kura yangu na serikali iliyoko madarakani ndo utakuwa umefikia mwisho, mke kajifungua anaambiwa hakuna tena mafao ya uzazi sasa nani ataipenda serikali, Rais wetu hao washauri sio wazuri kwako I kura utakazopoteza 2020 hutaamini!! For those who advised you that, they are trying to kill you in cold blood! So as to lose in 2020
@hkdarmys
@hkdarmys 5 жыл бұрын
Mheshmiwa Rais kama ulivyowa komboa wakulima ... Muda ume fika uwakomboe wafanyakazi wanao sukuma gurudumu ya maisha ... 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@linnamlay3643
@linnamlay3643 5 жыл бұрын
Loooo serikalini kazi watu watazikimbia bora kujiajiri huu ukandamizwaji auvumilie mnyonge gani,wabunge Mungu anawaona watunga sheria looooh
@simonmwakubali3871
@simonmwakubali3871 5 жыл бұрын
tunahitaji mtetezi wa kweli wa wanyonge na sio wa kuongea tu mdomon.
@hkdarmys
@hkdarmys 5 жыл бұрын
Ni Dhambi Dhambi Dhambi kuchukua hata senti ya mfanyakazi Hamuta kaaa Salama Mwenyezi mungu ana waonaa... Leo wewe kesho mwanao atakuwa mfanyakazi na haki yake ita pigwa
@madafajulius3257
@madafajulius3257 Жыл бұрын
Kwa private sector nikuwaoneatu, hivyo viinuamgongo muwaachie waajirowa wa serikali
@chitembedyao.p4846
@chitembedyao.p4846 5 жыл бұрын
Hivi hii sheria imepitajepitaje?
@jacksonmishwaro7016
@jacksonmishwaro7016 5 жыл бұрын
alivyoanzaa kuongea tu.. na..ya..ya..ya..nyiiingi, ukiona hizo dalili ujue ushaliwa, Twendei tukalime korosho ntwaraaaaa
@penielmacha2435
@penielmacha2435 5 жыл бұрын
Mh Rais Magufuli usipo Badilisha hili Swala Sikupi kura yangu Tena.
@joshuahamisi9988
@joshuahamisi9988 5 жыл бұрын
Upuuzi tuu waweke pande mbili watakao kuwa tayari watoke na chao wapewe na hao wa asilimia 25 mtajuana nao ndo mapato ya serekali mnakusanya kwa ubabee madaraja hakuna nyie kupunguza tuu Tz dict
@hkdarmys
@hkdarmys 5 жыл бұрын
Msifananishe Wafanyakazi sekta binafsi na serekalini.. Wafanyakazi serekali wana marupurupu kibao Mfano Scholarship ( malipo yana endelea ukiwa masomoni ) Nyumba / kiwanja bei nafuu ( mfano mheshimiwa RC amewapa madaktari na walimu viwanja bei nafu ) Mfanya kazi serekalini hawezi kuachishwa mpaka 60 Mfanya kazi Sekta binafsi hana uhakika wa kazi. Mfanyabiashara akifunga biashara ana achishwa kazi Mfanyakazi hana scholarship au mafunzo Mfanyakazi hawezi kupewa au kununuliwa kiwanja .. Mfanyakazi binafsi hauwezi kupangiwa achukuwe pesa yake kwa masharti sawa na wafanyakazi serkalini Nina omba sana Mheshimiwa Waziri Mwachie mfanyakazi sekta binafsi aweze kuchukuwa pesa yake na kuwekeza aidhaa kwenye hisa au bondi ya bot au biashara ya kum komboa kimaisha ... Asante
@marcodomnick8122
@marcodomnick8122 Жыл бұрын
Jamani tupeni pesa zote
@hassansingano1150
@hassansingano1150 2 жыл бұрын
Duh. Huu wizi.
@stellacosmacy4785
@stellacosmacy4785 Ай бұрын
Wizii mtupu
@edwardmhombo4213
@edwardmhombo4213 5 жыл бұрын
wapeni ela zao bhn acheni siasa ktk maisha ya watu mbn enzi za jk hayakuwepo hayo sheria zimekuwa nyingi nssf shida wazeee wamestaafu nao pia mwaleta usanii
@hkdarmys
@hkdarmys 5 жыл бұрын
Ina kuaje anaye achiswa kazi mfanyakazi binafsi
@ramadhanifelix7285
@ramadhanifelix7285 5 жыл бұрын
We mtangazaj ninan aliejitokeza kupongeza mfumo huu mpya??afu mnaongelea wasitaf tu je kwenye sekta binafsi haongelei???mtangazaj haufai kumuhoj mtu tafta kaz nyngne
@stivejayngoga1403
@stivejayngoga1403 5 жыл бұрын
Yaan hapa ndo huwa naipenda ccm!
@kiliannombo7871
@kiliannombo7871 5 жыл бұрын
Jamani ccm acheni wizi huuuu jamani???? Kweli hii Ni serikali ya wanyonge kweli??? au wezi??
@moshillinde6835
@moshillinde6835 5 жыл бұрын
60 years +12years =72years, unacceptable age for African ways of life. Tatizo tunabadili sheria kila wakati bila kuangalia tamaduni za waafrika. Sheria hii ingekuwa nzuri endapo sekta ya afya ingeboreshwa.
@hoseamafuru6957
@hoseamafuru6957 5 жыл бұрын
JPM INGILIA KATI SUALA HILI WATUMISHI WASTAAFU WALIPWE FEZHA ZAO HAPO NI MAZINGAOMBWE TU
@Frankgamanuel
@Frankgamanuel 5 жыл бұрын
huo ni Ugonjwa mpya nafikili? Utawasaidia wale wenye huwezo tu lakini kwa wanyonge naisi niugonjwa mkubwa!??..... hacheni Asilimia 50% kwa wanyonge kwa wenye Huwezo ndio 25% hapo mtakuwa Mmeondoa huo Ugonjwa. halafu kinacho bakia badala ya mstaafu kufa nafikili kama mko na moyo wa kiutu hicho kinacho bakia wapatiwe warith wake hilo ndilo jambo la Busara .
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 5 жыл бұрын
Lione na midevu ya ya ya ya km.beberu
@bayanindela3387
@bayanindela3387 5 жыл бұрын
Hakuna mfanyakazi aliyepongeza huu upuuzi
@hkdarmys
@hkdarmys 5 жыл бұрын
Hakuna mtu aliye pongeza hii sheria msiseme uongooooi
@emmanuellubadisha3170
@emmanuellubadisha3170 5 жыл бұрын
Mnasema mnatoa 25% lakini hatujui mstaafu Huyu ataishi kwa mdagani je iyo miaka 3 kwakiasi mtachotoa kwa wategemezi kitalingana na 75% bdo kunatatizo inabidi mliangalie hilo pia
@loner_wolf
@loner_wolf 5 жыл бұрын
ukiona wanajitokeza wanasheria wa design hii ujue kikosi cha maangamizi kimesukwa vzur.
@Paelimbo6649
@Paelimbo6649 5 жыл бұрын
Utafiti upi unaoonyesha kwamba mfumo wa hapo nyuma hakuwa mzuri kwa wastaafu?
@shafiicharice3652
@shafiicharice3652 5 жыл бұрын
huu ni ubnafsi tosha ..mafao ni pesa ambazo mfanyakazi anapoostaafu huztumia kuelkeza miladi ya msingi .kumpa 25% ni kumpotzea malengo yake. ..hii serikali Mbn hatuielewi?????
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 5 жыл бұрын
CCM TUMEWACHAGUA LAKINI SASA MMETUTIA CHANGA LA MACHO.KUMBE HAMTUPENDI WANYONGE
@albertosanga7744
@albertosanga7744 5 жыл бұрын
Hii ndiyo Serikali ya wanyonge mnawanyonga kweli kweli
@ignasyluena9102
@ignasyluena9102 5 жыл бұрын
Nyie tuongezeeni Mishahara bana hizo biashara za maisha yangu baada ya kustaafu yanakuhusu nini wewe
@abdalomari5912
@abdalomari5912 5 жыл бұрын
mnajengewa dalaja mnafulai pesheni mnakasilika ccm mmeichanguwa wenyewe acha tusome wote
@rehemadani3600
@rehemadani3600 5 жыл бұрын
Aya ndiyo wanayo Semaga kina lema mnapowacheka wasiasa wakitendewa vibaya basi nanyinyi makali yakiwaguekia mnyamaze ngojeni tuisome namba
@ugaboy4736
@ugaboy4736 5 жыл бұрын
Wizi tupu mtawafanya watu wafe kabla ya siku zake
@josephnjellah280
@josephnjellah280 5 жыл бұрын
Kama nimepona miaka 60 kuna uhakika gani was kufika miaka80?
@issabakari1916
@issabakari1916 4 жыл бұрын
Hayatofauti na ya kufanya kazi aisee acha kugugumizi, 😔,, watu wanafanya kazi Hali ni ngumu kuliko ugumu WA mtoto lijali, je hapo akiwa Hana kazi,!!! 🤔 Mwanachama atapata mafao yake pindi atapoacha kazi atakapoachishwa kazi,, fanya vile ilikua kwa Fom, watu wengi wangejua ili WALA mutu asingejiunga,,
@kizitoshitah7853
@kizitoshitah7853 Жыл бұрын
Kuna ucheleweshaji wa malipo
@salimdoctor691
@salimdoctor691 5 жыл бұрын
khovyo tuu rekebisheni basi kido hiyo sheria duuh
@emanuel1990ism
@emanuel1990ism 5 жыл бұрын
Ushenz mtupu
@ramadhanikakoree3728
@ramadhanikakoree3728 5 жыл бұрын
Tuta0na vingi ila huu utaratibu Ni wizi kbsa
@bigmwami9983
@bigmwami9983 5 жыл бұрын
Chozi la haki
@victorsanga2229
@victorsanga2229 5 жыл бұрын
Sawa rais wa wajonge, umeamua kuua kabisa watumishi! Msingi wa pensheni si monthly payment bali ni kiinua mgongo! Mmeshindwa kulipa trilion 8 mnazodaiwa na mifuko sasa mmeamua kuikwamua mifuko kwa kuwaibia watumishi! Mungu wa mbinguni atateta na wewe , na roho hiyo mbaya kama umetokea kuzimu!!!
@hassankawale5534
@hassankawale5534 5 жыл бұрын
Kumbuka hata nyinyi mnao tunga hizo kanuni ni wafanyakazi. Vzr mkaangalia haki ya mstaafu Maana miaka yote amekatwa mshahara wake hivyo vzr awe na option juu ya haki yake
@davidremmy2769
@davidremmy2769 5 жыл бұрын
Wachumia tumbo ni wengi sana.
@maduhujoseph3557
@maduhujoseph3557 5 жыл бұрын
Narudi ccm kuunga mkono juhudi za jpm kuitoa pesa kwa watu nakuibakiza serikalini ili iwanufaishe watu wote
@majirakusagajnr4449
@majirakusagajnr4449 5 жыл бұрын
hawana jipya kwani mfuko utakosaje uwezo wakati pesa unachangia kila mwezi. Wakumbuke nao pia watastaafu baadae. tafiti gani inatoa majibu kandamizi, walengwa hawajui. bilashaka wasikilize hoja za wadau wenyewe. TUCTA, CWT, CHAKAMWATA, TUGHE etc mpo wapi. Tunawasikliza, siyo tu kwa kanuni ya mafao pia hata denomination ya kikokotoo.
@akidasalim9798
@akidasalim9798 5 жыл бұрын
Zinakopwa na serikali
@abujamalaalghammawiy7470
@abujamalaalghammawiy7470 5 жыл бұрын
majira kusagajnr HAO WAKISTAAFU WAMEJIWEKEA UTARATIBU WAO WANAONDOKA NA CHAO CHOOOTEEEE, CHEZEA WANASIASA WEWE.
@stanslausmasinde5844
@stanslausmasinde5844 5 жыл бұрын
serikali yetu ni sikivu bila shaka itakaa na Wada u wote na kufanya jambo lenye manufaa kwa wafanyakazi na taifa letu .
@abujamalaalghammawiy7470
@abujamalaalghammawiy7470 5 жыл бұрын
@@stanslausmasinde5844 Hilo Sahau, kwanza mwenye nchi yake wala hajalizungumzia kabisaa pamoja na kuzindua kila siku madaraja na mifereji. Na kama huamini subiri, muda ni mwalimu mzuri wa kuwafundisha watu kama ninyi kuwa sisi wafanyakazi kwa serikali hii imeshakula kwetu
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 5 жыл бұрын
Lione na.mishavu km K ya punda. Wewe kidogo kidogo unaifagilia vile umeshaibaaaa umejengaaa umesomeshaa.kwenda zako
@joycelubena1989
@joycelubena1989 5 жыл бұрын
huna lolote we mwanasharia
@wilsonkilua6309
@wilsonkilua6309 5 жыл бұрын
Manyanyaso makubwa basi hata posho ziwekwe hapo ndio kufa kabisa sheria hiyo mmeipitishane hatuelewi Mzee watu ingilia kati hilo swala japo limepita bungeni lakini unyantasaji huo Mtu amestaafu mpeni chake nyinyi mnampa nusunusu wapi na wapi kwa maisha ya sasa kijana gani atafikisjmha myaka.70 au 80 jamani mnatunyanyasa sna wanyonge
@davidremmy2769
@davidremmy2769 5 жыл бұрын
Kwanini mfanyakazi apangiwe namna ya kuchukua na kutumia jasho lake?.
@mohamedpaul5081
@mohamedpaul5081 5 жыл бұрын
David Remmy sihaki kabisa huu ni onyonya
@israelmeshack2518
@israelmeshack2518 5 жыл бұрын
Kwakweli sihaki kabisa nikubianatu sasa ukiwa kwenye ajira yamkataba mkatabaukaisha ndani yamia mitano nauna umri wamiaka 25 utasubiri adi ufikishe miaka 55 ndouje kupewa
@tatuidrisa4740
@tatuidrisa4740 5 жыл бұрын
Wanatunyanyasa watupe pesa zetu zote watu tunafanya kazi za mikataba miaka 2 hatutaki
@lazarojr8923
@lazarojr8923 5 жыл бұрын
Huu wizi sio haki kabisa
@michaelkyejo9048
@michaelkyejo9048 5 жыл бұрын
Achen kutufanya watumwa
@simonmwakubali3871
@simonmwakubali3871 5 жыл бұрын
mtu anafukuzwa kazi akiwa amechangia laki 2 tu umnyime hela yake eti azeeke huu ni mchezo mchafu sana.
@andrewandrews4635
@andrewandrews4635 5 жыл бұрын
hv jmn, mm naona hv ndio sawa coz zamn ndio walkua wana nyanya ska unafnya ndio ukistf unapewa chko baada ya muda unaishiwa unaanza kua msumbf tna mtaan si kwa watt wala watu bk unabkia tu na sifa hyu alkua flan, bora saiz mzee anachkua pesa zke kdgo anaenda kufnyia mambo yke hata hata aibu ya hao staaf haita onekna,
@coro_the_affiliate
@coro_the_affiliate 5 жыл бұрын
Taarifa ya habari ya azam inaonekania wapi mbona azam two haionekani . nipeni jibu tafadhali
@abeidpastory3960
@abeidpastory3960 5 жыл бұрын
Pakua App ya azam unapata taarifa
@makariospeter9447
@makariospeter9447 5 жыл бұрын
ukitaka kuiona ipo kwenye app yao inaitwa azamtv. download it.
@kingkendrickk
@kingkendrickk 5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@loner_wolf
@loner_wolf 5 жыл бұрын
RAIS WA WANYONGE ANALIJUA HILI KWELI? MM SIAMINI KAMA HAWA WATUNGASHERIA HIZ NI WATANZANIA WANAOWAKILISHA WATANZANIA WENZAO, HAWA NI KAMA WAKOLONI HIV , SIJUI MAWAZO YANGU TU .
@mohammedamiri5655
@mohammedamiri5655 5 жыл бұрын
kulwa mapunda hu
@marysadiki1887
@marysadiki1887 Жыл бұрын
Ujinga.kanisa
FAHAMU KUHUSU KIKOKOTOO KIPYA SEHEMU YA KWANZA
14:16
NSSF TANZANIA
Рет қаралды 8 М.
FAHAMU KUHUSU KIKOKOTOO KIPYA SEHEMU YA PILI
15:40
NSSF TANZANIA
Рет қаралды 8 М.
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,2 МЛН
SSRA: JINSI UTAKAVYOPATA MAFAO YAKO BAADA YA KUSTAAFU
3:30
Mwananchi Digital
Рет қаралды 6 М.
Umri wa kustaafu waongezwa kwa wasomi
3:39
Azam TV
Рет қаралды 865
#TBC: UNDANI KUHUSU MAFAO YA NSSF
17:33
TBConline
Рет қаралды 289
Burudani za 'Face Off' ya Dar Boxing Derby Juni 2024
0:55
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42