Sheria mpya ya sekta ya hifadhi ya jamii inatarajia kuanza kutoa malipo ya asilimia 25
Пікірлер: 80
@andrewmgoyo80085 жыл бұрын
jmn life expectancy ya mtanzania ni miaka 47 sasa km mwenyezi Mungu kaniwezesha kuishi miaka 55 bd tu nisubr mpk miaka 67 ndo pesa zangu ziishe dah hapana ni unyanyasaji Mkubwa sana kwa wafanyakazi ila Mwenyezi Mungu ndo muweza wa yote km ni heri ama sio heri atatudhihirishia mchana kweupe
@riwaladislaus39135 жыл бұрын
Wizi tu. Hamtaeleweka hata na ma genius
@km-yh9eq5 жыл бұрын
mda umefika wafanyakazi mchukue hatamu Juu ya mambo yanayohusu maslahi yenu hawa wanasiasa wa kiafrica kihasilia ni wabinafsi hawana haibu kutunga nakupitisha sheria ya aina yoyote hata Kama ni kandamizi kiasi gani ilimradi tuu haiwausu mkiwaachia mambo yote wawe wanaamua wao basi wafanyakazi mtalia miaka yote amkeni wafanyakazi pigeni kelele hii sheria irekebishwe
@tarjamabdulrahman96005 жыл бұрын
Dah,huuu ni unyang'anyi MBNA bora usifanye kazi tuu
@charleswangele31825 жыл бұрын
Musitupangie pesa zetu tunataka pesa zetu tufanyie biashara maana munatuamasisha kujiajiri. Na hizo pesa si zenu. Mbona wabunge hupewa kwa pamoja????
@Mike-yg7pb5 жыл бұрын
Yaaani sijawahi kosoa serikali maana Magufuli ni rafiki yangu sana na namtetea sana katika kazi zake 100%,lakini kwa hili la mafao mzee hawa waliofanya hili Rais wetu wanakuharibia, hata huyu anaulizwa swali na mwandishi hawezi jibu anajing'ata ng'ata tu, kwa hili akitokea mgombea anaepinga hii sheria ataisumbua sana ccm, nawakati sisi tunatamani uongezwe miaka 15,hata mimi hii nimeipinga kwa nguvu zote!! Hatuwezi jilinganisha na nchi zingine zenye uchumi wao uko juu, kwa sisi mafao ndo mkombozi wetu wa kufanya kimaendeleo kidogo
@babucheenyahega27785 жыл бұрын
Watanzania adi mtakema kee serikal ya ccm haipo kumsaidia mnyonge
@ernestsinje95325 жыл бұрын
hili suala msipolibadilisha uchaguzi ujao JPM simpi kura yangu na kuanzia sasa mawazo yangu na ya wengi kama mimi mtaniunga mkono huu ni ujinga kama serikali haina pesa ya miradi mikubwa KOPA ni suala la kawaida kabisa Marekani na China wanakopa sembuse sisi Watanzania?KENYA mbona wamekopa?Kodi mnaotukata katika mishahara ni kubwa mno ,hivi serikali haina njia yeyote ya kupata mapato mpaka inakata kodi kubwa namna hii katika mishahara yetu?Haya nimetumikia nchi yangu leo nipate mafao yangu ya uzeeni unanipa asilimia 25 ili nife niziache na nikiziacha hakuna mirathi maana hata watoto wangu ..............hili mbadilishe ni upuuuzi.
@Mike-yg7pb5 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nimeanza kuvunjika moyo 2020 nabadili mawazo, utaratibu wa hivi wa kutaka kurecover mapengo serikali ni na wanaoumia ni wananchi wa chini kabisa, kwa hili urafiki wa kura yangu na serikali iliyoko madarakani ndo utakuwa umefikia mwisho, mke kajifungua anaambiwa hakuna tena mafao ya uzazi sasa nani ataipenda serikali, Rais wetu hao washauri sio wazuri kwako I kura utakazopoteza 2020 hutaamini!! For those who advised you that, they are trying to kill you in cold blood! So as to lose in 2020
@hkdarmys5 жыл бұрын
Mheshmiwa Rais kama ulivyowa komboa wakulima ... Muda ume fika uwakomboe wafanyakazi wanao sukuma gurudumu ya maisha ... 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@linnamlay36435 жыл бұрын
Loooo serikalini kazi watu watazikimbia bora kujiajiri huu ukandamizwaji auvumilie mnyonge gani,wabunge Mungu anawaona watunga sheria looooh
@simonmwakubali38715 жыл бұрын
tunahitaji mtetezi wa kweli wa wanyonge na sio wa kuongea tu mdomon.
@hkdarmys5 жыл бұрын
Ni Dhambi Dhambi Dhambi kuchukua hata senti ya mfanyakazi Hamuta kaaa Salama Mwenyezi mungu ana waonaa... Leo wewe kesho mwanao atakuwa mfanyakazi na haki yake ita pigwa
@madafajulius3257 Жыл бұрын
Kwa private sector nikuwaoneatu, hivyo viinuamgongo muwaachie waajirowa wa serikali
Mh Rais Magufuli usipo Badilisha hili Swala Sikupi kura yangu Tena.
@joshuahamisi99885 жыл бұрын
Upuuzi tuu waweke pande mbili watakao kuwa tayari watoke na chao wapewe na hao wa asilimia 25 mtajuana nao ndo mapato ya serekali mnakusanya kwa ubabee madaraja hakuna nyie kupunguza tuu Tz dict
@hkdarmys5 жыл бұрын
Msifananishe Wafanyakazi sekta binafsi na serekalini.. Wafanyakazi serekali wana marupurupu kibao Mfano Scholarship ( malipo yana endelea ukiwa masomoni ) Nyumba / kiwanja bei nafuu ( mfano mheshimiwa RC amewapa madaktari na walimu viwanja bei nafu ) Mfanya kazi serekalini hawezi kuachishwa mpaka 60 Mfanya kazi Sekta binafsi hana uhakika wa kazi. Mfanyabiashara akifunga biashara ana achishwa kazi Mfanyakazi hana scholarship au mafunzo Mfanyakazi hawezi kupewa au kununuliwa kiwanja .. Mfanyakazi binafsi hauwezi kupangiwa achukuwe pesa yake kwa masharti sawa na wafanyakazi serkalini Nina omba sana Mheshimiwa Waziri Mwachie mfanyakazi sekta binafsi aweze kuchukuwa pesa yake na kuwekeza aidhaa kwenye hisa au bondi ya bot au biashara ya kum komboa kimaisha ... Asante
@marcodomnick8122 Жыл бұрын
Jamani tupeni pesa zote
@hassansingano11502 жыл бұрын
Duh. Huu wizi.
@stellacosmacy4785Ай бұрын
Wizii mtupu
@edwardmhombo42135 жыл бұрын
wapeni ela zao bhn acheni siasa ktk maisha ya watu mbn enzi za jk hayakuwepo hayo sheria zimekuwa nyingi nssf shida wazeee wamestaafu nao pia mwaleta usanii
@hkdarmys5 жыл бұрын
Ina kuaje anaye achiswa kazi mfanyakazi binafsi
@ramadhanifelix72855 жыл бұрын
We mtangazaj ninan aliejitokeza kupongeza mfumo huu mpya??afu mnaongelea wasitaf tu je kwenye sekta binafsi haongelei???mtangazaj haufai kumuhoj mtu tafta kaz nyngne
@stivejayngoga14035 жыл бұрын
Yaan hapa ndo huwa naipenda ccm!
@kiliannombo78715 жыл бұрын
Jamani ccm acheni wizi huuuu jamani???? Kweli hii Ni serikali ya wanyonge kweli??? au wezi??
@moshillinde68355 жыл бұрын
60 years +12years =72years, unacceptable age for African ways of life. Tatizo tunabadili sheria kila wakati bila kuangalia tamaduni za waafrika. Sheria hii ingekuwa nzuri endapo sekta ya afya ingeboreshwa.
@hoseamafuru69575 жыл бұрын
JPM INGILIA KATI SUALA HILI WATUMISHI WASTAAFU WALIPWE FEZHA ZAO HAPO NI MAZINGAOMBWE TU
@Frankgamanuel5 жыл бұрын
huo ni Ugonjwa mpya nafikili? Utawasaidia wale wenye huwezo tu lakini kwa wanyonge naisi niugonjwa mkubwa!??..... hacheni Asilimia 50% kwa wanyonge kwa wenye Huwezo ndio 25% hapo mtakuwa Mmeondoa huo Ugonjwa. halafu kinacho bakia badala ya mstaafu kufa nafikili kama mko na moyo wa kiutu hicho kinacho bakia wapatiwe warith wake hilo ndilo jambo la Busara .
@rahimaaaaa86995 жыл бұрын
Lione na midevu ya ya ya ya km.beberu
@bayanindela33875 жыл бұрын
Hakuna mfanyakazi aliyepongeza huu upuuzi
@hkdarmys5 жыл бұрын
Hakuna mtu aliye pongeza hii sheria msiseme uongooooi
@emmanuellubadisha31705 жыл бұрын
Mnasema mnatoa 25% lakini hatujui mstaafu Huyu ataishi kwa mdagani je iyo miaka 3 kwakiasi mtachotoa kwa wategemezi kitalingana na 75% bdo kunatatizo inabidi mliangalie hilo pia
@loner_wolf5 жыл бұрын
ukiona wanajitokeza wanasheria wa design hii ujue kikosi cha maangamizi kimesukwa vzur.
@Paelimbo66495 жыл бұрын
Utafiti upi unaoonyesha kwamba mfumo wa hapo nyuma hakuwa mzuri kwa wastaafu?
@shafiicharice36525 жыл бұрын
huu ni ubnafsi tosha ..mafao ni pesa ambazo mfanyakazi anapoostaafu huztumia kuelkeza miladi ya msingi .kumpa 25% ni kumpotzea malengo yake. ..hii serikali Mbn hatuielewi?????
@natafutamatatizo43825 жыл бұрын
CCM TUMEWACHAGUA LAKINI SASA MMETUTIA CHANGA LA MACHO.KUMBE HAMTUPENDI WANYONGE
@albertosanga77445 жыл бұрын
Hii ndiyo Serikali ya wanyonge mnawanyonga kweli kweli
@ignasyluena91025 жыл бұрын
Nyie tuongezeeni Mishahara bana hizo biashara za maisha yangu baada ya kustaafu yanakuhusu nini wewe
Aya ndiyo wanayo Semaga kina lema mnapowacheka wasiasa wakitendewa vibaya basi nanyinyi makali yakiwaguekia mnyamaze ngojeni tuisome namba
@ugaboy47365 жыл бұрын
Wizi tupu mtawafanya watu wafe kabla ya siku zake
@josephnjellah2805 жыл бұрын
Kama nimepona miaka 60 kuna uhakika gani was kufika miaka80?
@issabakari19164 жыл бұрын
Hayatofauti na ya kufanya kazi aisee acha kugugumizi, 😔,, watu wanafanya kazi Hali ni ngumu kuliko ugumu WA mtoto lijali, je hapo akiwa Hana kazi,!!! 🤔 Mwanachama atapata mafao yake pindi atapoacha kazi atakapoachishwa kazi,, fanya vile ilikua kwa Fom, watu wengi wangejua ili WALA mutu asingejiunga,,
@kizitoshitah7853 Жыл бұрын
Kuna ucheleweshaji wa malipo
@salimdoctor6915 жыл бұрын
khovyo tuu rekebisheni basi kido hiyo sheria duuh
@emanuel1990ism5 жыл бұрын
Ushenz mtupu
@ramadhanikakoree37285 жыл бұрын
Tuta0na vingi ila huu utaratibu Ni wizi kbsa
@bigmwami99835 жыл бұрын
Chozi la haki
@victorsanga22295 жыл бұрын
Sawa rais wa wajonge, umeamua kuua kabisa watumishi! Msingi wa pensheni si monthly payment bali ni kiinua mgongo! Mmeshindwa kulipa trilion 8 mnazodaiwa na mifuko sasa mmeamua kuikwamua mifuko kwa kuwaibia watumishi! Mungu wa mbinguni atateta na wewe , na roho hiyo mbaya kama umetokea kuzimu!!!
@hassankawale55345 жыл бұрын
Kumbuka hata nyinyi mnao tunga hizo kanuni ni wafanyakazi. Vzr mkaangalia haki ya mstaafu Maana miaka yote amekatwa mshahara wake hivyo vzr awe na option juu ya haki yake
@davidremmy27695 жыл бұрын
Wachumia tumbo ni wengi sana.
@maduhujoseph35575 жыл бұрын
Narudi ccm kuunga mkono juhudi za jpm kuitoa pesa kwa watu nakuibakiza serikalini ili iwanufaishe watu wote
@majirakusagajnr44495 жыл бұрын
hawana jipya kwani mfuko utakosaje uwezo wakati pesa unachangia kila mwezi. Wakumbuke nao pia watastaafu baadae. tafiti gani inatoa majibu kandamizi, walengwa hawajui. bilashaka wasikilize hoja za wadau wenyewe. TUCTA, CWT, CHAKAMWATA, TUGHE etc mpo wapi. Tunawasikliza, siyo tu kwa kanuni ya mafao pia hata denomination ya kikokotoo.
@akidasalim97985 жыл бұрын
Zinakopwa na serikali
@abujamalaalghammawiy74705 жыл бұрын
majira kusagajnr HAO WAKISTAAFU WAMEJIWEKEA UTARATIBU WAO WANAONDOKA NA CHAO CHOOOTEEEE, CHEZEA WANASIASA WEWE.
@stanslausmasinde58445 жыл бұрын
serikali yetu ni sikivu bila shaka itakaa na Wada u wote na kufanya jambo lenye manufaa kwa wafanyakazi na taifa letu .
@abujamalaalghammawiy74705 жыл бұрын
@@stanslausmasinde5844 Hilo Sahau, kwanza mwenye nchi yake wala hajalizungumzia kabisaa pamoja na kuzindua kila siku madaraja na mifereji. Na kama huamini subiri, muda ni mwalimu mzuri wa kuwafundisha watu kama ninyi kuwa sisi wafanyakazi kwa serikali hii imeshakula kwetu
@rahimaaaaa86995 жыл бұрын
Lione na.mishavu km K ya punda. Wewe kidogo kidogo unaifagilia vile umeshaibaaaa umejengaaa umesomeshaa.kwenda zako
@joycelubena19895 жыл бұрын
huna lolote we mwanasharia
@wilsonkilua63095 жыл бұрын
Manyanyaso makubwa basi hata posho ziwekwe hapo ndio kufa kabisa sheria hiyo mmeipitishane hatuelewi Mzee watu ingilia kati hilo swala japo limepita bungeni lakini unyantasaji huo Mtu amestaafu mpeni chake nyinyi mnampa nusunusu wapi na wapi kwa maisha ya sasa kijana gani atafikisjmha myaka.70 au 80 jamani mnatunyanyasa sna wanyonge
@davidremmy27695 жыл бұрын
Kwanini mfanyakazi apangiwe namna ya kuchukua na kutumia jasho lake?.
@mohamedpaul50815 жыл бұрын
David Remmy sihaki kabisa huu ni onyonya
@israelmeshack25185 жыл бұрын
Kwakweli sihaki kabisa nikubianatu sasa ukiwa kwenye ajira yamkataba mkatabaukaisha ndani yamia mitano nauna umri wamiaka 25 utasubiri adi ufikishe miaka 55 ndouje kupewa
@tatuidrisa47405 жыл бұрын
Wanatunyanyasa watupe pesa zetu zote watu tunafanya kazi za mikataba miaka 2 hatutaki
@lazarojr89235 жыл бұрын
Huu wizi sio haki kabisa
@michaelkyejo90485 жыл бұрын
Achen kutufanya watumwa
@simonmwakubali38715 жыл бұрын
mtu anafukuzwa kazi akiwa amechangia laki 2 tu umnyime hela yake eti azeeke huu ni mchezo mchafu sana.
@andrewandrews46355 жыл бұрын
hv jmn, mm naona hv ndio sawa coz zamn ndio walkua wana nyanya ska unafnya ndio ukistf unapewa chko baada ya muda unaishiwa unaanza kua msumbf tna mtaan si kwa watt wala watu bk unabkia tu na sifa hyu alkua flan, bora saiz mzee anachkua pesa zke kdgo anaenda kufnyia mambo yke hata hata aibu ya hao staaf haita onekna,
@coro_the_affiliate5 жыл бұрын
Taarifa ya habari ya azam inaonekania wapi mbona azam two haionekani . nipeni jibu tafadhali
@abeidpastory39605 жыл бұрын
Pakua App ya azam unapata taarifa
@makariospeter94475 жыл бұрын
ukitaka kuiona ipo kwenye app yao inaitwa azamtv. download it.
@kingkendrickk5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@loner_wolf5 жыл бұрын
RAIS WA WANYONGE ANALIJUA HILI KWELI? MM SIAMINI KAMA HAWA WATUNGASHERIA HIZ NI WATANZANIA WANAOWAKILISHA WATANZANIA WENZAO, HAWA NI KAMA WAKOLONI HIV , SIJUI MAWAZO YANGU TU .