Inaonekana hii story ni nzuri sana ILA PRESENTER ndio tatizo...!
@florianntulo57312 жыл бұрын
Wakati naanza kuitazama hii vidio nilijua ni Tanzania, dada anaongea kiswahili kuzuri sana, hongera sana dada,, ni wakati mwafaka kuindeleza lugha yetu
@Antonio-c8u4t10 ай бұрын
Bien bien mi naishi mji wa kolwezi namshukuru sana uyo mzee kwa kaji ile eko nafanya merci.
@joelnondo7440 Жыл бұрын
Uyu presenter haujui....kupresente vizuri
@nuruworldinsight29573 жыл бұрын
Asanteni sana Tanganyika TV kwa habari moto moto za kuelimisha ! Nimeku MFUASI WENU MZURI SANA ! Salama kutoka Tanzania
@CharlesMs25Daghaly7 ай бұрын
Saf sana watangazaj watanganyika tv mnaupiga mwingi sana
@augustiyadi40852 жыл бұрын
If father was Italian, France it will be hard to coprate, because this story reflects to my grandfather land because there was fmly living in that country land earlys 1810to1945 befor my grandfather take over the place, and so the left their elder son behind because time was war around the world 🗺 actually it was hard to find his fmly back... Anyway his one he came back for him.. And this man God will bless him and if not him then through his children... Stay strong man... Blessed tag 📺.
@ik39343 жыл бұрын
This is a good material but the presenter need to be more active especially on his tone!!
@agnettakamugisha49843 жыл бұрын
Kweli "Kusaidiana ni upendo"❤❤❤
@Japhet.B2 жыл бұрын
Vieux nabiso, respect papa ✊🏾
@jolemerci21553 жыл бұрын
Kazi nzuri sana Asante kwa bidii mutangazaji
@abordecapester90862 жыл бұрын
Mwambie Demuzungu akuoneshe kwao Dieu au bienve aukami
@sidrasidra86163 жыл бұрын
Masha Allah ana binti mzuri🥰
@assanisadiradja51302 ай бұрын
Wako 10 wote wazuri
@estermgata96172 жыл бұрын
Mr. Bonnie Fete, I think it will be beneficial for you to trace who your dad is or was. Then take that information to the embassy responsible (Is it Italian? France?). Ask for any type of assistance that they can offer to you and your family. Usually, these countries they don't let their citizens to suffer
@matsarigi29863 жыл бұрын
Mash Allah mama ni mrembo mno❤️
@balekelayiandre4735 Жыл бұрын
mon ami boni fête courage
@jolemerci21553 жыл бұрын
Wewe kazi ni nzuri ku wa gunduwa watu hawa nakufata kutoka omani ila nami ni mu Congo mani bukavu
@johnkuma68673 жыл бұрын
Kwa waarabu ni kuzuri na nasikia wanadharau mtu mweusi sana?
@jolemerci21553 жыл бұрын
Basi nikuzuri sababu hawana tabia kama ya watu weusi hawanywi pombe haibi hawagombane hawatembeleane balabala nzuri hawana milima ao bondé ni nchi inatulia ina nyooka ila hawaesabu mutu mweusi kuwa ni mtu wa najuwa mtu mweusi ni nyama kati ya wa nyama ao ni mashine ao ni punda hawataki mutu aji teteye haki yake ikiwa ni mweusi wakifanya kosa hawataki ijulikane wa najuwa wawo niwatakatifu kuliko wote duniani
@johnkuma68673 жыл бұрын
@@jolemerci2155 nakata ati ni watakatifu dununiani. Kama ni watakatifu Mbona wanadhulumu mtu mweusi na wamupati haki yake. Wanamtumia mtu mweusi kama mnyama. Hawa ni watu katili na siwatu wazuri wakuwafanyia kazi. Bahati yako nikuwa Oman iko watu wengi toka Zanzibar wanaongea kiswahili
@mamialsawafi80203 жыл бұрын
@@jolemerci2155 rudi congo kale nyama ya nyani pumbavu ulitumwa uende maana weusi hawadhulum na hawauwani ngedere ww mnyamafu mla nyani ndio mana mmekaa kama majambazi
@seifseifmohamed71183 жыл бұрын
@@mamialsawafi8020 pole. Mami hapana kumjibu mjinga. Hawa walidanganyika kwa wafaransa na wabelgik sababu ya kifaransa sasa wako tu na mashida mingi na akili zimeenda. Je suis Zanzibari, biensûr je parle kiswahili, anglais,italian. Espanõl et français. Dont use your energy for such stupid Bayaka. Je sais bien Congo. Asil 60% wanazungumza kiswahili lakin ukiwa Kinshasa wanasema kiswahili sio cha congo na sasa wanataka kujiunga na sisi east africa. Polon sana kwa watu wajinga kama hawa.
@fatoumaahmed76703 жыл бұрын
Bravo Mr bon courage
@NgenaBiambo6 ай бұрын
Asanteni sana
@tinaa66713 жыл бұрын
She is so beautiful lady ❤️🥰🥰🥰
@bonifacechiuri21363 жыл бұрын
Exactly she can wonder in modelling world.
@zainabually29683 жыл бұрын
Mashaallah binti mrembo yupo uko maisha ya kijijin
@esthernaya64892 жыл бұрын
Hahaha uamini warembo wako kijijini tu
@juliethhouseofdesigns1473 жыл бұрын
Wakishaamia africa wanakuwa waafrica kwetu hatuna rangi nyeupe wala nyeusi wote tuko sawa
@abiboseleman16493 жыл бұрын
Kkkkkkkkkk mtangazaji bn kkkk bado sana
@gerrardmmandama94182 жыл бұрын
Great job
@richardsaikong11383 жыл бұрын
Hii ni tanzania?
@wowo15463 жыл бұрын
yeye mke wake na watoto wako wapi?🏡🎊🎉🇨🇩
@seifseifmohamed71183 жыл бұрын
Mpigie sim yake. Téléphonez á lui.
@josephkenga56273 жыл бұрын
Aende wapi hapo alipo ndio kwake na kwao, ardhi ndio utajiri mkubwa, na hao wako na mchanganyiko wa damu za mwaafrika;paradiso ni Africa, uzunguni hangepata hata kipande cha ardhi aite kwake;
@shamimhayat76373 жыл бұрын
Mzuri sana mashaaalah wapi huko mkoa gani
@يوسف-ح1ل9ن3 жыл бұрын
Sasa mkichukua story hii mziki ndio tunaudkia kuliko sauti ya msimuliaji lirekebisheni hilo
@enochdavidtv86363 жыл бұрын
#Felicitations, Timenel kedal
@victoriaritte88102 жыл бұрын
@Millard Ayo fuatilia hii story
@lisaozokalonji76553 жыл бұрын
Journaliste émission yako iko sawa lakini uko kama unatete mekeya Mzungu sana eti Mzungu ni mtu waakali sana unamaanisha nini? kuna wazungu awajuwi kitu! Monsieur bonne fête iko très gentil na siyo kila mzungu
@noelashaoona3 жыл бұрын
Kabisa
@devothasimbi10553 жыл бұрын
Yanis huyu mtangazaji huwa nachukia kweli kujilinganisha rangi eti rangi nyeusi ninaishi Ufaransa nawaona waliokimbia shule wanavyotaabîa mtaani.na huyo akirudi ulaya sio mzungu kabisa.
@Mpakauseme3 жыл бұрын
@@devothasimbi1055 huyo ni mshamba pengine ni kwasababu mazingira aliyonayo hakuna watu wa jinsi ya aina hiyo sisi kwetu mocambique zipo baadhi ya koo zetu mababu zetu walikuwa watu weupe toka portugal so na watu hawashangai ata kidogo
@Joe-tr2vk3 жыл бұрын
@@Mpakauseme Nilifika Nampula na Montepuez mwaka 2017 ni kweli Moçambique imechanganyika na watu hawajali haya mambo ya rangi ya ngozi. Nilipapenda sana
@r14kgroup682 жыл бұрын
Congo nchi mzuri
@jolemerci21553 жыл бұрын
Bonne Fête shukuru ivo iulivo hakuna nchi nzuri kama Congo congo inakubali n'a kupokea wa geni sisi tuliko nchini hapa uarabuni tuna penda tuishi hapa ila hawataki iyo sheria haipo ila kazi kwako ni nzuri sana courage Bonne fête
@nitunda3 жыл бұрын
Pole kabisa Ndugu Jole
@heyumi23403 жыл бұрын
afrika hakuna ubaguzi
@nitunda3 жыл бұрын
@@heyumi2340 Ndio
@heyumi23403 жыл бұрын
@@nitunda naam nchi za wenzetu mtihan sana
@nitunda3 жыл бұрын
@@heyumi2340 pole sana uko inchi gani?
@kwibejanvier21403 жыл бұрын
Yani bro una maswali yakijinga sana
@vayokhamakhama40813 жыл бұрын
Sana
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Sana huyo upepo
@Bigmamii033 жыл бұрын
Uyu dada mzuri jmn
@MoussaMoussa-hp4bs3 жыл бұрын
Whoa she's so cute
@X-ray47j3 жыл бұрын
She is mixed wtf
@ramadhanmahongole56633 жыл бұрын
huyu dada akienda ulaya na kuvaa vile vinguo vya asili yao anakuwa mzungu kabisa kama wa huko
@agustinocharles26502 жыл бұрын
Swahili bora hiyo
@johnkuma68673 жыл бұрын
Hapa kenya hata hakuna mtu anajali rangi ya mtu. Na sivizuri kuuliza maswali mengine unauliza dada kama journalist..Watu wa rangi za huyu dada wamejaa kenya kila corner na hata hakuna mtu huinua kichwa kuwatazama. Ni wananchi wa kawaida tuu na kitu cha kawaida
@uledimtumwa24063 жыл бұрын
Nyie bado mnatawaliwa na Wazungu kama South Africa.
@nelsonlushasi22733 жыл бұрын
Hata dar wamejaa i think wacongo wana uhaba wa machotara!!!
@johnkuma68673 жыл бұрын
@@uledimtumwa2406 kweli uko na opinion ya ajabu
@uledimtumwa24063 жыл бұрын
@@johnkuma6867 mpaka lugha bado ya wakoloni. Hivyo hakuna cha ajabu
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Watu wa jinsi hiyo Kenya si wengi pahala walipo wengi ni Angola, South Africa , Cape verde, Mocambique Maputo , Seashells na Madagascar, Kenya na Tanzania waliowengi ni machotara ya kiarabu na mabaniani neyi neyi kalunga kushineyi
@williamfelly78103 жыл бұрын
Mtagazaji unafaa kazinzuri; lakini ujitaidi kuwa namutazamo ingine juya Peau noir na peau blash. Wazungu niwatu kama wewe; kuko ba intelligent naba moin intelligent. Kamavile ba noire kuko ba intelligent naba moins intelligent. Aussi ufanye utafiti juya question general na question personell wakati unafaa interview nawatu. Unafaa kazinjema kaka. Kwamazuri zaidi, fanya utafiti mingi juya maswali.
@embeteidi50233 жыл бұрын
Pia mzee bonne fete anajulikana kama mmbembe ama mfulero?
@TanganyikaTV3 жыл бұрын
TAZAMA SEHEM YA KWANZA kzbin.info/www/bejne/gJXKmXinbcqcaq8
Ww nae punguza makasiliko ukiwaona ww uko inatosha asafiri kisa kuona hizo pua zao 😅😅😅🤣 Ukirud tuletee mmoja tuwafananishe
@mussamlewa21783 жыл бұрын
Nchi gan hii
@makondorshimora50172 жыл бұрын
Mama mcongomani na kazaliwa congo sasa anakuwaje mzungu? Huyo ni chotala wa kiafirka na kizungu na kwao ni congo
@emoalembe47903 жыл бұрын
Kuna ahina ya maswali mtangazaji anahuliza lakini yana leta baridi. Yale maswali ya kutaka kumu weka mzee bonne fête kuwa ni kumzungu.na kwamba inchi yake ni ufaransa. Hapana !
@devothasimbi10553 жыл бұрын
Hata mimi huwa ananishangaza akienda Ufaransa sio mzungu huyo.ninaishi Ufaransa waliochanganya rangi sio wazungu kabisa d’inuite ni kwa nini analazimisha huyo mzee ni mzungu
@abordecapester90862 жыл бұрын
Namfaam kabla nikingali mdogo nilimuonaga kabla sijaja Tanzania naona kazeeka sasa
@rizikiree203 жыл бұрын
Sijaona yake yakwanza mbona
@audaceleroi13703 жыл бұрын
mtangazaji, kuwa na maadili ban, unataka kumchukuwa mke wa mwenzako?😃😃😃
@angelageofrey97563 жыл бұрын
Kampenda
@audaceleroi13703 жыл бұрын
@@angelageofrey9756 😂😂
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Upepo huyo
@YabatuMitambwe11 ай бұрын
Mzee wa zamani huyo:Mkatolika wa damu..
@King_Of_Everything3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@rayaalhabsi17253 жыл бұрын
Masha Allah kizuri kweli
@calimahad92743 жыл бұрын
Interview imejaa ujinga wa rangi... inasikitisha kuona Interview imetawala rangi za watu. Kwa hali hii Wazungu wataendelea kututawala mpaka dunia itakwisha.
@clarisssimpenzwe62983 жыл бұрын
Wale ata ni weusi… wazungu gani 😜😜😜😜
@williamfelly78102 жыл бұрын
Try to write your comments respectfully. Uyu Journalist anafaa kazinzuri sana. Kama ungelimurekebishia, nivizuri umurekebishie indirectement; apana yawazi hivi >. Please, it's so genuines to think about others feelings and emotions because you don't know what's people are going through. Thanks.
@abordecapester90862 жыл бұрын
Unasema vibaya ulaya weusi wapo wengi , siyo mzungu ni chotara Yani minti
@r14kgroup682 жыл бұрын
Kiswahili muzuri
@machibyajeremia96503 жыл бұрын
nitumie namba yako anaitaji kukuona kwa projects
@hildegalda.malamoya.83283 жыл бұрын
Wekeni Subtitles
@J4UPro3 жыл бұрын
safi sana ,
@jerryjuma13393 жыл бұрын
yaani ndugu zetu wang'@mbo yaani mkionaga mtu mweupe yaani sijui mnakuaje, hao ni watu wakawaida Kama wewe ivyo basi hiyo ngozi nyeupe isikutishe my friend
@abordecapester90862 жыл бұрын
Wambiye Rama Rama kwa salimu
@maombiecha32973 жыл бұрын
Tuone video zake zamaubiri please
@marlomerci50273 жыл бұрын
Hongera sana kwa hiyo atuwa bwana journaliste
@abordecapester90862 жыл бұрын
USA wabembe wamezaa nawazungu wengi2 nawanaogea kibembe acheni ushamb tz tunaishi n'a wengi amuja kua wajanjatu! Dunguzangu ?
@DBrownstain3 жыл бұрын
MTANGAZAJI UMEBOA KISHENZ, UNASHOBOOOKA NA RANGI, NA USHAAMBIWA KAOLEWA BADO UNAMGANDA DADA WA WATU. SHAME ON YOU. HUJAELIMIKA HATA KIDOGO KUHUSU RACISM. NONSENSE
@Joe-tr2vk3 жыл бұрын
Mimi pia sikujisikia vizuri. Naona dada naye hakupenda maswali ya namna ile
@dezasumailcostaricahamis542911 ай бұрын
ba métisse banakuaka ba muzuri sana
@zainabmwengela59873 жыл бұрын
Jitahidi usitafune maneno unasikika kwa shida sana
@jeanclaudeedmond56742 жыл бұрын
On dit bonne fete en swahilli?
@ramadhanhassan40352 жыл бұрын
Heri kwa siku yako ya kuzaliwa
@ramadhanhassan40352 жыл бұрын
Heri kwa siku yako ya kuzaliwa
@yunusrnb52273 жыл бұрын
Hana watoto WENGINE jamani tuoe?mbna wazuri
@ngomafrancis16593 жыл бұрын
Mtoto wa Bonneface anaolewa tiari aho bado pia wateja wamepatikana watatu kama yuko tiari kibarua nimeambiwa kiko
@abordecapester90862 жыл бұрын
Nitembelee kwa kami nipembeni naapo unapo hoji
@azizayassin36232 жыл бұрын
Kwani sauti imeenda wpi
@marcominja88503 жыл бұрын
Mbona mtangazaji una maswali ya kipuuzi sana, yenye mwelekeo wa bullying?
@deejeydaev3 жыл бұрын
Content mbovu mnoooo sasa ndio nini kutuwekea beat badala ya interview.. total waste of MB
@seifseifmohamed71183 жыл бұрын
Wacha ujinga. May be you dont understand kiswahil na français. Nous sommes tout çava pas de problém.
@embeteidi50233 жыл бұрын
Sasa mbona haujamuuliza magumu ya vizi?
@musichealsTz3 жыл бұрын
sauti haiko poaaaaaaaaa
@chanylove3 жыл бұрын
Tuliishi nao wooote kambini lugufu
@merrydaniel91243 жыл бұрын
Kabambalee 😁
@ramadhanmahongole56633 жыл бұрын
nampenda huyo dada jamani kama hajaolewa nitumie namba yake nataka ikiwezekana nimuoe niko tanzanie🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mangofish90793 жыл бұрын
Lakini angekuwa mweusi uzuri usingeonekana au vipi?
@aminakipande56453 жыл бұрын
Baadhi ya wanaume nikuwaacha tu na ulimbukeni wao😏😏😏
@buharimwanga2843 жыл бұрын
aisee jina zuri la kiswahili nimependa kiswahili chako,si kiswahili tu bro napenda sana kuona mtu anaongea lugha asili za africa
@inovetorshax71372 жыл бұрын
Mwanahabari huyu anataaluma finyu sana kwenye swala la mahojiano
@azizahamisi73492 жыл бұрын
Umeona
@heraldloshi18643 жыл бұрын
Naomba uchumba.
@g-africalyrics58573 жыл бұрын
Improve your interviews.
@mangofish90793 жыл бұрын
Comments nyingi za kumsifu binti kuwa mtoto ni mzuri suala jee angekuwa mweusi uzuri wake ungewashtua wengi humu kama ilivyoonekana kupitia comments?
@DBrownstain3 жыл бұрын
Acha tu nduguyangu, racism haijaiacha Africa salama bila sisi wenyewe kujua, kwanza ni ushamba wa hali ya juu. Adi mtangazaji ameshoboooka kwa uyo dada kisa ni mzungu, shame on him
@kassimkasi8463 жыл бұрын
Mtangazaji hana uwezo
@TheConqueror__Yb3 жыл бұрын
Presenter ajielewi hajui kupanga mada yupoyupo tu..
@martinbyamungu55393 жыл бұрын
Jambo habari gani huko, mimi nimefata mazungmuzo mulifanya na muzee Bonne Fete, Anasema kama ako na watoto wengi mimi ningependelea kujuwa, kama angaliki na fille mwenye hajaolewa naomba kujuwa please.
@Joe-tr2vk3 жыл бұрын
Unataka umuowe?😅
@butugaeve33003 жыл бұрын
Mimi binafsi uwa napenda vipindi vyako ila kwahii moja nahisi kama umeniboa sana. Kuweni mnaandaa maswali ya kuwauliza mtu. Maswali mengine yanaleta aibu kwetu sisi watazamaji Sijapenda hivo kabisa.
@TanganyikaTV3 жыл бұрын
Asante kwa kuwasiliana nasi ,tafadhali fahamu kwamba maoni yako yametufikia.
@ritagrace48822 жыл бұрын
Mwambie atafute kuna jia anaweza kusaidika
@ramadhanmahongole56633 жыл бұрын
Madada wenye asili ya kizungu nawapenda
@diti48993 жыл бұрын
Huyu mwandishi?????????
@devothasimbi10553 жыл бұрын
Eti mzungu na mnapongezana kutiana ujinga mzungu
@lameckouragan3358 Жыл бұрын
Un journaliste très complexité par la peau blanche, comment il s'étonne bcp d'avoir un blanc Mubembe ? Kwanini umuulize dada heti atarudi kwao siku ghani, kwao wapi tena kama sio hapo Fizi? Je hiyo sio racism ? Mtangazaji uko na 3/10.
@victoriaritte88102 жыл бұрын
Huyu mwandishi anajua anachokifanya kweli?
@zawadibushiri93943 жыл бұрын
Nishahidiye number ya huhu dada
@merrydaniel91243 жыл бұрын
KATA YA FIZI 🙄
@zinabal-dubae35513 жыл бұрын
Wajina Zainab
@valenakomba92183 жыл бұрын
Eeeh, Mungu akuondoe hapo ulipo katika Jina la Yesu. Mi naona we umerogwa, au nyota yako imeibiwa.
@johnkuma68673 жыл бұрын
Sasa wewe karne ya 21 unaongea mambo ya kichawi na ujinga wa nyota kuibwa? Sasa hiyo ni kitu gani unaingea watu wakiongea vile wataunda mitambo ya computer,electronics,sift ware designs ambazo zirafanya mausha ya binadamu kuwa meoesi wewe unaongea lugha ya mtu hajasoma. Huzuni sana. Toa mawazo kama hayo kwa akili zako kabisa. Mambo ya kiuchumi congo,na uongozi mbaya ndiyo umeadhiri hawa watu. Si uchawi. Mpe nafasi utashanga akibadilika kabisa🇰🇪
@Joe-tr2vk3 жыл бұрын
Nani aliyerogwa? Tumia akili yako vizuri
@johnnjoroge27732 жыл бұрын
Some questions are utterly useless and Nonsensical. This is a very cheap unprofessional journalist piece of Gabbage. Totally Nonesence and Rubbish..