Mwijaku unaongea point sana kuhusu wake nakuunga mkono sana ukiwa Karibu na mke wako na kama ni mwaminifu maishani utafanikiwa
@shabanigenya47085 ай бұрын
Kwenye utaftaji hapo very true….👊🏽
@mrliverpoolynwa76415 ай бұрын
Mwijaku big brain💪💪💪
@mr.saiduwesuomary18595 ай бұрын
Ushauri Kwa Mwijaku..... Asiwe na direct statement kumpoint mtu , ni namna nzuri anavyofanya kupatia Rizki na harakati zake...! Hizi direct statement akimpata mtu Yuko serious atamletea shida.
@user-sv4er3xe7n5 ай бұрын
Mwijaku unamilion mia tatu 50 lkn pesa yakwenda umra huna
@husnathabiti41145 ай бұрын
😂😂
@hizamawa60465 ай бұрын
Leo ndo nimeamini alichoongea kiba na makabila aisee jamaa ni Genious sana na very creative
@pengefeza25635 ай бұрын
Hamna. Ana wivu na chuki binafsi
@owdenisaga43615 ай бұрын
Genius anaomba kufadhiliwa kwenda kuswali then anasema 300m anayo bank ?