Maisha Ya Aliyekuwa Dereva Wa Mzee Jomo Kenyatta

  Рет қаралды 455,464

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

10 жыл бұрын

Anaona fahari kwa kuwa miongoni mwa wanajeshi wachache mno waliopata fursa ya kuwa dereva wa rais wa kwanza wa jamhuri ya Kenya Mzee Jomo Kenyatta. Japo ni miaka mingi baada ya kustaafu kwake, Martin Munuve Njema mwenye umri wa miaka 76 anakumbuka vyema hali ilivyokuwa alipokuwa dereva wa gari maalum alilotumia Mzee Kenyatta ilipowadia siku kuu ya kitaifa. Mwanahabari wetu Patrick Injendi alimtembelea nyumbani kwake mzee huyo huko Kithimani eneo la Mbooni kaunti ya Makueni ambako alimhoji zaidi kuhusu taarifa inayomhusu.

Пікірлер: 137
@kahugumuiruri9057
@kahugumuiruri9057 3 жыл бұрын
I love his integrity. He chose a course to work with his hands and mind as opposed to an undeserved promotion.
@florencemwangi7766
@florencemwangi7766 3 жыл бұрын
He deserves a better living style through the government, he should not be neglected
@KangsDKN
@KangsDKN 3 жыл бұрын
This is a wise man, wise decision, hand skills are so important
@fredericksaidi3491
@fredericksaidi3491 4 жыл бұрын
His family deserves to be humanly remembered!
@ngongashadrack1192
@ngongashadrack1192 3 жыл бұрын
Mzee is still too strong!
@michaelalando
@michaelalando 3 жыл бұрын
It's great that Jomo asked him what he needed. He should have said, "a farm" plus that promotion within the forces. He'd have
@bonifacemaina6092
@bonifacemaina6092 3 жыл бұрын
Hakuna mshahara kubwa wala ndogo(Opportunity come once)... God gave you abilities to utilize ..Ukizubaa shauri yako( But God of another chance..
@Nani-ww8yg
@Nani-ww8yg Жыл бұрын
Indeed well said
@kendimutunga
@kendimutunga 2 жыл бұрын
A man with wisdom
@mercynjagi9692
@mercynjagi9692 2 жыл бұрын
Kenyatta's family should not have forgotten about him
@254alright2
@254alright2 3 жыл бұрын
and kenyatta's son is the president, just imagine, alafu we mtu haujaifanyia serikali kitu umekazana kila siku ati unakufia mtu.
@justusmutisya8808
@justusmutisya8808 4 жыл бұрын
Ngyema my neighbour, a simple mama. Thanks citizen TV.
@qaliabdullahi17
@qaliabdullahi17 3 жыл бұрын
The government should not forget such meaningful person at any cost, anafaa apatiwe asante ya serikali hata Kama ni kumpatia kazi Kwa vijana wake,
@MuhammadMuhammad-lq2um
@MuhammadMuhammad-lq2um 3 жыл бұрын
Of course
@boxingplanet7637
@boxingplanet7637 5 жыл бұрын
H.Uhuru saidia dereva wa babako
@rosemuthoni8109
@rosemuthoni8109 3 жыл бұрын
Ukweli
@supertal2943
@supertal2943 5 ай бұрын
True
@mikemunda
@mikemunda 3 жыл бұрын
Leaders in ukambani should boost this wise man yuko humble.
@roberttai4694
@roberttai4694 3 жыл бұрын
While you guys are complaining of the state of the mzee, remember there are current drivers ,security personnels of VIPs living hand to mouth despite the changing times.
@stevenjenga506
@stevenjenga506 3 жыл бұрын
Someone should connect this driver to president kenyatta
@alphoncengugi4515
@alphoncengugi4515 5 жыл бұрын
This is Kenya only criminals lives a good life and expensive luxuries to end
@geraldmaingi509
@geraldmaingi509 2 жыл бұрын
Head of states, avoid same by rewarding those who carry your life in their hands. Eg. Cooks, drivers, bodyguards etc. It has been noted with a lot of concern that you even use them to root the wealth you have living them a pepper.
@lucasmwasi4310
@lucasmwasi4310 5 жыл бұрын
Ati asaindiwe kwani wakati huo hakua analipwa, kwambia Uhuru sinjui amuonee huruma haisaindii angeambia jomo Kenyatta.,,,
@oppsinlyf
@oppsinlyf 5 жыл бұрын
True. Huyu ni pensioner.
@janewarimu134
@janewarimu134 4 жыл бұрын
Volume
@duncansindani8909
@duncansindani8909 3 жыл бұрын
As together as one
@mathewsaitoti4250
@mathewsaitoti4250 5 жыл бұрын
Hon Uhuru msaidie aliyekuwa dereva wa mzee.
@jonyaojunior4327
@jonyaojunior4327 3 жыл бұрын
Hon Uhuru Kenyatta Fanya jambo
@jontecaros3194
@jontecaros3194 3 жыл бұрын
Pole Sana, uhuru najua tu hatasaidia huyu mtu
@richardmaranga1633
@richardmaranga1633 5 ай бұрын
Wakatu huo pesa ilikuwa ndogo,but labda mzee alipenda Raha kuliko maisha ya baadaye
@janewarimu134
@janewarimu134 4 жыл бұрын
Waoo long live baba
@janemburu7921
@janemburu7921 7 жыл бұрын
i know he will win because he is very. good with he's work be strong Uhuru. don't worry
@tommboya9768
@tommboya9768 5 жыл бұрын
jane Mburu @mmetuibia sana na hamna aibu ya kuongea upuzi
@gideongathekiamkoloni5043
@gideongathekiamkoloni5043 3 жыл бұрын
I don't know why those who has served Kenyatta's are poor
@jontecaros3194
@jontecaros3194 3 жыл бұрын
You are right , I found that too, uhuru is naturally not a giver 😂 mchoyo
@gideongathekiamkoloni5043
@gideongathekiamkoloni5043 3 жыл бұрын
@@jontecaros3194 Kabisa
@anthonyngocihkisilu2973
@anthonyngocihkisilu2973 Жыл бұрын
The man should have asked for a plot or land....coz he was already a professional driver
@sierrakamau1510
@sierrakamau1510 5 жыл бұрын
The government of Kenya completely forgets loyal dutiful people who have contributed to it's history! SHAME ☹️
@joshuamwanzia8986
@joshuamwanzia8986 5 жыл бұрын
Sure , but the issue here is connections to reach the right people
@kirakurawachege1250
@kirakurawachege1250 3 жыл бұрын
The comments on this group show how little knowledge of the fight for independence, the Mau Mau and other freedom fighters in this country we have...
@victormaina7400
@victormaina7400 5 жыл бұрын
Old but young
@aggreyluganolugano649
@aggreyluganolugano649 3 жыл бұрын
Why is he poor! While Kenyatta family n relatives are dancing in billions of money n properties
@MuhammadMuhammad-lq2um
@MuhammadMuhammad-lq2um 3 жыл бұрын
Imagine then today you find some have that energy to call others thieves
@catemutionzuki2761
@catemutionzuki2761 5 жыл бұрын
Ata guka yangu alikua mmoja wa huyu but alilia asaidiwe wapi Hadi amekufa akilia usaidizi ni mungu tu
@edwinkipngetichtum9010
@edwinkipngetichtum9010 4 жыл бұрын
The Workers of the Family 👪 Mzee Jomo Kenyatta Should Leave A Better Life.. 🤔 🤔
@phidesk6532
@phidesk6532 4 жыл бұрын
huyu mzee kama hakusaidika iyo wakati hatawai saidika
@abdullahiabdi5855
@abdullahiabdi5855 5 жыл бұрын
2 H:excellence plz assist de above fmr driver
@HubasaFamily254
@HubasaFamily254 3 жыл бұрын
Maisha ni tricky walai.....baada ya hiyo yote bado maisha imemnyorosha hivi?!
@alexorango5133
@alexorango5133 2 жыл бұрын
Vile angependa kuambia UHURU ako na njaa, hivyo ndio angeambia Kenyatta wakati aliulizwa angependelea apewe nini ndio afurahie kazi yake. Dawa ya njaa ni chakula. Na chakula hutolewa shambani. Angeangukia mashamba ambayo yangemlisha pamoja na vizazi vyake. Hata mkamba mwenye alipeleka Independence Flag Mt. Kenya alienda nyumbani na vumbi.
@danzelmajor1296
@danzelmajor1296 3 жыл бұрын
How faster is he in using his appropriate wishes and alacrities of being an epitome of class
@bonfacechegewarui4149
@bonfacechegewarui4149 3 жыл бұрын
The proposed formulae on 2 third gender rule with rotational presidential post is now available in youtube from ordinary mwananchi to access go to,, bonface chege warui
@josephmusembih6041
@josephmusembih6041 5 жыл бұрын
HE DESERVES RECOGNATION HAKI
@joshuamwanzia8986
@joshuamwanzia8986 5 жыл бұрын
He has never got the Regnition
@aliaden5512
@aliaden5512 3 жыл бұрын
Pole mzee wakikuyu niwagumu kwa pesa jaribu ruto anaeza toa kitu
@eunicemukuru6191
@eunicemukuru6191 3 жыл бұрын
🙄🙄
@patricktumek2741
@patricktumek2741 3 жыл бұрын
Ni karibu na ukweli
@kaytwok2345
@kaytwok2345 3 жыл бұрын
😂😂😂Achakumwabia ukweli atajuta
@osmoohvictor573
@osmoohvictor573 3 жыл бұрын
I did good work
@johnnyagandwiga2779
@johnnyagandwiga2779 4 жыл бұрын
Aki please try to connect him with uhuru, even the sister for kibaki surely media help.
@shabanalphonice7771
@shabanalphonice7771 3 жыл бұрын
Still strong
@metalcrusher8474
@metalcrusher8474 4 жыл бұрын
Mbona abebe Kenyatta halafu aishi maisha ya kuhangaika namna hii? Hata choo ni ya matope. Isipokuwa mungu amempea afya na utajiri wa rohoni.
@suleimanabdullahi3190
@suleimanabdullahi3190 5 жыл бұрын
In Kenya,people will step on your head to get to the top,while there,all the head that were stepped on will have no meaning.
@nelsongatobukaigera7552
@nelsongatobukaigera7552 3 жыл бұрын
Very important
@raelahrayanraynah6256
@raelahrayanraynah6256 4 жыл бұрын
Uhuru help huyu mzee , if you know you know
@husnisunkar8477
@husnisunkar8477 6 жыл бұрын
uyu mzee aangaliwe vizuri alibeba rais wa kenya
@joshuamwanzia8986
@joshuamwanzia8986 5 жыл бұрын
Sure ,He is still optimistic
@janemburu7921
@janemburu7921 7 жыл бұрын
I am praying for Uhuru to win .god bless uhuru I wish you long live and good health.
@husseinmunga9591
@husseinmunga9591 4 жыл бұрын
are you still here?
@jontecaros3194
@jontecaros3194 3 жыл бұрын
What have you gained so far after he worn?
@kanakekareko7725
@kanakekareko7725 5 жыл бұрын
Kazee
@samsonwarui7407
@samsonwarui7407 5 жыл бұрын
this was 2014 so far did he managed kufikia president uhuru... we now in 2019
@muthilimharid9971
@muthilimharid9971 5 жыл бұрын
Cuba lazima
@maghanawakamau3596
@maghanawakamau3596 4 жыл бұрын
Ako na haki,apewe haki yake
@martinkiberenge4405
@martinkiberenge4405 4 жыл бұрын
Am sorry to ask,kwani hawa watu hawakuwa wanalipwa,coz anakaa kama hajawai enda kazi,anyway ukambani ni moto
@lukenexuz106
@lukenexuz106 5 жыл бұрын
This mzee uhuru must help him one of the shujaaa of Kenya
@lucymwangi9844
@lucymwangi9844 2 жыл бұрын
Na ifikie rais ukikumbuka watoto wake pia mimi Nina mmoja msichana graduate.anataka kazi
@jackjanet5970
@jackjanet5970 4 жыл бұрын
Na kwasababu alikua analipwa kwanini hakusave pesa zake ajitengenezee maisha,wacheni tuache kubebecha watu mizigo and this is a lesson no matter who you are woking for save your money for your old days.kila mtu ako na mashida zake.
@amosngugi5566
@amosngugi5566 4 жыл бұрын
Ata mimi najiuliza hawa ni watu wenye wanaishi maisha si yao
@afandehassan1
@afandehassan1 3 жыл бұрын
Wapi Atwoli badala atetee watu kama hawa Yeye ni Ruto tu... Shenzi Sana
@wamugimohammed3848
@wamugimohammed3848 3 жыл бұрын
Kwa kweli Rais UHURU Najuwa atamsaidia hii habari akiipata! Yule mzee we Taita aliye tuwa wembo we TAIFA alimjengea nyumba nzuri tu sana na kila kitu kwa nyumba,😃😃😃
@tondaaugustine4541
@tondaaugustine4541 5 жыл бұрын
mzee alichagua asaidiwe kufunzwa umekaniki.....mimi ningekua yeye ningeambia rais Jomo nipee cheo na mshahara iongezwe ama angeomba shamba kubwa
@directorgeneral9503
@directorgeneral9503 3 жыл бұрын
I'm really sad for What he asked!! Somebody anapata opportunity to talk with the president and given a chance to ask anything and fail to ask the right thing! nowonder that's the reason he his suffering he made wrong choice! Opportunity comes once.
@kaytwok2345
@kaytwok2345 3 жыл бұрын
By those year kitu kama shamba ama madaraka aikua ya maana sana...mzee kuchangua kufunza u mechanic ilikua jambo la maana......mistake akujipanga in future
@paulwainaina8230
@paulwainaina8230 2 жыл бұрын
Serikali isandie mzee
@stephennganga1623
@stephennganga1623 5 жыл бұрын
Wah but he tried
@yunicewanjiku3566
@yunicewanjiku3566 7 жыл бұрын
uhuru ni mtu ako na Mungu ndani yake atakusaidia
@ulayajuma3959
@ulayajuma3959 5 жыл бұрын
I hope you believe that now
@rajabmusa8949
@rajabmusa8949 3 жыл бұрын
Allah knows
@kibaopipa3474
@kibaopipa3474 6 жыл бұрын
IMAGINE DRIVER WA PRESIDENT SO SAD
@joshuamwanzia8986
@joshuamwanzia8986 5 жыл бұрын
whats Sad
@judithcherono2595
@judithcherono2595 4 жыл бұрын
Okoa huyu mzee prezo
@patrickmugambi1176
@patrickmugambi1176 5 жыл бұрын
Did the the guy meet prezo uhuru?
@rahjah5882
@rahjah5882 5 жыл бұрын
Sasa Wakenya mbona mnashindwa saidia huyu mzee , angalieni life anayoishi na life ya wadosi huko Nairobi Very Sad 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@rojahdaudi9306
@rojahdaudi9306 3 жыл бұрын
Unajuwa kinachoendelea na aliyekuwa dereva wa Nyerere ?
@directorgeneral9503
@directorgeneral9503 3 жыл бұрын
Mko na kimbelembele Sana na Mambo ya kenya mind your own business in Tz..
@aliaden5512
@aliaden5512 3 жыл бұрын
Alisaidiwa akishindwa, kusaidika
@irenekerubo9791
@irenekerubo9791 3 жыл бұрын
Ajengewe hao poa
@asilclub
@asilclub 3 жыл бұрын
عمل سائقا للرئيس الكيني جومو كينياتا
@bensonondieki3607
@bensonondieki3607 3 жыл бұрын
Raila is the cause of trouble
@simonwainaina7360
@simonwainaina7360 5 жыл бұрын
kwani hakuwa ana save pesa zake??
@joshuamwanzia8986
@joshuamwanzia8986 5 жыл бұрын
Babu had a big family so the dependency Ratio was indeed high
@suzeemnati8356
@suzeemnati8356 5 жыл бұрын
Amesema salary yao hiyo time ilikua chini kuliko wafanyi kazi wengine sio kama siku hizi so hageweza coz ya family
@irenekerubo9791
@irenekerubo9791 3 жыл бұрын
Watu kama hao wasaidiwe
@mohamedaminah3448
@mohamedaminah3448 3 жыл бұрын
MUNGU WANGU ,. HUYU MZEE ANASTAHILI KUSAIDIWA HAKI.
@rosemuthoni8109
@rosemuthoni8109 3 жыл бұрын
Ndio
@zahrahabib3177
@zahrahabib3177 5 жыл бұрын
Kenyans yu are celebrating mashujaa's day na mashujaa wenyewe yu are not helping them, what's the meaning of that
@eliudmathu1575
@eliudmathu1575 5 жыл бұрын
ety mechanic badala ya promotion kweli ww n mkaba
@joshuamwanzia8986
@joshuamwanzia8986 5 жыл бұрын
see your life ,What have you done to yourself ,Acha ukabila
@patriciawaisaac4885
@patriciawaisaac4885 5 жыл бұрын
Kweli mkamba ni mkamba na c ukabila
@kaytwok2345
@kaytwok2345 3 жыл бұрын
🚫🚫
@ginton_254
@ginton_254 3 жыл бұрын
Yani unaulizwa wataka kua nini unasema mechanic👨‍🔧👨‍🔧👨‍🔧👨‍🔧👨‍🔧👨‍🔧 mkamba ni mkamba tu bana
@wambuageoffrey9321
@wambuageoffrey9321 3 жыл бұрын
Hauna akili wewe....ungesema promotion without an idea
@kaytwok2345
@kaytwok2345 3 жыл бұрын
Ata wewe chenye utamani sana kua iko siku kitkua akina maana....hii ni 1964 unadhani mechanic kenya ungemtoa wapi?????...he was a wise man
@stephenkamitha5932
@stephenkamitha5932 5 жыл бұрын
Uhuru najua unamjua huyu guka msaidie
@directorgeneral9503
@directorgeneral9503 3 жыл бұрын
Guka alijagua umekaniki!! Always wrong choice until now!
@marionmammy833
@marionmammy833 5 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄😄
@catherinegitau9053
@catherinegitau9053 Жыл бұрын
Hii family ya Kenyataa is a very mean and selfish family hata mama yao Dio the worst she's never helped anyone....hata kwa matanga yeye huenda na kuni Moja na mia Moja.. shame
@stevengitau2437
@stevengitau2437 6 жыл бұрын
Mkamba na mjaluo wako sawa kwa upuzi promotion na mechanic zinakujia wapi😃😃😃😃
@josephgicharu7206
@josephgicharu7206 3 жыл бұрын
President wetu saindia mzee alie kuwa ndereva wa baba yako
@jontecaros3194
@jontecaros3194 3 жыл бұрын
Uhuru can never help anyone
@josphatmakokha5016
@josphatmakokha5016 3 жыл бұрын
Mkamba ni mkamba tu
@mandenno.8460
@mandenno.8460 5 жыл бұрын
Na Githeri man akatunukiwa.
@francismuiruri9064
@francismuiruri9064 5 жыл бұрын
Wakamba hawazeekangi aki.
@joshuamwanzia8986
@joshuamwanzia8986 5 жыл бұрын
But atleast he is kind Babu to me
@mikeshikhaya2397
@mikeshikhaya2397 5 жыл бұрын
C ivo..any person who happens to undergo millitary training they live strong even during their old age
@joshuamwanzia8986
@joshuamwanzia8986 5 жыл бұрын
@@mikeshikhaya2397 when was that and when is today, at time lets be somehow realistic
@mikeshikhaya2397
@mikeshikhaya2397 5 жыл бұрын
@Joshua mwanzia Am not looking at tym neither am I looking at wen exactly yr it was.. Here am talking of his general fittness Bro hé gained during his training and while in thé millitary camp
@kuchimillionaire6683
@kuchimillionaire6683 5 жыл бұрын
Francis Muiruri kama wapare
@bonfacechegewarui4149
@bonfacechegewarui4149 3 жыл бұрын
The proposed formulae on 2 third gender rule with rotational presidential post is now available in youtube from ordinary mwananchi to access go to,, bonface chege warui
@kevohwapipelinetransami4351
@kevohwapipelinetransami4351 5 жыл бұрын
Uhuru ni mpole atakusaidia
@joshuamwanzia8986
@joshuamwanzia8986 5 жыл бұрын
The Babu is still waiting to date
@kevohwapipelinetransami4351
@kevohwapipelinetransami4351 5 жыл бұрын
@@joshuamwanzia8986 anastaili aende uko amwambie
@MOHAMEDIBRAHIM-gu5zf
@MOHAMEDIBRAHIM-gu5zf 5 жыл бұрын
Wana Siasa hawa pendi ku saidia watu
@joshuamwanzia8986
@joshuamwanzia8986 5 жыл бұрын
@@kevohwapipelinetransami4351 where now , you know in our democratic country you should have some kind of appointment to meet our elected leaders.
Heka Heka 4/03/2011
6:53
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1,5 МЛН
Uongozi wa kipekee wa rais mstaafu Moi
21:36
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 832 М.
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 6 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 70 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,4 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
MC Jessy - When President Kenyatta Bought Bananas Along Thika Rd.
10:40
Churchill Television
Рет қаралды 1,3 МЛН
Mzee Kenyatta's Chair
4:03
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 82 М.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
Heka Heka za Kisiasa
6:10
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1,5 МЛН
Elizabeth Madoka: Mlezi Wa Uhuru
3:38
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 112 М.
Mzee Jomo Kenyatta’s legacy of Pan-Africanism
6:22
Capital FM Kenya
Рет қаралды 104 М.
Bado mapambano: Kumbukumbu ya maisha ya marehemu Otieno Kajwang'
3:12
KTN News Kenya
Рет қаралды 204 М.
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 6 МЛН