Majibizano makali usiku huu Lissu awekwa kati mbele ya Samia"Lissu hana adabu

  Рет қаралды 10,054

Linconmedia

Linconmedia

Күн бұрын

#lissu #chadema #mbowe #samia #ccm #tanzania #uchaguzichadema #uchaguzi2025 #hezbollah

Пікірлер: 88
@JacobMbosalee
@JacobMbosalee 7 күн бұрын
Safi SANA mwandishi
@hamisidd8124
@hamisidd8124 8 күн бұрын
Hongera Sana muongeaji nimekupata wafundishe maana ya siasa na demokrasia,watanzania wanataka maendeleo, amani, utulivu, watu wale raha
@ChalesLukumai
@ChalesLukumai 7 күн бұрын
Muongeaji hujui lolote kuhusu katiba inasemaje juu ya vyama vya siasa. Unaendekeza uchawa.
@MuradAbdul-u2c
@MuradAbdul-u2c 7 күн бұрын
Kibla ndio muelekeo mkuu, ama kweli huyo jamaa anaongea kitu ambacho hakijui😂😂
@benderakashindi3834
@benderakashindi3834 8 күн бұрын
Who is this one against Chadema. Why CCM is on the strong deal of dictatorship. This year we have 100% of chadema success for Governing Tanzania. We are so tired of the current Government of old leaders. We need youth generation to Govern. Lissu Bravo don't scare, don't use force during election you are going nowhere if you do this, but there is simple technique to overcome CCM which does not demand even 100 sailing to waste during campaign to win but time still even one day before election is to many to win. We are behind chadema in everything, CCM has already failed for very long, only still using dictatorship to lead but all tanzanians even other members in the Government don't want it.
@JacobMbosalee
@JacobMbosalee 7 күн бұрын
KABISA
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 8 күн бұрын
Huyo ninani wanacho sema. Huna lolote hata katilba. Hujuwi. Chawa wanani . Watu waliyo kufa,mbona hasemi watu waliyo tekwa wapo watu, njo ukiponye
@samsonrusagira5168
@samsonrusagira5168 7 күн бұрын
Huyu Jamaa kichwani kutupu.
@JacobMbosalee
@JacobMbosalee 7 күн бұрын
Kweli kabisa
@AmisiLulacha
@AmisiLulacha 8 күн бұрын
Nyinyi watu wa ccm mulisha zoeya kutesa chadema naona dawa Yana waingia
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 8 күн бұрын
Unajipendekeza unapoteza akili
@frankminga9307
@frankminga9307 8 күн бұрын
Mwangoka kumbe ni mpumbavu tu
@JacobMbosalee
@JacobMbosalee 7 күн бұрын
SANAAAA
@johnmlangi6890
@johnmlangi6890 8 күн бұрын
Huyo Bwana Ana mawazo ya kutaka Demokrasia ikandamizwe, Kwa Kutumia Ofisi ya Msajili. Tunapokwenda Kwenye “Uchaguzi”. Wagonmbea Wote Wanatakiwa kuwa Treated Equally, Sio Mwingine kujiona ni Superior Kuliko Wengine.
@SubiranTimo
@SubiranTimo 7 күн бұрын
Jaman lisuu anaogopa uchagui kwsbbu wanauwa wagurugezi wnaib kur 4ara wmepote kin soka myoooo
@CLEMENTNDOLE
@CLEMENTNDOLE 7 күн бұрын
Nawaomba viongozi wetu wa vyama vya siasa wanapomzungumzia Rais wetu wawe wanampa heshima yakumuita Rais Samia badala ya kumuita Samia.
@frankminga9307
@frankminga9307 8 күн бұрын
Uelewa wa huyu ndugu ni mdogo mno mnapoteza muda tu
@xaixaiobrigado4846
@xaixaiobrigado4846 7 күн бұрын
Komredi nani? Kwa Nini ni komredi,ili ..! TL,alimkabiri Jiwe.Na alimwita dikteta uchwara, ww huku wapo? sembuse Samia! Kwani adabu ni mali ya nani? Sio anakuja,alianza kuwakabiri tangia awali. Adabu ni mtu kumwita mwenzio ;ameanza kuita njia!!!
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct 7 күн бұрын
Ccm wanaiogopa katiba mpya na tume huru kwa sababu wanajua hawatoboi wamebaki kujisifia maendeleo waliyotakiwa kuyafanya miaka 20 iliyopita nchi ina rasilimali nyingi ambazo zingeweza kufanya maendeleo miaka mingi iliyopita
@celestinekimaro8996
@celestinekimaro8996 7 күн бұрын
Mtangazaji hebu achana na huyo taahira anapoteza muda
@ulimbagakipole3971
@ulimbagakipole3971 8 күн бұрын
Acha uoga Samia ni M/kiti wa ccm na Lisu ni M/kiti wa CHADEMA. Kukabiri maana yake kujibizana. Mmezoea lelemama. Mbona kuna kauli mbovu, mbaya za ccm zimewahi kutolewa hujawahi kumshauri msajili akiangalie vizuri kwa kauli mbaya za wanasisiemu?
@godwinshoo5032
@godwinshoo5032 7 күн бұрын
Taja hizo kauli tuzipime
@maryali2122
@maryali2122 7 күн бұрын
21:15keli lisu anaadabu llikebisha luga ujuikabisa nduo lunga hiyo aifa ukua kama kiongozi.lazima ppunaali ج
@ignasmahundi4734
@ignasmahundi4734 8 күн бұрын
Kwani katiba mpya na tume huru ya uchaguzi vinatatizo gani?
@danielngogo8285
@danielngogo8285 8 күн бұрын
Huyo anaongea nini? Mbona kama hajitambui,tutatumia makundi ya uma,na tutatumia kila njia kupata haki yetu, Na tunapo tutamjibu samia,kama kiongozi wa ccm na siyo raisi.
@habibumpa6150
@habibumpa6150 7 күн бұрын
Hivi msajili wa vyama siasa hayaoni haya anayozungumza lusi
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 8 күн бұрын
Anaomba uteuzi huna hoja
@greysondavid6445
@greysondavid6445 8 күн бұрын
Kukabiriana kidiasa najambo la kawaida Huu ni mwaka wa uchaguzi na ukixingatia kwamba huyo atakae mkabiri ni mgombea wa uchaguzi wa urais inchini. Tuache kuwatia au kuwapa watanzania wiga usiokuwa wa msingi.Kukabiliana kidiasa kwa hoja za kimdingi na si vinginevyo.
@StoneLiyanga
@StoneLiyanga 8 күн бұрын
Wewe huna jimpya kama kweli katiba mpya chadema walitaka wapendelewe wao pekeyao kwanini ccm hawakuwashilikisha vyama vingine kama kweli walikuwa na nia njema acha kutete ugali wako watanzania wana teseka chawa mjinga
@davidpallangyo114
@davidpallangyo114 8 күн бұрын
Ndugu Mwangoka,tafadhali nakuomba kasome zile Ahadi za Mwana TANU.TANU ya Mwalimu Nyerere ambayo ndiyo iliyozaa CCM. Mimi nakutajia moja:- NITASEMA KWELI DAIMA,FITINA KWANGU NI MWIKO.
@baluhiphilipbudika7612
@baluhiphilipbudika7612 8 күн бұрын
Kuhuisha katiba ya zamani ni kuendeleza ubabe wa CCM, kunatatizo gani kurekebisha tume ya Uchaguzi badala ya Tamisemi kusimamia Uchaguzi ambayo ni CCM bila shaka yoyote, leo tangu kuanzishwa kwa vyama vingi tunaendelea kutumia katiba iliyopitwa na wakati, kuna maswala ya muungano yaliyovunjwa na katiba ya Zanzibar, Je tunatembeaje na katiba mbili isoyolinda muungano wetu. CCM wamejitoa ufahamu na wamegeuka kuwa wapiga debe kwa hisani za uteuzi.
@musa-v3f
@musa-v3f 8 күн бұрын
wezi wa kura, watekaji na wanaokamatwa na maboksi ya kura na hata kufanya mauaji dhidi ya wagombea wa upinzani ndio wana adabu?? Lissu anatoa kauli za kisiasa nyie mnaua raia wema
@MukamaKili
@MukamaKili 8 күн бұрын
Mchakatp gani zaidi ya ule wa kaji Warioba?
@thadeusmateru1356
@thadeusmateru1356 7 күн бұрын
Upeo mdogo wafikra. Lisu mhirimu wake kama mwenyekiti niSamia na si Wasira.mhirimu wa Wasira ni Heche. Huyu haelewi nini katika hyrach
@DiegoSelemani
@DiegoSelemani 7 күн бұрын
Watanzania sio wao maana tumewachoka nyie national watanzania kama mburura
@MukamaKili
@MukamaKili 8 күн бұрын
Ichaguzi serilsli za mitaa ulikuwaje?
@MosesSiwiti
@MosesSiwiti 7 күн бұрын
Wewe hujasoma bibili mwanamke hana mamlaka ya kuongoza nchii ujue
@clarencelazaro9600
@clarencelazaro9600 7 күн бұрын
Chadema sio lissu na Heche hawa ni viongozi tuuu chadema ni zaidi yamamililion ya watanzania
@ShedrackSomanda
@ShedrackSomanda 7 күн бұрын
Hujui kuongea wewe nyamaza
@emmanuelmziray1073
@emmanuelmziray1073 8 күн бұрын
Pimbi wewe. Wanasiasa wanakabiliana. Wewe umesoma kweli?? Samia ni Mwenyekiti wa CCM.
@MukamaKili
@MukamaKili 8 күн бұрын
Wanancho gani xaifibua wale aliokutana map Warioba?
@atupegemwakahesya
@atupegemwakahesya 7 күн бұрын
Mbona Chadema wanapoporwa uchaguzi hamshtuki? Wanapouawa wanachama wao Wala hamuoni shida?
@clarencelazaro9600
@clarencelazaro9600 7 күн бұрын
Nchi hii ni ya ajabu mgombea ndie anayeteuwa tume ya uchaguzi .
@xaixaiobrigado4846
@xaixaiobrigado4846 7 күн бұрын
Hakuna komredi hata mmoja hapa tZ. Komredi ni sifa ya Kichina,kama Sisi ilivio mheshimiwa. Kuitana komredi kwenye nchi yenye ufisadi wa kibepari ni kufanya watu wazubae -narudia ;hakuna komredi hapa tZ,bali huyo ni machawa tu!
@njanjimlwale
@njanjimlwale 7 күн бұрын
Tunashuhudia kila uchaguz watu wanauwawa sababu ya sheria mbovu kwann CCM hawataki kubadilisha katiba kila siku visingizio tuu mara muda hautoshi kwani tatizo la katiba lineanza leo?
@godwineliya4686
@godwineliya4686 7 күн бұрын
Hao wote ni wenye viti Wala hapo Lisu hajakosea chochote Sasa Asipo mkabili Samia Amkabii nani
@msafirimbangule1531
@msafirimbangule1531 6 күн бұрын
Kweli ukiwa chawa mateso mbona unatumia nguvu kuongea kitu ambacho hata ww huelewi pole welewa wako ndo ulipo ishia
@emmanuelmziray1073
@emmanuelmziray1073 8 күн бұрын
CCM wauaji wakubwa. Wezi wa kura. Majambazi wakubwa ninyi
@temesjames8867
@temesjames8867 7 күн бұрын
Msema ukweki huwa sio mwenye adabu
@DaudaBilikesi
@DaudaBilikesi 8 күн бұрын
Kwako neno kukubili lina maana gani? Wewe ndo unaleta dhana mpya tofauti na kilichosemwa.Badala ya kujibu hoja unakimbilia polisi;Msajili anahusikaje hapo? Mambo ya ndani ya CDM hayakuhusu.Wee ndo unawapangia namna ya kufanya siasa? Huna hoja kijana!
@ChristopherLazaro-yy3fb
@ChristopherLazaro-yy3fb 8 күн бұрын
Ujua kiswaili
@MakanyangaNyamboto
@MakanyangaNyamboto 8 күн бұрын
Uchawa wakijinga
@njanjimlwale
@njanjimlwale 7 күн бұрын
Katiba mpya ilishadaiwa miaka mingi Tume kubwa tatu ziliundwa na zikatowa mapendekezo ya kuunda kativa mpya mbona hamzifuati kwa nn mnaajenda hani na hili taifa
@MukamaKili
@MukamaKili 8 күн бұрын
Kwani katiba ikoje?
@celestinekimaro8996
@celestinekimaro8996 7 күн бұрын
Huyu bwana haelewi maana ya siasa. Anaelewa uchawa tu
@NgendandumweAlouise
@NgendandumweAlouise 8 күн бұрын
Naombeni niwaulize kama wewe nichama cha upinzani unaweza kwenda kwenye uchaguzi na tamisemi na wakurungezi kweli nikupoteza mda
@JacobMbosalee
@JacobMbosalee 7 күн бұрын
Siyo MBOWE huyo,ni TUNDU LISU kaka
@clarencelazaro9600
@clarencelazaro9600 7 күн бұрын
Huyu jamaa hajui hata Kiswahili
@AminaJofrey-u8m
@AminaJofrey-u8m 8 күн бұрын
Wewe bwege wewe,,kukabiliana kisiasa ndio demokrasia.
@habibumpa6150
@habibumpa6150 7 күн бұрын
Kwanza ujue samia ni raising wa jamuhuri ya muungano sio tu mwenyekiti Ana hadhi yake
@ZaidAKissinza
@ZaidAKissinza 6 күн бұрын
Kuna kauli mbovu mbovu kupindukia zinazo tolewa na makada wa CCM mbona hakuna lolote linalotokea? Mmoja wa Bukoba alisema akiwaambia Polisi, hawa wapinzani tukiwapoteza msiwatafute, na kuna mwingine wa Zanzibar aliwatukana wapinzani kwenye mkutano na Rais yupo na hakuna lolote lilitokea, je kwa nini Chadema tu? Msumeno hukata kila upende au msemo huu haufai?
@ednakapitu7037
@ednakapitu7037 8 күн бұрын
Ni mjonga lisu haelewi anachofanya asamehewe tuu
@MukamaKili
@MukamaKili 8 күн бұрын
Tume zilizpundwa zikipngpzwa na makaji wakuu kuhisi latins walisemaje kuhisu ichaguzi
@DaudiMduma
@DaudiMduma 8 күн бұрын
Jibu hoja acha porojo
@JacobMbosalee
@JacobMbosalee 7 күн бұрын
Maridhiano ni YAKO WEWE, ACHA ujinga,maridhiano yapi?? Akae medhani na Nani!!!?? Katiba mbovu hiyo,badirisha katiba
@charlesmgory3131
@charlesmgory3131 7 күн бұрын
Rais c mungu mtu aweza kutajwa vyovyote vile kisiasa kukabliana ni lugha ya kawida san tunachotaka wananchi ni katiba mpya ambaya hamwitaki kwasababu ya kuficha maovu yenu ccm na katiba tanznia haiwezkuptikana kwa kjadiliana ilishashindkana.
@mpeligwamoyo4254
@mpeligwamoyo4254 8 күн бұрын
Hawa watu wajinga mnawapata wapi?hivi kukabiliana na mambo yanayokusumbua Kuna shida Gani?
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 7 күн бұрын
Huelewi kuwa demokrasia ni mashindano ya hoja. Huelewo unachoongea.
@JacobMbosalee
@JacobMbosalee 7 күн бұрын
Mbona unakuwa muoga!!!!????? Nani kasema kuasi??? Wanataka KUJIBU Raisi, SASA unataka kunfundisha TUNDU LISU!!?? Unachekesha.
@MATHEWMeela
@MATHEWMeela 8 күн бұрын
Muda ukifika utaelewa zaidi saa bado!!!!!!!!
@habibumpa6150
@habibumpa6150 7 күн бұрын
Nyinyi pigeni kelele tu twawasubiri 2025 ccm I huku ushindi
@FaustineMangula
@FaustineMangula 8 күн бұрын
Katiba mpya imeanza kudaiwa miaka mingi siyo jana, CCM haiwezi kuleta katiba kwa hali milele na milele, kwa sababu katiba iliyopo inawalinda, kwa kutoa ulinzi ni kuingia ktk matatizo, CCM haiwezi kukubali kwa hiyali kuruhusu katiba mpya.
@EzekielChalomhola
@EzekielChalomhola 8 күн бұрын
Huna hoja wewe.
@gabrielsanya3278
@gabrielsanya3278 7 күн бұрын
Wewe unashindwa kusema ukweli nini kilichoʻtokea? Majibu yako na maelekezo yako ni ya CHOONI. Nadhani unahitaji kwenda shule, na hata alive kutuma kujibu mahojiano na mwandishi basi note mna mawazo ya mwaka arobaini na saba. Unamsifu Samia kwa sababu umepewa posho na kwa ability yako ndogo hujui usemalo. Kupata Katiba mpya ni lazima sio ombi
@noelmakere1381
@noelmakere1381 7 күн бұрын
Huyu mzee anatisha Nini 4R zenyewe Toka raisi alisema je ccm wamekubali? Na si dhambi raisi kukosolewa. Suala la katiba ni suala la muhimu sana Kwa Sasa. Huyu mzee anaogopa Kwa kujishika Kwa msimamizi wa vyama Kwa hoja za kijinga sana. Aaache ujinga wake.. Lisu yupo sahihi kabisa...asimfundishe lisu Nini Cha kusema
@JeremiaMagaka
@JeremiaMagaka 6 күн бұрын
Lisu anamueshimu sana mama nyinyi wandishi baadhi ni wachonganishi2
@mpeligwamoyo4254
@mpeligwamoyo4254 8 күн бұрын
Kwahiyo Kila mtu awe anasema Asante mama Samia et?Hata wapinzani wake kisiasa wawe wanasema Asante mama Samia eeee?
@celestinekimaro8996
@celestinekimaro8996 7 күн бұрын
Mnampaje audience mtu mwenye uelewa finyu kama huyu? Haelewi yuko kwenye Karne ya mapinduzi ya kisiasa?
@MosesSiwiti
@MosesSiwiti 7 күн бұрын
Soma komedi zote utapata majibu usizungumuze saana watu wanaakili kuliko wewe ongea ukweli kwanza Shelia unaifaham? Acha ujinga
@beinafuu6219
@beinafuu6219 7 күн бұрын
Unajua fika amemanisha nini lakin kisa chawa ndo unasema hivyo.mambo ya kisiasa hayo.yeye ni mwenyekut wa chama.na lisu mwenyekit.heche makam na mzee ni makam wewe unaenda kwenye nchi.peleka huko ukachwa.hakumanisha unavyowaza wewe unajichanganya mwenyewe boss.ccm kitakaa milele sasa mbona wewe ukipewa uwongoz ndo nyinyi mna leta fujo.
@clarencelazaro9600
@clarencelazaro9600 7 күн бұрын
Mpk mseme mbona tundu bado hajaanza kazi
@laupetpet7779
@laupetpet7779 8 күн бұрын
Tundulisu ongea kanyaga mafuta chochea mwendo maccm yametuchelewesha tunataka katiba mpya
@AlexMakala-s7k
@AlexMakala-s7k 7 күн бұрын
Matako
@emmanuelmziray1073
@emmanuelmziray1073 8 күн бұрын
Wewe huna maana Mwangoka
@emmanuelmziray1073
@emmanuelmziray1073 8 күн бұрын
Mjinga wewe
@AloisMosha-uv2fu
@AloisMosha-uv2fu 7 күн бұрын
Angalia asira zamuongeaji tulia wewe
@JacobMbosalee
@JacobMbosalee 7 күн бұрын
Asari alambwi huyo, Sasa nyie mnaita WATU VIBAKA HUO sio utovu wa nidhamu;;;?????😂😂😂😂
@ChristopherLazaro-yy3fb
@ChristopherLazaro-yy3fb 8 күн бұрын
Ujua kiswaili
Правильный подход к детям
00:18
Beatrise
Рет қаралды 11 МЛН
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
Rais Samia Amjibu Mwabukusi Ulinzi wa Rasimali za Taifa
26:08
WAKILI TV
Рет қаралды 19 М.
Правильный подход к детям
00:18
Beatrise
Рет қаралды 11 МЛН