mmmmh!!! MAASHALLAH shekh BACHU Nimfasaha saaaana, MAASHALLAH yaani nakuelewa vizuri mnoo, hao majadida wanaweza wasibadilike, ila watatumika kama UBAO WA kufundishia ili sisi tuzidi kuelewa, na kutudhihirishia UJINGA wao😢😢😢😢
@Muharram-c5n2 ай бұрын
M'mungu amekubariki elimu Masha'Allah,akuzidishie na akupe mwisho mwema
@zahranahmed13912 ай бұрын
Umetak nitoa machozi leo wallahy Allah akuhifadh n akupe ujira n afya n pepo
@IbrahimuMgeni-gz5vx2 ай бұрын
Kila wakikujibu majadida sisi tunapata faida kupitia wewe ALLAH akuzidishie elimu Shekh Muhammad Bachu
@babatidaawa65502 ай бұрын
Kumbe kimya hicho kulikuwa na kheir sana Nikaanza kupata wasiwasi ila nakuombea kwa Allah tawfiq na thabat Allah akupe siha na Afya Allahumma amiin
@abbaspaziaog21882 ай бұрын
Aamiyn
@tujially13612 ай бұрын
Mohammad bachu na kaasimu mafuta Allah awahifadhi ni watu mafaswaha sana,Namuomba Allah awakutanishe na wafanye da'awah pamoja.Aamiin
@AlexanderLacazet2 ай бұрын
Asiwakutanishe milele na huyu Kasim mafua uyu
@NaduuAbdilah-uj5vj2 ай бұрын
Allah akupe umri mrefu tuzidii kunufaika na wewe ..una tupa elimu nzurii sana Allah ndie atakae kulipa sisii tuna kuombea duaa tu.
@AbuuBakar12 ай бұрын
Hivi bachu anapo uliza kwanini abuu Muawiyah katolewa kwenye usalafy kakhaalif nini? Mbona yeye amtoa sheikh Qasim mafuta kwenye usalafy kakhaalif nini?
@NaduuAbdilah-uj5vj2 ай бұрын
@@AbuuBakar1 bachu haku mtoa kassim mafuta kwenye usalafii ana itakidii shekh kassim mafuta ni mtu wa sunna tena amesha wahii kusema kuwa ni nguzo tegemezii katika sunna..ancho kisema bachu ni kuwa wao kina kassim mafuta na genge Lao wame mtoa shekh Abuu muawiya rahimahullah kwenye sunnah pasipo kua na hoja madhubutii za kumtoa mtu kwenye sunnah
@abiabi93532 ай бұрын
@@AbuuBakar1siyo kweli Bachu hajamtoa mafuta kwenye usalafi, Bali kasima ni masalafi jadida
@mfalmenajjash21282 ай бұрын
Wallah mimefrahi kuskiya kama upo nyumban zanzibar Allah akufanishe ulichokifata huku biidhini llah Allah akurudishe rasmi ktk chini yako
@huseninchasi2 ай бұрын
Allah akujaalie mkutane peponi wote ukiowasema na hao majadida
@swalehmohamed48492 ай бұрын
Masaallah ya subha wanazuoni wengi wamelikubali akhi kama sheikhul Islaam, Ibn uthaemeen ,Ibn Baaz, Imaamu Nawawy wasema si Bidaa ispokuwa Albaany
@ibrahimjumaa5382 ай бұрын
*Allah azidi kukufunulia Ufahamu, na atuongoze sote katika Haqq*
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
MashAllah muhammad bachu Allah akuhifadh
@Muharram-c5n2 ай бұрын
Nakuelewa sana sheikh Bachu,baaraka llahu fik
@sakinasakku83402 ай бұрын
ALLAH akuhifadhi sheikh uzidikutupa elm AMAASHAA ALLAH
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
Siku1 Allah atajaalia kheri na mtafanya kazi pa1 kwa kuondoa tofauti zenu kwa hoja za kielimu tunawaomba hebu tumieni mda basi kaeni mezani kielimu mfanye kazi pa1.Yawezekana mmojawapo anaijua hakki lakini hataki kuchutama badala yake anazungumza2 ili asionekane kashindwa lakini kma kweli kuna mmoja ana makosa amuogope Allah kwa kukubali makosa kazi iendelee.
@KhalfanMassoud2 ай бұрын
Absolutely correct.
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
@@KhalfanMassoud akhy
@KhalfanMassoud2 ай бұрын
@@Hamis-ks1sy naam.
@abiabi93532 ай бұрын
Tatizo ni mafuta kazidi katika ujadida
@mbjunior1662 ай бұрын
Sheikh wetu Kassim mafuta(Allah amuhifadh) akae chini na kuitathmini upya daawa yake na kuona jinsi ilivyoleta tatizo kubwa sana kwa wanafunzi wa elimu ktk ukanda huu kwa kweli ni tatizo kubwa sana! Allah atuongoze na atuunganishe wote watu wa sunna. Weka wazi al akhy Bachu pengine wataelewa japo baadhi
@zahranahmed13912 ай бұрын
C rahisi binadaam hua anapenda fahari n pengine io kukamdmza nd inampa kula ataanza wapi kuacha? Ila nmesema t sina maan hio kwake Allah atupe sote hidaya
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
Wallah kuna wakati inauma sana watu kama hawa Sheikh Qassim Mafuta na Muhammad Bachu wanakuwa tofauti wakati kama kuna waalimu ambao huwa nawaelewa sana wakizungumza na kufundisha basi ni hawa.Allah atajaalia kheri kabla ya kufa hawa watu wawili watafanya kazi pa1 baada ya tofauti zao zitaondoka kwa hoja za kielimu na tutafaidika sana na sana kupitia ndimi zao.
@ShamsudeenOmary2 ай бұрын
Ndugu angu umenipokonya maneno kinywani na moyoni mwangu kikweli si hawa tu, bali ahlsunnah wote nawapenda kwa ajili ya Allah na sioni haja ya kutengana ..nakusudia wanaojiita salafiy na wanaoitwa kuwa ni mahizbi ..wallah mpaka leo sijaona utofauti ktk manhaji😢😢 inaumiza sana...
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
@@ShamsudeenOmary mtihani Wallah inauma sana.
@saidsalum5232 ай бұрын
Assallamu alaykum,,akhi nakupenda sana kwa ajili ya Allah,,ulivyo wewe ndivyo nlivyo mimi,,hawa mashekh wote wawili mimi nawafahamu sana. na tena nawakubali sana,lakin shaytwani kaingia kati apo.
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
@@saidsalum523 Wa’alaykum salaam warahmatullah,akupende yule ambae umenipenda kwa ajili yake akhy,Wallah kuna unawahi kujiuliza hawa wa2 wakikutana wanaweza hata kusalimiana kweli? Mtihani lakini Allah ataleta kheri ipo siku watafanya kazi pa1
@saidsalum5232 ай бұрын
@@Hamis-ks1sy Allahumma aamiyn
@zahranahmed13912 ай бұрын
Leo nimezidi kukupenda kwa ajili ya Allah sijawah koment ila Allah akuhifadh yaan kitendo cha kuweka wazi hii stofaham ya kutenga watu na kuhimiza umoja na kujua wepi w kutengwa n wepi wakua nao ! Allah akuhifadh uunganishe huu uislam kama hv
@abdukhan47182 ай бұрын
*NYIE MUMENISHINDA MUNAWASEMA HADI WALIOKUA WASHATANGULIA MBELE YA ALLAH* KWELI MTIHANI....SANA MUNAO ALLAH AKUONGOZENI
@ismailmakame71832 ай бұрын
Allah tuongoze ktk usalafi wasawa usiokua naghuluu amin
@OmayAlly2 ай бұрын
Allah akuhifadhi
@RehemaAmour2 ай бұрын
Kiama kipo karibu uislam unapingwa vita duniani baada ya kupambana na makfiri wanaotupiga vita mnatupiana lawama Allah atuongoze inshaAllah acheni tofaut wapalestina wanauwawa tu kule na mayahudi ayo ndo mambo ya kuongelea saiv sio kuitana vibaraka sote ni vibaraka wa mungu
@mohamedimiraji54952 ай бұрын
Heri yako mwenye kuona mbali
@omadal12 ай бұрын
Umeongea ukweli kabisa , kuna mengi ya kujadili zidii ya kulaumiana na kutaka ubabe. It shows how back wards we are as East Africa muslims
@SaadDumila2 ай бұрын
Bora uwaambie wallah, waislam wenzetu wamalizwa, wao hawa ni kutugawanya tuh waislam
@ismailmakame71832 ай бұрын
Allah akupethabati nagheera ktk kuumizakichwa kwa ajili yakuhurumia waislam,dah nahisihasa mwalim wangu jamaa ukweli wanaujua lakini huangalia kazungumza nani.
@abuushakiraddausiy86662 ай бұрын
Akhuy Muhammad bachu hawa watu wanajipa
@OmarAlly-iz8ot2 ай бұрын
Inshaa Allaah nita coment kesho, ninacho kiona, ila leo naonja tu. Kiukweli khasa tusifichane ndugu zetu masalafy wamepoteza dira mazima yani, na matokeo yake sasa wamekua kama wazushi wa maulidi, wanalazimisha hoja isiokua hoja😂😂😂😂😂😂. Muhammad Bachu huyuhuyu munae mtukana masufi na masalafy ndie anae wakosesha usingizi, na baada ya kukosa usingizi kwa kutafuta angalau sehemu ya kuegemea, ukija kwa lengo la kutoa majibu, ndio unakuja kujianika zaidi. Naskitika sana ndugu zangu masalafy munavyo teswa na Shekh Muhammad Bachu. Kaeni mutafakari, lkn haya mambo masalafi nyote hakuna alie na uwezo wa kupambana nayo, na ikawa kaja na mambo yenye kueleweka, bali munajidhalilisha tu. Makala ya Abul-abbaas imetolewa majibu yenye kukinaisha, lkn majibu yenu masalafy kwa Shekh Muhammad Bachu, hayajuilikani kichwa wala miguu. Poleni ndugu zangu kama mmechagua kushikilia makosa yenu na kubaki nayo
Niwape Cri Huyo Alie Jibu Hayo majibu ni mwanafunzi wa Majadida Na Hayo Maneno Hakuandika yeye Hayo Yameandikwa Na Bunge Zima La majadida Lengo lao Kubwa Ulikua ushindwe Kujibu Kisha waseme... Lakini Hapo wanikapata Chamoto Na Sahi wanajijua kua Niwabovu Kufahamu Ibara Za ulamaaa Shukran
@ABUUJAAFAR922 ай бұрын
@@Abuunuwayra ulishuhudia wakiandika ama waongea kwa hawaa zako tu ,,,? Ikiwa hukushuhudia wakiandka bali wajisemea wewe utakuwa umzushi na una alama za uhizbiy,,,
@nahlaaasidee18482 ай бұрын
Usiongee mambo kiushabiki, ipo siku utasimamishwa mbele ya Allah ujibu hayo unayoyasema. Mche Allah.
@Abuunuwayra2 ай бұрын
@@nahlaaasidee1848 Hakuna Ambae Haisimamishwa mumezidi Kukufurisha Watu Bora nikasimamishwe kwakufwata Sunnah Kuliko Ujadida Ni uvundo Elewa hilo
@abbaspaziaog21882 ай бұрын
@@nahlaaasidee1848naww pia ipoh siku utasimamishwa mbele ya ALLAH na ukaulizwa .kwanini ulikua na ishabiki .?? Wakuushabikia. Mlengo wakitia watu wasunna kwenye. Upotevu na kinyume cha upotevu ni motoring. Intakinllah ya Akhy ..ooo
@rajabumbendenga54802 ай бұрын
Ukishiba Pumzika bando lako lisikufanye kutengeneza chumo la kujichotea madhambi
@khamisjuma76162 ай бұрын
muhammad wacha haya mambo hayana tija kwa uislam wewe ni mtu mwengine jitathmini shekhe wetu ishallah
@Daawa-l8s2 ай бұрын
Kasome.
@abbaspaziaog21882 ай бұрын
Sijui. Unaongea pumba gani
@pavillioncry52412 ай бұрын
Haya mambo yote kayaletq mafuta
@abdiazizmohamed4442 ай бұрын
@@pavillioncry5241 huu ndio usalafi Malumbano
@rajabumbendenga54802 ай бұрын
Huyu sio Sheikh msimpe daraja lisilomuhusu
@alisalum70362 ай бұрын
Inaonyesha wazi kuwa huyu Bachu hajuwi kutofautisha baina ya mahajuri na masalafy.
@luqmanomary35582 ай бұрын
Kwan n nan mahajury
@وزيرهالوزير-ذ8س2 ай бұрын
Kiukweli hawamasalafijadida wamejiwashia motokwelikweli nakuuzima watasumbuka hatambele ya allah itakuangumukwao hatasis binadam wakawaida tunavowasikiliza hawawatu imetupelekea kuwafaham hatahukunilipo hatamisikitiyao watu wamejikata kuisalia kulingana naukwiwakobachu
@RehemaAmour2 ай бұрын
Na kama mnataka kutupiana lawama bc kutaneni uso kwa macho mutupiane izo lawama sio uku kwenye mitandao mnatutia aibu waislam sote acheni ayo mambo tunawategemea
@yushamhamad83132 ай бұрын
Assalamualaikum... Nawausia Ndugu Zangu Katika Imaan, Hii Mijadala (Raddi) ya Kielimu Usiifuatilie kama hauna Muangaza na Ufahamu wa Misingi Juu ya Da'waa hii na Kwa Wale wenye kuielewa Misingi ya Da'waa basi Uache Ushabiki Wako Kando, Kwani Kuna Shubha Nyingi Sana Ndani yake.
@kassimali94132 ай бұрын
Mashallah
@mussasalafiy2 ай бұрын
Tambua wanao mbidiisha Sheikh Abul Fadhwil Qasimu Mafuta حفظه الله Ao ni mahajawira si katika sisi masalafiy ivyo swali lako ni upepo mdhaifu
@abbaspaziaog21882 ай бұрын
Ww juha acha pupa sikiliza mpaka mwisho
@Kzm-c9u2 ай бұрын
Ujinga wa mabaraamika ni kutokuangalia masalafi wamesimama kwenye misingi gani ya kumbidiisha Qasim Mafuta. Hawa mabaraamika ni mtihani sana Allaah awaongoe😂😂😂
@HassanHamad-rf9tq2 ай бұрын
Tuliaa wewe kibaraka wa qassimu mafuta hizbu salaf
@WakaliFashionTz2 ай бұрын
Mafuta ni nabii wako?? Mbona hutaki kukubali km anakosea
@SugowFarah-up3db2 ай бұрын
@@Kzm-c9uHebu tueleze wewe hiyo misingi
@abiabi93532 ай бұрын
Mimi ni shia pamoja nakuwa bachu anatuita makafiri lkn kwa kweli nimeanza kuwa na matumaini na mohamed bachu. Kilasiku anazidi kuimprove katika busara na uwelewa wake.yani ameanza kuwa na misimamo ya wastani tofauti na kassim mafuta kila siku anzidi katika ujadida na kufarakanisha watu.
@yahyarashid80382 ай бұрын
Akujaalie akuzinduwe uingie kwenye sunna
@yahyarashid80382 ай бұрын
Allah akujaalie akuzinduwe uingia kwenye sunna
@abiabi93532 ай бұрын
@@yahyarashid8038 mimi tayari nimfuasi wa Quran na sunna za mtume lkn kutokana na uelewa wa Ahlulbayt (as)
@ibrahimabdul82572 ай бұрын
Uhzibi wa abuu Haatim na Ame ni kwasababu ya kuendelea kung’ang’anq na yahya Hajuriy hata baada ya kutahadharishwa na kubiidiishwa na wanaachuoni…sasa sheykh Qasim mafuta yeye anapata wapi uhizibiya? Sheykh hawezi kukujibu BACHU kwasababu unamengi hujui
@HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын
Nitasikiliza mawaiza mengine unauotoa ilasihaya unayowakashifu wenzio malamajadida mala vibaraka basi Allah atakulipa kwahayoyote. Allah awaongoze woote pamoja peponi. Inshaallah
@hafidhwajina67182 ай бұрын
Anapoitwa yeye mtafuta umaarufu ,hizb au kasuku pia husikizagi?
@IbnuAlly-wm8il2 ай бұрын
Km huelewi kinachoendelea Kaa pembeni ww jifunze kuswali na kufunga kwanza
@maulidimuhani2 ай бұрын
Na usi sikilize yoote, BAKI na Uchawa wako Kwa kassim mafuta wako, ila sisi alhamdulillah tunapata elimu.
@HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын
@@maulidimuhani Namipia napate elemu sipokiuchawa ila nafata ya maana yakipuuzi kwaajiliya sifa sisikilizi. Allhamdulillah. Kwayeyoteyule. Nipokwaajiliya elimu iliinisaidie sipo kiuchawa kwani hautonisaidia kitumbele ya Allah
@HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын
@@IbnuAlly-wm8il Nawepia uwelewikitu
@babatchi91692 ай бұрын
Jamaa nji9a sana sana sana😊😊
@shabanbisaki2 ай бұрын
Naomba na yako ninahitaji ushauli nakuelewa sana
@daarusalafiya2 ай бұрын
Nyama za wanazuoni ni zenye sumu ewe Ibnu bachu, Ipo siku utakuja kuanguka kwa kuzila nyama za wanazuoni. Watizame qaumu zilopita baada y kuwasema vibaya wanazuoni ambao ummah uliushuhudilia ilmu yao, Hivyo chunga na kuwasema vibaya wanazuoni kama kina sheikh rabie n.k...ukiendelea na mwenendo wako huo huo wa kula nyama za wanazuoni yatakufika yale yalowafika huko nyuma walokuwa na mwenendo kama wako
@sleimaanbuda79962 ай бұрын
Sheikh kassim Mafuta aache muda wake akujibu wew ignorance Unaulizwa nini maana ya hadithi gharibu huijui nenda kabishane na akina Saidi ukoo
@Khalid-xd2yl2 ай бұрын
Alkh hasan wazir kakupa hoja mzito na qauli za ulamaa, wew hapa hakuna unalo ongea lamaana
@abdurashidinasorodini2 ай бұрын
ongoa weye cb
@abrahmanhamad32532 ай бұрын
Waoaneshea Hauna akilil Wala elimu
@AbunaufalSalim-di6dn2 ай бұрын
Assalamu alaykum vipi hali
@twaibumikidadi73772 ай бұрын
Salafiyu wa Tz ( Jadiida) hawatatanuka kielimu kwa sababu moja tu • Wao wamefungwa kielimu na Qassim mafuta , yaani Qassim mafuta yy hakosei kwa hiyo kila mtu kabla hajasems kitu n kwanza lazma apitishwe na Qasim mafuta , huu ndio utumwa wa kiielimu•
@hasaanislamiccenter62832 ай бұрын
وعليكم السلام
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
Yaani tunaweza kukatazwa fulani usimsikilze lakini katika pitapita wasikia qur an ikisomwa mtu unaganda kusikilza mtihani sana!
@mussakhamis-g8c2 ай бұрын
MAWAHABI MTIHANI MBONA HIVYO VITABU VINAWAZUNGUMZA NYINYI MAWAHABI WA KIJADIDE NA HIZBIA KILA UNACHOKISEMA NDIO MNACHOKIFANYA NYIE MAWAHABI MNAOJINASIBISHA NA USALAFI
@AbouMaryam-gg7dz2 ай бұрын
Assalam aleikum wa rahmatuLLAHI wa barakatuh Nauliza ivi je kweli sheikh bachu ulimtuhum sheikh rabee ? Je barahiyan aliwatuhumu ma ulamaa wakubwa kama rabii al albaan na wenginewo kuwa wameleta usalafia jadida!? Je wewe bachu walijua hilo?
@hafidhwajina67182 ай бұрын
Tupe audio kama wewe si copper and pster
@ExcitedCricketHelmet-wr4sq2 ай бұрын
Hawa hawana lolote hizb ila tu viswahili vingi kuchanganya maawam tu ujuaji ulimpelekea yy kufedheheshwa na masufi huko Mombasa unakaa mjadala na yeye cie mwanachuoni tafuta ilmu kwanza
@abbaspaziaog21882 ай бұрын
@@ExcitedCricketHelmet-wr4sqww umetafuta. Au unaruka ruka tu mitandaoni
Kila nikiendelea kuishi ndio nazidi kuawaelewa Mawahabi na Malengo yao mabaya juu ya waislamu wenzao
@masoudmohammed42582 ай бұрын
Umeskiza audio za sheikh Hassan waziri??
@abbaspaziaog21882 ай бұрын
Kaongea pumba tupu.
@mohamedimiraji54952 ай бұрын
Yaani nyie masheikh vijana mna kazi sana dini mnaifanya kama chama au kampuni flani utadhani mna lease ya moto na pepo
@MwanahamisKiloke2 ай бұрын
Unahangalia umrii sio vitabu Tena ?
@mohamedimiraji54952 ай бұрын
@@MwanahamisKiloke Kujua kusoma vitabu ndio usheikh?Je vitabu bila hekima si sawa na mzigo juu ya mgongo wa punda.
@abuushakiraddausiy86662 ай бұрын
Wao ndio watu wa bidaaa mtume kakataza kutaja manaya ya mayti wakislam........
@babatchi91692 ай бұрын
7albiss 7albiss 7albiss KUNA M7U ANAMUONA KUWA SHEK ANAPO7E NA ANAWAPO73ZA
@omarsuleiman90642 ай бұрын
Dah unajua hapa sio watu wanatetea dini hapana hapa nimapungufu ya shekhe hyu na yule ndio maana natija inaondoka kwasasa mambo nisawa tu hakuna sufi wala answar wala sarafy wote wanashindwa kuvumiliana kwa mapungufu ya baadhi yao
@jumanneissa82262 ай бұрын
Huyu hizbi bakora zimeaanza kumuingia Wallahi hivi ndivyo kazungumzia hoja huzii duuh 😮yaani Leo ndo kaxua aibu dawa haijui kabisaa
@abdurashidinasorodini2 ай бұрын
naweye jadida vipi tena mbona kama umepoteza dila inaonekana kwa husda ulionayo ungelikuwa mchawi ungeltulogea sheikhe wetu nahisi niutoto tyu ndio unao kusumbua lakini ukikuwa uta acha kwa sasa utoto wakusumbua sana ebu kakojoe ukalale
@AnaSalafi-f9d2 ай бұрын
Sheikh Mohammed Lakini Al Akh Hassan Waziri Ashakujibu vizuri sana Hio Habari Unayo wewe ? Yaani ashamaliza hoja zenu zote Hujakuja na jipya warudia rudia kazi ishakwisha
@WakaliFashionTz2 ай бұрын
Yule hata haeleweki anaongea Nini ivi wewe umelewa huyu bachu anazumgumzia nn?? Sasa km hujamuelewa utaelewa Hawa wengine ishu hp hata madai wanaohusia watu washikamane na Sunna waitwa wazushi hoja niulete dalili siyo kejel
@hafidhwajina67182 ай бұрын
Hata ahlulbidaa ukiwapa nafasi wanatoa majibu na hushereheka kuwa tumejibu,so sikushangai shekh kannena
@swalehmohamed48492 ай бұрын
Maadamu akhi imethubutu za Rasuul na ina dalili si katika bada'a
Bachu wewekweli Kama unamuogopa Allah kwanini umtajesheikhe abulfadhwil na Kati Hana mpango wa kujibishana na wewe? Wewe siyo mkweli unauthibitisho gani sheekh anawatuma? Muogope allah
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
Hivi ni kweli anayoyasema kwamba namna ya kuwachukia wa2 wa bida’a kunatofauti? Kama ipo Salafy wasasa wanachukiaje?
@rajabumbendenga54802 ай бұрын
Hii ni kanuni ya mahizb wote ni watu wakutaka Kiki kwa kuwataja masheikh wakubwa
@abbaspaziaog21882 ай бұрын
@@rajabumbendenga5480 hhhhh eti mashekh wakubwa. Nyie mahadady maswaaafika mnataaab
@hassanhamid43592 ай бұрын
Sheikh barahian asiwaite watu madakhila au jaamia Allah atuongoze katika dawah salafia kwasote
@HamkingCompanyLimited20232 ай бұрын
Mimi nilikuwa nasikia kwa walimu zetu kuwa wewe bachu. Hujui kima cha maarifa uliuonayo na wewe unayapalamia mambo usiyoyajua' Leo nmepata yaqin zaid kuwa wewe n mjinga halafu hujui kama wewe n mtu mjinga' Wallahi wewe hujui manen ya wanachuoni na hujui kina chako cha maarfa' Bali unajua kuyasoma tu'
@HassanHamad-rf9tq2 ай бұрын
Tuliaa kijana acha kuleta maneno ya mipasho na porojo hapa
@WakaliFashionTz2 ай бұрын
We ni mtu wa bidaa kwasbb unachukia kukatazwa unayoyafanya
@UmarSaid-c8k2 ай бұрын
Kama wewe unaelimu ingia kwa mtandao utuelishe maana unatoa matusi pasipo na haki .kama huna lakusema usitus mtu ambae haja kutusi haifai ..tunaelekea wap sasa
@UmarSaid-c8k2 ай бұрын
Njoo tuelimishe
@swalehmohamed48492 ай бұрын
Ibn baaz Aliulizwa kutumia Sub-ha kwa ajili ya kuleta dhikr ni bidaa akasema si bidaa limethubutu zama za mtume na mtume Alilikubali vilevole Qaul ya Ibn Tamiyyah. utheimeen na wengineo
@seifsalum3018Ай бұрын
Skuwai sikilizag hiz video leo ndo nimeamin kuwa uyu bwana hafamu vitabu vya wanawachuon anaelewa kwa akil zake tu pasina kufuata kile ambach wanawachuon walichokimaanisha
@bacteria51842 ай бұрын
Hii daawa ya salafiya ni ugonjwa zaidi utaskia sheikh fulani kasema yaani ugomvi wao ni kuhusu masheikh.utadhani hao masheikh ni miungu yao.
@ABUUJAAFAR922 ай бұрын
@bacteria5184 masheikh ni wanazuoni na wanazuoni ndio warithi wa mitume ,,,,kwahio lazima watu watumie masheikh
@bacteria51842 ай бұрын
@@ABUUJAAFAR92 masheikh wanakosea na wanapatia lkn kusema kuwa huyu sheikh hafai kusikizwa kisa sheikh mwingine kasema au hufai kuzika muislamu mwenzako kisa sio salafy huu ni ujinga.
@ABUUJAAFAR922 ай бұрын
@bacteria5184 sio ujinga akhy ikiwa kuna hoja za msingi ,,,,lkn ikiwa hamna hoja ndio ni ujinga
@bacteria51842 ай бұрын
@@ABUUJAAFAR92 masheikh wawili wamtofautiana ktk mambo tofauti tangu enzi za imam malik ra,ziwe za msingi au sio lkn ndo ijtihad zao,hata ma imamu walitofautiana lkn hukuwahi sikia imam mwingine au wanafunzi wao wakikosa kumzika au kumsema vibaya sheikh huyo bali wakimsifia kwa wema.
@Athumaniomari-ge2gs2 ай бұрын
Majadida hamtakaaa muwe na hoja yenye nguvu kabsa
@YusufDaudi-v5f2 ай бұрын
Kassim mafuta ana elimu
@seniornyungu97182 ай бұрын
BACHO UNAUMWA SANA KWENYE UFAHAMU WAKO NA WEWE NI MTU WA FITNA,HAKUNA SALAFI YEYOTE ANAESEMA MWENYE BIDAA YA KUSOMA DUA YA PAMOJA AU TASBIH ASISEMESHWE,NANI KAFUNDISHA HAYO KATIKA HAO UNAOWAITA MAJADIDA? USIEGEMEZE MANENO SAHIHI KWA WATU WASIO SAHIHI.
@mohamedrashid78642 ай бұрын
Ubovu upo kwa mawahabi woooote ktk kufahamu maneno ya wana wa vyuoni
@AdamJuma-ov9eb2 ай бұрын
Huyu bachu haina haja hata yakujibiwa pengine akasome ndo aongee masala ya din
@omadal12 ай бұрын
Infact umeongea ukweli kabisa, Bachu haitaji kujibiwa He is becoming useless sababu analeta vurugu instead ya kuilimisha kama kweli ana elimu for community benefit.
@maulidimuhani2 ай бұрын
😂😂 tumesha zifahamu hizo mbinu zenu, 😂 Ni unafiki TU, ukweli ni kuwa hakuna jadi yeyote mwenye uwezo WA kuijibu UFAFANUZI MZURI na fasaha alio utoa shekh BACHU, ila izo ni mbinu zenu munazo zitumia Kwa Kila HOJA mutakayo shindwa kuijibu Huwa munasema hivyo hivyo, Wala sio hii ni mara ya kwanza😂😂😂
@maulidimuhani2 ай бұрын
😂😂 tumesha zifahamu hizo mbinu zenu, 😂 Ni unafiki TU, ukweli ni kuwa hakuna jadida yeyote mwenye uwezo WA kuijibu UFAFANUZI MZURI na fasaha alio utoa shekh BACHU, ila izo ni mbinu zenu munazo zitumia Kwa Kila HOJA mutakayo shindwa kuijibu Huwa munasema hivyo hivyo, Wala sio hii ni mara ya kwanza😂😂😂
@BakariOmari-tr8cy2 ай бұрын
Kaka hatutokwelewa lud katika njia ya sawa
@ibrahimjumaa5382 ай бұрын
kwisha
@twaibumikidadi73772 ай бұрын
Halafu jiulize swali hili -- kwanini wajibu swali kwa makala?? Hiii kwa mtu msomi utagundua kuwa huyu aliyemtumua Ibnu Bachu kwa Makala badala ya kutoa video au voice? utaona kuwa wanaogopa Kukosea tutawajua uwezo wao wa kusoma ibara za kiarabu hawawez hawa! Na ukiangalia Makala hiii , utagundua kuwa amekopy na kupaste , maaana yake wanaangalia mitandaon wala hawasomi vitab mwanzo mwshoo, sijui hawaelewi wakisoma vitabu!!! matokeo yao ndio kutuletea makala imeandikws nyuma mbele mbele nyuma, Lakn Ibnu Bachu n mwalimu, anafundsha anarekebsha, anaelimisha anaevaluate , ukimsikiliza unagundua kuwa hapa elim inetuliaa,. Tuache ushabiki binfsi:.
@mussakhamis-g8c2 ай бұрын
SASA MAWAHABI MUMEANZA KUFARIKIANA WENYEWE KWA WENYEWE MNAOJINASIBISHA NA USALAFI
@yussufhamad37212 ай бұрын
Aha heee abakweli huyunimropokaji na maneno haya nakumbuka alishawahi kusema kuwa yy NI mropokaji jee Othman maaliim kinamziwanda na Yule DJ side jee NI watu WA bidaa kwa saikolojia yako
@MariamUmande2 ай бұрын
Hawa masalafiya jadidah wamekoseya sana Kuwatowa masheikh wa sunaa kwenye sunaa Kama Doctor Islam sio mtu wa bidah hizbi na sheikh salimu barahiyani wanamzulumu kumuita ni hizbi Masalafiya jadidah ni mahawariji walikuja kubomowa swafu za watu wa sunaa
@SimbaHaji-jm7md2 ай бұрын
Dini sikuhizi ni kama timu za mpira
@AbuuRayyan-j8x2 ай бұрын
Kassim Mafuta ee Kassim Mafuta ee unanini kwani mbona Na akina Mujahid wametajwa lkn wee umeshika Kassim Mafuta ee Kassim Mafuta ee unanini wee lkn . ? Hem zaa jiwe.
@hafidhwajina67182 ай бұрын
Ndio anayeulizwa yeye si ndo msomi kwahyo vibaya kuulizwa msomi?
@babatchi91692 ай бұрын
Lakini kuna siku u7aju7a kwa uu ujin9a wako na 7albiss zako shek qassim a7akun7oosha
@jumanneissa82262 ай бұрын
Yaaani dalili unatoa kwa hajawiraa😂😂😂😂 subhanaallah wewe mwehu umesahau maneno Yako kwa kassimu mafuta ukisema kwamba kassimu mafuta yupo sahihi na ninguzo ktk sawa sarafiya na hajawiraa hawako sahihi umesahau eeeeh
@abdurashidinasorodini2 ай бұрын
Al akhe hai itwi sawa salafiya ni daawatu salafiya kabla yakumkosoa mtu jiangalie weye Kwanza eti sawa salafiya ndo nn
@sadru57102 ай бұрын
wew hujui kam kuna typing error?@@abdurashidinasorodini
@sadru57102 ай бұрын
hhhh huy anaongea kwa matashi yke han msingi anaoufuata ndio maan naona maneno ya ibn taymiyah pale aliposema وعلیه ان یتناقض ویبقی علی الجهل المرکب او البسیط sasa huyu ndo maneno yanamgonga asa kichwni piy hizo dalil anazotoa znamgonga mwenyewe naona...hhhhh labda uwe kichaa kama yeyee..
Mwambieni aanze kumtetea Muhammad Imaam kwanza ndipo tuwajue pia vibaraka wake
@idrisamara65102 ай бұрын
Bachu umefungwa 100% kwa 0%... You are following your own desires. Your desires have misguided you.
@twaibumikidadi73772 ай бұрын
Huyu Bachu Hamumuwez kielim hata muwe 7 yy n ni jesh la mtu mmja tu! mpka Qassim aingilie kati na yy atafundishwa. Elimu ni NURU kutoka kwa Allah(SW) ibnu Bachu ni NURU ya elimu ukubali ukatae hali iko hivyoo!!
@HassanHamad-rf9tq2 ай бұрын
Useless
@jumanneissa82262 ай бұрын
Hapo ndio unazidi kudhihil ujinga wako loooh wewe sawa sarafiya hujui kabisaaaa😂😂
@abdurashidinasorodini2 ай бұрын
weye mbona mgumu kuelewa jina unalo andika weye c sahihi sahihi na daawatu salafiya nawala c sawa salafiya andika hivi daawatu salafiya usiandike sawa salafiya kumbe wewe mwenyewe ni mtupu
@jumanneissa82262 ай бұрын
Jahili hizbi unatete uhizbi jahili murakab
@HassanHamad-rf9tq2 ай бұрын
Kijana mbona waruka ruka tuu acha mipasho na Matusi ni mwendo wa bakora tuuuu mpaka muelewe Mahizbu salaf
@Khalid-xd2yl2 ай бұрын
HAMNA KITU HAPA WALLAH SASA,ANAPATA KICHWA2 ANAPO SIFIWA NA WAJINGA WENZIE, KINACHO ANGALIWA KTK KUBIDAISHWA MTU NI HOJA SIO MANENO2 HAO HAJAAWIRA HAWANA HOJA ZA KUMBIDAISHA SHEKH ABUL FADHIL, BALI WAO WANALIPIZA KWA KUBIDAISHA SHEKH WAO MKUU WA YAMAN.
@TalibHaji-ep5xo2 ай бұрын
Dawa yaki ipokwamasalafi siowatuwashangwe
@jumanneissa82262 ай бұрын
Yaaani hoja dhaaaifu masikin kijana 😂😂😂
@Daawa-l8s2 ай бұрын
Majadida ni taabu tupu.
@allymbarouk53622 ай бұрын
Yan inachekesha munavyo jipangia pangia sheria za dini na kukufurishana Eti vibidaa vidogo vidogo havina shida sana kwa vile mfanyaji anajinasibisha na salafi Haya nayo muna itaqid na mafundisho
@Athumaniomari-ge2gs2 ай бұрын
Nikwel Hawa jamaaa wanashida saaaan
@abdiazizmohamed4442 ай бұрын
Mkiambiwa usalafi ni fitna muelewe
@ttyyyyuuuuuu2 ай бұрын
Nauliza nipate kujua kuwa Mohammed bin Salman Al Saudi Tumuweke katika kundi gani ?
@uledihassan60652 ай бұрын
Majadida ni wajinga
@pavillioncry52412 ай бұрын
Kasim mafuta kauharibu usalafi sana Kaleta mataaasisi yake kwenye daawa Kuna mali ya wakfu haijulikani imeenda wapi
@Abubakarhaji-cq2cq2 ай бұрын
Mjinga sana Bin Bachu kaa kitako usome
@nasirdinmohammed87412 ай бұрын
Muhammad bachu wewe naona ndio mjinga tena jahilu murakab maana unjifanya unafahamu kumbe maskini huna unachofahamu masalaf wanjuwa kutofautisha kati ya mtu wa bidaa mwenye kulingani kwenye bidaa na mtu wa bidaa ambae halinganii sasa vipi mtu ambae analeta kunut umfananishe na abuu muawiyya ambae ametumia uhai wake kuntetea Muhammad imam ambae bidaa yake imzihiri kwa kuwafanya mashia dini yao ni sawa na dini ya watu wasunna na inajuulikana mashia dini yao ni kuwatukana maswahaba jee kumtetea mtu kama huyu ambae ukakubali kuwa ni adui wa watu wa suuna kwasababu yake ni bidaa ndogo ya jahili vipi umfananishe na mtu analeta kunut huyu analingania kwenye bidaa yake anaitetea anpenda na kuchukia kwsababu ya kuntetea shekh wake afu unatunukia ety sikila mtu wa bidaa anahamwa afu mfano untupa wa kunut wakati kadhia ya mtu mzushi analingania na kufanya uwdui kwsababu ya bidaa yake
@mohagurey22142 ай бұрын
Allah yahdiika
@WakaliFashionTz2 ай бұрын
Umeambiwa utaje bidaa za Dr Islam unaanza kukejeli ndo mana hamuelewi ibara za wanachuoni kwahyo we mafuta ni nabii wako??? Unamuamin hakosei km anapewa wahyi tulieni doz ziingie
@WakaliFashionTz2 ай бұрын
Mnatuma wajinga hawajui kusimamisha hoja ndo tatizo,, hoja hapa nikwamba kuchupa mipaka ktk kubidiisha siyo kukataa kuwataja wazushi elewa kwanza wewe ndo upinge alaf bidaa zimegawanyika km walivyoelezea wanachuoni wa ahlul Sunna waljamaa sasa we na ujinga wako kutokujua daraja za bidaa basi Kila mtu ni mzushi wa kuchukiwa na kutengwa sasa huyo Dr Islam ni ipi bidaa aliyozusha na akasema hii ni dini??
@nasirdinmohammed87412 ай бұрын
@@WakaliFashionTz na wewe tunakujibu ivo ivo hapa tunjadili abuu Muawiya kaingiaje kassim mafuta kama siyo chuki na wewe Muhammad bacho ni nabii wako hakosei au Acha ujinga na uhizbiyya nimekwambia buu Muawiya bidaa yake ni kuwatetea watu wabidaa na kumaliza uhai wake wote kwenye hilo tena akafanya alwalaa Wal baraa Kwa ndugu zake kwsababu ya sheikh wake wewe jibu kwenye hili Acha kutaja maskhe ambao wanajitahad kweny dini Allah awahifadh wewe ukiulizwa hata nguzo za swala pengine usizijuwe afu utaelewa maneno ya mwana chuoni shekh wenu akiwaita watu wajinga hajakejeli ila akitwa yeye mjinga hizbi siyo salaf vibaraka wake mnatokwa na mabovu Acha uzuzu kaeni msomi ndio ntajuwa kima cha ujinga WA sheikh wenu
@nasirdinmohammed87412 ай бұрын
@@mohagurey2214 amen
@therealmchizisniper2 ай бұрын
😂🤣🤣🤣wewe waongea porojo,wewe pia ni mushrik….huna jambo lolote la maana unaongea…hizo sunnah zenu za bukhari si Islam na Mungu hakutuambrisha tufate “hearsay”…😂🤣🤣🤣 hearsay ni tetesi,na nyie mamushrik kama wewe unazidi kueneza urongo ufisadi kwenye jamii zetu…..tubia kwa Mungu na wacha kudanganya watu
@maulidimuhani2 ай бұрын
Halafu jiulize swali hili kwanini wajibu swali kwa makala?? Hiii kwa mtu msomi utagundua kuwa huyu aliyemtumua Ibnu Bachu kwa Makala badala ya kutoa video au voice? utaona kuwa wanaogopa Kukosea tutawajua uwezo wao wa kusoma ibara za kiarabu hawawez hawa! Na ukiangalia Makala hiii, utagundua kuwa amekopy na kupaste, maaana yake wanaangalia mitandaon wala hawasomi vitab mwanzo mwshoo, sijui hawaelewi wakisoma vitabu!!! matokeo yao ndio kutuletea makala imeandikws nyuma mbele mbele nyuma, Lakn Ibnu Bachu n mwalimu, anafundsha anarekebsha, anaelimisha anaevaluate , ukimsikiliza unagundua kuwa hapa elim inetuliaa,. Tuache ushabiki binfsi