MAJIBU YA KIMBUNGA FEKI CHA KIBARAKA WA QASSIM MAFUTA HASSAN WAZIRI || Muhammad Bachu.

  Рет қаралды 10,200

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Күн бұрын

Пікірлер: 267
@maulidimuhani
@maulidimuhani 2 ай бұрын
mmmmh!!! MAASHALLAH shekh BACHU Nimfasaha saaaana, MAASHALLAH yaani nakuelewa vizuri mnoo, hao majadida wanaweza wasibadilike, ila watatumika kama UBAO WA kufundishia ili sisi tuzidi kuelewa, na kutudhihirishia UJINGA wao😢😢😢😢
@Muharram-c5n
@Muharram-c5n 2 ай бұрын
M'mungu amekubariki elimu Masha'Allah,akuzidishie na akupe mwisho mwema
@zahranahmed1391
@zahranahmed1391 2 ай бұрын
Umetak nitoa machozi leo wallahy Allah akuhifadh n akupe ujira n afya n pepo
@IbrahimuMgeni-gz5vx
@IbrahimuMgeni-gz5vx 2 ай бұрын
Kila wakikujibu majadida sisi tunapata faida kupitia wewe ALLAH akuzidishie elimu Shekh Muhammad Bachu
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 2 ай бұрын
Kumbe kimya hicho kulikuwa na kheir sana Nikaanza kupata wasiwasi ila nakuombea kwa Allah tawfiq na thabat Allah akupe siha na Afya Allahumma amiin
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 2 ай бұрын
Aamiyn
@tujially1361
@tujially1361 2 ай бұрын
Mohammad bachu na kaasimu mafuta Allah awahifadhi ni watu mafaswaha sana,Namuomba Allah awakutanishe na wafanye da'awah pamoja.Aamiin
@AlexanderLacazet
@AlexanderLacazet 2 ай бұрын
Asiwakutanishe milele na huyu Kasim mafua uyu
@NaduuAbdilah-uj5vj
@NaduuAbdilah-uj5vj 2 ай бұрын
Allah akupe umri mrefu tuzidii kunufaika na wewe ..una tupa elimu nzurii sana Allah ndie atakae kulipa sisii tuna kuombea duaa tu.
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
Hivi bachu anapo uliza kwanini abuu Muawiyah katolewa kwenye usalafy kakhaalif nini? Mbona yeye amtoa sheikh Qasim mafuta kwenye usalafy kakhaalif nini?
@NaduuAbdilah-uj5vj
@NaduuAbdilah-uj5vj 2 ай бұрын
@@AbuuBakar1 bachu haku mtoa kassim mafuta kwenye usalafii ana itakidii shekh kassim mafuta ni mtu wa sunna tena amesha wahii kusema kuwa ni nguzo tegemezii katika sunna..ancho kisema bachu ni kuwa wao kina kassim mafuta na genge Lao wame mtoa shekh Abuu muawiya rahimahullah kwenye sunnah pasipo kua na hoja madhubutii za kumtoa mtu kwenye sunnah
@abiabi9353
@abiabi9353 2 ай бұрын
​@@AbuuBakar1siyo kweli Bachu hajamtoa mafuta kwenye usalafi, Bali kasima ni masalafi jadida
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 2 ай бұрын
Wallah mimefrahi kuskiya kama upo nyumban zanzibar Allah akufanishe ulichokifata huku biidhini llah Allah akurudishe rasmi ktk chini yako
@huseninchasi
@huseninchasi 2 ай бұрын
Allah akujaalie mkutane peponi wote ukiowasema na hao majadida
@swalehmohamed4849
@swalehmohamed4849 2 ай бұрын
Masaallah ya subha wanazuoni wengi wamelikubali akhi kama sheikhul Islaam, Ibn uthaemeen ,Ibn Baaz, Imaamu Nawawy wasema si Bidaa ispokuwa Albaany
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 2 ай бұрын
*Allah azidi kukufunulia Ufahamu, na atuongoze sote katika Haqq*
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp 2 ай бұрын
MashAllah muhammad bachu Allah akuhifadh
@Muharram-c5n
@Muharram-c5n 2 ай бұрын
Nakuelewa sana sheikh Bachu,baaraka llahu fik
@sakinasakku8340
@sakinasakku8340 2 ай бұрын
ALLAH akuhifadhi sheikh uzidikutupa elm AMAASHAA ALLAH
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 2 ай бұрын
Siku1 Allah atajaalia kheri na mtafanya kazi pa1 kwa kuondoa tofauti zenu kwa hoja za kielimu tunawaomba hebu tumieni mda basi kaeni mezani kielimu mfanye kazi pa1.Yawezekana mmojawapo anaijua hakki lakini hataki kuchutama badala yake anazungumza2 ili asionekane kashindwa lakini kma kweli kuna mmoja ana makosa amuogope Allah kwa kukubali makosa kazi iendelee.
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 2 ай бұрын
Absolutely correct.
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 2 ай бұрын
@@KhalfanMassoud akhy
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 2 ай бұрын
@@Hamis-ks1sy naam.
@abiabi9353
@abiabi9353 2 ай бұрын
Tatizo ni mafuta kazidi katika ujadida
@mbjunior166
@mbjunior166 2 ай бұрын
Sheikh wetu Kassim mafuta(Allah amuhifadh) akae chini na kuitathmini upya daawa yake na kuona jinsi ilivyoleta tatizo kubwa sana kwa wanafunzi wa elimu ktk ukanda huu kwa kweli ni tatizo kubwa sana! Allah atuongoze na atuunganishe wote watu wa sunna. Weka wazi al akhy Bachu pengine wataelewa japo baadhi
@zahranahmed1391
@zahranahmed1391 2 ай бұрын
C rahisi binadaam hua anapenda fahari n pengine io kukamdmza nd inampa kula ataanza wapi kuacha? Ila nmesema t sina maan hio kwake Allah atupe sote hidaya
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 2 ай бұрын
Wallah kuna wakati inauma sana watu kama hawa Sheikh Qassim Mafuta na Muhammad Bachu wanakuwa tofauti wakati kama kuna waalimu ambao huwa nawaelewa sana wakizungumza na kufundisha basi ni hawa.Allah atajaalia kheri kabla ya kufa hawa watu wawili watafanya kazi pa1 baada ya tofauti zao zitaondoka kwa hoja za kielimu na tutafaidika sana na sana kupitia ndimi zao.
@ShamsudeenOmary
@ShamsudeenOmary 2 ай бұрын
Ndugu angu umenipokonya maneno kinywani na moyoni mwangu kikweli si hawa tu, bali ahlsunnah wote nawapenda kwa ajili ya Allah na sioni haja ya kutengana ..nakusudia wanaojiita salafiy na wanaoitwa kuwa ni mahizbi ..wallah mpaka leo sijaona utofauti ktk manhaji😢😢 inaumiza sana...
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 2 ай бұрын
@@ShamsudeenOmary mtihani Wallah inauma sana.
@saidsalum523
@saidsalum523 2 ай бұрын
Assallamu alaykum,,akhi nakupenda sana kwa ajili ya Allah,,ulivyo wewe ndivyo nlivyo mimi,,hawa mashekh wote wawili mimi nawafahamu sana. na tena nawakubali sana,lakin shaytwani kaingia kati apo.
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 2 ай бұрын
@@saidsalum523 Wa’alaykum salaam warahmatullah,akupende yule ambae umenipenda kwa ajili yake akhy,Wallah kuna unawahi kujiuliza hawa wa2 wakikutana wanaweza hata kusalimiana kweli? Mtihani lakini Allah ataleta kheri ipo siku watafanya kazi pa1
@saidsalum523
@saidsalum523 2 ай бұрын
@@Hamis-ks1sy Allahumma aamiyn
@zahranahmed1391
@zahranahmed1391 2 ай бұрын
Leo nimezidi kukupenda kwa ajili ya Allah sijawah koment ila Allah akuhifadh yaan kitendo cha kuweka wazi hii stofaham ya kutenga watu na kuhimiza umoja na kujua wepi w kutengwa n wepi wakua nao ! Allah akuhifadh uunganishe huu uislam kama hv
@abdukhan4718
@abdukhan4718 2 ай бұрын
*NYIE MUMENISHINDA MUNAWASEMA HADI WALIOKUA WASHATANGULIA MBELE YA ALLAH* KWELI MTIHANI....SANA MUNAO ALLAH AKUONGOZENI
@ismailmakame7183
@ismailmakame7183 2 ай бұрын
Allah tuongoze ktk usalafi wasawa usiokua naghuluu amin
@OmayAlly
@OmayAlly 2 ай бұрын
Allah akuhifadhi
@RehemaAmour
@RehemaAmour 2 ай бұрын
Kiama kipo karibu uislam unapingwa vita duniani baada ya kupambana na makfiri wanaotupiga vita mnatupiana lawama Allah atuongoze inshaAllah acheni tofaut wapalestina wanauwawa tu kule na mayahudi ayo ndo mambo ya kuongelea saiv sio kuitana vibaraka sote ni vibaraka wa mungu
@mohamedimiraji5495
@mohamedimiraji5495 2 ай бұрын
Heri yako mwenye kuona mbali
@omadal1
@omadal1 2 ай бұрын
Umeongea ukweli kabisa , kuna mengi ya kujadili zidii ya kulaumiana na kutaka ubabe. It shows how back wards we are as East Africa muslims
@SaadDumila
@SaadDumila 2 ай бұрын
Bora uwaambie wallah, waislam wenzetu wamalizwa, wao hawa ni kutugawanya tuh waislam
@ismailmakame7183
@ismailmakame7183 2 ай бұрын
Allah akupethabati nagheera ktk kuumizakichwa kwa ajili yakuhurumia waislam,dah nahisihasa mwalim wangu jamaa ukweli wanaujua lakini huangalia kazungumza nani.
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 2 ай бұрын
Akhuy Muhammad bachu hawa watu wanajipa
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 2 ай бұрын
Inshaa Allaah nita coment kesho, ninacho kiona, ila leo naonja tu. Kiukweli khasa tusifichane ndugu zetu masalafy wamepoteza dira mazima yani, na matokeo yake sasa wamekua kama wazushi wa maulidi, wanalazimisha hoja isiokua hoja😂😂😂😂😂😂. Muhammad Bachu huyuhuyu munae mtukana masufi na masalafy ndie anae wakosesha usingizi, na baada ya kukosa usingizi kwa kutafuta angalau sehemu ya kuegemea, ukija kwa lengo la kutoa majibu, ndio unakuja kujianika zaidi. Naskitika sana ndugu zangu masalafy munavyo teswa na Shekh Muhammad Bachu. Kaeni mutafakari, lkn haya mambo masalafi nyote hakuna alie na uwezo wa kupambana nayo, na ikawa kaja na mambo yenye kueleweka, bali munajidhalilisha tu. Makala ya Abul-abbaas imetolewa majibu yenye kukinaisha, lkn majibu yenu masalafy kwa Shekh Muhammad Bachu, hayajuilikani kichwa wala miguu. Poleni ndugu zangu kama mmechagua kushikilia makosa yenu na kubaki nayo
@swalehmohamed4849
@swalehmohamed4849 2 ай бұрын
وَقَالَ شَيْخُ الْإِسْلَامِ أَحْمَد بْنُ تَيْمِيَّة - رَحِمَهُ اللَّهُ -: فَصْلٌ: وَعَدُّ التَّسْبِيحِ بِالْأَصَابِعِ سُنَّةٌ كَمَا قَالَ النَّبِيُّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ لِلنِّسَاءِ: {سَبِّحْنَ وَاعْقِدْنَ بِالْأَصَابِعِ فَإِنَّهُنَّ مَسْئُولَاتٌ مُسْتَنْطَقَاتٌ} . وَأَمَّا عَدُّهُ بِالنَّوَى وَالْحَصَى وَنَحْوُ ذَلِكَ فَحَسَنٌ وَكَانَ مِنْ الصَّحَابَةِ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمْ مَنْ يَفْعَلُ ذَلِكَ وَقَدْ رَأَى النَّبِيُّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ أُمَّ الْمُؤْمِنِينَ تُسَبِّحُ بِالْحَصَى وَأَقَرَّهَا عَلَى ذَلِكَ وَرُوِيَ أَنَّ أَبَا هُرَيْرَةَ كَانَ يُسَبِّحُ بِهِ. وَأَمَّا التَّسْبِيحُ بِمَا يُجْعَلُ فِي نِظَامٍ مِنْ الْخَرَزِ وَنَحْوِهِ فَمِنْ النَّاسِ مَنْ كَرِهَهُ وَمِنْهُمْ مَنْ لَمْ يَكْرَهْهُ وَإِذَا أُحْسِنَتْ فِيهِ النِّيَّةُ فَهُوَ حَسَنٌ غَيْرُ مَكْرُوهٍ وَأَمَّا اتِّخَاذُهُ مِنْ غَيْرِ حَاجَةٍ أَوْ إظْهَارُهُ لِلنَّاسِ مِثْلُ تَعْلِيقِهِ فِي الْعُنُقِ أَوْ جَعْلِهِ كَالسُّوَارِ فِي الْيَدِ أَوْ نَحْوِ ذَلِكَ فَهَذَا إمَّا رِيَاءٌ لِلنَّاسِ أَوْ مَظِنَّةُ الْمُرَاءَاةِ وَمُشَابَهَةِ الْمُرَائِينَ مِنْ غَيْرِ حَاجَةٍ: الْأَوَّلُ مُحَرَّمٌ وَالثَّانِي أَقَلُّ أَحْوَالِهِ الْكَرَاهَةُ فَإِنَّ مُرَاءَاةَ النَّاسِ فِي الْعِبَادَاتِ الْمُخْتَصَّةِ كَالصَّلَاةِ وَالصِّيَامِ وَالذِّكْرِ وَقِرَاءَةِ الْقُرْآنِ مِنْ أَعْظَمِ الذُّنُوبِ قَالَ اللَّهُ تطوير  Ver : 1.0007
@وزيرهالوزير-ذ8س
@وزيرهالوزير-ذ8س 2 ай бұрын
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh
@izmamuizmamu6521
@izmamuizmamu6521 2 ай бұрын
بارك الله فيك
@ashekhajabir2469
@ashekhajabir2469 2 ай бұрын
Mashaallah
@Abuunuwayra
@Abuunuwayra 2 ай бұрын
Niwape Cri Huyo Alie Jibu Hayo majibu ni mwanafunzi wa Majadida Na Hayo Maneno Hakuandika yeye Hayo Yameandikwa Na Bunge Zima La majadida Lengo lao Kubwa Ulikua ushindwe Kujibu Kisha waseme... Lakini Hapo wanikapata Chamoto Na Sahi wanajijua kua Niwabovu Kufahamu Ibara Za ulamaaa Shukran
@ABUUJAAFAR92
@ABUUJAAFAR92 2 ай бұрын
@@Abuunuwayra ulishuhudia wakiandika ama waongea kwa hawaa zako tu ,,,? Ikiwa hukushuhudia wakiandka bali wajisemea wewe utakuwa umzushi na una alama za uhizbiy,,,
@nahlaaasidee1848
@nahlaaasidee1848 2 ай бұрын
Usiongee mambo kiushabiki, ipo siku utasimamishwa mbele ya Allah ujibu hayo unayoyasema. Mche Allah.
@Abuunuwayra
@Abuunuwayra 2 ай бұрын
@@nahlaaasidee1848 Hakuna Ambae Haisimamishwa mumezidi Kukufurisha Watu Bora nikasimamishwe kwakufwata Sunnah Kuliko Ujadida Ni uvundo Elewa hilo
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 2 ай бұрын
​@@nahlaaasidee1848naww pia ipoh siku utasimamishwa mbele ya ALLAH na ukaulizwa .kwanini ulikua na ishabiki .?? Wakuushabikia. Mlengo wakitia watu wasunna kwenye. Upotevu na kinyume cha upotevu ni motoring. Intakinllah ya Akhy ..ooo
@rajabumbendenga5480
@rajabumbendenga5480 2 ай бұрын
Ukishiba Pumzika bando lako lisikufanye kutengeneza chumo la kujichotea madhambi
@khamisjuma7616
@khamisjuma7616 2 ай бұрын
muhammad wacha haya mambo hayana tija kwa uislam wewe ni mtu mwengine jitathmini shekhe wetu ishallah
@Daawa-l8s
@Daawa-l8s 2 ай бұрын
Kasome.
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 2 ай бұрын
Sijui. Unaongea pumba gani
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 ай бұрын
Haya mambo yote kayaletq mafuta
@abdiazizmohamed444
@abdiazizmohamed444 2 ай бұрын
​@@pavillioncry5241 huu ndio usalafi Malumbano
@rajabumbendenga5480
@rajabumbendenga5480 2 ай бұрын
Huyu sio Sheikh msimpe daraja lisilomuhusu
@alisalum7036
@alisalum7036 2 ай бұрын
Inaonyesha wazi kuwa huyu Bachu hajuwi kutofautisha baina ya mahajuri na masalafy.
@luqmanomary3558
@luqmanomary3558 2 ай бұрын
Kwan n nan mahajury
@وزيرهالوزير-ذ8س
@وزيرهالوزير-ذ8س 2 ай бұрын
Kiukweli hawamasalafijadida wamejiwashia motokwelikweli nakuuzima watasumbuka hatambele ya allah itakuangumukwao hatasis binadam wakawaida tunavowasikiliza hawawatu imetupelekea kuwafaham hatahukunilipo hatamisikitiyao watu wamejikata kuisalia kulingana naukwiwakobachu
@RehemaAmour
@RehemaAmour 2 ай бұрын
Na kama mnataka kutupiana lawama bc kutaneni uso kwa macho mutupiane izo lawama sio uku kwenye mitandao mnatutia aibu waislam sote acheni ayo mambo tunawategemea
@yushamhamad8313
@yushamhamad8313 2 ай бұрын
Assalamualaikum... Nawausia Ndugu Zangu Katika Imaan, Hii Mijadala (Raddi) ya Kielimu Usiifuatilie kama hauna Muangaza na Ufahamu wa Misingi Juu ya Da'waa hii na Kwa Wale wenye kuielewa Misingi ya Da'waa basi Uache Ushabiki Wako Kando, Kwani Kuna Shubha Nyingi Sana Ndani yake.
@kassimali9413
@kassimali9413 2 ай бұрын
Mashallah
@mussasalafiy
@mussasalafiy 2 ай бұрын
Tambua wanao mbidiisha Sheikh Abul Fadhwil Qasimu Mafuta حفظه الله Ao ni mahajawira si katika sisi masalafiy ivyo swali lako ni upepo mdhaifu
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 2 ай бұрын
Ww juha acha pupa sikiliza mpaka mwisho
@Kzm-c9u
@Kzm-c9u 2 ай бұрын
Ujinga wa mabaraamika ni kutokuangalia masalafi wamesimama kwenye misingi gani ya kumbidiisha Qasim Mafuta. Hawa mabaraamika ni mtihani sana Allaah awaongoe😂😂😂
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 2 ай бұрын
Tuliaa wewe kibaraka wa qassimu mafuta hizbu salaf
@WakaliFashionTz
@WakaliFashionTz 2 ай бұрын
Mafuta ni nabii wako?? Mbona hutaki kukubali km anakosea
@SugowFarah-up3db
@SugowFarah-up3db 2 ай бұрын
​@@Kzm-c9uHebu tueleze wewe hiyo misingi
@abiabi9353
@abiabi9353 2 ай бұрын
Mimi ni shia pamoja nakuwa bachu anatuita makafiri lkn kwa kweli nimeanza kuwa na matumaini na mohamed bachu. Kilasiku anazidi kuimprove katika busara na uwelewa wake.yani ameanza kuwa na misimamo ya wastani tofauti na kassim mafuta kila siku anzidi katika ujadida na kufarakanisha watu.
@yahyarashid8038
@yahyarashid8038 2 ай бұрын
Akujaalie akuzinduwe uingie kwenye sunna
@yahyarashid8038
@yahyarashid8038 2 ай бұрын
Allah akujaalie akuzinduwe uingia kwenye sunna
@abiabi9353
@abiabi9353 2 ай бұрын
@@yahyarashid8038 mimi tayari nimfuasi wa Quran na sunna za mtume lkn kutokana na uelewa wa Ahlulbayt (as)
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 2 ай бұрын
Uhzibi wa abuu Haatim na Ame ni kwasababu ya kuendelea kung’ang’anq na yahya Hajuriy hata baada ya kutahadharishwa na kubiidiishwa na wanaachuoni…sasa sheykh Qasim mafuta yeye anapata wapi uhizibiya? Sheykh hawezi kukujibu BACHU kwasababu unamengi hujui
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
Nitasikiliza mawaiza mengine unauotoa ilasihaya unayowakashifu wenzio malamajadida mala vibaraka basi Allah atakulipa kwahayoyote. Allah awaongoze woote pamoja peponi. Inshaallah
@hafidhwajina6718
@hafidhwajina6718 2 ай бұрын
Anapoitwa yeye mtafuta umaarufu ,hizb au kasuku pia husikizagi?
@IbnuAlly-wm8il
@IbnuAlly-wm8il 2 ай бұрын
Km huelewi kinachoendelea Kaa pembeni ww jifunze kuswali na kufunga kwanza
@maulidimuhani
@maulidimuhani 2 ай бұрын
Na usi sikilize yoote, BAKI na Uchawa wako Kwa kassim mafuta wako, ila sisi alhamdulillah tunapata elimu.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
@@maulidimuhani Namipia napate elemu sipokiuchawa ila nafata ya maana yakipuuzi kwaajiliya sifa sisikilizi. Allhamdulillah. Kwayeyoteyule. Nipokwaajiliya elimu iliinisaidie sipo kiuchawa kwani hautonisaidia kitumbele ya Allah
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
@@IbnuAlly-wm8il Nawepia uwelewikitu
@babatchi9169
@babatchi9169 2 ай бұрын
Jamaa nji9a sana sana sana😊😊
@shabanbisaki
@shabanbisaki 2 ай бұрын
Naomba na yako ninahitaji ushauli nakuelewa sana
@daarusalafiya
@daarusalafiya 2 ай бұрын
Nyama za wanazuoni ni zenye sumu ewe Ibnu bachu, Ipo siku utakuja kuanguka kwa kuzila nyama za wanazuoni. Watizame qaumu zilopita baada y kuwasema vibaya wanazuoni ambao ummah uliushuhudilia ilmu yao, Hivyo chunga na kuwasema vibaya wanazuoni kama kina sheikh rabie n.k...ukiendelea na mwenendo wako huo huo wa kula nyama za wanazuoni yatakufika yale yalowafika huko nyuma walokuwa na mwenendo kama wako
@sleimaanbuda7996
@sleimaanbuda7996 2 ай бұрын
Sheikh kassim Mafuta aache muda wake akujibu wew ignorance Unaulizwa nini maana ya hadithi gharibu huijui nenda kabishane na akina Saidi ukoo
@Khalid-xd2yl
@Khalid-xd2yl 2 ай бұрын
Alkh hasan wazir kakupa hoja mzito na qauli za ulamaa, wew hapa hakuna unalo ongea lamaana
@abdurashidinasorodini
@abdurashidinasorodini 2 ай бұрын
ongoa weye cb
@abrahmanhamad3253
@abrahmanhamad3253 2 ай бұрын
Waoaneshea Hauna akilil Wala elimu
@AbunaufalSalim-di6dn
@AbunaufalSalim-di6dn 2 ай бұрын
Assalamu alaykum vipi hali
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 2 ай бұрын
Salafiyu wa Tz ( Jadiida) hawatatanuka kielimu kwa sababu moja tu • Wao wamefungwa kielimu na Qassim mafuta , yaani Qassim mafuta yy hakosei kwa hiyo kila mtu kabla hajasems kitu n kwanza lazma apitishwe na Qasim mafuta , huu ndio utumwa wa kiielimu•
@hasaanislamiccenter6283
@hasaanislamiccenter6283 2 ай бұрын
وعليكم السلام
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 2 ай бұрын
Yaani tunaweza kukatazwa fulani usimsikilze lakini katika pitapita wasikia qur an ikisomwa mtu unaganda kusikilza mtihani sana!
@mussakhamis-g8c
@mussakhamis-g8c 2 ай бұрын
MAWAHABI MTIHANI MBONA HIVYO VITABU VINAWAZUNGUMZA NYINYI MAWAHABI WA KIJADIDE NA HIZBIA KILA UNACHOKISEMA NDIO MNACHOKIFANYA NYIE MAWAHABI MNAOJINASIBISHA NA USALAFI
@AbouMaryam-gg7dz
@AbouMaryam-gg7dz 2 ай бұрын
Assalam aleikum wa rahmatuLLAHI wa barakatuh Nauliza ivi je kweli sheikh bachu ulimtuhum sheikh rabee ? Je barahiyan aliwatuhumu ma ulamaa wakubwa kama rabii al albaan na wenginewo kuwa wameleta usalafia jadida!? Je wewe bachu walijua hilo?
@hafidhwajina6718
@hafidhwajina6718 2 ай бұрын
Tupe audio kama wewe si copper and pster
@ExcitedCricketHelmet-wr4sq
@ExcitedCricketHelmet-wr4sq 2 ай бұрын
Hawa hawana lolote hizb ila tu viswahili vingi kuchanganya maawam tu ujuaji ulimpelekea yy kufedheheshwa na masufi huko Mombasa unakaa mjadala na yeye cie mwanachuoni tafuta ilmu kwanza
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 2 ай бұрын
​@@ExcitedCricketHelmet-wr4sqww umetafuta. Au unaruka ruka tu mitandaoni
@وزيرهالوزير-ذ8س
@وزيرهالوزير-ذ8س 2 ай бұрын
Abobasalalafi bashasha biyitako arabaislam turavye inyigishozabo zitandukanye ninyigisho zintumwayacu Muhammad swalallah walaih wasalam nizonyigisho sizikiisilam kumbe nibijujuvyukuri imana ibakure murubwobujuju nababashekhebacu tuzeturabasengera shekhe bahero dr islam ali Abubakar shekh nurdin kishiki nabandibeshi barikumurongo nkuwizindozizacu nukuri boraka kaninicane kadi ntimwibagire kubasengera batumye tumenya abaribinyeje mubaislamu ubutwabameny nico tugishimir imana
@SalamaKhamis-un8vn
@SalamaKhamis-un8vn 2 ай бұрын
Kila nikiendelea kuishi ndio nazidi kuawaelewa Mawahabi na Malengo yao mabaya juu ya waislamu wenzao
@masoudmohammed4258
@masoudmohammed4258 2 ай бұрын
Umeskiza audio za sheikh Hassan waziri??
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 2 ай бұрын
Kaongea pumba tupu.
@mohamedimiraji5495
@mohamedimiraji5495 2 ай бұрын
Yaani nyie masheikh vijana mna kazi sana dini mnaifanya kama chama au kampuni flani utadhani mna lease ya moto na pepo
@MwanahamisKiloke
@MwanahamisKiloke 2 ай бұрын
Unahangalia umrii sio vitabu Tena ?
@mohamedimiraji5495
@mohamedimiraji5495 2 ай бұрын
@@MwanahamisKiloke Kujua kusoma vitabu ndio usheikh?Je vitabu bila hekima si sawa na mzigo juu ya mgongo wa punda.
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 2 ай бұрын
Wao ndio watu wa bidaaa mtume kakataza kutaja manaya ya mayti wakislam........
@babatchi9169
@babatchi9169 2 ай бұрын
7albiss 7albiss 7albiss KUNA M7U ANAMUONA KUWA SHEK ANAPO7E NA ANAWAPO73ZA
@omarsuleiman9064
@omarsuleiman9064 2 ай бұрын
Dah unajua hapa sio watu wanatetea dini hapana hapa nimapungufu ya shekhe hyu na yule ndio maana natija inaondoka kwasasa mambo nisawa tu hakuna sufi wala answar wala sarafy wote wanashindwa kuvumiliana kwa mapungufu ya baadhi yao
@jumanneissa8226
@jumanneissa8226 2 ай бұрын
Huyu hizbi bakora zimeaanza kumuingia Wallahi hivi ndivyo kazungumzia hoja huzii duuh 😮yaani Leo ndo kaxua aibu dawa haijui kabisaa
@abdurashidinasorodini
@abdurashidinasorodini 2 ай бұрын
naweye jadida vipi tena mbona kama umepoteza dila inaonekana kwa husda ulionayo ungelikuwa mchawi ungeltulogea sheikhe wetu nahisi niutoto tyu ndio unao kusumbua lakini ukikuwa uta acha kwa sasa utoto wakusumbua sana ebu kakojoe ukalale
@AnaSalafi-f9d
@AnaSalafi-f9d 2 ай бұрын
Sheikh Mohammed Lakini Al Akh Hassan Waziri Ashakujibu vizuri sana Hio Habari Unayo wewe ? Yaani ashamaliza hoja zenu zote Hujakuja na jipya warudia rudia kazi ishakwisha
@WakaliFashionTz
@WakaliFashionTz 2 ай бұрын
Yule hata haeleweki anaongea Nini ivi wewe umelewa huyu bachu anazumgumzia nn?? Sasa km hujamuelewa utaelewa Hawa wengine ishu hp hata madai wanaohusia watu washikamane na Sunna waitwa wazushi hoja niulete dalili siyo kejel
@hafidhwajina6718
@hafidhwajina6718 2 ай бұрын
Hata ahlulbidaa ukiwapa nafasi wanatoa majibu na hushereheka kuwa tumejibu,so sikushangai shekh kannena
@swalehmohamed4849
@swalehmohamed4849 2 ай бұрын
Maadamu akhi imethubutu za Rasuul na ina dalili si katika bada'a
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 2 ай бұрын
Mna shida nyie poleni Mtume wetu hakua na Dhehebu lkn alikua Muislam
@AdamJuma-ov9eb
@AdamJuma-ov9eb 2 ай бұрын
Bachu wewekweli Kama unamuogopa Allah kwanini umtajesheikhe abulfadhwil na Kati Hana mpango wa kujibishana na wewe? Wewe siyo mkweli unauthibitisho gani sheekh anawatuma? Muogope allah
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 2 ай бұрын
Hivi ni kweli anayoyasema kwamba namna ya kuwachukia wa2 wa bida’a kunatofauti? Kama ipo Salafy wasasa wanachukiaje?
@rajabumbendenga5480
@rajabumbendenga5480 2 ай бұрын
Hii ni kanuni ya mahizb wote ni watu wakutaka Kiki kwa kuwataja masheikh wakubwa
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 2 ай бұрын
@@rajabumbendenga5480 hhhhh eti mashekh wakubwa. Nyie mahadady maswaaafika mnataaab
@hassanhamid4359
@hassanhamid4359 2 ай бұрын
Sheikh barahian asiwaite watu madakhila au jaamia Allah atuongoze katika dawah salafia kwasote
@HamkingCompanyLimited2023
@HamkingCompanyLimited2023 2 ай бұрын
Mimi nilikuwa nasikia kwa walimu zetu kuwa wewe bachu. Hujui kima cha maarifa uliuonayo na wewe unayapalamia mambo usiyoyajua' Leo nmepata yaqin zaid kuwa wewe n mjinga halafu hujui kama wewe n mtu mjinga' Wallahi wewe hujui manen ya wanachuoni na hujui kina chako cha maarfa' Bali unajua kuyasoma tu'
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 2 ай бұрын
Tuliaa kijana acha kuleta maneno ya mipasho na porojo hapa
@WakaliFashionTz
@WakaliFashionTz 2 ай бұрын
We ni mtu wa bidaa kwasbb unachukia kukatazwa unayoyafanya
@UmarSaid-c8k
@UmarSaid-c8k 2 ай бұрын
Kama wewe unaelimu ingia kwa mtandao utuelishe maana unatoa matusi pasipo na haki .kama huna lakusema usitus mtu ambae haja kutusi haifai ..tunaelekea wap sasa
@UmarSaid-c8k
@UmarSaid-c8k 2 ай бұрын
Njoo tuelimishe
@swalehmohamed4849
@swalehmohamed4849 2 ай бұрын
Ibn baaz Aliulizwa kutumia Sub-ha kwa ajili ya kuleta dhikr ni bidaa akasema si bidaa limethubutu zama za mtume na mtume Alilikubali vilevole Qaul ya Ibn Tamiyyah. utheimeen na wengineo
@seifsalum3018
@seifsalum3018 Ай бұрын
Skuwai sikilizag hiz video leo ndo nimeamin kuwa uyu bwana hafamu vitabu vya wanawachuon anaelewa kwa akil zake tu pasina kufuata kile ambach wanawachuon walichokimaanisha
@bacteria5184
@bacteria5184 2 ай бұрын
Hii daawa ya salafiya ni ugonjwa zaidi utaskia sheikh fulani kasema yaani ugomvi wao ni kuhusu masheikh.utadhani hao masheikh ni miungu yao.
@ABUUJAAFAR92
@ABUUJAAFAR92 2 ай бұрын
@bacteria5184 masheikh ni wanazuoni na wanazuoni ndio warithi wa mitume ,,,,kwahio lazima watu watumie masheikh
@bacteria5184
@bacteria5184 2 ай бұрын
@@ABUUJAAFAR92 masheikh wanakosea na wanapatia lkn kusema kuwa huyu sheikh hafai kusikizwa kisa sheikh mwingine kasema au hufai kuzika muislamu mwenzako kisa sio salafy huu ni ujinga.
@ABUUJAAFAR92
@ABUUJAAFAR92 2 ай бұрын
@bacteria5184 sio ujinga akhy ikiwa kuna hoja za msingi ,,,,lkn ikiwa hamna hoja ndio ni ujinga
@bacteria5184
@bacteria5184 2 ай бұрын
@@ABUUJAAFAR92 masheikh wawili wamtofautiana ktk mambo tofauti tangu enzi za imam malik ra,ziwe za msingi au sio lkn ndo ijtihad zao,hata ma imamu walitofautiana lkn hukuwahi sikia imam mwingine au wanafunzi wao wakikosa kumzika au kumsema vibaya sheikh huyo bali wakimsifia kwa wema.
@Athumaniomari-ge2gs
@Athumaniomari-ge2gs 2 ай бұрын
Majadida hamtakaaa muwe na hoja yenye nguvu kabsa
@YusufDaudi-v5f
@YusufDaudi-v5f 2 ай бұрын
Kassim mafuta ana elimu
@seniornyungu9718
@seniornyungu9718 2 ай бұрын
BACHO UNAUMWA SANA KWENYE UFAHAMU WAKO NA WEWE NI MTU WA FITNA,HAKUNA SALAFI YEYOTE ANAESEMA MWENYE BIDAA YA KUSOMA DUA YA PAMOJA AU TASBIH ASISEMESHWE,NANI KAFUNDISHA HAYO KATIKA HAO UNAOWAITA MAJADIDA? USIEGEMEZE MANENO SAHIHI KWA WATU WASIO SAHIHI.
@mohamedrashid7864
@mohamedrashid7864 2 ай бұрын
Ubovu upo kwa mawahabi woooote ktk kufahamu maneno ya wana wa vyuoni
@AdamJuma-ov9eb
@AdamJuma-ov9eb 2 ай бұрын
Huyu bachu haina haja hata yakujibiwa pengine akasome ndo aongee masala ya din
@omadal1
@omadal1 2 ай бұрын
Infact umeongea ukweli kabisa, Bachu haitaji kujibiwa He is becoming useless sababu analeta vurugu instead ya kuilimisha kama kweli ana elimu for community benefit.
@maulidimuhani
@maulidimuhani 2 ай бұрын
😂😂 tumesha zifahamu hizo mbinu zenu, 😂 Ni unafiki TU, ukweli ni kuwa hakuna jadi yeyote mwenye uwezo WA kuijibu UFAFANUZI MZURI na fasaha alio utoa shekh BACHU, ila izo ni mbinu zenu munazo zitumia Kwa Kila HOJA mutakayo shindwa kuijibu Huwa munasema hivyo hivyo, Wala sio hii ni mara ya kwanza😂😂😂
@maulidimuhani
@maulidimuhani 2 ай бұрын
😂😂 tumesha zifahamu hizo mbinu zenu, 😂 Ni unafiki TU, ukweli ni kuwa hakuna jadida yeyote mwenye uwezo WA kuijibu UFAFANUZI MZURI na fasaha alio utoa shekh BACHU, ila izo ni mbinu zenu munazo zitumia Kwa Kila HOJA mutakayo shindwa kuijibu Huwa munasema hivyo hivyo, Wala sio hii ni mara ya kwanza😂😂😂
@BakariOmari-tr8cy
@BakariOmari-tr8cy 2 ай бұрын
Kaka hatutokwelewa lud katika njia ya sawa
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 2 ай бұрын
kwisha
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 2 ай бұрын
Halafu jiulize swali hili -- kwanini wajibu swali kwa makala?? Hiii kwa mtu msomi utagundua kuwa huyu aliyemtumua Ibnu Bachu kwa Makala badala ya kutoa video au voice? utaona kuwa wanaogopa Kukosea tutawajua uwezo wao wa kusoma ibara za kiarabu hawawez hawa! Na ukiangalia Makala hiii , utagundua kuwa amekopy na kupaste , maaana yake wanaangalia mitandaon wala hawasomi vitab mwanzo mwshoo, sijui hawaelewi wakisoma vitabu!!! matokeo yao ndio kutuletea makala imeandikws nyuma mbele mbele nyuma, Lakn Ibnu Bachu n mwalimu, anafundsha anarekebsha, anaelimisha anaevaluate , ukimsikiliza unagundua kuwa hapa elim inetuliaa,. Tuache ushabiki binfsi:.
@mussakhamis-g8c
@mussakhamis-g8c 2 ай бұрын
SASA MAWAHABI MUMEANZA KUFARIKIANA WENYEWE KWA WENYEWE MNAOJINASIBISHA NA USALAFI
@yussufhamad3721
@yussufhamad3721 2 ай бұрын
Aha heee abakweli huyunimropokaji na maneno haya nakumbuka alishawahi kusema kuwa yy NI mropokaji jee Othman maaliim kinamziwanda na Yule DJ side jee NI watu WA bidaa kwa saikolojia yako
@MariamUmande
@MariamUmande 2 ай бұрын
Hawa masalafiya jadidah wamekoseya sana Kuwatowa masheikh wa sunaa kwenye sunaa Kama Doctor Islam sio mtu wa bidah hizbi na sheikh salimu barahiyani wanamzulumu kumuita ni hizbi Masalafiya jadidah ni mahawariji walikuja kubomowa swafu za watu wa sunaa
@SimbaHaji-jm7md
@SimbaHaji-jm7md 2 ай бұрын
Dini sikuhizi ni kama timu za mpira
@AbuuRayyan-j8x
@AbuuRayyan-j8x 2 ай бұрын
Kassim Mafuta ee Kassim Mafuta ee unanini kwani mbona Na akina Mujahid wametajwa lkn wee umeshika Kassim Mafuta ee Kassim Mafuta ee unanini wee lkn . ? Hem zaa jiwe.
@hafidhwajina6718
@hafidhwajina6718 2 ай бұрын
Ndio anayeulizwa yeye si ndo msomi kwahyo vibaya kuulizwa msomi?
@babatchi9169
@babatchi9169 2 ай бұрын
Lakini kuna siku u7aju7a kwa uu ujin9a wako na 7albiss zako shek qassim a7akun7oosha
@jumanneissa8226
@jumanneissa8226 2 ай бұрын
Yaaani dalili unatoa kwa hajawiraa😂😂😂😂 subhanaallah wewe mwehu umesahau maneno Yako kwa kassimu mafuta ukisema kwamba kassimu mafuta yupo sahihi na ninguzo ktk sawa sarafiya na hajawiraa hawako sahihi umesahau eeeeh
@abdurashidinasorodini
@abdurashidinasorodini 2 ай бұрын
Al akhe hai itwi sawa salafiya ni daawatu salafiya kabla yakumkosoa mtu jiangalie weye Kwanza eti sawa salafiya ndo nn
@sadru5710
@sadru5710 2 ай бұрын
wew hujui kam kuna typing error?​@@abdurashidinasorodini
@sadru5710
@sadru5710 2 ай бұрын
hhhh huy anaongea kwa matashi yke han msingi anaoufuata ndio maan naona maneno ya ibn taymiyah pale aliposema وعلیه ان یتناقض ویبقی علی الجهل المرکب او البسیط sasa huyu ndo maneno yanamgonga asa kichwni piy hizo dalil anazotoa znamgonga mwenyewe naona...hhhhh labda uwe kichaa kama yeyee..
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 2 ай бұрын
Piga bakora mahizbu salaf mahadadiya waliojitengezea kipote Chao
@SugowFarah-up3db
@SugowFarah-up3db 2 ай бұрын
Mwambieni aanze kumtetea Muhammad Imaam kwanza ndipo tuwajue pia vibaraka wake
@idrisamara6510
@idrisamara6510 2 ай бұрын
Bachu umefungwa 100% kwa 0%... You are following your own desires. Your desires have misguided you.
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 2 ай бұрын
Huyu Bachu Hamumuwez kielim hata muwe 7 yy n ni jesh la mtu mmja tu! mpka Qassim aingilie kati na yy atafundishwa. Elimu ni NURU kutoka kwa Allah(SW) ibnu Bachu ni NURU ya elimu ukubali ukatae hali iko hivyoo!!
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 2 ай бұрын
Useless
@jumanneissa8226
@jumanneissa8226 2 ай бұрын
Hapo ndio unazidi kudhihil ujinga wako loooh wewe sawa sarafiya hujui kabisaaaa😂😂
@abdurashidinasorodini
@abdurashidinasorodini 2 ай бұрын
weye mbona mgumu kuelewa jina unalo andika weye c sahihi sahihi na daawatu salafiya nawala c sawa salafiya andika hivi daawatu salafiya usiandike sawa salafiya kumbe wewe mwenyewe ni mtupu
@jumanneissa8226
@jumanneissa8226 2 ай бұрын
Jahili hizbi unatete uhizbi jahili murakab
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 2 ай бұрын
Kijana mbona waruka ruka tuu acha mipasho na Matusi ni mwendo wa bakora tuuuu mpaka muelewe Mahizbu salaf
@Khalid-xd2yl
@Khalid-xd2yl 2 ай бұрын
HAMNA KITU HAPA WALLAH SASA,ANAPATA KICHWA2 ANAPO SIFIWA NA WAJINGA WENZIE, KINACHO ANGALIWA KTK KUBIDAISHWA MTU NI HOJA SIO MANENO2 HAO HAJAAWIRA HAWANA HOJA ZA KUMBIDAISHA SHEKH ABUL FADHIL, BALI WAO WANALIPIZA KWA KUBIDAISHA SHEKH WAO MKUU WA YAMAN.
@TalibHaji-ep5xo
@TalibHaji-ep5xo 2 ай бұрын
Dawa yaki ipokwamasalafi siowatuwashangwe
@jumanneissa8226
@jumanneissa8226 2 ай бұрын
Yaaani hoja dhaaaifu masikin kijana 😂😂😂
@Daawa-l8s
@Daawa-l8s 2 ай бұрын
Majadida ni taabu tupu.
@allymbarouk5362
@allymbarouk5362 2 ай бұрын
Yan inachekesha munavyo jipangia pangia sheria za dini na kukufurishana Eti vibidaa vidogo vidogo havina shida sana kwa vile mfanyaji anajinasibisha na salafi Haya nayo muna itaqid na mafundisho
@Athumaniomari-ge2gs
@Athumaniomari-ge2gs 2 ай бұрын
Nikwel Hawa jamaaa wanashida saaaan
@abdiazizmohamed444
@abdiazizmohamed444 2 ай бұрын
Mkiambiwa usalafi ni fitna muelewe
@ttyyyyuuuuuu
@ttyyyyuuuuuu 2 ай бұрын
Nauliza nipate kujua kuwa Mohammed bin Salman Al Saudi Tumuweke katika kundi gani ?
@uledihassan6065
@uledihassan6065 2 ай бұрын
Majadida ni wajinga
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 ай бұрын
Kasim mafuta kauharibu usalafi sana Kaleta mataaasisi yake kwenye daawa Kuna mali ya wakfu haijulikani imeenda wapi
@Abubakarhaji-cq2cq
@Abubakarhaji-cq2cq 2 ай бұрын
Mjinga sana Bin Bachu kaa kitako usome
@nasirdinmohammed8741
@nasirdinmohammed8741 2 ай бұрын
Muhammad bachu wewe naona ndio mjinga tena jahilu murakab maana unjifanya unafahamu kumbe maskini huna unachofahamu masalaf wanjuwa kutofautisha kati ya mtu wa bidaa mwenye kulingani kwenye bidaa na mtu wa bidaa ambae halinganii sasa vipi mtu ambae analeta kunut umfananishe na abuu muawiyya ambae ametumia uhai wake kuntetea Muhammad imam ambae bidaa yake imzihiri kwa kuwafanya mashia dini yao ni sawa na dini ya watu wasunna na inajuulikana mashia dini yao ni kuwatukana maswahaba jee kumtetea mtu kama huyu ambae ukakubali kuwa ni adui wa watu wa suuna kwasababu yake ni bidaa ndogo ya jahili vipi umfananishe na mtu analeta kunut huyu analingania kwenye bidaa yake anaitetea anpenda na kuchukia kwsababu ya kuntetea shekh wake afu unatunukia ety sikila mtu wa bidaa anahamwa afu mfano untupa wa kunut wakati kadhia ya mtu mzushi analingania na kufanya uwdui kwsababu ya bidaa yake
@mohagurey2214
@mohagurey2214 2 ай бұрын
Allah yahdiika
@WakaliFashionTz
@WakaliFashionTz 2 ай бұрын
Umeambiwa utaje bidaa za Dr Islam unaanza kukejeli ndo mana hamuelewi ibara za wanachuoni kwahyo we mafuta ni nabii wako??? Unamuamin hakosei km anapewa wahyi tulieni doz ziingie
@WakaliFashionTz
@WakaliFashionTz 2 ай бұрын
Mnatuma wajinga hawajui kusimamisha hoja ndo tatizo,, hoja hapa nikwamba kuchupa mipaka ktk kubidiisha siyo kukataa kuwataja wazushi elewa kwanza wewe ndo upinge alaf bidaa zimegawanyika km walivyoelezea wanachuoni wa ahlul Sunna waljamaa sasa we na ujinga wako kutokujua daraja za bidaa basi Kila mtu ni mzushi wa kuchukiwa na kutengwa sasa huyo Dr Islam ni ipi bidaa aliyozusha na akasema hii ni dini??
@nasirdinmohammed8741
@nasirdinmohammed8741 2 ай бұрын
@@WakaliFashionTz na wewe tunakujibu ivo ivo hapa tunjadili abuu Muawiya kaingiaje kassim mafuta kama siyo chuki na wewe Muhammad bacho ni nabii wako hakosei au Acha ujinga na uhizbiyya nimekwambia buu Muawiya bidaa yake ni kuwatetea watu wabidaa na kumaliza uhai wake wote kwenye hilo tena akafanya alwalaa Wal baraa Kwa ndugu zake kwsababu ya sheikh wake wewe jibu kwenye hili Acha kutaja maskhe ambao wanajitahad kweny dini Allah awahifadh wewe ukiulizwa hata nguzo za swala pengine usizijuwe afu utaelewa maneno ya mwana chuoni shekh wenu akiwaita watu wajinga hajakejeli ila akitwa yeye mjinga hizbi siyo salaf vibaraka wake mnatokwa na mabovu Acha uzuzu kaeni msomi ndio ntajuwa kima cha ujinga WA sheikh wenu
@nasirdinmohammed8741
@nasirdinmohammed8741 2 ай бұрын
@@mohagurey2214 amen
@therealmchizisniper
@therealmchizisniper 2 ай бұрын
😂🤣🤣🤣wewe waongea porojo,wewe pia ni mushrik….huna jambo lolote la maana unaongea…hizo sunnah zenu za bukhari si Islam na Mungu hakutuambrisha tufate “hearsay”…😂🤣🤣🤣 hearsay ni tetesi,na nyie mamushrik kama wewe unazidi kueneza urongo ufisadi kwenye jamii zetu…..tubia kwa Mungu na wacha kudanganya watu
@maulidimuhani
@maulidimuhani 2 ай бұрын
Halafu jiulize swali hili kwanini wajibu swali kwa makala?? Hiii kwa mtu msomi utagundua kuwa huyu aliyemtumua Ibnu Bachu kwa Makala badala ya kutoa video au voice? utaona kuwa wanaogopa Kukosea tutawajua uwezo wao wa kusoma ibara za kiarabu hawawez hawa! Na ukiangalia Makala hiii, utagundua kuwa amekopy na kupaste, maaana yake wanaangalia mitandaon wala hawasomi vitab mwanzo mwshoo, sijui hawaelewi wakisoma vitabu!!! matokeo yao ndio kutuletea makala imeandikws nyuma mbele mbele nyuma, Lakn Ibnu Bachu n mwalimu, anafundsha anarekebsha, anaelimisha anaevaluate , ukimsikiliza unagundua kuwa hapa elim inetuliaa,. Tuache ushabiki binfsi
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,8 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
This mother's baby is too unreliable.
00:13
FUNNY XIAOTING 666
Рет қаралды 41 МЛН
#masufi RADDI KWA KHURAFI MPEVU OSTADH KUSOMA | | Muhammad Bachu.
38:02
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 13 М.
MWANAMKE ALIEMDANGANYA MTUME ILI AOLEWE || Muhammad Bachu || 20 October 2024
43:52
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad
20:37
Kalamutz
Рет қаралды 116 М.
DAKIKA 19 ZILIZOMUANGUSHA SULE NA WAPIGA RAMLI WENZIWE || Muhammad Bachu.
19:15
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 63 М.
MAJINI WA DK SULE SIO WEMA USIMTETE || MAJIBU KWA BABA KIR'WASHA || Muhammad Bachu.
1:04:29