Masha allah sheikh mohamed mungu akuhifadhi na killa sharri za dunya. Aaaameeen
@mussamtupa2 жыл бұрын
Sawa sawa hawa wanajifanya wao wamemaliza kilakitu Tena wanafika mbali zaidi Na kusema mtu akikosea huyo sio Shekhe Wanaunganisha picha za Mashekh mbalimbali Na kutaka kuwaaminisha watu hao sio Mashekh Mungu mkubwa leo mmekutana na kiboko Chenu Allah ampe nguvu Shekhe Mohammad Bachu Na aendelee kuwafichua hawa wanao jifanya wao wamemaliza Pia namuombea kwa Allah marehemu SHEKHE Nasoro Bachu Allah amrehem SHEKHE wetu. Usiwaache hawa mpaka wakome kutukana watu. Allah akupe nguvu Allah akupe nguvu Allah akupe nguvu Allah akupe nguvu Allah akupe nguvu SHEKHE Muhammad Bacho.
@RaissaabdoulАй бұрын
Sheikh Allah akuifazi akulinde na bitu bibaya byote Allah akuifazi
@mtawasimbonde45622 жыл бұрын
Maashaallah Al marhum shkh Nassoro Bachu ametuachia mbadala wke.Maashaallah
@Alakhyasirabuammar Жыл бұрын
Rahimahullah si marhum
@thedon84672 ай бұрын
ALLAH AKUHIFAZI MASHAALLAH TABARAKALLAH
@mohammedsalim9742 жыл бұрын
Kwa yoyote anaetafuta haqqi bas ma sha Allah all hamdulillah haki tunaiyona kwa kijana wetu Muhammad bachu... Mpaka watakaa sawa hawa majadida
@abdul837813 күн бұрын
Allahumma baarik❤
@user-sf7by1cr5h27 күн бұрын
Shek Allah akuzidishie elmu na ujuzi zaidi uzidi kutufundisha
@mahfoudhcalender27472 жыл бұрын
Allah akuhifadh Sheikh Muhammad Machu
@zebusdaughter81582 жыл бұрын
Ndo hapo unakaa mwenyewe unasomewa Rukya na shehe anakosea Quran namna hiyo jmn. Nyie kina mama jueni mashart ya Rukya. ni bora mtu urudi kwa Allah kwanza. The most important thing is your 5 daily prayer first . Hii imenifungua macho. Mwenyezi Mungu akupe ulinzi Mwalim na Tuache ushabiki inabidi tuelewe tu haina jins. Wanaokasirika ni mashabiki hatari sana. Yaani uko tayari makosa yaendelee ili tu uwe comfortable duuh. hapana. Subhanallah.
@captainissa13562 жыл бұрын
Ma sha Allah huyu kijana mwingi sana na anajua kujenga hoja. Allah amzidishie elimu
@saidimadzumba2266 Жыл бұрын
Kijana yupo sawa hata amenisisimua sana! Ukweli uko uchungu,mwenye kibri hawezi kukubali kukokosolewa! Allah amlinde insha Allah!
@mwaramimwarami14792 жыл бұрын
Asante sheikh wetu kwa kutufundisha, Allah akuhifadh, baaraka llahu fik
@cishahayoali11362 жыл бұрын
Asante sheikh wetu kwakuweka wazi makosa hata mimi nimeshuhudia makosa kutokana na ilimu yangu ya nahwi na
@abubakarmuhammadsaid32442 жыл бұрын
Huu ni ugomvi ambao mimi siuungi mkono na wala siufurahii, kwa sababu nyote nyie ni walimu wangu. Lakini hapa umenisomesha, umenipa elimu, Alhamdulillah Rabbil Al'Aalamiyn. Namuomba Allah Subhaanahu waTaala akubarikini nyote.
@jamaldineali32282 жыл бұрын
Wallahi daima nakuombea sheikh wango Allah akupe umry mrefo....wallahi natamani nikuone sheikh wango ili nipate kunufaika na elimo alie kujaalia Allah
@user-sf7by1cr5h27 күн бұрын
Hakika Allah ametuletea mbadala wa shek Nasor bachu Allah awape kheri nyingi
@shehemrefu2832 жыл бұрын
Baraka allah fika ya sheikh usitusahau tuendelee na darsa yetu ya lugha nahwu itatusaidia sana miezi imepita bila bila
@shukurually87692 жыл бұрын
Shekhe upo makini sana mungu akulipe kila lenye kheri
@adenifuyuush49912 жыл бұрын
HAO MASHEKH WATAJE UNAVYOWEZA MUHMD BICHWA ILA JIHADI YAO KUPAMBANA NA UHIZB NA KUWACHARAZA WALOPINDA. UMMA WA KISALAF EAST AFRICA ALHAMDULILLAH WANAWAELEWA
@uledihassan60652 жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh Muhammad Bachu. Nimeamini sasa kwamba hawa wengi wanaojiita masalafy wengi wao ni majahili
@saidjuma45472 жыл бұрын
Allah akuhifadhi jazaaka llahu kher
@jumamahmoud92712 жыл бұрын
Shukran sana yaa sheikh,ujumbe huu umfikie sheikh hanein maana alisema hujui ata kutaja jina la masheikh.
@fatumajamali27572 жыл бұрын
Allah Akuhifadhi Al Akh Muhammad Nassor Bacho, juhudi kubwa, mola akukinge na Shari za Majadida na Vitimbwi vyao.
@muhammadomar852 жыл бұрын
آمين
@maraboutravel6158 Жыл бұрын
Amiin
@suleymansalim57322 жыл бұрын
Hakika upo sahihi japo kuna watu hawawezi kuelewa kama kukosea kwa ulimi kupo na niudhaifu wetu. Kimsingi kurekebisha hoja nasio viherufi .shukran
@wafaumelikolinji71512 жыл бұрын
shekh M bachu Allah akuhfadh, Kazi ya daghwa inachangamoto kubwa ndaniake, ila acha nikufariji kwamaneno yafuatayo, AKH ww si pesa kwamba kila mtu atakupenda, lkn pia vlvl ww si kinyesi kua kila mtu atakuchukia. hujasimm ktk hoja illa kwadall. Kunafaida nyingi tunazipata matullab kupitia kwako
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Asante shekh muhammad bachu Uteteeeee huu umma
@abuurayyaan43062 жыл бұрын
Kwa lipi hapo alilo tetea هو ما زال علب ...... إذا كبر سيترك الطفولية .........
@saidimadzumba2266 Жыл бұрын
Kiboko chao!
@allycomm1553 Жыл бұрын
Hujielew ww
@AbuRumeysa-yz6xt2 ай бұрын
Jazaaka'llahu khayran
@ShekiyaoHussein-ki4ty3 ай бұрын
Umma leo ukowapi umma uko mbali na amri za Allah unatakiwa ubembelezwe warudi kwenye amri za Allah kinyume chake ndoo kwanza wana waritadisha
@MB-yq3ty2 жыл бұрын
Nakushangaa sana Muhammad Bachu hivi rad zipo ngapi unaperuzi ambazo umeulizwa maswali hujibu ukija unakuja na jambo jipya. Huu ni mwendo wa Malumbano.
@abuuluqmaantv2 жыл бұрын
Hajielewi huyu ana ruka ruka tu ni mtu wa kupuuzwa
@abubakaromaryonlinetv63332 жыл бұрын
Sasa ww m b unamshangaa Muhammad bachu au huyu shekh wako anayezisoma Aya za Allaah kwa makosa acha ushabiki kwenye dini utaangamia
@abubakaromaryonlinetv63332 жыл бұрын
Kweli hawa jamaa ni shida eti ni mtu wa kupuuzwa basi tutakusikiliza ww
@MB-yq3ty2 жыл бұрын
@@abubakaromaryonlinetv6333 Siafiki yeyote atakaesoma makosa kwa kukusudia katika Qur an ama makosa ya kilugha hata hivyo haya yote hayatakusaidia katika kujua mfumo sahihi wa dini sina ushabiki wa kidini ndo maana nasema ajibu maswali na hoja aloulizwa watu wapate faida.
@MB-yq3ty2 жыл бұрын
@@abubakaromaryonlinetv6333 Haiwezekani unaulizwa mbuzi anamasikio mangapi unakimbilia unajua nyama ya kuku ni tamu sana sana, kunaalokuuliza hilo?. Mfano yeye anaona ni aibu kusema Mtume hajui jambo la kidunia alishajibiwa kwa hoja si aibu kwa Mtume kutojua mambo ya kidunia kuliko yeyote Bali ni mjuzi wa Elimu ya Kisharia kuliko yeyote. Lingine alishaambiwa William Ruto alishawahi kutangaza Kenya ni Taifa la Kikristo havunji hoja na alete majibu yake kila siku kuja na jipya ndo maana utaona kuna mambo mengi mtandaoni kuhusu bachu, bachu, bachu asimame na moja liishe aingie lingine kisha lingine. Huenda hufuatilii pande zote ndo maana umekuwa shabiki.
@twaibumikidadi73772 жыл бұрын
jaman tuacheni ushabiki na umimi mohamnad Bachu n kigogo kwa kweliii cio siri Allah amuhifadhi
@mahfoudhcalender27472 жыл бұрын
@@zanlec7357 wapo alipo tusi? lete ushahidi.
@mwaramimwarami14792 жыл бұрын
Baaraka llahu fik
@sulaimaanunda2840 Жыл бұрын
maashaAllaah kaka yetu... hawa wanaojinasibisha na ufuasi huwa wanajidai kujipa ukamilifu kisha wakakosoa hata ahli sunna waljamaa'a.... sasa ona Allah anavyowafedhehesha kwenye mim'bar na ujuaji wao huo.... Allaah akubariki sana kaketu kwa faida hizi.... aamiyn
@magrammagreens3873 Жыл бұрын
Shukran sheikh Muhammed mwenye akili ataelewa tu darsa.
@khalidsuleiman23742 жыл бұрын
Muhammad bachu mche Allah umumeita Abu umeir Abu firiun na mmeandika hivo firiauni
@ameirameir43492 жыл бұрын
Huyu kijana anawasumbua sana majadida. Kiboko ya majadida Muhammad Bachu
@sudikisebengo84142 жыл бұрын
na abdallah umeid alipomwita mpubavu kipozeo suf ili ujaliona mbona mxhabiki ww kipozeo sio mkubwa kwake pia ili ataulizwa na Allah
@sudikisebengo84142 жыл бұрын
au kipozeo akumzdi umri
@OmarAli-lm9sf2 жыл бұрын
MashaAllah Allah Akuhifadhi Nakila Lashari Nakukupa Umri Twawili Wenye twaa Namwisho Mwema
@ShekiyaoHussein-ki4ty3 ай бұрын
Sheghe bachu hawa ndugu zetu wanao jiita Masalafi ni mtihani sana kwa umma kazi yao kuwatukana wanawachuoni kuwa tukana waislamu wenzio kuwaritadisha ni mtihani mkubwa
@user-jx2nq7ob6t2 ай бұрын
nataman nipate namb ya bacho nampenda sana
@masanjachekatv73112 жыл бұрын
Makosa katika qr an hayatakiwi kufumbiw macho shekh mohamed baraka llah fik
@hashimiddi47892 жыл бұрын
Mashallah Allah akupe afya uzidi kutufahamisha
@ahmedmalick28622 жыл бұрын
Mashallah
@talibabdalla5684 Жыл бұрын
Wew Simba wa salafi ALLAH akuhifadhi.sahihisha Ivo Ivo kwa hikma
@yunussadik12022 жыл бұрын
naam swadaqta shekh nilitaka kukusikia mana huyo abdallah humed alishindwa hoja akakimbilia hutoa maneno yasiyo na maana na wengi tulijua atajibu hoja mwisho wa siku abakimbilia kwe kuhukumu matamshi kukose katika herfi nikitu cha kawaida mana ulimi hauna mfupa mashallah nimeshiba kwa jinsi ulivyo waelekeza kadhia za kuteleza
@kassimajmus20102 жыл бұрын
Sh.Muhammad nakuomba usisitishe somo la nahwu tunavunjika moyo kiukweli kadhalika na fighi almuyassaru
@KamandaYesu5 ай бұрын
muogope Allah kumsingizia sheikh uwongo utaulizwa na Allah, unasema usiyoyajua bado elimu yako ipo chini acha kutafuta kick mtandaoni sheikh abdillah humeid ni qariii, alafu acha kuwachafua masheikh wa haramu, kijana huna adabu Allah akuongoze kijana mpuuzi sana we
@ibrahimseif77422 жыл бұрын
Nakupenda shekh kwaajili ya allah
@shamsuddin4582 Жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah sheikh Allah akuzidishie i'lmu
@harithsaid15672 жыл бұрын
Subuhannallah
@user-zy7wj7nc7u2 жыл бұрын
Muhammad waskitisha sana. Mumekua mwashindana badali ya kufundishana mema.
@user-sc3jc7nn3g6 ай бұрын
Mm mwenyew mtu wa sunna lkn hpa mbn ypo shh
@masudmohhamed31462 жыл бұрын
Allah awahifadhi mshekhe zetu Sheikh Abuu Hashim na Sheikh Abul Fadhil Qassim awape thabat katika haqqi. Huyu kijana Hizby hajui nini anazungumza
@mussafakiu53222 жыл бұрын
Hujajua sasa hap alichozungumza
@albassambakili37572 жыл бұрын
Sikiliza kwanza video ata masaa m2 haijafka tena video enyewe inasaa zima na dakika ushacommet 😁
@abuuarmanali63192 жыл бұрын
Sasa hapo kaongea chauzushi kipi?.hebu achen chuki zisizonamsingi..lete hoja z kielimu.. Kwan hao masheikh zenu wanapoleta rad unachukuliaje..acha chuki zisizofaida utakuw n roho mbaya
@abuuarmanali63192 жыл бұрын
Kaakitako usome usileta chuki
@muslimmassoud26732 жыл бұрын
amiin
@BrotherMasoud Жыл бұрын
Mashaa Allah kukosea kupo Allah akulinde na akusamehe pale unapokosea lakini ukwel lazima usemwe
@mohamadmaulidngava15102 жыл бұрын
Mashaalwaah Watanyookatu.
@AliNdunde-oq4rh Жыл бұрын
Sheikh Muhammad Nassor Bachu lazima hao uwafundishe kwa dalili wakiwacha kufahamu sisi wanafunzi tunakuwelewa vizuri mno kutokana na utowaji wako wa dalili tu.
@mtawasimbonde45622 жыл бұрын
Maashaallah mambo ya Nahwu.
@abdullahaji84212 жыл бұрын
اللهم ارنا الحق حقا ورزقنا التباعة
@Jumahally7 ай бұрын
Allah akulipe khery🎉🎉
@sultansaidsalehe38052 жыл бұрын
حفظك الله
@rosemery5422 жыл бұрын
Sheikh achana kuwajibu hao. Watu wamewaelewa. Unaheshimiwa wasikuharibie ibada Yako.
@zaburionlinetv62452 жыл бұрын
Wale ambao hatuna ushabik kwenye dini tumekuelewa na hakika umeongea usahihi Ila wale wenye ushabik kwenye dini hapo watajifanya Ni Vichwa ngumu
@daudsalafiy3004 Жыл бұрын
Mbona humalizi sauti ewe muhammad bachu
@user-sc3jc7nn3g6 ай бұрын
Ili iweje ss
@hafidhomar12712 жыл бұрын
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh, jamani Masheikh hebu sikizeni haya maneno kuna mama mmoja hajasoma dini utotoni na yy ni mskilizaji2 aliwahi kuwauliza Masheikh wawili suala moja la kidini, majibu yakapinzana huyu mama akaniulza kwa kusema " kwani QUR'AN zipo ngapi?" jamaniii Masheikh tusiouja tupo wengi hata kusoma QUR'AN hatujui sura chache mno tunazozijua, huyu mama ananiumiza maneno yake sababu majibu ya Masheikh wawili. Masheikh mtambue tunaosikiliza wengi hatujasoma mnatuacha dailema, MTUME (SAW) hayupo, nani atatufahamisha Allah na Mtume, jamani salama yetu ss kwa maneno kama ya huyu mama ipo wapi? 😰
@rahmahsaidomar91112 жыл бұрын
Mashekhe wetu mnajikosesha adabu na hadhi kwa kujibishana. Twataka mafunzo ila sio majibishano. Allah awaongoze nyote na sisi sote na atupe faida wala sio kukimbilia kundi hili au lile. Allah atujaalie nasi masomo ya kuelewa dini ili tukisomee tujielewee bila ufafanuzi wa huku au kule kwa kuwa twachanganikiwa hatujui kwa kwenda. Allah mustaan.
@harithsaid15672 жыл бұрын
Allah tuongoze
@allymuhamed72952 жыл бұрын
wepe mzee baba wape. Wanadhani wao ni kama maswahaba wanasahau kuwa wao ni wao na hawajakamilika pia yaani huyo hata mimi naweza kumsomesha tena vizuri Allah amswamehe.
@ismailhamis44282 жыл бұрын
Ww Muhammad bachu acha usenge mjinga sanaww
@ibrahimjumaa538 Жыл бұрын
Hii ni dini sio siasa usitumie matusi
@user-sc3jc7nn3g6 ай бұрын
Kk salafii hawapo hivyo
@abdul837813 күн бұрын
Laa haula Allah akuhidii
@sngrafx2 жыл бұрын
Mtihani sana vijana mnafatilia haya suala La manhaj ya Mtu libakie kwake kikubwa fikisheni Haki aliyotuachia Mtume wetu
@drabuuzaid11 Жыл бұрын
Haki ipi unayo ijua
@Abutwaibah0012 жыл бұрын
Allah akupe kila kheri akh mohamed nassor wallahi ume somesha somo zuri sana, na hao mahasidi waki selfie sio salafy allah awaongoze na hizo ndimi zao za chuki na sumu walizo katika akili zao.
@user-rt1bz7lk4s10 ай бұрын
Ama kweli mtume s.a.w hakukosea kusema Kila utakachokifanya Kwa mwenzako na wewe utafanyiwa ,Muhammad bachu wewe ni hodari kutukana watu kukufurisha maulamaa , ubayaa saivi umekurudia mwenyewe maana mawahabii wenzio wanakutukana na wewe saiv na hawakutambuii wallah ama kweli maneno ya mtume ni ya kweli kabisa
@ibnomar81442 жыл бұрын
Wa umbuwe kwa sababu elimu zao ni finyu kisha mazara yao kwa jami ni mengi zaidi Allah awaongoze kwenye ufahamu maana wamekuwa majiona niwajuku wa Rasurull'Allah swallalahu alayhi wa salam mbaya zaidi iyo yakuruka Ayah njoo imeni cost japo wenye kukoseya kwenye kiarabu tunawapa uzra maana sio lugha yao ila Ahsante
@kavumohemedi8712 жыл бұрын
shukran sheikh
@binseifalsuleimaniy5032 жыл бұрын
Dah alhamdulillah kiukwli raha sna dawa imefikaa hiyoo
@abdurashidinasorodini24 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@deathrow80042 жыл бұрын
NIMEKULEWA AKHYL KAREEM
@shanimpenike7568 Жыл бұрын
suokraan bachu okoa mioyo ya waabudia viumbe wanasumbua sana mtaan
@blacknature36912 жыл бұрын
Amesomea kimakosa kwakweli 😔 mwalimu lazima awe bora kuliko mwanafunzi
@user-ni6eu2hr8h Жыл бұрын
Maashaallah
@ahmedrageahmedrage91342 жыл бұрын
Mche Allah
@abuuyunusnassor44610 ай бұрын
Nimepata faida kwa hii video Alhamdulillah
@abdallahsaid1968 Жыл бұрын
Ao wengine nimegundua sio masalafi bali nikikundi kimetengenezwa kuja kuaribu akkida ya ahlsunna waljamaa Allah akulipe kher shekh bachu mtoto simba nasoro bachu
@issasaidi18122 жыл бұрын
Unakuwa mashuhuri kupitia kazi nzuri aloifanya baba yako .. Ila wewe speed yako mbaya na njia yako mbaya hutofanikiwa mdogo Wangu. Jirekebishe
@maraboutravel6158 Жыл бұрын
kwani wewe ndie mwenye kutoa ufanisi
@abdullahaji84212 жыл бұрын
وارنا الباطل باطلا ورزقنا اجتنابة
@abuufaatwimah99562 жыл бұрын
Hahaha Yan (kasuku wa Zanzibar) ukishikwa sehemu fulani unarukia sehemu fulani hakika (kitanda ulichokilalia kina chawa wengi) Yan masheikh zetu wana kazi kubwa sio ya kukujibu we. Wapo wanfunzi wao ndo wanakujibu
@alfaroukshabani64452 жыл бұрын
Masalaf wa kwel hawakuwaga na midomo michafu Kam ww,,sas tumebak kujinad ss n salaf,,,masalaf wa kwel walkuw wakiambiwa maneno mabaya na makfr huwajib kwa kwa maneno mazur
@abuufaatwimah99562 жыл бұрын
@@alfaroukshabani6445 unamjibu Mohammed Bachu (kasuku wa Zanzibar) au?. Make yy ndo ana mdomo mchafu kwa watu sawa na baba ake na anajiita salafi wa kweli Hahaha hyo n radd kwa kasuku wa Zanzibar ahsante sana Akhy kwa radd hyo
@user-sc3jc7nn3g6 ай бұрын
Ww sio salafii bli unenda walimu wko kupindukia
@abuufaatwimah99566 ай бұрын
@@user-sc3jc7nn3g ungeanza kwanza kujifunza kuandika kabla hujaanza kuko-comment mitandaoni
@mabablaz123 Жыл бұрын
Ukitaka tukuelewe waraddi masheikh wezako pia,na kisha uendelee na kuradd akina abuhashim na kasim tujue uko lillahi kielimu
@jumahabibu43438 ай бұрын
Kwani nynyi mashekhe wote si waislamu kwanini musipigiane simu kuelimishana na kutanabaishana kuliko kupigizana kelele mtandaoni,,,hii inasaidia nini kama si kuongeza chuki katika jamii.
@shabankabarisa8785 Жыл бұрын
Naomba jamani nambaza shehe bacyu tumpeda kwa ajiliya ALLAH. SABABU HABABAISHI.
@allymshamu51092 жыл бұрын
Qasim,,mjinga hajui nn faradhi kifaya,au laa anakichwa cha kuku anasahau nn kinasemwa na jadida mwenzake,
@kabochokabocho39262 жыл бұрын
Mimi shekh wangu nakukubali Sana ,nawanapambana nawewe hao majadida lakini hawana hoja yoyote ,projo zao mingi ,
@mbarakabdulkhalik49552 жыл бұрын
Wao wako katika dini ya haqq
@Modyb Жыл бұрын
Abdalaah Humeid na AbuHashim wapo kwenye Haqq. hizi zingine Allah atulinde na atujaalie mwisho mwema
@adenifuyuush49912 жыл бұрын
KWANI HAWA MASHEKH WAMEMFANYA NINI HUYU? HASA SHEKH ABDALLA... AU KISA ANASOMA QUR'AN NA SAUT YAKE MASHALLAH NZUR WATU WANAIPENDA. HATA AKISEMWA NA WENGINE WOTE DUNIAN. ATAMSEM TANGA SHEKH QASSIM MOMBAS ABUL KHATWAB NA ABUU HASHIM NA ZANZIBAR ABUU UMAYR. WAMEMFANYA NINI HAWA?
@jumamahmoud92712 жыл бұрын
Kwani ww hujui sababu wa mzozo huu
@muuhjunior3139 Жыл бұрын
Sema shekh Kama unapiga vijembe tuelekezane kwa usawa 😢
@user-uq5hu7tq5g6 ай бұрын
Maasha llah
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Mnajuwa nyie majadida Huyu muhammad bachu hamumuwez Kwa sababu anachokieleza Kina hoja na mantiki ndani yake Halafu ana dalili Anajuwa kujenga hoja mazbut Kaeni pembeni nyie Majadida
@youngdaddy30852 жыл бұрын
Kwa kweli hakuna aliyekamilika Allah atuhifadhi
@abouhafswa55802 жыл бұрын
Baaraka llahu fiyka yaa Akhiy
@mambohashim93462 жыл бұрын
Huelewi wewe sijui unashida gani,ALLLAH akuongoze
@sultansaidsalehe38052 жыл бұрын
Unaweza ukanionesha pale ambapo haelewi kutokana na hayo mazungumzo hapo au ndo chuki na ushabiki umekujaa
@swalehemusakiluwa94052 жыл бұрын
@@sultansaidsalehe3805 yule mtu karadiwa kwa kusema vitabu ni vilevile na masheikh ni walewale halafu akataja mf sharti za kalimatu ttauhid Ndio sheikh abuu haashim akasema hayo maneno ni maneno ya kihizbi
@salimabdallah51769 ай бұрын
Wapi shekh MTUME ALIKULA UROJO TUPE USHAHIDI
@user-sc3jc7nn3g6 ай бұрын
Ww mjing
@munnihussein93522 жыл бұрын
jamani huu mda wa kuzozana na kurekebishana SI ni kama kupoteza mda ....mda huu wote ungeongea kuhusu tawhid kumpwekesha Allah tungefaidika zaidi!!! au ilm yoyte itakayonufaisha umma wanaokuangalia ktk ulimwengu
@sahimtourstravel2156 Жыл бұрын
Acha ujinga mpuuzi wew Mudy kujifanya unajua sn kenge wew utawabubusa hao wapuuzi wenzio. Nasour Bachu alikua na elim zaid yako kenge wew na hakufikia kejeli hiyo mpuuzi wee. Na huna ambach unakipata kwa ALLAH kwasababu huna hekima katika uislam mpuuz wew
@midohamsik7613 Жыл бұрын
Mbona matusi? Si ni nyinyi mlikata kumpa udru kwa kuteleza ktk lugha. Lengo lake ni kukufahamisha kwamba yeyote anaeza kosea na kutafuta makosa ktk hayo ni kutokuwa na hoja
@farijala110 ай бұрын
Leo BWANA BACHU NAWE UMEKOSEA. BADALA YA SAAD UNAANDIKA SIN. PUNGUZA UJUAJI HAPA ULIJIFANYA UNAWAKOSOA ,ASHEIKH LEO KWENYE MUNAQQSHA MOMBASA SAKINA ZILIKUWA KOMESHA KABISA
@user-sc3jc7nn3g6 ай бұрын
Ndio kakosea lkn hwa ndio walio mkosoa alipokosea hv na yy anawaonesha kukosea kwa mwandm kawaida
@mussamsuya8595 Жыл бұрын
Mwenzio kahifadhi aya wew na bichwa lako siungehifadh na ww
@calmness44032 жыл бұрын
Toa makosa ya tawheed.
@alhabib98742 жыл бұрын
katika sh ninaemkubali huyu Wallah lkn wamemchokoza wenyewe