Baba umewanyosha Wanaume wanaotelekeza watoto. Mwenyezi Mungu akubariki sana tena sana Makonda Makonda Baba Mwenyezi Mungu Akulipe
@angelakundi10596 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa hili.
@emanuelngusa81616 жыл бұрын
hongera sana mkuu wamkoa kwa jitihada zako, mh. makonda
@dorahmathias54766 жыл бұрын
Asante makonda piga kaz baba Mungu atakuwezesha
@navoneiwamgonja90106 жыл бұрын
Mungu akubariki ufanikishe ndoto zako
@mamyabdalah8856 жыл бұрын
Asante sana mkuu mungu akubariki sana
@marwaiboroshaisombe63046 жыл бұрын
mungu akuongezee ujasili wazidi kuuliza unautoa hwezi kktotoresha wanawake Kama vifaranga alaf klea hataki
@danielbugwema69696 жыл бұрын
Hata nakuja nimetelekezwa Mkuu maana hata mama zetu wametufanya tuonekani mayatima
@henrykulwa66596 жыл бұрын
Asante makonda
@dr.erickjmazyala89056 жыл бұрын
Makonda Mungu akujarie mafunuo zaidi! Mpaka vidume tuwe makini kutekeleza majukumu yetu!
@AliM-di8dz6 жыл бұрын
Yaani wewe unafanya vitu vimekuzidi umri Wako, mungu awe nawe milele nakupenda sana
@joasalfred45036 жыл бұрын
Daaaaa.......wewe ni kiongozi wa namna ya pekee,piga kazi mkuu na Mungu akutetee akupe uzima tele na hekma na nguvu za kuendelea kuchapa kazi.
@masungakasanda35756 жыл бұрын
kwa kweli makonda chapa kazi maana kwenye jambo zuriii vipangimizi haziishi
@mamyabdalah8856 жыл бұрын
Yani nakupenda makonda mpaka naumwa mungu akubariki sana
@dinakidai41186 жыл бұрын
yaaani Mungu akutunzeer
@MarsUk-cg1gq6 жыл бұрын
Vumilia na yote wanayo kukashifu kiukweli haifai KWA binadam kwani wao walio zaa na wakawatupa mahodari Sana mungu anaweza kuwanyanya na wakawa hawana hao watoto washenzi Sana tumewachoka kabisa
@stevenmsaaada.msaada.3896 жыл бұрын
Uyu jamaa mungu amzidishie sana.
@AliM-di8dz6 жыл бұрын
Wewe ni mti Wa matunda mengi na nimatamu mno , mawe lazima utapigwa , vumilia mungu yupamoja sanaudikate tamaa.
@ednagagur75226 жыл бұрын
Ali M1966 àà8
@سلمىسيف-غ7خ6 жыл бұрын
Hongera sana kaka nipo oman ningeungana naww maana nimetelekezewa mtoto pia nimefurahi sana kwakulitambua Hilo jukumu Mungu ibariki Tanzania
@shamsaismail77076 жыл бұрын
سلمى سيف Mungu akubariki Makonda na akuzidishie Afya njema Akulinde na kila baya (IN-SHAA-ALLAH )
@wazirihongo37616 жыл бұрын
سلمى سيف ي سلمي تقوآله
@japhetsamwelmangala82246 жыл бұрын
fanya kazi kaka usitazame sura za watu
@dianahamischi34176 жыл бұрын
سلمى سيفnambie dada uko oman sehem gan
@leilainnocent65326 жыл бұрын
Barikiwa sana Makonda.
@wilsonkaseha20346 жыл бұрын
Yes dude! Piga kazi bruh!
@blandinamwarabu50256 жыл бұрын
We Makonda fanya kazi tu kwani wanaume wamezidi kutelekeza watoto watakaokuwa wanalalamika hajafikwa
@victorsolomon21406 жыл бұрын
Big up sana makonda.
@abuuhafsah96306 жыл бұрын
makonda kweli were nice fundi....
@zainabualtz14556 жыл бұрын
😃😃😃😃😃 wambiee haoo Mungu akulinde kaka ata yesu alitukanwa sembuse ww
@fortunatamfinanga2876 жыл бұрын
Kaziii nzuriiiiiiii
@leilainnocent65326 жыл бұрын
Hata Yesu alitukanwa usiwaangalie hao wadhaifu.
@saidsaid94636 жыл бұрын
Hapo sawa watajielewa
@saidsaid94636 жыл бұрын
Augustine Mhangazo hivyohvyo mh pongezi kwako
@mayungakidoyayi95666 жыл бұрын
Wewe ni jembe piga kazi usigeuke nyuma utakua jiwe songa mbele
@emanuelmlowe68546 жыл бұрын
Viongozi wanatakiwa kuwa kama makonda mbunifu sana, wabuni mbinu mbali mbali kutatua matatizo ya wananchi
@samsonmwaipwisi3136 жыл бұрын
Emanuel Mlowe Hakuna kiongozi hapo
@geoffrieymollel21786 жыл бұрын
Makonda sio karma anabuni mambo haha, la hasha duniani kote Kuna sheria ya haki ya mtoto kulelewa na baba na mama awe hawara mchepuko au wa ndoa. Huko Ktk nchi zingine inaitwa " child support" tena kwa taarifa ni kwamba, kama baba unafanya kazi serikali inakata mkwanja huko huko , wewe unapewa taarifa tu. Good job Makonda , chapa kazi .
@MarsUk-cg1gq6 жыл бұрын
Makonda furahi tuu usijali tupo na wewe Kaka moendwa tunakupenda Sana na utalipwa na mungu unayo huzuni Ila unafuraha Sana moyoni mwako
@hamidajuma78046 жыл бұрын
Anaekubeza hana hakili hata kidogo. Mwenyezi Mungu akuzidishie. wewe ni Jembe Kabisa. Rais magufuli Hajakosea kukuchagua. Tena wewe Umeletwa Mwenyezi Mungu Aje kutetea wanyonge. Abalikiwe Rais magufuli kukuchagua uwe mkuu wa mkoa wetu. wewe nijembe tuu.
@AdamSaffi211 Жыл бұрын
We miss you! What did he do to be dumped like that.
@stevenjackson15826 жыл бұрын
Mr makonda endelea kushika msimamo huo kwa ustawi WA taifa letu akina mama wakiwa na furaha nchi yetu itakuwa na amani akina mama wakiwa na hasira hakuna amani ya kweli.
@merymrema4206 жыл бұрын
MUNGU akuwezeshe makonda
@ibrahimwerejuma48166 жыл бұрын
Watanzania mimi ni mkenya lakini nawaomba baada ya rais Magufuli kumaliza muhula wake naomba uchaguzi ujao muidhinishe huyu makonda awe rais wa tanzania.
@matobholwamanonu59196 жыл бұрын
Hivi wale walikuwa wanampinga makonda itakuwa wanamichepuka sana....
@tedisangaa88866 жыл бұрын
Watu wanakazana kuwa wanaume wanatelekeza watoto nao Dada zetu wamezidi kuvuvua