Ally Kamwe upo vizuri sana the way unavyojua kupangilia nini uongee , nini usiongee , kiufupi hukurupuki hongera sana
@salemarahbi91713 ай бұрын
Ki ukweli mm huwa pia nafurahi Ally Kamwe anajua kujera na jambo lake haliishii mapema😂😂😂😂😂
@GeorgeKifaru3 ай бұрын
Mungu Akubariki sana m/ kiti wa wasemaji Afrika
@SylvesterKameo3 ай бұрын
Hongera sana Ally Kamwe nacwanachama wa Tawi la Kimara stop over! Mi ni mwanachama, naomba namba ya mawasiliano ya Idara ya masoko, kwani nimelipia ada ya mwaka huu pasipo mrejesho!
@fatmaomar83353 ай бұрын
Yanga bingwa inshaallah daima mbele nyuma mwiko kazi iendelee💚💚💛💛🤲🤲🙏
@HamisiJafari-p5z3 ай бұрын
Hongera sana ally kamwe kazi nzuri kwenye team yetu hii tunakukubali😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@rukiakyaka18273 ай бұрын
Alhamndulilah M/Mungu kwakumuwezesha uwezo Kijana wetu Mashaallah
@rehemamahendeka-rm2ek3 ай бұрын
Chanda chema huvikwa pete,endelea kula raha kjn wetu Ally S.Kamwe,hayo ndio matunda ya ufanic wa kazi bora kwa Yanga yetu,SUPU YA KUKU WA KIENYEJI ni tamu hadi jino la gego,Mungu akulinde na maadui,Amin !
APEWE MAUA YAKE.. NA MUNGU AMUJALIE. AFYA NJEMA NA FURAHA NDANI YA MOYO WAKE TUNAMUOMBEA DUA NJEMA. FIDUNIYA. FILIAKHERA. ALLAHU MA'AMIINA 👏👏👏👏👏👏🇴🇲🇴🇲🇴🇲💛💚💛💚
@odaseston3 ай бұрын
Wa kwanza kucomment naomba likes😢
@hassankunjayo6263 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉k Tunakukubali sanaaaaaaaa semaji
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Daima mbele nyuma 🎉🎉🎉🎉
@eliasthomas15473 ай бұрын
Msemaji kama msemaji❤.
@AminoKhalif3 ай бұрын
Ali kamwe kijana mdogo mwenye Akili nyingi mungu akulinde bro ❤❤❤❤
@Madam-r5j3 ай бұрын
Nalipenda sana chama langu
@dicksonletunyo3 ай бұрын
Yanga kunoga💚
@amaniomar17553 ай бұрын
Mwenyekiti huna baya 🎉🎉🎉
@EmmanuelLundindi3 ай бұрын
Yanga bingwaa
@ypdsitv3 ай бұрын
Congratulations Ally Kamwe we are proud of you
@lumistarboy84993 ай бұрын
Eti kama unavyoona kwenye mechi tusipo funga watafinga wao alafu sisi tunashangilia😅😅😂😂
@mwajumampokileomckapela75413 ай бұрын
Safi sana ali anafanya kazi nzuri ✅✅✅🖤🖤🖤🖤💛💛💛
@AshaChilumba-f1l3 ай бұрын
Weuweeeeeeee endelea kunywa supu wangine kodowen👀
@IsendimagembekinandaIsen-xd5vy3 ай бұрын
Yanga ni timu bora sanaa nchi hii haikupata kutokea hapa Tanzania
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Ali kamwe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Alikamwe 🎉🎉🎉🎉
@samweledward76643 ай бұрын
Yanga Bingwa ✅
@AminaTanzania3 ай бұрын
Wakereeeeeee makolooooo mtajijuuuuu😂😂😂
@Masengo-su3mf3 ай бұрын
A howeee ahende tanga watulivu mm mcongo tanga watulivu jiko lazima mungu awe nawe man
@naliakafatuma98703 ай бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana kwenu nyote kazi njema kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
@ChenchiKing3 ай бұрын
Yanga Raha Jamani💛💚💛💚
@NuratyAthumani-sx5il3 ай бұрын
Yanga bingwa
@MalinoKadwame-u1c3 ай бұрын
Yangs for ever
@stapinuswilliam3 ай бұрын
Masimango day❤❤❤
@salomemahenge79353 ай бұрын
Hongeleni sana mashabiki hakika tumpende msemaji wetu
@BullahSambiga3 ай бұрын
Omary shangaz angu hongera kwa hilo uyo kuku umemchukua kwa kaka momary nn mie bulla tumetupana sana
@petpaulgeneral26273 ай бұрын
Hongereni sana viongozi ❤🎉🎉
@Mariejo123-g2x3 ай бұрын
Ally kamwe kiboko ya watoto wa Mudi.
@nolethaKidava3 ай бұрын
rudini nyumban kumenoga💚💚💚💚💛💛💛💛
@yuzomaneno3 ай бұрын
Wapili like zenu wadau YANGA bingwa 🙏🙏🎉🙌
@IsacManuel-b4y3 ай бұрын
Aly kamwe huko vzuri
@Sumaiyafisoo3 ай бұрын
Mwenyekiti wa wa semaji 🎉🎉🎉🎉🎉
@tausmwimbula18883 ай бұрын
Ally unakera sana, ulikuwa wapi siku mwanzo
@magrethshishwa54813 ай бұрын
Weeeeeuuuweee💚💛💚💛💚
@anisiaarchard3 ай бұрын
Ahsante! Wanetu ❤❤❤
@athumanishabani11433 ай бұрын
Mashaallah
@shaibusaady24203 ай бұрын
Allaah Akbar
@HamisiJafari-p5z3 ай бұрын
Yanga mbele nyuma mwiko
@lumistarboy84993 ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko 😅😅😅
@wimranpatrick3 ай бұрын
ni mechi ya 2 bro presidento babalao
@athumaninyituki70113 ай бұрын
Yangaaaa
@JanethJuma-sv5pm3 ай бұрын
Ally nakupenda bure semaji letu
@Najima-r6r3 ай бұрын
Semaji letu likanywe supu linoe Koo tunakupenda semaji 😂😂
@SalvatoryMtunga3 ай бұрын
Ally kamwee endelea kuwakera hao wazee mpaka waweweseke na kuzirahi.
@sosomacharles99203 ай бұрын
Supu ya kuku,tukirudi Dar itanyweka pale Jangwani
@GalaxyA-yw7eg3 ай бұрын
💚💛💚💛💚💛😊🤗
@rajabrwambow96603 ай бұрын
Hiv Jane kishay kahamia wasafi au maana Simuon siku hiz
@AminaTanzania3 ай бұрын
Makolo munaonaaaaaa
@hossianamarcko-g6u3 ай бұрын
hao majogoo ukale na wachezaji jamani
@OmaryMajivuno3 ай бұрын
❤❤❤❤ good 👍👍👍👍
@raphaelkessy73603 ай бұрын
😂👍💛💚💛💚🔥 GOLI Moja Jogoo Mbili👍 😂😂😂😂
@Mariejo123-g2x3 ай бұрын
Simba mnachukia mambo ya utani, yanga tulitulia miaka mingi mlipokuwa mnatufunga. Simba yanga utani wa maisha hakuna kukimbia tengenezeni timu