Thanks you so much my friend UNAONGEA ukweli kabisa Sasa Congo Ayo ni MUNGU tu 😢
@TchikomaLazar2 ай бұрын
vizuri kaka niko goma
@SardouMutund2 ай бұрын
Merci pour la revelation
@BlaiseLwamba2 ай бұрын
Toka kalemie Tanganyika mimi ni Blaise, aksanti sana ndugu Omari.
@JulesMusangila2 ай бұрын
Félicitations uko naongea kueli buana unaonekana kueli ukona utshungu wa intshi kueli munge patikana watu hâta kumi kamawewe Ndani yamuji hu kemi ingekuwa muzuri merci
@deokoyantarugera2 ай бұрын
Ahsante bwana! Maongezi mazuri saana! Vive Tanganika tv
@emmanuelamonique73082 ай бұрын
Bon sujet monsieur les journalistes
@mulondalwessorocky2 ай бұрын
Kwa kweli mpendwa unayosema ni kweli
@ElishaMunguakonkwa2 ай бұрын
Hiyo ni kweli mpendwa muzalendo mwenzangu
@SaidNgozi2 ай бұрын
Brother Abari za Asubuhi unacho zungumza niukweli mtupu pamajo nakua kiswahili kinakusumbua Ila unaongea point, kabisa chamsingi D.R.C hamna Uongozi,kiongozi kama yule hana xifa yakua Rais.pole xana Ila Uwe Makini maana Ukweli wako Unaweza kukuponza kwenye serekali kama hiyo ya najambazi Ahsante
@odettekamanzi48422 ай бұрын
Asante sana. Naomba wa souscribers wakjfawate. Uko na analyse nzuri sana.
@African_0012 ай бұрын
Asante sana ndugu yangu alakini nina swali moja ba Congolese habaone kama inatosha kuwa muaiyi maisha
@Kulimagolddrc2 ай бұрын
Asante sana ndugu blaise
@MichelOmbaOKITO2 ай бұрын
MERCI SAANA NAZAIDI
@alimasikambale75292 ай бұрын
Merci beaucoup
@BinMasengo2 ай бұрын
Hayo ndiyo masungumuzo yanahofunvuwa vichwa.Endeleya mwanainchi
@uviranyumbani2 ай бұрын
Merci sana bro vraiment ivi pouvoire ya ba tchilombo iko na ma problems sana
@MutulaSafari2 ай бұрын
@@uviranyumbani Auwezi ji uliza kwanini aongelei kuusu Joseph kabila alie changanya Maskari wa Rwanda 🇷🇼 na wakongo? Huyo jamaa anaongea kama vile ni wale waliletwa na Na Mzee laurant
@hudumablack93392 ай бұрын
Pamoja sana brother 🙏
@NshamambaEvariste2 ай бұрын
Nakukubali Ku masemo Yako!
@odettekamanzi48422 ай бұрын
Aksanti sana. Unasema vizuri sana
@lambertlundambo51962 ай бұрын
Jambo ndugu , Ni mefurahi sana na kipindi chako ya leo, ivi na kuwa abonné kwako. Yote unasema ni ukweli, na sema asanti sana na kazi unafanya.
@felixmkl38512 ай бұрын
Siasa ya uwongo kwa niaba ya wananchi ni ukorofi, usaliti mkubwa sana...✓😎
@UzimaMuside2 ай бұрын
Bwana mutangazaji tunakushuku kwakutu ambia ukweli président wetu anajuwa Copé iyi
@PatchoKulu2 ай бұрын
Una sema vizuri sana kabisa.
@JordanMurara2 ай бұрын
He speak the truth about this gouvernement
@mbonihankuyeclaudemichel70192 ай бұрын
hii ndio mala yangu ya kwanza kukusikia na umeongea vizuli sana! watu wa eastern congo ( nord kivu na sud kivu) musipojitetea hakuna mtu atakuja kuwatetea! mupe support wazalendo alafu nawo wapige m23 bila kusikia maagizo kutoka kinshasa! au moins tusikie nord kivu na sud kivu inaongozwa na wazalendo kuliko kusikia ati inaongozwa na m23. kulialia mbere ya inchi zingine haitasaidia kwasababu hakuna mtu anaitaji machonzi yenu! pale watu wanaweza wasaidia ni burundi pekeake kwasababu hatuwezi kubali m23 isogereye mipaka yetu! kama mtu amevamia ardi (territoire) yako, hakuna mambo za kuomba ruhusa ati marekani ama UN. mupige kabisa alafu nae akisikia kichapo ataenda kushitaki!!
@NshamambaEvariste2 ай бұрын
Vos analyses son fondées!
@ndayishimiyejean62622 ай бұрын
Mukongomanii anaonaonambali nakuombeya maisha marefu
@stephanengongo77442 ай бұрын
Mara yangu ya kwanza kukufata aksanti sana ndugu yangu kazana vilevile na mungu akulinde
@EustacheBikari2 ай бұрын
Hiyo ni kweli hatuna president kbs haangaliye interet za population mawazo yake nisawa ya president waburundi wa congomani tusimame tuseme hatuna president nikupola tu
@BarazaFaraypapy2 ай бұрын
Bro nimekupenda sana jikaze Wende soma mu Russie wenda putine anaweza kusaidia ukarudia kutengeneza inchi
@RushimishaBienvenu2 ай бұрын
Merci beaucoup courage
@alainkiza97332 ай бұрын
Salute mzee kwa uchambuzi
@MazimpakaJeanmare2 ай бұрын
Usichoke enderea kuwafundisha wacongomani mwisho wataerewa
@DoksJules0042 ай бұрын
Jambo ndugu ni mara ya kwanza kikufata mungu akubariki.
Wakongomani hawajui siasa na kama wanajua , si wazalendo Pia kuongoza nchi sio hadi usome sana no waweza kuwa na elimu kidogo na ukaongoza watu isipokuwa ni kuwa mzalendo
@NsamambaKisenge2 ай бұрын
Wewe mwongo, n'a uchambuzi Yako,
@levimukwiza15822 ай бұрын
Inchi inaenda Vibaya chambo yako mon fils Jounaliste.
@kasongoJacques-ee2je2 ай бұрын
Soyez patriote soyez congolais
@Patrick-n2u2 ай бұрын
Duuuh!! Mnamitiani wacongo tatizo kila mmoja anajiangalia kibinafsi
@mrhayaaa41942 ай бұрын
ni macozi kwangu!! what a waste of useless leaders.
@MunangakayotoAmuri2 ай бұрын
Akanti ndugu yangu, maonyi yako niya lazima kwa wa ngongomani wote.
@mbayomaiko2 ай бұрын
Niwambie kitu ndungu zangu wote mnao fuata hii taharifa kagame alifanya kazi kubwa sana pamoja na wamarecani ili kutuendesha kwatahari zauwongo unajuwa kwamba ukitaka kumuhuwa mbwa wako mpe jina mbaya ndo kazi wanayo fanya kwa ajili ya Tchisekedituweni makini ungekuwepo pale leo ungekuwa tayari wamesha kukata kichwa bro
@Kulimagolddrc2 ай бұрын
Kuma ya mama yako
@mbayomaiko2 ай бұрын
@@Kulimagolddrc bro najuwa wewe ni mnyarwanda nahongrlea waKongo wenzangu atakae nielewa atajuwa nacho kisema kwahiyo wewe kama unakuja kijifanya matusi kwakuwa wewe ni mnyaranda broo aunisumbui ninachojuwa mimi siko marecani bure udongo huo paka damu yamwisho ndo atapitikana mshindi
@sebihogoChristophe2 ай бұрын
Unasema ukweli baba
@PalukuRigobertKanzokolo2 ай бұрын
Akili timamu unayo ndungu.Ufafanuzi ni Bora .
@djumaadrien27932 ай бұрын
🎉
@opangobrunoduciel61522 ай бұрын
Uyo diama onaongeya lakini Nanga action anafanya ju inamutia kama m23 because the friend of your enemy is your enemy.
@sendeesupriydewoochiagaliy74742 ай бұрын
Viogonzi wa Congomani ni vibaraka Vijana amukeni!!!
@AbasiNazo2 ай бұрын
Mipaka haifungwi kwasababu serekali haijuwi kama kun a vita
@uwimanaissa87552 ай бұрын
Tribalisme , corruption , nepotisme njo binaua Congo .
@NtahoZuberi2 ай бұрын
Tupekweli omari traore nipe nambazako nitume ukuu wa africa
@SaidNgozi2 ай бұрын
Jamaa nimfanyakazi,kwajina lingine nikibaraka wa wazungu yey,kgme,na m7 wote ni Magang,star niwezi
@ratohabi64592 ай бұрын
Mukubali kabila la banyarwanda kama ni raia ya DRC kama bengine. Matatizo itaisha.
@dollarskatembobob88962 ай бұрын
Nimekubaliana nawe moja kwa moja mwamba.
@alainkiza97332 ай бұрын
Ba kinoit banatuitaka sie ba Kivu tuko ba Rwandes main isingelikuwa bazalendo kama Congo ilasha enda
@AlbertKAGANDALUSHUMBA2 ай бұрын
Il faudrait que la Diaspora congolaise depose une plainte vs Felix Antoine tshisekedi tshilombo pout enrichissement illicite, Detournements et assassinats des congolais.
@NyakuzaYolande2 ай бұрын
Sasa ile mafuta wana chimbula wapi?
@Kulimagolddrc2 ай бұрын
Ziwa albert
@lwangacharles75142 ай бұрын
Mutafungua maco siku gani ? FDLR muna iweka kwenu na interet gni???
@kasongoJacques-ee2je2 ай бұрын
Ukufunga Batu y'a Goma baata kufa
@danielaugustin27542 ай бұрын
Shida ni kwamba, kuko udhaifu wa wafanya siasa wa Congo, akuna wa kumwambia Felix moja, mbili uachie madaraka(demissioner).
@NdayishimiyeJacques-e6z2 ай бұрын
Nisirigani?
@PacifiqueKulondwa2 ай бұрын
Basi afanye nini yeye mwizi mukubwa,aliiba kura zake fayulu Martin, inchi gani duniani kura za ucaguzi zidumu jumaa pia vyombo viketi nyumbani mwa mutu?
@alphavet69122 ай бұрын
Speculations
@LumumbaRemy2 ай бұрын
Nilibambiaka systeme Kilombo ndi anatumalizaka. Wote ni wa AFC/M23 na Felix ndie kiyongozi wawo.
@degratiasse2 ай бұрын
Unastahili ile poste, sasa kule kwenu kinshasa munaikaliya kuongeya alakini hakukuwake réaction, sisi tuko nateseka uku ku EST ya RDC. Mushaka shindwa kutshuka ku barabara nakusema NON et STOP kwa vita ambaye iko napitika uku kwetu ku EST?
@alphavet69122 ай бұрын
Chisekedi... Kwanini hataki kuzungumza na waasi wakati hao waasi Wana nguvu za kijeshi.kulko yeye.?? Je anangojea washike nchi yote ???
@MutulaSafari2 ай бұрын
Wewe ni zaidi ya mchawi
@Kulimagolddrc2 ай бұрын
👊🏻
@delphinmartial072 ай бұрын
Usiongelee mambo ya Congo kama hauko emo
@levimukwiza15822 ай бұрын
Ça fait 64 ans Conco inajitawala. Hatuna balabala hatuna masomo hatuna Courant hatuna maji hatuna meandered yoyote. Lakini wimbo tu ni RWANDA INATUVAMIA. Tribalisme inapita kipimo srt à L'EST du pays. Tosha blancketi ku macho yenu tujenge nchi kwa umoja ndipo tutapata maendeleo.
@JeromeMunyangeyo2 ай бұрын
Kisengiti anatumikia mumakwapa yakangame na museveni nakabila enibi kubuka hiyi nipronglama minanfasa nonasisi wacongo mani natukolona kuyungands na Rawanda mwanzo nikabila kisengeti ni photo
@Lavieka2 ай бұрын
Kwa nini, haku sema hapo mbele, kwa sababu hana tena madaraka anapenda sasa tukubali nini hapo… 2028 njo final.
@JeanBaraka-pu5xo2 ай бұрын
nikweli.ndugu.njovile.serekali.ya.bwizi.tu
@jafaricharles29752 ай бұрын
Unasema kueli kabisa kabisa
@KB-rd9vg2 ай бұрын
🛑🛑🛑Ukweri kabisa. Hatuna President
@JeromeMunyangeyo2 ай бұрын
Pronglame mafuta ya unganda kubuka vitayeyi irikuwandemirisisi kwenye bahali turiunjishewa nakabila kubu barimarizishindazawa zamafuta ndiyo hauwaziku njuamambo ya mafuta iranimunca waripangakuchezza unganda ndiyo inantese congo ndiyokwenyi vitairitokeya
@lwambafataki58802 ай бұрын
Je, siku ambayo utakuja kuelewa ukweli kwamba serekali kumbe haikuweza kufanya makubaliano na AFC ya akina Naanga utasimama na kutuambia kuwa kwakweli ulikuwa uwongo?
@didierilombe55722 ай бұрын
Kweni wewe kwa akili yako unahona que inchi iko ina henda pazuri? Ao ni mateso tu . Kwani falix iko na tengeneza inchi ao kina bomowa inchi. Santiment ita watesa . Mutakufa hivyo hivyo katika mateso.😅
@JeromeMunyangeyo2 ай бұрын
Pronglame mafuta ya unganda kubuka vitayeyi irikuwandemirisisi kwenye bahali turiunjishewa nakabila kubu barimarizishindazawa zamafuta ndiyo hauwaziku njuamambo ya mafuta iranimunca waripangakuchezza
@adolphyamin12452 ай бұрын
Il y a la diplomatie qui est privilégiée dans cette agression injuste du Rwanda sur la RDC, joseph Kabila ndiye mtu pekee ambaye aliacha inchi katika mikono ya Rwanda (accord 2009 confirmé en 2013) ndio maana Colonel Mamadou aliuawa kusudi aache kupiga m23 sababu accord ilikuwa tayari kati ya Kabila na Rwanda. Tshisekedi alikiuka zile accord ndo sababu m23 walianza vita tena sababu Tshisekedi aliamuwa kupinga accord za Kabila na Rwanda anataka ku libéré inchi par les solutions diplomatiques ndomana iko pole pole sana. Iyi chaîne iko naongelea Tshisekedi vibaya lakini tatizo ya Congo sio tatizo ya Burkina Faso wala Mali... Kabla yakulaumu raisi tujifunze kujua Congo iko na tatizo gani na ilianza wakati gani
@buregeyaahadi14012 ай бұрын
Swali yangu ni FAIDA GANI ITAKAYO LETWA NA M23 MU CONGO YETU