Dokiter. Mungu. Akulinde. Utaokoa. Watanzania. Wengi
@GilbertGombeye10 ай бұрын
Mama Samia tusaidie mpe ushirikiano mpe kazi ndugu yan gu Msigwa awe waziri wa afya
@JosephJulus-wi6xy4 ай бұрын
Hyo dawa inapatikana kwa Gani
@AnathIssa11 күн бұрын
Emwenyezi mungu mlinde huyu kwa msaada halio huleta nchini mungu tusaidie
@shhjab36218 сағат бұрын
Na nchi jirani zinapatikana wapi?
@BUYEGILAZARO-dx5ug Жыл бұрын
Hongera nimekusoma,,
@AminaDesgner2 ай бұрын
Munguakulinde
@jaydjuma8255 Жыл бұрын
Lakini jamani Africa sis tunalana gani lakini mbona maisha yetu Yana zidi kuzorota sana day by day kisa ubinafsi sana watu wanateketea na watu mpo
@sarahkinyashi62133 күн бұрын
Nahitaji kukuona 🙏🙏🙏
@SalviusLupenza11 ай бұрын
Mungu akulinde Mr msigwa
@wilsonslaa55337 ай бұрын
Mungu akusaidie San uendelee ivo ivo
@StephanoWiliam-oy5bz8 ай бұрын
Namba brother
@dn.n4983 Жыл бұрын
Be bless kaka usife moyo kama unsitaji clincl mororogo nitakuoa bei nafuu kabisa weka simu nitakupigia
@masalachifumbo389 Жыл бұрын
Musigwa ijtahidi dawa yoko saidia watu wapone mambo haha magu biyashala ya dunia watu watalala bila kula
@MackHd-u2r10 ай бұрын
Mungu akubarik
@NuruBakari-w7l3 ай бұрын
Hiyo dawa angeigundua mzungu wala kusingekuwa na kikwazo lakini mwafrika mmmm tutakapotoa taarifa ulimwenguni tunaogopa tutakosa missada kwa hisani ya mareka lakin inshallah tunazidi kumuomba mw MUNGU atie wepesi kwa hilo
@reubenjoram96758 ай бұрын
Hongera sana tumechoka nahisi hali
@FrancineLuciaAssaniАй бұрын
Jambo ukweli nime kubali somo lako
@ElizabethNdalahwa-x5n11 ай бұрын
Mnaomponda huyu tr ndo mabarozi wa vvu mnatetea matumbo yenu mnafulahia watu wateseke dawa isipatkane na mungu amekataa kamleta huyo kuikomboa dunia.
@DeborahElias-qr7gu17 күн бұрын
Nitumie namba
@mildredsophia7122 Жыл бұрын
May God preserve you for us. Kuna watu wengi wanatumia HIV kama kitega uchumi na hawataki tiba ipatikane.
@habibahamisi23674 ай бұрын
Dr,selikali hautakubali kukutangaza kwasabababu hawana uchungu na watu wao,lengo lao nikuua nguvu kazi basi wasaidie watanzania toa namba za sim wananchi wanakuelewa,
Siasa za magharibi na Africa hakuna ni binu na lugha ya biashara. Magharibi watu wafa bona wapinge maarifa kama inamanufaa. Karanga ni lugha ya kudharau kazi ya wengine, toa yako Bure zifanye kazi basi biashara itanoga.
@lilianimachumi45089 ай бұрын
Mungu asaidie
@aloyceiluminata3650 Жыл бұрын
Huyu asipoangalia watamuua...ukimwi au virusi vya HIV vilitengenzwa na wamarekani ni biological weapons...lengo ni kupunguza watu ila pili lengo ni kupiga pesa!!!!kuwa makini doctor
@MariaIddy-gg9zf Жыл бұрын
Kaka nakuomba kwa mungu uishi milele na mungu akutangulie jamani
@MariaIddy-gg9zf Жыл бұрын
Kaka nakuomba kwa mungu uishi milele na mungu akutangulie jamani
@MacrinaMtunguja Жыл бұрын
Kaka naomba namba
@Paskalinaakonaay Жыл бұрын
Mungu akutunze sanaa
@geofreymulei56959 ай бұрын
Wacha kujianika bro watakuua
@rehemasuwedi76538 ай бұрын
Toa tiba watu wapone mungu hamekuonyesha husaidie
@SubiraMgelwa8 ай бұрын
Dr.naomba namba
@AnnaNdimbo3 ай бұрын
Naomba namb yk plz
@GilbertGombeye10 ай бұрын
Angalia ndugu yangu Msigwa wasije wakakupoteza maana wazungu ni waongo sana mitishamba ndio dawa Bora duniani
@isaacashel332810 ай бұрын
😢jaman tupeni hiyo vvu inatesa atali kwakweli
@kamugishaurban1995 Жыл бұрын
dokita je una hospitar yako?
@UmutuTz10 ай бұрын
Tunahitaji namba
@ErickMasika-zf2xxАй бұрын
Naomb namb yako plz na maswalii na ww
@abuumitema548 Жыл бұрын
Krinic yako iko wapi
@BabdulyZaharani-en9br7 ай бұрын
Namba zako
@ErickMasika-zf2xxАй бұрын
Unapatikana wp
@mamaafrica-kq6ni7 ай бұрын
Unapatikana wp doctor
@hashimuShaidu3 ай бұрын
Mwenyezi mungu akuwekee wepesi ktk hili.igekuwa vzr sana ukatoa na namba zako za cm na kituo ambacho unapatikana
@RenaldaZeramula Жыл бұрын
Njaa mbaya
@samwelkulagwa8615 ай бұрын
Nitakuwa balozi wako Dr.
@habibahamisi23674 ай бұрын
Eeh mungu baba mlinde huyu kiumbe wako na watu wenye chuki na binadam wa tanzania,Tr tunakuamini ila toa namba
@kamugishaurban1995 Жыл бұрын
dawa yako inapatikana wapi ? nasikia inatibu presha baba.
@Kanga-pu6yl3 ай бұрын
Bona Kwa KZbin yake hakuna comments hata mmoja Kwa jambo la hatari kama vvu. Hapa comments kibao hakuna kufuta.
@trophywilson7211Ай бұрын
iko wapi you tube yake??
@peteremanuel80223 ай бұрын
Mbona hujaanza kutibu sasa?
@trophywilson7211Ай бұрын
Serikali haijamruhusu bado
@AGRICOLAKIMOLO11 ай бұрын
Samahani ninapokuja kwako natakiwa niwe najua wingi wa vijidudu kwani nikija huwezi kunipima wewe ukanipatia damu na vipimo vyako ni bei gani?
@wilsonslaa55337 ай бұрын
Docta no zako pliz
@asteriashios18523 ай бұрын
Hivi Dr msigwa unavyotuambia si uandike namba Yako ya cm watu wakutafute Cha msingi namba ya cm kaka hayo ya serikali ikuruhusi ni ngumu maana wanajali maslahi yao tuu angekuwa magufuli angekuruhusu hao wenzangu na Mimi haaaa
@BeltaMatius8 ай бұрын
Tupe namba zako
@Lupamwakyoma9 ай бұрын
Naomba namba yako Nita kutafuta
@khadijamasoud4238 Жыл бұрын
Doctor namba yako
@maisarahakizimana7074 Жыл бұрын
Namba
@AminaDesgner2 ай бұрын
Tunaombanamba plees doctor
@NuruBakari-w7l3 ай бұрын
Na mkimuua huyu kaka wallah tutafunga siku 40 kisha tutatandika kisomo cha kufa mtu atakehusika kwnza tunaanza na familia yake then mwenyewe ankuwa wa mwisho apate uchungu kwanza wa kufiwa alafu anamalizika mwenyewe
@emmauszinedin29549 ай бұрын
Ndiyo hoho utafuti unewezekana Arakini utureteye watu 50 wenye nimzsha wapa sawa bakapona VHV Ndio tutapata ukweri sindio
@SaraphinaMange3 ай бұрын
Unapatikana wap
@StephanoWiliam-oy5bz8 ай бұрын
Naomba namba brother
@YohanaBoniface_emanuel8 ай бұрын
Brother ntapataje namba yako
@SemeniJuma-x8i7 ай бұрын
Hapo kwenye gharama kuondoa ndio tatizo..wenzio wanapiga pesa kwa kuuza hizo dawa huu ukinwi ni biashara y watu
@KhalidAli-t9x7e7 ай бұрын
Doctor unapatikan wapi
@FloraB-p5z2 ай бұрын
Tunaomba uletwe arusha
@wanyonyiemmanuel19903 ай бұрын
Mimi niko kenya nitapata aje hii dawa?
@Kanga-pu6yl3 ай бұрын
Karibu dawa zake na toa ukweli Kwa wengine
@AbcrahDemoraj2 ай бұрын
@@Kanga-pu6ylwe unaptikan wapi .
@isaacashel332810 ай бұрын
Tupe dawa dr watu tupone tu
@SittyNduka9 ай бұрын
no yako
@YussufSaid-ok4pu Жыл бұрын
Iyo dawa inapatikana wapi
@FloraMushi-g4t9 ай бұрын
Wasaide
@allymohamed2630 Жыл бұрын
Mimi nahitaji naipataje sasa
@KingStationery7 ай бұрын
Aliyetumia akapona nani😊
@ednaabyudi84656 ай бұрын
M sjapona😂
@PricillahNdombi7 ай бұрын
Naimba number
@nyabahailani316911 ай бұрын
Wape dawa watu wapone sio kuongea mambo mengi
@JosephMchele6 ай бұрын
Mtu akitaka kukupata anakupateje
@reubenjoram96758 ай бұрын
Unatufaa wamarekani niwashenzi siwspendi
@maryjoseph6255 Жыл бұрын
Namba tafadhari
@lilianrwegasira2769 Жыл бұрын
Namba yako baba atakayetaka atakutafta
@agnessjoseph3199 Жыл бұрын
Tupe no kaka
@Kanga-pu6yl3 ай бұрын
Wapi walio pona, hakuna orodha yoyote. Vita vya vipimo, wasomi, wamagharibi na wazungu. Daktari hakuna research inafanya anatibu Kwa mjibu wa kanuni ya masomo. Toa dawa Kwa watu kumi, wapone na Dunia mzima itafata wewe, hii ingine ni biashara na sarakasi. Matendo si maneno, porojo na kudharau kazi ya wengine..
@MelisaFravianus8 ай бұрын
Muongo huyo
@EnockFred-hs3wo Жыл бұрын
4 in 9 zinapatikana madukani au
@stanleyleonard47318 ай бұрын
Inaitwa 4a9
@alexvenas2699 Жыл бұрын
Mheshimiwa rais mama samia ,tazama suala hili ,kwani sisi hatuwezi kufika mahari tukajitegemea kama ichi Kwa vitu vyetu vya asili? Nina imani na wewe mama kama ulivyo tazama kero zingine kwa jicho la pili hata hili mama yetu msikivu unaweza kulitazama kama linaukweli ,Ama hapana halina ukweli.?
@assfzainab91210 ай бұрын
DAWA CPO WATU WANAKUFA BURE TENA MIT AMBAO TUNAIPANDA NYUMBANI MUNGU HAWEZ KULETA UGONJWA BILA DAWA UKIMWI UNADAWA ZAKE
@GilbertGombeye10 ай бұрын
Watu kama wewe Msigwa Mungu huwatumia kuwasaidia watu kupona huo ugonjwa wa ukimwi
@KhadijasamsonMhelela8 ай бұрын
Sambaza maduka yadawabasi utuelekeze
@hawakiza60679 ай бұрын
Mbona yupo Hajibu sms
@ChausikuHassani-g9m8 ай бұрын
Anasoma kwanza kometi
@bundalamabula6264 Жыл бұрын
Mimi sijakuelewa, wewe tangaza dawa zako kuliko kupondea dawa zingine
@pmnyabaturi4484 Жыл бұрын
#samiasuluhu
@sophiamwasha7445 Жыл бұрын
Dr Mungu akulinde
@rashidkapile11 ай бұрын
Kifupi nitakupataje? Afya nibora
@abdalahmrisho3076 Жыл бұрын
Ww mwongo mwongo acha kudanganya watu
@DottoGodifrey-np6jb Жыл бұрын
Kwamba atibh n muongo au n vp saman lkn naomb jib
@salmarajabu4890 Жыл бұрын
Ni kwl dear mm nimepona
@mponziney584511 ай бұрын
@@salmarajabu4890 umetumia hiyo dawa?
@lawijosephezekieli107811 ай бұрын
Uxhafanya utafiti ukagunduwa mwongo
@isaacashel332810 ай бұрын
Jaman anaejuwa dawa na alietumia akapona aseme aokoe wengine
@AmourMahemba Жыл бұрын
Weka no
@neemachrispine2342 Жыл бұрын
Namba yako tutapataje
@mponziney584511 ай бұрын
Namba yake unaipata kwenye KZbin na ukimpigia anapokea na anakuelekeza kulingana na shida yako
@rosemwenda82819 ай бұрын
@@mponziney5845Mbona you tube hamna
@selemanifikirifundi89529 ай бұрын
@@mponziney5845 dada mponzi naomba unitafute na maswali nataka unisaidie tafadhali
@trophywilson7211Ай бұрын
@@mponziney5845youtube gani??
@joramkimario9321 Жыл бұрын
Kama hamuamn bas ngojen zungu aseme
@geofreylucas78709 ай бұрын
Zungu ndo nani mze?????
@joramkimario93219 ай бұрын
@@geofreylucas7870 bas mzungu.umefurah sasa
@kamugishaurban1995 Жыл бұрын
Weka hospitali yako unze kazi utibu wa Afrika , watakao pona ndo watatoa ushuhuda
@josephatmathiasgalagalabuh786 Жыл бұрын
duh
@chiku6136 Жыл бұрын
Weka namba
@abubakarimburu9096 Жыл бұрын
Sisi binadamu ukweli tunaukataa kabisa kwa sababu tumezoea kudanganywa na wazungu
@elizabertkabadi3090 Жыл бұрын
Wanaompinga ndo wale anaowasema wamekalilishwa nawazungu wanaona watakosa kazi
@elizabertkabadi3090 Жыл бұрын
Na wengisana wanampinga msigwa ukiangalia nihaohao wanaotumia karanga iv sisi binadamu akiri yetu inafanyakazi kweli??
@elizabertkabadi3090 Жыл бұрын
Et mtu anakubali kufa na bomu shingoni kulko kuondosha hilo bomu akawa salama.