Chuki binafsi ya spika hapo mtani amekurupuka kisa Mpina ni kusema ukweli.
@user-py1nq7pv9u17 сағат бұрын
Uko sahihi.
@selelilumambo215718 сағат бұрын
imenitachi sana hadi nimetokwa na machozi 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 i can see a real Pan-Africanist in mpina
@fidelfidel-jz4iw19 сағат бұрын
Kwa sasa Tanzania inahitaji chama kipywa cha mpinzani hao wapinzani ni wachafu ubinafsi ufisadi ubabe hilo tunatakiwa kuelewa hilo hakutakuwa na watu ndumilakuwili
@Zainabnoor0087-ze19 сағат бұрын
Sukuma gang wanajifaragua 😂
@fidelfidel-jz4iw19 сағат бұрын
KAZI nzuri Ila hakisheni mmepanda nyasi pembeni msijitoe ufahamu itapendeza sanaa
@HusseinKoja-ww7gi19 сағат бұрын
Huenda mavazi yamekuponza ukadhaniwa una uchadema
@HusseinKoja-ww7gi19 сағат бұрын
Kuna sheria na kusimamia sheria vitu tofauti japo lengo ni moja nisawa waziri wa afya kusema wazee watoto na wazazi huduma ya afya bure njoo kwenye uhalisia hakuna bure malipo mbele kama yanga nyuma mwiko
Karibu Peter kwenye Chama chenye maono Kwa maslah ya umma
@MariaCassian-e2i20 сағат бұрын
Tunataka viongozi wawe kama Mpina Mungu akulinde Kaka
@magdalenanicholaus545920 сағат бұрын
Pambana mungu akulinde
@omzedstationary93220 сағат бұрын
CCM ina wabunge makini sana kama MPINA
@magdalenanicholaus545920 сағат бұрын
Pole mpina
@dayanikitambi208520 сағат бұрын
Sema mwamba tunakuelewa mungu atakuongoza
@salummichael8721 сағат бұрын
Kiswahili ndio sawa wabunge wetu kiingereza marekani siyo tanzania
@NixonJohnson-zn8nk21 сағат бұрын
Chapa kazi njoo na Geita kuna madudu ya kufa mtu .. Wiki nzima hakuna maji sijui tunaishije.. Sasa ni ajabu mno....
@barakabethuel635321 сағат бұрын
njaa MBAYA SANAA
@shekhomarynnunduma520921 сағат бұрын
Huyu anastahili kuwa Raisi
@SaraMnzava21 сағат бұрын
Hahahaha makonda yuko vinzur nitamwonaje jmn
@MusaOgwoko22 сағат бұрын
Dau
@SaidiSelemani-l1n22 сағат бұрын
Ww kicha
@user-uo9tq8cc7qКүн бұрын
Msigwa uliwahi kusema hauna bei hauuziki enzi ya magufuli saivi umeanguka unyekiti wa Kanda umekimbilia ccm atakuamini nani?
@laiserkuyan6075Күн бұрын
Mpina mungu Akulinde kweli wewe ni mzalendo wa Taifa letu lakin hao wote walio ungana na uyo spika mkumpavu ya mwanamke tulia kukutoa Bungeni juu ya kutetea hali maisha ya watanzania wanyonge mungu Anawaona lakin wakumbuke walio kuweka hapo mbungeni zio tulia na samia ni wananchi wa jimbo lako 2027 zio mbali watajua Ajui
@kiliantereba6502Күн бұрын
Ovyo kabisa
@saxannjo6173Күн бұрын
Mtu mmoja anatumia lita 135 kwa siku. Mahitaji ya maji (174,650 × 135) kwa siku.
@user-uf7dp5hn8pКүн бұрын
Your very smart Mp mpina, watu wakweli hawatakiwi kabisa
@MohamedMfuuКүн бұрын
wewe ni kamanda baba toka huko uwachane vzr
@MohamedMfuuКүн бұрын
mpina ww ni upeo wetu mungu yumo na ww
@hajikhamis-od1noКүн бұрын
Yani always namkubali sanaaa halima mdee
@raymondthomas3960Күн бұрын
Rudi bungeni kakae kwa nguvu halafu tuone watakufanya nn Sasa.
@paulombay6884Күн бұрын
Mchungaj sadaka hazitoshi,afu ubunge hana ,hyo njaa amegundua itamwua mapema
@godwinkileo7702Күн бұрын
Intervention wapi wewe, hapo kunaupigaji tu, kama ukiagiza sukari nje inakua ni bei rahisi, sasa kuna maana gani ya kua na viwanda sasa, waziri Iddi Simba alijiuzuru kwa issue hii hii ya sukari.
@godwinkileo7702Күн бұрын
Sasa kwanini sukari imeletwa kutoka Brazil na inauzwa 3000, hivi mnakumbukuka issue ya Iddi Simba? Alijiuzuru kwasababu ya sukari, wakati Raisi ni Mkapa, Mpina yupo sahihi kabisa
@emmanuelafricaКүн бұрын
Hili zee akili linazo kwl et limeumia sana😅
@LeahKazeniКүн бұрын
Mmhhhh haya tutaona mengi mwaka huu duuu hawawezi kuunga mkono wako mbali kabisaa mwanangu acha tu
@emanueljames6798Күн бұрын
Mpina,piga kazi
@user-et3zq5ef1bКүн бұрын
Kweli
@NteniaNtenia-f1rКүн бұрын
Tumeanza na huyu wapo wengi wanakuja
@faustinebahenobi3412Күн бұрын
Ila mpina uwe makini usije pewa sumu maccm sio watu wazuri
Wakuchongewa sanamu kila mkoa ni mpina na sio mwingine anagusa maisha ya watu wanyonge naona magufuri bado yupo kwa mpina binafsi mimi nasimama na mpina
@abdukhalnyerere8993Күн бұрын
Katukanwa na nani wewe au unazani sisi hatufatilii kinachoendelea huko