Tunawashukuru kutuonyesha nyumbani Mungu awabariki, lakini mukiwa mnaongea ni afadhali mnapunguza sauti ya miziki, Mungu awalinde sana
@MmungaMLTV3 жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri. Ndo tunapendaga hivyo kushauriwa. Asante tuta lifanyia kazi nawe usikose ku like naku subscribe channel yangu ndugu.
@apolinairemupenzi12443 жыл бұрын
Okay okay.
@safarishomari58003 жыл бұрын
Ninapo ihona hiyo video, kwa kweli kabisa, ina nikumbusha mengi ya hapo nyuma. Mkuyu kwetu huko... Uhoneni mji mzuri, mji ume humbwa vizuri sana kabisa... Yooo... Kwetu kwetu kwetu....huko....Tutarudi kwetu,Mungu tupe uhahi
@fatumasalumu28692 жыл бұрын
Kwani ww ni nNani kweli
@mwajumatanganyika78403 жыл бұрын
Asante.
@safarishomari58003 жыл бұрын
Mbuka yetu ya Acima...mboka ya ngene. MweneOmbe tu'watelece tuhutu'e 'wetu......
@MmungaMLTV3 жыл бұрын
Nikweli kabisa ndugu yangu. Mungu azidi kukubariki na kuweka wazima ( iposiku ).
@joeae62972 жыл бұрын
Amina.. akuna udongo wala inchi nzuri kuzidi Ubembe (Fizi-Itombwe) mu Congo muzima. Ni wajibu wetu kulinda na ku developer Fizi-Itombwe...Ubarikiwe ndugu zangu.
@aliaden6082 жыл бұрын
Manioc
@william.GMJ38872 жыл бұрын
Naona milima ya Kazimia kabisa.
@severinemmunga57633 жыл бұрын
👏👏👏
@joeae62972 жыл бұрын
Ndugu tafadhali utanisaidia na email yako ili tusumulie kidogo ata kwa number...asante sana ndugu.
@MmungaMLTV2 жыл бұрын
Okay, hakuna shida . Ao unitumie number yako ya sim nitakuhita nikiwa na wakati badaye.
@joeae62972 жыл бұрын
@@MmungaMLTV asante ndugu.. ningependelea kama uko na email ya kazi njo nitatuma apo ili isiwe adharani.
@MmungaMLTV2 жыл бұрын
@@joeae6297 Usiwe na wasiwasi nduguyangu. Nitavuta message yako nikisha chukuwa number yako. Hakuna atakaye hiona. Ispokuwa mimi na wewe.
@joeae62972 жыл бұрын
@@MmungaMLTV asante sana ndugu...nilikuwa na taka uliza juu ya kuona kama shamba ama udongo wa ku nunuwa pale Kazimia upo