Sauti nzuri hivi inatumika kufanya maovu, ashindwe kwa jina la Yesu
@florencebosibori996111 күн бұрын
Na ukweli clone amepanda ndege am gari?😂😂nway great that they are really helping you the hard task,we thank God
@KaranjaGladys-b3i11 күн бұрын
Hua ajitoa kimtume hitembea akikalibia
@shikobig359111 күн бұрын
They are spirits so they can go anywhere anytime
@zunirasalim766011 күн бұрын
𝙲𝚕𝚘𝚗𝚎 𝚗𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚢𝚞𝚠𝚊𝚓𝚊 𝚔𝚊𝚖𝚊 mitume
@florencebosibori996111 күн бұрын
@@shikobig3591 inafurahisha adi mama malindi kaßhituka eti adi yeye clone yuajua malindi😂😂
@agathashiongo-fi4hv11 күн бұрын
I think ni kazi ya Malaika
@arapmbuvi11 күн бұрын
WUEH this one looks hooot. Acha nijinyakulie kiti mapema
@ssjxnx493311 күн бұрын
Congratulations 👏👏paka hizo kazi zake aache 😢
@shinehusnah657211 күн бұрын
Muwe na mbuzi huko basi mumupe clone damu asipungukiwe kamweee....round hii mama malind atajua mungu sio babake.... Hata akavaa kijora tena tunamujua muwaji huyoo auliwe asirudi Nairobi....
@alexsaidi39406 күн бұрын
MUNGU ni BABA malindi anadhani ni mjombke
@harrietajiambo22911 күн бұрын
Mtume alibeba Clone au vip plz😂😂😂😂😂😂
@MaureenBosibori-s9w11 күн бұрын
😂😂 no clone uwa anapoteanga pia naye kama mtume
@marykiarie665811 күн бұрын
Yoo hata mimi nimesida amenda aje
@marionnanjala180611 күн бұрын
Mtume anaeza potea nayeye
@agathashiongo-fi4hv11 күн бұрын
Yes ✅
@zahramahammad91611 күн бұрын
Clone moves like mtume.
@sharletowiti736511 күн бұрын
Hiii ndo inaitwa mwenzio mm sipigani na ww napiganiwa na mungu, ndoo hii sasa hii vita binadamu wa kawaida hawezi ndo maana mtumie kaingilia,ona sasa watu wanaokoka nani alijua kinyambizi anaeza ambia mganga ushindwe 😅
@naseeralbishi472611 күн бұрын
Kweli akuna😂
@eunitakesio11 күн бұрын
Vindo vichenjanga
@evalyneacheing-ow2ew11 күн бұрын
Kabisa😂😂😂😂
@harrietajiambo22911 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂aki wewe
@naomybosibori950411 күн бұрын
Sahi mganga na kinyambizi n madui wakubwa😅😅😅😅
@LLBOnline11 күн бұрын
Wow hapo sasa wzokoke ama wakufe muchunge clone mbuzi ikuwe karibu
@jacklinerudisi511611 күн бұрын
Hii nayo ni kumoto... Mama mskinfi okoka uje tusaidie KINYAMBIzi kuhubiri injili kwa yesu Kuna raha
@odettebarengeke246911 күн бұрын
Kinyambizi, mjasiri kwenye okovu wake
@NaomKemunto-nv4xh11 күн бұрын
😂😂😂😂kinyambizi i think munyambo ulihisha@@odettebarengeke2469
@MoureenGesare-u7j10 күн бұрын
😂😂😂
@chunaabdullah133311 күн бұрын
Yani huyu fatuma amekua kama chui cjui mbwa mwitu 😢😢akiona kitoto cha watu mate yamtoka wake hataki nao
@MoureenGesare-u7j10 күн бұрын
😂😂😂😂 kweri dada amekuwa umbwa mwitu😢😢
@NuruNdegwa-yg2bm11 күн бұрын
Wuee hii ndio Naisubiria 😅😅
@PhilisKundu11 күн бұрын
Mungu atete masuri😢😢😢😢
@SimpleLady-k6m11 күн бұрын
Yaani sai Fatuma haogopi Mtume but akiona Clone matumbo yachemka😂🤣🤣🤣
@Zawadi-e3e11 күн бұрын
Anajua clone habembelezi
@NahimanaJoselyne-r2s11 күн бұрын
Muuwaji mama malindi,mikono yako inajaa damu zawatoto ambao hawana atia ,wazazi dunia nzima tunalia tuki watch maovu unayoyafanya na wezako .Am waiting .Leo utajua hujui,mambo nimawili tu ,,k 💀 au ,k .
Huyu mungu tunaomba kila siku awezi kutuaja mungu ni Nani, 🙏🙏🙏🙏🙏
@KamikaziSalma11 күн бұрын
Leo mmejuwa kunipa raha Clone amefika malindi 👏👏👏👏😂😂😂😂😂😂😂huyu mwaka nikusafisha kabisa awo wajinga kama huyu mama malindi angemalizwa kabisa mana huyu nishetani hawezi mrudiya Mungu ivobasi nikummaliza akwende uko jahannam 🔥🔥🔥. Nakingine ukaye ukijuwa Manucho amelindwa na Mungu kwatarifayako utakufa umuwache Manucho mjinga mkubwa wewe.
@alexsaidi39406 күн бұрын
Swali nauliza mzee Amos alienda WAPI ama nmmufeee😂😂😂na sijui
@WardahBukuru11 күн бұрын
Leo nikumoto😂😂😂😂😂😂mtume NA clone kaz nzuri❤❤❤❤❤❤
@doctersalmini970411 күн бұрын
Eti rafiki yangu 😂😂
@shinehusnah657211 күн бұрын
Mwambieni manucho kakaake anataka kumtoa kwa huyu jamani nahakuna pesa atapewa huyoo .,..@ dangulo ambia manucho 😢😢😢😢
@nancymoraa649111 күн бұрын
Ww mwanamke mjinga mpumbavu sidwe Pepo Kila Mahali unaeda tuko nyuma yako hakuna business itaedelea in Jesus name 🙏
@loseeal344011 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂clones wetu amefika mahindi.
@زواديكاريسي11 күн бұрын
Zawadi karisa huyu dada chamusingi kuuliwa tu kama hataokoka
@dianahmakungu816111 күн бұрын
Yap mi naona ni kifo tu juu hakiachwa anaangamiza
@eunicemwongeli906611 күн бұрын
Mama mjinga mwangalie round Ii mtajua mungu sio mjomba wa kwenu
@ZuniraSalim-jo5zv11 күн бұрын
Weee tuna shukran Sana mganga kututengenezea clone 😂😂😂mungu haweke hiweze kuishi miaka nyingi hi saidie binadamu na kuokoa watoto wetu tu nashkuru sana
@gracekaruga89711 күн бұрын
Na clone alikuanga binadamu ama alikua amefufuliwa
@manisobblowi889411 күн бұрын
Huyu mama mpka achr hii tabia yenye unafanya la sivyo atapewa Passport aende Uk by force by Fire
@Mamake-e2r11 күн бұрын
Kumotooooo kama pasiii 🔥🔥🔥 God is always great and Able🙏🙏
@joycewafula93511 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅hakuna buzzing itaendelea wewe mwanamke mpumbafu, huyu atolewe na nani , atakuuza akufanye pesa
@Roz-m2z11 күн бұрын
Wowe unauigizwa kazi kwa lazima wee
@Mutheueunice-u6v11 күн бұрын
Mimi ningependa uyu mama bos Akufe watoto waishi naamani
@maggieshi69010 күн бұрын
Hawa wanapewa ahadi bure 😢😢😢na gao watoto wanalia wapi aki😢😢
@rahema90711 күн бұрын
Waaah watoto 50 mamazao wanalia tu
@Peris6815Manyara11 күн бұрын
Mbna anataka manucho Sasa tena 😢😢😢
@Roz-m2z11 күн бұрын
Good job clon na mitume walienda kuangamiza watu huko Amen God
@rachel007311 күн бұрын
Tushawaona ng'oooo😅😅 Hatorokeki😂😂😂😂😂
@Zeinab-zk7be11 күн бұрын
Waah clone amefika aje malidi 😂😂
@teedullah570811 күн бұрын
Nyoo kazi haitafanyika kila mahali ulipo tupo mjinga wewe
@AminaAnasi11 күн бұрын
MAskini team dangulo plz msaidie mamake manucho n kama huyu mchawi kamfanyia mambo yake ...God protect you all🙏
@chunaabdullah133311 күн бұрын
Kweli shetani mjinga sana eti usimsikize na yy mwenyewe anamuogopa 😂😂😂kweli shetani ww ni mpumbavu sana. Eti manocho atoa mmke kafara na yy ndie shetani mkubwa
Congratulation clone, and mtume your doing good job
@beatricekamene787611 күн бұрын
Nowadays am very happy ju kila wanapotry kukamata watoto mission inaaribiwa na clone na mtume.....hakuna biashara itavuka huu mwaka in Jesus Mighty Name
@MaldrnA11 күн бұрын
Amen
@Sarah-iw6cg11 күн бұрын
Mtume na clone mlifika na mkaeka camera😂😂😂😂😂mungu awatie nguvu ...uko mombasa mbuzi ni 3k ndangulo shughulikia clone
@mosetyjoseph887711 күн бұрын
Haki ambia Manucho ni kunoma haki aende hata Nairobi Dangulo ambia mwenzenu haraka
@lennyfrank11 күн бұрын
Yaani hadi anamezea tu watoto mate
@halimajay60610 күн бұрын
Bac nilitaka kusema uyu mwenye white mbn kidogo afanane na yule jamaa anajitaa manucho kumbe ni kakake sio yeye😢uyu mama lkn eti vitt subhana llah 😢😢
Ina maana hii Kenya watoto hawana bahati,waesi TEMBEA KWA Amani,wanawinda watoto kama kuku,.😢😢😢😢😢 thanks Jesus for helping our us.
@chunaabdullah133311 күн бұрын
Kuku au swara 😢😢
@SaidaAwour11 күн бұрын
Manu ndo nani tena
@ruthkwamboka-e6y11 күн бұрын
Clone kuja na bag 😂😂😂
@faithnasimiyu745511 күн бұрын
Huyu mama WA malindi ikifika time wananyonga watu yeye ako kando
@جواناالكيني11 күн бұрын
Bampa to bampa😂😂😂
@MilcahNyongesa-f1p11 күн бұрын
Huyu amalizwe2,hawezi okoka
@adhiambolaureen189811 күн бұрын
Dangulo please chanueni Manucho atoroke akuje hata Nairobi mkae naye please...life yake iko at Risk...
@AnethSwila-tw9mv11 күн бұрын
Huyu mama malindi anawawekea magonjwa wazazi wa vijana wanaofanya kazi Ili kuwa danganyishia kwamba atawapa hela wakatibu wazazi wao lakini ni uongo anataka waendelee kufanya kazi naye yani huyu Binti nimbaya kama shetani alivyo ndiyo alivyo huyo mama malindi
@rosekalu30911 күн бұрын
Yaani emedanganywa akadanganyika kifo kinjiani
@Roz-m2z11 күн бұрын
Mama wa malindi afadhali ukufe tabia yako ni baya
@EhrustineZ11 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏
@اسماءاحمد-غ2ح2ث11 күн бұрын
Mama tamaa hataki kuona mtoto akitembea ata
@MwanaidiNguluma11 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅
@Roz-m2z11 күн бұрын
Camera inasaidia sana weee
@PamelaJuma-q1y11 күн бұрын
Ni vile clone amesahau bag 😂😂😂😂 buree angefika na kuweka ndani kichwa
@KaranjaGladys-b3i11 күн бұрын
Muuaji akufe tu mungu wetu bola chisaka hutaki viboko mbizi ziko
@johnclaude955211 күн бұрын
Clone❤❤❤❤❤❤❤❤
@gakyjaklin45011 күн бұрын
No peace no peace mama malindi Rip, Rip mwaka huu autopoi
Hello 👋😂❤🎉 nahisi raha iliyoje jamani mimi ebu nileteeni maji barti please my husband maupendotu na ushindi kwa yesu💕💃
@janetoili410411 күн бұрын
Mama malindi no peace
@Kaninis310 күн бұрын
Kumbe unaongopa clone kuliko malaika mtume ziku zako zinawadia akh Amos alifanya kazi poa akategeneza clone
@MildredMwangi-s6m11 күн бұрын
Kwani amos alienda wapi
@muthonyannie632110 күн бұрын
Clone akitaka kumaliza nguvu za huyu boss malindi atamaliza pweee
@violetoketch11 күн бұрын
Mama hii mwaka ni yako. Watoto watoto watapona.
@Marry-u8m11 күн бұрын
Wacha mungu aitwe mungu ali abiwa hata aki eda Mombasa kumaliza watoto 200 haita weze kana
@EmeverlyneZz11 күн бұрын
Uyu mama anamudomo
@lizabeth630510 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
@janewangui167711 күн бұрын
Moto sana
@janewangui167711 күн бұрын
Huyu kijana ako na white ni mzuri msaidieni ajue ukweli tafadhalii
@LucyNdunge-yy4nb11 күн бұрын
Kwani uyu mama hana roho ngumu hivyo kwanini
@VeronicaNjoki-fm5np11 күн бұрын
Mpaka shetani analeta confuse mpaka wazaza wanaashililia watoto peke yao
@Jackline13911 күн бұрын
Huyu mwanamke muongo kabisaa...haya kijana mwenyewe anaskia kazi mama malindi anampa kumuuwa nduguye lakini kijana mwenyewe amepagawa eakati aliskia million tatu qmbayo hatawai ona hawezi reason out . instead anasema mtume ni mapepo kweli devil is aliar ukiwa na tamaa na pesa basi hivi ndivyo shetani atakuchanganya
@eunitakesio11 күн бұрын
Na mzee amos ameenda kufaintia wapi clone fanya ile kitu
@اسماءاحمد-غ2ح2ث11 күн бұрын
Mary m mama malindi Leo ni siku yako mambo ni mawili tu,jijaziye
@faridaabbas719911 күн бұрын
the day of celebration thank u lord ur the most high God❤
@EuniceKerubo-vt3dk11 күн бұрын
Hata mm nashangaa vle cctv inawekwa mungu n nani ganii
@lizabeth630510 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@kidohentertainment457611 күн бұрын
On it
@MaryWairimongatia11 күн бұрын
Mbuzi ya clone ikue ready amalize kazi haraka haraka
@marionnanjala180611 күн бұрын
Aki vitoto vinapita tu havina habari 😢
@zipporahmujiti543511 күн бұрын
Hawa wauaji wamalizwe tuu watoto wa watu waishi salama
@SWALHA577-y3z11 күн бұрын
Yaani huyu shetani akiona mtoto tayari ameona hela mpumbavu saan
@JamesNgala-g3c11 күн бұрын
Huyu mwanamke anawadanganya na kuwazubaisha Hawa vijana Wala unga hawajielewi ili awamalize.
@janetmwale612711 күн бұрын
Huyu awezi change better amalizwe tu
@MuthamaMacelina11 күн бұрын
Na huku watoto wanazurura ni wengi hawajui wako karibu Kwa mikono ya simba
@Hellen-s6k11 күн бұрын
God is under control
@EmmyWilla11 күн бұрын
Sasa hiyo HD imewekwa saa ngapi? Na mnajuaje kuwa watakutana hapo
@moureenkananu939211 күн бұрын
Jameni hii ni kama movie hawa watu wako na riho ngumu 😢