Sisi sote ni waja wake Allah! Don't worry hamisa Ukipendwa na Mungu hiyo imetosha!
@irenewanini67163 жыл бұрын
Mama diamond kwani ni mungu,
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Exactly my dear, yeye ni nani kwani 😏😏😏
@saumuhassan63653 жыл бұрын
@@irenewanini6716 Eti
@rehemahussein7483 жыл бұрын
@@saumuhassan6365 amejisahau kuwa pesa ni mapambo ya dunia tuu! Huwezi kumchukia mwana wa mwenzio buree Bila sababu!
@mymunamymuna48073 жыл бұрын
Achana nae huyo bibi mchawi, kama mungu anakutosha inatosha huyo mwanga asikusumbue
@catherinemuthoki26143 жыл бұрын
Hamissa dada ...achana na huyu mama siku yake yaja chuki ...ikunyime kuishi ...jikaze na maisha yako ...let her be God's love is important than human being love...may God protect you and your son
@maimunamunisigloyyixigjsgs66383 жыл бұрын
Wewe mama kuwa kiakili mtoto Hana tatizo kiumbe Cha mungu hicho. Duniani tunapita
@deeruta98943 жыл бұрын
True kabsa
@Kal-Mary3 жыл бұрын
Hamissa Hamissa Hamissa nakupenda ila nakuomba ukaye mbali na hao watu hawakupendi,fanya kazi zako Mungu atakubari tena kama inawezekana ata kuhusu matumizi ya mtoto usiombi labda mwenyew Dai ajitume.kaa mbali Mama usiruhusu kuwa karibu nao please 😔Roho inaniuma utafikiri ni Mimi daah.Please achana nao na uyo Daimond hakupendi ju yeye njo katunga uyo wimbo 😭😭😭
@omanmuscat2993 жыл бұрын
Kweli hata mimi namuomba Hamisa angejitenga nao yani sijui kwanini anawafata wakati hawamtaki anajidhalilisha aachane nao asonge mbele Allah atambarik
@Kal-Mary3 жыл бұрын
@@omanmuscat299 kwli kabisa wng,yani wanamzarau kupita kiasi.kama ni upendo ameshawaonyesha ila wapi.Sasa ajitenge nao
@NANCYWARD4883 жыл бұрын
Kwani kama Hamisa alimkosea. Huyu mtoto mdogo Malaika amemkosea nini ? Jeuri ya pesa, zote tutaziacha hapa hapa. Hamisa Mungu atazidi kukufungulia njia. Huyo mwanamke sio Mungu
@lm63733 жыл бұрын
Hamisa mzuri sana anajuwa ku jivicha ona video yake machallah anapendeza anasema vizuri good personality lakini zuchu nguo ana vaa kama zime chonwa kwa fundi wa barabani mmmh hamisa well done
@tajjudinihaji27763 жыл бұрын
Ukizaa mtoto nnje ya ndoa.ujue ni wa mwanamke .so acha watoto walelewe na mama zao
@user-lq6kr2gl7n2 ай бұрын
Ni kweli kabisa wanawake weng wanafel hapo kuzaa kabla ya ndoa au nje ya ndoa huyo mtoto ni wa mwanamke na tumeshaambiwa ktk din haifai baadae ndio matatizo kam haya na hili Wimbi la kuzaa pasina ndoa wanawake weng has wa kiafrika ni shidaa
@marthaemmanuel33233 жыл бұрын
Safi sana mama dangote mkomeshe huyo
@vanessamagezi69863 жыл бұрын
Acha roho mbaya,au wewe ndo mrithi wake
@mariajoackim13683 жыл бұрын
Daah,,,,Mimi kama mwanamke sijajisikia vizuri Ila hapo hamissa akae mbali na hiyo familia wanaweza kumpoteza mtoto wake aombe uhai alee mtoto wake mabibi wa upande wa kiume sometimes miyeyusho,,,yaani hamisa jinsi anavyojielezea nimejisikia vibaya
@jessydaktari52093 жыл бұрын
Yani mama anatakiwa kuwa mfano ila ndo anatia aibu....huu ujinga jmn yani aibu naona mm😂😂
@salamagat47843 жыл бұрын
Yani huyu mama taaabu 2
@hopechidera3 жыл бұрын
Huyu Hamisa nayeye anajinyimaga thamani sana,mtu unajua hakupendi bali unazidi kujipendekeza kwake😏😏😏bila aibu eti na birthday ya iyi mwaka ukamu wish😏😏😏kuliko nawewe ujitenge nae usimjali unajikaza kwake na ndo sababu hawezi kukupenda,mtu wa roho mbaya kama mama Dangote dawa yake nikutomjali na kumsahau kama alie fariki ili nayeye akuone wa thamani sababu humjali. Onyo ndogo👉🏽ukigundua mtu hakupendi usiforce kujipendekeza kwake just walk away kama wangereza wasemavyo and that's it.
@zuleikhakhamis33033 жыл бұрын
nashangaaaa mie m2 km huyu namtakaaaa haswaa awe ktk anga zng akipita kishoto napita kulia mwisho wa cku anachiii😀😀😀😀😂😂😂😂😂
@lonelady33683 жыл бұрын
Kwani mwanaume ni Diamond tuu...mbona aongelei kuusu mamake babake mtoto wake wakwanza?
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Unajua hiki kitu chamkwe hata mm kilinipata,tena maneno yalikuwa mengi yakudhalilishwa,lkn sikufungua mdomo kujibu wala kujipendekeza,napita kule anapita kule.mwisho wasiku kaanza kuona aibu mwenyewe nakutaka tusalimiane kanikuta sina habari,tena bila sababu yoyote.sawa Hamisa alikosea nakaomba msamaha amsamehe tu.hii nidunia tunapita tu
@gracesiwale70663 жыл бұрын
Hamisa angeachana nao na kufanya mambo yake
@pinkygrey34593 жыл бұрын
Umegonga dipo sioni anajilazimisha nini kwani bila hiyo familia hawezi ishi? Ashadhalilisha mara nyingi sana na hakomi Wanawake wengi huku nje ni masingle moms but wanalea watoto wao sasa sioni hamisa kwa nini anajilazimisha ku fit in kwa hiyo familia na hapendwi Kwanza nae pia ana pesa kwani hizo pesa zake hawezi shughulikia mtoto wake? Awache kua mjinga ingalikua ni mimi keee hata ndio singetaka kuwaskia ningejiwekq mbali sana na wao duh
@costavalenci76993 жыл бұрын
Jamanie mama kauliza nyimbo kaimbiwa Nani ? Ubaya wake uko wapi?
@mdzainb37223 жыл бұрын
Si atulie kwani ameambiwa toka mda hawampendwi sasa kinachomfanya aendelee kuhangaika anayataka mwenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@deeruta98943 жыл бұрын
Wa mama wengine uwaga wanajisahau kabisa awajuwi mpaji ni mungu na sio binadamu, mtu mzima hovyo. Hamisa upendo wa mungu ni bora kuliko wa binadamu take ur time🙏🏽🙏🏽🤲🏽
@aminaabdallah36443 жыл бұрын
Kweli kabisa
@ashasuleiman96073 жыл бұрын
Mimi nakushauri Mama Dangote kuwa usihadaike na pumzi ya Mwenyezi Mungu ambayo muda wowote Mwenyewe Subhanahuwata'ala anaweza kuisitisha, hivyo unajua hukmu ya mtu kama wewe ambaye unaendeleza chuki na kutokusamehe? Mwenyezi Mungu hukuuliza je yeye akisema hakusamehe madhambi yako utakuwa mgeni wa nani kesho akhera? Please samehe saba mara sabini, kimsingi tunatakiwa ili tufe tukiwa na radhi za Mwenyezi Mungu tunatakiwa tukilala tumuombe Allah atusamehe madhambi yetu na kusamehe waliotukosea kila siku. So think about this, Binadamu hujui unaondoka saa ngapi maisha ni mafupi mno ndugu yangu. Think twice. Nahisi Hamisa ameambiwa haya ndio maana anafanya hivyo anavyofanya ili kupata radhi za Mwenyezi Mungu. Please fikiria sana akhera kugumu ndugu yangu.
@janemusa95293 жыл бұрын
If she thinks she is beautiful and young why can't she get anther man???? Even father( Fantacy) your daughter left you and he is at peace, get a life girl.
@luckyvenance45763 жыл бұрын
Ivi hamisa siufate maisha yako unanichosha
@anithaemmanuel89813 жыл бұрын
Kwan huyo mama dangote ndo nani labda embu atupishe mtu mzima hovyo😏😏😏....
@mereyamhomesmariamhomes34643 жыл бұрын
Anawatenganisha Watoto simjui kwa nn
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Eti yeye ni nani kwani uyo Mama Dangote, ajui hizo Mali na maisha mazuri tutayaacha hapa hapa Duniani 😏😏😏😏 akanye mbele, mimi mwenyewe simkubali wala nini mxiiiiiiii
@safijohn60793 жыл бұрын
Huyo mtu mzima hovyo hajielew huyoo
@subiraomari59083 жыл бұрын
@@saumuhassan6365 mtu mzima kisheti huyo
@bimkubwaali16053 жыл бұрын
Unaaakili wewe hembu kunywa soda kwanza.who is mamadangote.bullshit huyu hamisa nae kwani mama dangote sura yake barabara ya mafanikio hata hamisa akashindwa kupita.mxiewww
@abdulrazzaqchou30043 жыл бұрын
Nakupenda sana hamisa mungu akupe nguvu dunia ni mapito akuna kilicho kuwa Bora isipokuwa allah 😭😭
@farahanafarer75883 жыл бұрын
Mtoto atakuwa na ataona jinsi bibi alivyomkataa. Dha ni mbaya sana Allah amlinde kabisa. Ila Hamisa kaa mbali nao ya nini kuwafata utajajuta kabisa yatakayokukuta
@uwasesifa41673 жыл бұрын
Mama dangote wakuache kila mama ana choice ya mwanae kuoa bibi mwenye anapenda na mimi Hamisa simukubali kabisa.
@lm63733 жыл бұрын
Utapewa mfukko wa mchele
@khadijamohanani64763 жыл бұрын
Hata kama ana choice lakini wanawake wote hao takua wote hawafai. Huyu mama sura mbaya mpaka roho yake mbaya.
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Hayaja kukuta
@fatmas73383 жыл бұрын
Kama ww humkubali Ila mungu namkubali ndio maana yupo hai mpaka leo
@lisajackson58673 жыл бұрын
mama dangote alimpenda sana zari n wema katika mademu w diamond coz walikua n mapenz y kweli ndo mn mpk leo roho yamuuma sana n ukiangalia hmisa ndo aliyevuruga uhusiano w diamond n zari yaani movie bdo inaendelea hahaha nacheka km mazuri usiombe uchukiwe n mkwe or mawifi utakunya mawe
@brightluvanda27953 жыл бұрын
Haliombi msamaha wa kweli huyo hamisa kama,,ingekuwa kweli kwanini kila siku hamisa amekaa stendby kuharibu mahusiano ya diamond na wanawake wengine?????
@jessydaktari52093 жыл бұрын
Mama dangote pride itamuua mapema....kwan yy nan
@elitrudesulul19633 жыл бұрын
Uhusiano hau lazimiswi.
@salmasaid89643 жыл бұрын
Awez kumpenda maana yeye ndio sababu diamond na zari kuachana . alijifanya Rafk Wa zari kumbe anatembea na diamond ad kupata mimba.. Awez kupendwa ata kdgo
@nightwishisthegreatestband63553 жыл бұрын
Mama dangote na esma si walimleta ndani ya nyumba na kunwalika kwenye 40. Leo analalamika nini?
@copacabannaswax50613 жыл бұрын
Kwani huyo mod alimzakia mod peke yake kuna mwanamume wa mtu ktk hii dunia hiyo sio sababu, niloho mbaya tu ten yakichawii.
@khadijamohanani64763 жыл бұрын
Sasa kwani huyo zari aliowea .si wote michepuko tu.
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
@@jonathanenock2329 alikuwa anamcheat Majizo??
@najma32683 жыл бұрын
Mimi wote nawapenda, nawaombea mungu to waweze kuyamaliza mapema kabla hawajaingia mwanandani, cc sote tumepanga mstari hatujui nani anaetangulia
@mariyamumadebari42963 жыл бұрын
Mungu atakupa riziki yako my dear!
@nenadurra84773 жыл бұрын
Mama Dangote oyee, nani kama mama, yaani I love this woman. Mama Dangote knows exactly what she is doing, she is not stupid. This so called Hamisa should stay away... Hivi Tanzania hamna wanaume?
@luckyvenance45763 жыл бұрын
Inaonekana hata mamaako anatabia hizi
@mariegriffin99523 жыл бұрын
Can you please translate what Hamisa is saying? Google translate is not accurate😂…I tried to translate Swahili into English but nope; doesn’t make any sense! Thanks in advance
@aishakhamis29963 жыл бұрын
Kweli kabisaa
@faithkagendo25483 жыл бұрын
Umeongea ukweli.u r wise
@nenadurra84773 жыл бұрын
@@faithkagendo2548 Thanks
@user-mm5tf7yn6p3 жыл бұрын
Hamissa Mabeto mungu agusameh saaaana gukata damu yako yakwanza unarana kabisa🙈🙉🙊🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@salamagat47843 жыл бұрын
Huyu bibi anazengua 2
@isaachayes97833 жыл бұрын
Mama mtu Mzima hovyoo..
@lucylucy24043 жыл бұрын
Asipo kupost kwn hauli hamisa acha mambo fny kazi kaa mbl n hiyo family ukion mama akupndi jua n mtot akupndi n siyo we tu umezaa watu wengii ila hawana kingngniz kama chako .
@Kanicynjuguna3 жыл бұрын
Sasa kwa nini Hamisa worrying about this woman..mama mwenyewe mafi ya kuku 🤣🤣🤣🤣🤣
@Liz-23153 жыл бұрын
Yani uyu mama n mafi tu chuki ya nini na vile Hanmisa alivyo mzuri
@sarahtony39373 жыл бұрын
Naww ni mafi
@sharonchristian37113 жыл бұрын
Mnamlazimishaje ampende hamisa wakati hampendi Bora at ivo anavyojionyesha Kama alijipendkeza akapewa mimba akazaa yy akaushe na mwanae c ameyataka ebu achen kumchamba mama wa watu
@Kanicynjuguna3 жыл бұрын
@@sharonchristian3711 kama.mama dagote hampendi mtoto wa hamisa. You think this woman will ever love hamisa...?
@felisterraphaely76783 жыл бұрын
Hamisa mama achana nao Anza maisha yako mwenyewe hakka utaweza
@getmad99083 жыл бұрын
😂😂😂😂 wako wapi walisema wimbo alimbiwa tanasha mko wapi nilijuwa tuu no donge Kwa hamisa. Tuuu😂😂,
@janatahmad70483 жыл бұрын
mimi.naona wote inawahusu
@susymuganda63263 жыл бұрын
Asiyekupenda wachana na yeye, anayekupenda pendana na yeye maisha ni mafupi kama mtu anadai ni mcha mungu na hawezi samehe ibada Yake ni bure mbele ya mwenyewezi mungu.
@marieimanishimwe48743 жыл бұрын
Mama dangote let your grandson be.what your doing is not right at all .you must be the good example to these kids cause they are your future fmly
@bettycrawshaw1833 жыл бұрын
They one she is hurting most is her son, Does she really think his happy with her! At the end of the day Dylan is innocent! She is a wicked human being
@movetcaren42083 жыл бұрын
Sio lazima umpenda mapenzi ya Allah tosha
@jasmineshemweta45473 жыл бұрын
Huyo Juma lokole asipo mkubari hamisa anamsaidia na kitu gni,,yy mwenyewe danga😏😏
@adolphmwangoje28873 жыл бұрын
Maisha mengine co ykuiga jmn midiocre ndo hao tunawaona et mtoto hatutaki 😂😂😂😂 cjpta kuona aliyemshaur mama aongee hvyo kpuynga kwakweli
@deriodubose41993 жыл бұрын
Mkwewe akikukataa mungu nakukubali.yeye ni mtu au mja
@anithaemmanuel89813 жыл бұрын
👌👌👌
@salamagat47843 жыл бұрын
Apo sasa
@phoebeachieng31973 жыл бұрын
Dont worry she will came back crawling 😢
@khadijaomar84273 жыл бұрын
Aaah hiyo imeenda kwa hamisa 😪
@nooromar62333 жыл бұрын
Jamani kama kweli waislam kubalini hiki kitu sio mimi bali ni amri ya Allah hakuna kitu damu yake kama hakukuwa na ndoa msi halalishe kitu alicho kiharamisha Allah muna zini muki pata watoto kisha muna sahihisha makosa naelewe nita udhi wengi lakini ukweli una udhi lakini lazima usemwe mbona hatu laumu wanao fanya haki
@aeeazz81703 жыл бұрын
Maana warundi wanasemaga hivi umwana yankwa niwe akura sema insha allah
@evaristmrope3 жыл бұрын
I really appreciate
@tatiya68833 жыл бұрын
mie kinacho nifurahisha utakufa2 na Miwani kama kobe nyoooooo wajiona dunia yakwako Etieee🙃🤗🥱☹😏😏😏😏
@fatmatz50863 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😂umejuwa kunichekesha duh🤣🤣
@tatiya68833 жыл бұрын
@@fatmatz5086 😅😅wallahi anaboaa uyo bibi
@matswelopelemphela96763 жыл бұрын
Mama unajenga misikiti inamaana unamjua mungu samehe
@nasraiddy96783 жыл бұрын
Mjukuuu hana makosa ...kuna leo nakesho Mama angu dangote hujui mjukuu yupi atakufaa ,kama Mama ana ttzo na wew dili na Mama yake tu wajukuu wafanye wawe pamoja Bibi wew dunia hii siyetu wako wapi kina mengi matajiri wameacha familia zao maisha mafupi haya jamani tusidanganyike na pumzi hizii zinatuhadaa
@stanslauselias90023 жыл бұрын
Mwanamke amezaa na wanaume tofautu kila siku mond mond mond anazingua mbona hatuoni anataja wanaume wengine
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Ndoujuwe huyo mwingine kila kitu kikosawa.nainasemekana anamjengo wake kabisaaaaa
@junemuchiri6093 жыл бұрын
Dada akiulizwa maswali na page za udaku na waandishi asijibu ama?
@calvinloveambroce8423 жыл бұрын
Golddigger huyo demu
@johnmwasilu70873 жыл бұрын
@@m.mmarckus6298 hamna kitu
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Msilazimishe watz mnahaibu kwani hamisa ninani kwa mama mondi mondi hajawai kuowa ata siku moja uwoni uzinifu mnaukumbatia ,mama dangote mungu amnahaibu ,hamisa alikwenda mahakamani kudai huduma ya mtoto hao ni watoto wa zinaa watoto wa mama msifosi haibu,ukiachwa achika ndiye,mama ngote mshauli mondi aowe aachane na uzinifu au kweli mondi free.
@angelasenga58003 жыл бұрын
Ucjl hamisa mungu yupo nawe
@kidawaali41603 жыл бұрын
Inaonyesha Hamisa bado anampenda dai shoga utakiwi uliomfanyia umesahau haaaaa
@lisajackson58673 жыл бұрын
mwenzangu gundu kweli
@anniesilvester43153 жыл бұрын
Daaah,Hamisa kaa mbali kuwa na busy na mambo yako atakufata akiona unafaa
@louangesid3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭 mama mungu anakuona
@asinathasinath50903 жыл бұрын
Jaman haoo mashabiki wananivunja mbavu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lydiakemuntookindo72543 жыл бұрын
Hamisa yeye anaonakana desparate,yaani unaforce upendwe mamamkwe
@yusrasalmin95633 жыл бұрын
Haki hizi online tv nazo ni chonganishi,mmh
@nathaliefikiri50033 жыл бұрын
You broke her family what you think, you can’t make her like you if she not ready
@ELISSKGTV3 жыл бұрын
Adui wa mwanamke ni mwanamke, wewe ni nyoka
@stephanieeunice85723 жыл бұрын
Family gani
@nathaliefikiri50033 жыл бұрын
@@stephanieeunice8572 Let me refresh your mind if you don’t follow this family once upon a time zari and diamond had a family had two beautiful kids and then hamisa come along,so diamond said he was going to be there for his child since he cheated on his girlfriend had a whole baby he’s gonna be a good father but Hamisa wanted the world to know that diamond was the baby daddy and she never apologize for coming between Zari and diamond family, mama diamond, loved Zari kids they were happy family, so whenever she is ready she will accept her.
Kama hamkubali hamissa lkn mungu anampenda nibasi siolazima binadamu wakupende
@ashaali71543 жыл бұрын
Anaombwa amsamehe yeye ni Mungu aende huko mtu mzima asiyejijua wala kujitambua alikotokea.
@aishandayishimiye51273 жыл бұрын
Amprnde asimpende kilicho andikwa ndicho kitakuwa kupendwa na bibi haina maana hao wajuku ndio watakao kufaa. Anajisumbuwa bibi mwagiliya zote.
@KhadijaKhadija-cv9db3 жыл бұрын
Kuna Leo na kesho we mama haya ni maisha tu tunapita
@gagedamoursarusaru80793 жыл бұрын
Moto hii 🔥🔥🔥
@irenekatumwa59633 жыл бұрын
Hamisa nakpenda ila acha kujipendekeza kwa hawa watu
@aminanamoyo833 жыл бұрын
Si kila mja atakupenda ila mungu wetu hana ubaguzi anatupenda waja wake bila kubagua kwanini sisi twabagua?so sad 😔
@jasmineshemweta45473 жыл бұрын
Hamisa wala usijali sio wewe tu unao chukiwa Sisi tuko na wtt kuanzia Baba yao na familia Yao yote lkn maisha yanaenda
@maureenswai32753 жыл бұрын
Malipo na hapa hapa Dunia kila kitu vitasemaa
@shanatatrigger65373 жыл бұрын
Mama Dangote amsamehe tu hii ni dunia na tunapita pia Hamisa kashajishusha
@queenbellamicky77453 жыл бұрын
Ndo shida ya kupata pesa uzeeni,yeye ndo wa kwanza kuwa mama apa duniani?
@chusseboywcb28083 ай бұрын
Wanawake watanzania acheni taamaaa ukiamua kuzzaa namtu simama nae. Sasa tamaa zinawapoza tukisema tufatilie wanaume wa Tanzania wengi wanawatoto bandia sanaa sababu wanawake wabongo elim hakuna
@mwanaidisuriah30723 жыл бұрын
This mama will never see heaven
@nyabukitundu29293 жыл бұрын
Hamisa kama unataka kusamehewa . Nadhani wewe ni muislamu basi kumbuka kuhusu ulivyokuwa unafanya unajifungua mpaka wa arobain jaribu kumwogopa mungu hamisa achana na mitandao huu mama alikuwa anakupenda sana.kumbuka ulivyokuwa hospital achana kwanini utaki kutafuta watu wazima na Dini zenu ni mmoja naamini sana huyu atampokea mjukuu kama kweli ni damu wake.
@alicesamson63163 жыл бұрын
Misa nae kazidi mtto anaangaliwa yeye kila kukicha dai dai katowa nyimbo imesahaulika yanayo ongelewa sasa ni mama dangote
@simonitaagesti36573 жыл бұрын
Watajuana wenyewe
@madamboss3483 жыл бұрын
Dylan n mtoto wa jaguar hata mama dangote anajua
@rehemashafi48093 жыл бұрын
Mama dangote balaa mhmm
@hotcakerealcake54123 жыл бұрын
Sasa huyo mama nani msuri kwake? Kila binti ni mbaya,? Mwanaye ako chini ya miguu yake, yeye asalishe tu na alee
@rebeccachikuru76053 жыл бұрын
Inawezekana uyu hamisa alimukoseya adabu mama dagonte njomana. Ni kwa hamisa kwenda kuomba musamaha
@mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын
Huyo Hamisa nae asikii toka amekataliwa ni leo??! Kwa nini asiwachunie km wao hawamutaki?!.
@ndeletwaswai35303 жыл бұрын
Hamisa acha kujikomba mama hawakutaki we bado tu.
@furahalawi9413 жыл бұрын
We ni mrembo mama
@firdausiabdulkarim24243 жыл бұрын
Hamisa alizid kujipendekeza alijua zar ataachwa jumla mungu kamrudishia ubaya wake mwenyewe 😏😏
@zulfamohamed45493 жыл бұрын
Uyo mama dangot anajion amefik apa dunian kumbe ajui punzi ndiy inamsumbua ila atambue nitunia t hi
@wanaupendotv71833 жыл бұрын
Ni hatari kama hataki amuache tunaomba sapoti yenu muangaliya vitu vyetu ndo bado tunaanza bila nyiye hatutafika
@healthchoicewithluciebern87413 жыл бұрын
Anaye mpa mama yake kiburi ni Diamond, ila Diamond iyo ni damuyako 100% unazaraulisha mwanao nasio Hamisa
@rayanndizeyes31613 жыл бұрын
oke
@faustermathiasfaustet53623 жыл бұрын
Oooh!!
@witnessemmanuel87853 жыл бұрын
Yaniii nashangaaa,MUNGU pekee ndiee ananyooshaga watu,huyo bibi anakusumbua na nini?unajishusha sana,kwanza hajui kumuombea mwanae anavyotembea na wadada hovyo,nanyie wadada wala hamuogopi maradhi,na uchafu,IPO siku Mtatubu kila mtu kwa nafsi yake
@husnamanase39432 жыл бұрын
Huyu mama nimshama siku zote maskini akaipata matako ulia mbwata
@joynamagembe57033 жыл бұрын
Kindly translate for me, what's it about 🙏
@rahabnyambura6883 жыл бұрын
Hamisa your beautiful young ad handworking,just move on ad let this diamond ad family be....stop even mentioning them just move on dear
@anitakamene50733 жыл бұрын
Nice
@janejoseph90093 жыл бұрын
mambo ya familia hutakiwi kusema mtandaoni alfu pia hamisa hatakiwi kulazimisha mambo mwanamke funga mdomo wako ongea kidogo sasa ww unaulizwa kidogo bas unaongea yotee
@IHIRWE1463 жыл бұрын
Kitu mama Dangote anatikia kujyua Hata hamissa amemkusoea kiasai gani akumbuk kwamb Mtoto Ni Mtu mwema hana kosalolote Haoni kilichotakia katika Mtoto wake diamond NA babaake daaaahhhh Maisha haa😊
@juliusjaliwa98873 жыл бұрын
Yamungu nimengi yakuku mayai namwanaume ni Mkr......, so yeye huyu mwanamuke ajiweke juu mara sijuwi nini kwa masharti yaku lala na mtoto wako eti awe maharufu nakupata utajiri soon tutakuwa nastori tofauti hapa hapa kwa media, unajifanya wewe ndio mungu nahuyo Hamisa achane nao, huwezi lazimisha ambaye anakuchukia eti akupende kamwe, and huwezi zuwiya mkundu kunyamba so stop that nonsense and move on, watu wenyewe umarufu na pesa ila afya niyawasi wasi nivile ninyi hamuja kutana nao kama bado hawaja paka makeup duuuuuu utajiuliza ni misukule ilio hai au vipi daaaaaa polesana .
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Wa kwanza alie comment kanikosha kwakweli, sasa anawafundisha nini watoto wengine, simkubali kabisa uyu Bibi kwa mbwembwe zake za kijinga 😏😏😏😏
@agwalubifaridah70793 жыл бұрын
Hamisa naye mbona king'ang'anizi c ashughulike na maisha yake kama hupendwi hupendwi tu .
@rosemarymathew92153 жыл бұрын
Kaza achana na huyo mama
@teedullah57083 жыл бұрын
Daa tafuta mahali uketi Sasa km waomba msamaha hataki muache lkn aketi akijuwa tukumbukeni siku ya mwisho km mtt WA mwenzi we akusakama tu na maneno tusidanqanyike na pmzi jamani tukumbukeni munqu
@scollapatric83423 жыл бұрын
Duh kwakweli lakin wewe mama diamond mungu anakuona, kwann unafanyia hivyo mtoto wa mwanamke mwenzio?
@aeeazz81703 жыл бұрын
Hamissa mdogo wangu pambana na maisha achana na mambo yami tandao huyo mtoto hatakama bibi yake hamjili we usihofu tambuwa kuwa ipo siku atamtafuta tu