MAMA DIAMOND NA ESMA WAITAKA NDOA YA JUMA LOKOLE NA AMINA MWENYE MAJINI

  Рет қаралды 507,942

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 1 900
@bjzee1981
@bjzee1981 3 жыл бұрын
Kwa hivyo mna m support kuuza vijora. Mi nwenyewe jini wangu anamtamani uncle Shamte
@laylatmlacha4729
@laylatmlacha4729 3 жыл бұрын
Una utani ns mama dangote
@fatmamshangama9824
@fatmamshangama9824 3 жыл бұрын
Utanyonyolewa nywele na kucha na mama dangote
@ayubuidd6664
@ayubuidd6664 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🙌
@sumecute2513
@sumecute2513 3 жыл бұрын
😅😅😅umenishinda tabia😁😁😁
@agnessnkana8079
@agnessnkana8079 3 жыл бұрын
Hahahaaaaaaa 😂😂😂
@ghulamjuma2883
@ghulamjuma2883 3 жыл бұрын
Huyu dada yupo serious lkn hii familia sio kabisa dada Amina hapo sipo kabisaaaaaaaa
@hadijajumanne5493
@hadijajumanne5493 3 жыл бұрын
Ulishawai kuolewa nini kwenye hii familia tujuze
@ghulamjuma2883
@ghulamjuma2883 3 жыл бұрын
@@hadijajumanne5493kuwa na heshima dada
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 3 жыл бұрын
Kitamkuta kitu
@khadijabarut9806
@khadijabarut9806 3 жыл бұрын
Jaman mmmm
@rukiakhamsin9220
@rukiakhamsin9220 3 жыл бұрын
Jamani mama -dangote na mama mwajuma nimewapenda bure 🥰🥰🥰❤❤❤❤❤❤
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 3 жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@lovvy854
@lovvy854 3 жыл бұрын
Wazee wa busara
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 3 жыл бұрын
Me 2 💞🌹💋
@kassimukipingu5343
@kassimukipingu5343 3 жыл бұрын
Nani kaskia sijaskia itika yako mama dangote gonga like ya nguvu twende sawa
@hassanabubakar3001
@hassanabubakar3001 3 жыл бұрын
Kumbe mama dangote ni mtamu ana roho nzuri 😘😘😘 Firdaus from 🇬🇧
@aishasuleimanisuleimaniais9037
@aishasuleimanisuleimaniais9037 3 жыл бұрын
Hapo hamna mashetani Wala Nini sema anampenda to juma
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
@@aishasuleimanisuleimaniais9037 mamadangote mtam bhana
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 3 жыл бұрын
Mama dangote Ana siasa na utani kabisa(masihara)
@beshuuambarali4960
@beshuuambarali4960 3 жыл бұрын
Roho nzrii kweny interview to ukwlii wake anaujuaa mwenyw
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
@@beshuuambarali4960 😅
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 3 жыл бұрын
Mungu ninusuru na aibu kama hizi wallah😂🤣
@chunaamina8719
@chunaamina8719 3 жыл бұрын
Tena atunusuru sote maana km mm sitaki kbsaa😂😂
@jasmineedamu6089
@jasmineedamu6089 3 жыл бұрын
Amiin inshaallah mpenzi
@lucylucy3678
@lucylucy3678 3 жыл бұрын
Yani mm naona haibu kweli wakiaa hii family inacheka tu il kw sas wanasapot kwal dada yetu haibu kweli asingefny ivo kweli😭
@lucylucy3678
@lucylucy3678 3 жыл бұрын
@sheshi beshi sema nishaingia
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 3 жыл бұрын
Hakika mwenyewe imeniuma dada kujifezehesha
@kennedyombewa7974
@kennedyombewa7974 3 жыл бұрын
alochekeshwa na mau agonge like
@josephinebintialuviministr5517
@josephinebintialuviministr5517 3 жыл бұрын
She’s so cutie and humble ,,,,Len me express my feel too for na mimi nampenda Aristote😂
@agathakatumba4736
@agathakatumba4736 3 жыл бұрын
Jamani jamani muogopeni Mungu,huyu dada anatia huruma,kama hamtaki basi mwambieni kiustaarabu asijiskie vibaya.
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
lakini kashajua kuwa hawamtaki ila 2anajitia wazim
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 жыл бұрын
@@heyumi2340 😀😀😀
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
@@saumusalimuhassan2499 ndio ww juma kashasema hamtaki lakini bado wacha ajidhalilishe
@uwitekamimy3431
@uwitekamimy3431 3 жыл бұрын
@@heyumi2340 Kweli aache zake 😂 Apo ingelikua ka mdada katam wangekubali hawa 😂🤣😂
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
@@uwitekamimy3431 hayo c mbaya ila tukuowa au kuolewa mpaka uridhike aidha mwanamke au mwanaume huwezi kuoa mty ambae hampendi
@AhishakiyeAsha
@AhishakiyeAsha 4 ай бұрын
Esma lafiki Jamaica wewe ndo tunahitaji kwa hama msisha❤❤❤❤
@hasinarashid5059
@hasinarashid5059 3 жыл бұрын
Jamaaaan mbonaa kamaa aibu!!! 🤗 Ni aibu kwakweli mhhhh mm boraa niumiew nalo moyoni had liniueee🤩🤩
@sabinanjeri1208
@sabinanjeri1208 3 жыл бұрын
I second u
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 жыл бұрын
Aibu sana jmn wanawake tupambane tutafute pesa
@hadijambunda7099
@hadijambunda7099 3 жыл бұрын
Mh jamani namm kunawanaume ananilia kama hivyo
@cideboy4676
@cideboy4676 3 жыл бұрын
@@hadijambunda7099 Sasa siumkubli au shida nin
@Nurahnura
@Nurahnura 2 ай бұрын
Mwenzangu wew ni kam mimi
@kamanda007
@kamanda007 3 жыл бұрын
Lokole leo komeshwa mbaya mbovu🤣🤣..I like Esma na mama Diamond walivyompokea
@godwingideon8608
@godwingideon8608 3 жыл бұрын
Juma ukotayali
@cathmavindi9831
@cathmavindi9831 3 жыл бұрын
Mmmm atali
@judyjudy2758
@judyjudy2758 3 жыл бұрын
Kujichoresha jamani ,kwani waume waneisha,,,Esma nakupenda bure ❤️❤️❤️❤️
@ayishaayisha8053
@ayishaayisha8053 3 жыл бұрын
Mungu atusaidiye watoto wrtu
@connorboomboy1098
@connorboomboy1098 3 жыл бұрын
Una roho mbaya kama jina lako Judy una support uchawi tu huna lolote husda imekujaa na singine hapo ulipo ujaolewa 😏😏😏😏😏🙌😏😏😏
@salamakombo3257
@salamakombo3257 3 жыл бұрын
Jamani
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 3 жыл бұрын
@@connorboomboy1098 kabisa esma boyo tu
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
@@connorboomboy1098 kwan kutokuolewa dhambi? Pumbavu Sana ww
@uwitekamimy3431
@uwitekamimy3431 3 жыл бұрын
😂😂😂 Si bora Mimi ndo ningekua huyo Dada nipate kukutana na ESMA,, JUMA na MAMA DANGONTE 🤗💕
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@ZINDUKAMUISILAMU30
@ZINDUKAMUISILAMU30 3 жыл бұрын
Wasafi mungu anakuoneni
@saidabdulkadirmjahid8255
@saidabdulkadirmjahid8255 3 жыл бұрын
"Sijaskia itika yako" mama dangote to Uncle shamte🙌🙌
@aroundtheglobe8041
@aroundtheglobe8041 3 жыл бұрын
😂😂😂Wabongo nyie... Love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 3 жыл бұрын
Aiii!! 🤣🤣🤣🤣 watu Wana jua kujitoa fahamu jamani khaaa!!! 😂😂 Mama donge Ana uliza 😂😂 WAZAZI WAKO WANAJUA KAMA UMEKUJA HAPA😂🤣🤣🤣. MUNGU UNIFANYE HIVI HIVI NISI ZIBUKE KICHWA
@zuleikhaahmed7220
@zuleikhaahmed7220 3 жыл бұрын
Makubwa 😅😅😅
@carolynembithi6629
@carolynembithi6629 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 жыл бұрын
Mashallah, Amina she is beautiful 😘
@zaerajuma9159
@zaerajuma9159 3 жыл бұрын
Ata wey mzuri piya naona
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 3 жыл бұрын
From 🇧🇮 Saudia Esma una roho baya sana wa zazi wamerizia ila wewe unaleta maneno ya unafiki apa 😏😏😏😏
@iradukundamike5370
@iradukundamike5370 3 жыл бұрын
Nimusenge hana roho ya ubinadamu uyo yuda
@felistersmejumaa5188
@felistersmejumaa5188 3 жыл бұрын
Saudia gni hii bendera 🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Umeidhalilisha nchi yako iyo hawanaga maneno ya kadhia km yako
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
@@felistersmejumaa5188 Burundi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@cessianthony2644
@cessianthony2644 3 жыл бұрын
Jini hili hapa
@fatmarashidmusafatma5218
@fatmarashidmusafatma5218 2 жыл бұрын
Yachekesha 😄😄 Ila mama dangote Masha Allah Ana moyo wa huruma na
@كاشيعبدالله
@كاشيعبدالله 3 жыл бұрын
Ila juma mwanamke mzru mashaallah
@zuhurajumapore2243
@zuhurajumapore2243 3 жыл бұрын
Mimi pia naitwa Amina namtaka uyo mtangazaji wa wasafi majina ya Amina ni makubwa sna akipenda kapemda kweli
@angelinaomare9015
@angelinaomare9015 3 жыл бұрын
Esma Hilo jambo limemkwaza ni kama Esma wanatoka na Juma
@TheSalma1999
@TheSalma1999 3 жыл бұрын
Jamani huyu Kaka mau yuko so sweet mweupe mzuri amambembeleza achana na juma muoe huyo Kaka mau mtanga mwenzio Mau nioe mimi ukje USA baba yangu ok
@mamunote3507
@mamunote3507 3 жыл бұрын
Mashallah Msichana WA watu anatia imani
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 3 жыл бұрын
Anatia aibu sio haya pumbavu mmoja huyo kujidhalilisha tu
@catherinemasiga6666
@catherinemasiga6666 3 жыл бұрын
Mjinga
@rehemajuma4915
@rehemajuma4915 3 жыл бұрын
ESMA unaboaaa your talking too much ndio maana ndoa zinakushinda mweeeee
@estherwilliam4675
@estherwilliam4675 3 жыл бұрын
@@zuweinaalhabsya8773 kweli kabisa anajitia aibu na kujizalilisha tu
@hamisizuberi2163
@hamisizuberi2163 3 жыл бұрын
Nikweli kabisa dada Yuko siriasi lakini familia husika inachukulia jambo Hilo nikama wanafanya shooo na sio kama dhumuni la dada Amina mimi nikushauri dada Amina mungu anajuwa mumeo ni nani kikubwa omba dua sana mungu akuonyeshe mume mahususi Kwa ajili Yako inshaallah Mana kuna wanawake wanakataa ndoa na wengine kutamani kuachika lakini wewe umeamua Kuacha zinaaa na kuiendea nusu ya dini yangu hayo tu.
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 3 жыл бұрын
Jaman niko Dubai 🇦🇪kiti Changu kinamtaka Dimond nyange anione please mchaga og fanya mipango na interview online ili niongee na diamond
@asmaafamau8307
@asmaafamau8307 3 жыл бұрын
😂😂😂😂👍👍👍
@douglassabiti3977
@douglassabiti3977 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mwanaidmajani856
@mwanaidmajani856 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣haki nimechek mpk bsiii kwa staili hii n mimi chea wangu anamtaka reyvan mchga afany mambo
@lydiahmayaka9399
@lydiahmayaka9399 3 жыл бұрын
🤭🤣🤣🤣
@pascalponera2564
@pascalponera2564 3 жыл бұрын
Akii nmecheka 🤣🤣
@dailygossip9919
@dailygossip9919 3 жыл бұрын
I did not expect mama dangote to be that excited that was shocking nilidhani atamfukuza😂😂😂😂
@nginirasaire5876
@nginirasaire5876 3 жыл бұрын
This is all staged
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 3 жыл бұрын
Huyu dada mzuri Mwenyewe mashallah
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
uzuri ni tabia na hili analolifanya hana tabia hata chembe . km mashetani yamempenda Juma kwa nini wasimfanye Juma akampenda huyo mwanamke tangu mwanzo kuliko kumuacha mwanamke akadhalilika ? hana shetani huyo ni nyege tu hizo
@maujanjatv24h41
@maujanjatv24h41 3 жыл бұрын
@@kiri5807 😂😂
@maryamuabdul1535
@maryamuabdul1535 3 жыл бұрын
😂😂😂😂kiri mungu anakuona
@munawwarabeid8634
@munawwarabeid8634 3 жыл бұрын
@@kiri5807 nimecheka kwa sauti eti ni niniii inamsumbua 😂😂😂
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
@@munawwarabeid8634 😂😂😂
@habiliymussa4259
@habiliymussa4259 3 жыл бұрын
Japo anajini mimi namtk kwangu mm ndo mzur sana kwangu mtu mwenye shitani 🤲
@laylahasshim827
@laylahasshim827 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@khadijakiba3587
@khadijakiba3587 3 жыл бұрын
😁😁😁😁shitaji ,jin makata
@MaryamSimai-b9f
@MaryamSimai-b9f 2 ай бұрын
Mapenzi majani
@MaryamSimai-b9f
@MaryamSimai-b9f 2 ай бұрын
Shetani la juma halijaridhia
@MaryamSimai-b9f
@MaryamSimai-b9f 2 ай бұрын
Wote mashetani hao
@lifestyle8569
@lifestyle8569 3 жыл бұрын
Mi nataka kuolewa na mau...nmempenda jamani na si jini ni moyo wangu😍😍😍
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 3 жыл бұрын
Nipende mimi bas nataka kuoa
@pascalponera2564
@pascalponera2564 3 жыл бұрын
😂umeniacha hoi
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 3 жыл бұрын
Huyu esmaa ataolewa kweli adumu Kwa ndoa ,,huyu Dada anamdomo Sana duh 😡
@rosegodlove1956
@rosegodlove1956 3 жыл бұрын
Yaan ni kiherehere hatar 😂
@aminaamina-xj6qs
@aminaamina-xj6qs 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣esmaa kihere hereeeeeeeeee
@davisoute5405
@davisoute5405 3 жыл бұрын
Mwili inakomaa
@tabuomary1016
@tabuomary1016 3 жыл бұрын
Esma anachangamsha tu.binadamu Ni wagumu kumuelewa.
@edwintouches
@edwintouches 3 жыл бұрын
Bongo Vituko Haviishi 😂😂😂 Nimependa Lakini, Nimecheka Dah! Mama Dangote Bana!!!!
@hamzanasry8011
@hamzanasry8011 3 жыл бұрын
Yani bongo hawaishiwi vituko kila kukicha
@edwintouches
@edwintouches 3 жыл бұрын
@@hamzanasry8011 Ni balaa
@swiryjekalungi1090
@swiryjekalungi1090 3 жыл бұрын
Mama dangote is so funny what a happy family Ma Sha Allah
@frankjanualy2895
@frankjanualy2895 3 жыл бұрын
Mamb mremb
@meebee2586
@meebee2586 3 жыл бұрын
Mau you are very intelligent, wise, sefless
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 жыл бұрын
Hakiamungu Juma kapatikana muowe tu jamani mbona mdada mzuli tu mashaallah Kwan nn shida Sema Juma kachukia kweli yani
@zaerajuma9159
@zaerajuma9159 3 жыл бұрын
Kwel mzuri
@faridajarisch8360
@faridajarisch8360 3 жыл бұрын
She's beautiful anyway.
@najmaibrahim1536
@najmaibrahim1536 3 жыл бұрын
Sana
@rehemajuma4915
@rehemajuma4915 3 жыл бұрын
ESMA Ana mdomooo Kama chiriku
@happinessmtalika16
@happinessmtalika16 3 жыл бұрын
Mbona huyu dada anajifedheesha sanaa inaniumaa daah
@natashafrancis705
@natashafrancis705 3 жыл бұрын
Sikuizi ukichelewa unakoseya kabisaaa dada hongera umetimiza maandiko
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
🤣
@rehemadavid2680
@rehemadavid2680 3 жыл бұрын
Anaweza kufa mwishowe jamno si vizuri nawaambia mungu anawaona na wewe juma kuwa kama mwanaume mungu yupo nawaambia
@tresiakaovela9109
@tresiakaovela9109 3 жыл бұрын
Mimi.mwenyewe kiti.anamtaka.daimond kesho nakuja.wasafi
@gressjoseph5615
@gressjoseph5615 3 жыл бұрын
Haaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaa
@laylahasshim827
@laylahasshim827 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ayushjhay1979
@ayushjhay1979 3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@ZainabuAdamu-c5v
@ZainabuAdamu-c5v 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@irenemkoka7369
@irenemkoka7369 3 жыл бұрын
Yani mnajua kuecti sanaa yenu yamaigizo kikundi chenu ni chakaole au futuhi big up
@aishaaisha1495
@aishaaisha1495 3 жыл бұрын
We dada juma hakutak jiongezeee
@rehemakei8155
@rehemakei8155 3 жыл бұрын
Wsnapenda kik huyu dada atapata shida juma atakapo amua kuoa atajiuwa Hfanawashauri jamani
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
mgonjwa huyu
@aishaaisha1495
@aishaaisha1495 3 жыл бұрын
@@kiri5807 kwel jmn
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
@@aishaaisha1495 wao wanaona wamepata kichekesho , lakini huyu lady ana matatizo .
@aishaaisha1495
@aishaaisha1495 3 жыл бұрын
@@kiri5807 ndo hvo tumpe pole mwanamke mwezetu huko ni kujidhalilisha mume mwenyewe hamtak
@malikzafarani172
@malikzafarani172 3 жыл бұрын
YUDA JUMA MCHEPUKO WAKO NN MBONA UNAMTETEA SANA 🇶🇦
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 3 жыл бұрын
Ndio hivyo
@princessoprah9908
@princessoprah9908 3 жыл бұрын
Ndy
@rehmamussa9749
@rehmamussa9749 3 жыл бұрын
🥰
@faridaabdallah2213
@faridaabdallah2213 3 жыл бұрын
😂😂😂
@rehmamussa9749
@rehmamussa9749 3 жыл бұрын
🥰🥰🥰
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 3 жыл бұрын
Juma kbaki mdogo km kidonge cha priton🤣🤣🤣haaaaa mdomon komaaaaa wewww
@issaomary9402
@issaomary9402 3 жыл бұрын
Namm nnajin mleten
@rehemambito7989
@rehemambito7989 3 жыл бұрын
This series is rocking😂😂😂
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
Sanaaaaa
@jeanemile1005
@jeanemile1005 3 жыл бұрын
Wasafi nawapenda sana
@bashirkaitaba7465
@bashirkaitaba7465 3 жыл бұрын
Xiujinga2 huo
@dangomc_official
@dangomc_official 3 жыл бұрын
IvI mchaga unajua ww soo wa kuripot upuuzi km huo wee ni next level waachie hayo mambo kina dida
@alenpaschal1261
@alenpaschal1261 3 жыл бұрын
Alikua anaposti waganga sasa ndo yamekolea🤣🤣🤣
@evelinaluvata1471
@evelinaluvata1471 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@joookahjokah8430
@joookahjokah8430 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
😂 jamani jamani khaaa
@TheSalma1999
@TheSalma1999 3 жыл бұрын
Mzuri huyo dada wow mash Allah
@dullahshaaban9050
@dullahshaaban9050 3 жыл бұрын
Hiyo familia inadharau kudadeki masikini akipata matako ulia mbwata....✍️✍️✍️
@tausilazaro2477
@tausilazaro2477 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bensimon7330
@bensimon7330 3 жыл бұрын
This family I like
@faridajarisch8360
@faridajarisch8360 3 жыл бұрын
You guys are not going to kill me. I can't stop laughing. This is so funny at the same time, serious, as well. 🤣🤣🤣🤣🇨🇰
@natashafrancis705
@natashafrancis705 3 жыл бұрын
Juma mbona ivo umeika kama muchawi leo umekoma haya kaowe ilausitiyemudomo kesho eti woo
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 3 жыл бұрын
Esma kumbe anaroho mbaya ajabu mama dangote leo nimekupenda
@meerahskitchen.loosingweig2535
@meerahskitchen.loosingweig2535 3 жыл бұрын
Juma, anakoeleke atakua manara umaarufu kumshinda boss yani unapendwa hadi ma majini
@winniekate3475
@winniekate3475 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@prosperchilongola8389
@prosperchilongola8389 3 жыл бұрын
263226
@zenabilal4783
@zenabilal4783 3 жыл бұрын
MashAllah Amina mrembo na yuampenda juma,juma lokole nayor muoga mpaka jasho lamtoka😁😁😁😁
@worldoffuraha7709
@worldoffuraha7709 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂hangekuwa na majini juma alikuwa tiyari
@Adeen.1
@Adeen.1 3 жыл бұрын
Esma unavyopambania au mnanyanduanaga kishikaji unaogopa asikupeperushie juma
@christinedaw4686
@christinedaw4686 3 жыл бұрын
Mchaga OG!! Kipindi kizuri sana hiki. It’s like Kadashian show! Endelea hivyo hivyo. Juma Lokole kapatikana. Juma leta mtu wako tumjue ili huyu dada akuache. Mau roho safi.
@musajuma7287
@musajuma7287 3 жыл бұрын
Eti tunataka mtu mwenye shuhuli SAS wewe mwenyewe umewekwa na diamond apo,🥰
@thabitimkufi7388
@thabitimkufi7388 3 жыл бұрын
Umeonaee
@olivervalentino9788
@olivervalentino9788 3 жыл бұрын
Kina wivu sijui kinataka kuolewa chenyewe
@maryamuabdul1535
@maryamuabdul1535 3 жыл бұрын
Hatar na nus tusio na kaz wal shuhul nishida
@thabitimkufi7388
@thabitimkufi7388 3 жыл бұрын
@@maryamuabdul1535 kinaroho mbaya sana hicho kidada
@maryamuabdul1535
@maryamuabdul1535 3 жыл бұрын
Tena isio kifan anaon maisha ameyapatia ndio mana kinazarau
@Maryam-vj1rb
@Maryam-vj1rb 3 жыл бұрын
😂😂😂jasho inamtoka maskini juma
@mohirabbi3922
@mohirabbi3922 3 жыл бұрын
Maskini mwache anuone huluma huyu dada
@missmannydxb
@missmannydxb 3 жыл бұрын
Mwana dada mzuri mashallah tabarakallah
@salamahamadisudi1912
@salamahamadisudi1912 3 жыл бұрын
Mwanamume ndio ana faha kumpenda mwanamke wa kwanza maana mwanamke ukimpenda mwanamume wa kwanza baadae mukija mukiteta mwanamume atakutamkia kuwa mimi Ata siku kupenda wewe ndio ulinipenda
@azizahamisi7349
@azizahamisi7349 3 жыл бұрын
Kweli 💯
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 3 жыл бұрын
Kweli kabisaa
@fatmasuleiman9366
@fatmasuleiman9366 2 жыл бұрын
Wah noma zaidi hyo majini yke noma kweli yaani hamtaki mwengine ila juma 2
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 3 жыл бұрын
Wanawake jamani...kwanini achoreke hivyo alikuwa na uwezo wa kumfata private bila hata ma camera...this is very shameful angesaidiwa kumuona kwa njia yeyote ile..wasafi wao wanamtumia kwa kuingiza pesa yeye anajidhalilisha tu na anavyocheka cheka...she is way too beautiful for this drama kwakwel
@nellyrehani593
@nellyrehani593 3 жыл бұрын
Si anasema alikuwa anatuma message ku whatsapp ila akukuwa anajibiwa
@janeshigami8769
@janeshigami8769 3 жыл бұрын
Huyu dada Amina....kwa kulia...ni nambari moja....
@j...876
@j...876 3 жыл бұрын
The lady is very nice and beautiful
@monicahovda4524
@monicahovda4524 3 жыл бұрын
Yes She is indeed beatiful. Forget about those demon challenging her
@ashamuhammed3685
@ashamuhammed3685 3 жыл бұрын
Mtihani huu
@hawaahamis6179
@hawaahamis6179 3 жыл бұрын
Amina somo yangu njoo tuolewe na mume wangu tuwe waliwi bac wasikidhalilishe bule hao
@aishaibrahim5607
@aishaibrahim5607 3 жыл бұрын
Wanamsanifu tyu hakuna ndoa apo juma hana mapenz na uyo dada
@rehemaothman2200
@rehemaothman2200 3 жыл бұрын
Kuna ka ukweli flani
@deelissa2746
@deelissa2746 3 жыл бұрын
Angemfanya tu hata Mara moja bas alizike😂
@aishaibrahim5607
@aishaibrahim5607 3 жыл бұрын
@@deelissa2746 kwanz uyo dada anamoyo sana ningekuwa mm juma kusema tyu staki ningesha sepa
@calvinchaula5941
@calvinchaula5941 3 жыл бұрын
Mama dangote mswahili sana ety nskupenda Mme wangu
@malmavoice8989
@malmavoice8989 3 жыл бұрын
Esma na Juma wanadate sio bure.
@saitakitalika71
@saitakitalika71 3 жыл бұрын
Haswaaa
@malmavoice8989
@malmavoice8989 3 жыл бұрын
@@saitakitalika71 umeona e?!
@saitakitalika71
@saitakitalika71 3 жыл бұрын
Maana so kwakumkingia kifua kule anamtumia esma khaa
@sophiashayo1996
@sophiashayo1996 3 жыл бұрын
😁😁
@faridaelia1877
@faridaelia1877 3 жыл бұрын
Yan syo bule ukutue yy ndo mtu wa juma
@chunaamina8719
@chunaamina8719 3 жыл бұрын
Subhanah Allah yani dada kujidhalilisha hvyo, duu alafu huyu Esma km hayumo yaani wingi wa akili huondoa maarifa ndio hakai kwenye ndoa akatulia, tena hii familia haina dini kbsaa😥😥
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
Wezako wanaona washamaliza kila kitu
@chunaamina8719
@chunaamina8719 3 жыл бұрын
Hakuna mkamilfu hapa duniani Allah Atuongoze sote ktk mambo ya kheri
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 3 жыл бұрын
Juma kachukia😂😂😂
@deelissa2746
@deelissa2746 3 жыл бұрын
Hata mim ningekasirika maana unakosa uhuru
@fatmaamran2094
@fatmaamran2094 3 жыл бұрын
Esma anaongea sana ,alafu anawivu kweli ,sio bure anatoka na Juma
@maryamjey6340
@maryamjey6340 3 жыл бұрын
Hawa watu wanatiana sio masihara🤣🤣
@fatmaamran2094
@fatmaamran2094 3 жыл бұрын
@@maryamjey6340 😂😂😂😂😂
@salsashmomy
@salsashmomy 3 жыл бұрын
na mm nahisi ivo ivo kama wanatiana tiana
@ashabarongo1435
@ashabarongo1435 3 жыл бұрын
Umeonaa hee
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Esma anatoka na uchebe sio lokole
@ayshajumaa7310
@ayshajumaa7310 3 жыл бұрын
Esma me sijapenda etii mnataka wanawake wenye shughuli zao mxiuuw
@karamanazareno1556
@karamanazareno1556 3 жыл бұрын
yaani mwenyewe sijapenda, uyooo dada anatabasamu bc tu ila uswahili waliokuonyesha hajapenda
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 жыл бұрын
Ni kweli kasema...kwan uongo
@ikramabdalah4792
@ikramabdalah4792 3 жыл бұрын
Esma anajiona hii dunia kafika
@happynesstevinehappynesste6054
@happynesstevinehappynesste6054 3 жыл бұрын
Jamani dunia imefika kikomo duuu!!! Daesma uko saivi dadangu love me???
@OfficialA83640
@OfficialA83640 3 жыл бұрын
Juma kazi unayo😂😂😂😂 Huyu dada jaman aibu naona mie huku dah anatudhalilishia jina la wazazi wetu
@rahmaidd6277
@rahmaidd6277 3 жыл бұрын
Usikasirikeee me mwenyew nmechokaaa🤣🤣🤣🤣🤣
@OfficialA83640
@OfficialA83640 3 жыл бұрын
@@rahmaidd6277 anakera sana
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 3 жыл бұрын
Yaan anajidhalilisha kweli huyu dd
@sabihaibrahim3393
@sabihaibrahim3393 3 жыл бұрын
Usimuingize mtume.kwenye upuuzi
@kassimmambo2279
@kassimmambo2279 3 жыл бұрын
🥱🥱😂😂😂😂
@aminammweteni5605
@aminammweteni5605 3 жыл бұрын
Amina unatuaibisha wenzio. huko ni kujidhalilisha Amina
@ZainabuAdamu-c5v
@ZainabuAdamu-c5v 8 ай бұрын
Kabisa
@MaryamSimai-b9f
@MaryamSimai-b9f 2 ай бұрын
Mapenzi
@irenejustine7493
@irenejustine7493 3 жыл бұрын
Dada kajizalilisha huyi 😂😂😂😂
@siphamohamed1781
@siphamohamed1781 3 жыл бұрын
Kabisa jaman anatuaibisha wadada jaman 😂
@catherinemasiga6666
@catherinemasiga6666 3 жыл бұрын
Hajui Hiyo familia
@khadijeegundumu4651
@khadijeegundumu4651 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 kbs
@credo7837
@credo7837 3 жыл бұрын
Hiv nikwel au wamempanga kumpa kiki juma
@bahiyaseleman5838
@bahiyaseleman5838 3 жыл бұрын
Siyo tu kujizalilisha yaan wadada tutafute kazi za kufanya wasichana wanateeseka ugaibun na makazi ya warabu wengine wanaigiza kutaka kuolewa na wanaume wa ajabu...ss huyu amina na wazazi wake sidhan kama wanajielewa.
@حسنيهاحمد-ل5ه
@حسنيهاحمد-ل5ه 3 жыл бұрын
Watching from Saudi arabia
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 3 жыл бұрын
Juma juma usipoowa safarihii tutaanza kupata wasiwasi na wewe 😄
@qatarqqt8013
@qatarqqt8013 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@ammarsalah5693
@ammarsalah5693 3 жыл бұрын
Mau eeee aiseee me am on your side broo tumsaidie tuu....
@annwangari1495
@annwangari1495 3 жыл бұрын
I'm very happy form Dubai
@anifajumajuma2681
@anifajumajuma2681 3 жыл бұрын
Mau uko vizuri
@mamunote3507
@mamunote3507 3 жыл бұрын
Nacheka mpaka sijiwezi
@kassimmambo2279
@kassimmambo2279 3 жыл бұрын
Cheka vzr usije ukadondoka kitandani
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 жыл бұрын
Kulikon
@001number
@001number 2 жыл бұрын
She so beautiful 🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌹🌹❤️🌹❤️💕💕💕
@jacobramale9685
@jacobramale9685 3 жыл бұрын
Muomba mungu hachoki, 🙏
@neemaruttahiwa2664
@neemaruttahiwa2664 3 жыл бұрын
Mmmmh mungu wangu naomba mungu aniepushe aibu hiii
@samirakiango957
@samirakiango957 3 жыл бұрын
Yani mm sjapenda uyu dada kajitoa faham kabisaa mpka huruma
@jannethmkwawa5667
@jannethmkwawa5667 3 жыл бұрын
Nimempenda mama DANGOTE kama mzazi hajamdharau binti kwa umasikini wake .MUNGU akubariki nami nataka nije hiyo harusi
@zainabmapezi5730
@zainabmapezi5730 2 жыл бұрын
Shetani linatulizwa
@negressmwanga8859
@negressmwanga8859 3 жыл бұрын
Huyu dada jamaniii 🙌 hajui kujiongez
@smsalama6540
@smsalama6540 3 жыл бұрын
Daaah mapenzi shikamoo🙌🙌🙌🙌
@oyay2821
@oyay2821 3 жыл бұрын
Mama Dangote ana uliza maswali yaliokwenda shule, na maoni yake aliotoa ni ya hakika,mama ana busara kweli kweli. Ila Juma ni simba wa circus au nyoka wa circus hana sumu haumi.
@Chemba67
@Chemba67 3 жыл бұрын
Dah noma hahahaha
@ramshizo9226
@ramshizo9226 3 жыл бұрын
Daa jamn Baht kwel
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 3 жыл бұрын
Mashallah dada kaumbika sura mpaka shape
@shaurimfungoni1772
@shaurimfungoni1772 3 жыл бұрын
Juma mwanamke akitaka umuoe inapaswa umuoe usiikatae ibada
@hamisaadamu8099
@hamisaadamu8099 3 жыл бұрын
Kama cja mpenda
@neemamdami7466
@neemamdami7466 3 жыл бұрын
@@hamisaadamu8099 hao mnaowapenda ndio wanaomiwasha na petrol
@wyclefmrphotographer3753
@wyclefmrphotographer3753 3 жыл бұрын
@@neemamdami7466 😂
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 3 жыл бұрын
@@neemamdami7466 Ni kwel kabisa ni Bora kuoa au kuolewa na mtu anayekupenda kuliko unayempenda ni mateso kuoa au kuolewa na unayempenda
@neemamdami7466
@neemamdami7466 3 жыл бұрын
@@tumainikomba9008 kabisaaa tunajidai ubishi tuu
@husnasaady7040
@husnasaady7040 3 жыл бұрын
Shoga kama wifi ndio huyo kazi unayo asma unaboa muache juma aongee hufai ata kidogo
@aminakipande5645
@aminakipande5645 3 жыл бұрын
mh balaa hili
@mohamedyngongo3904
@mohamedyngongo3904 3 жыл бұрын
Uyo ESMA atakuwa anatoka najuma
@galary8688
@galary8688 3 жыл бұрын
Naamuowe Ata kwa week 3 jaman amuowe aridhike basi alafu amuache
@beshuuambarali4960
@beshuuambarali4960 3 жыл бұрын
Dini haina masiharaa km kampendaa na Aowe na Suala la kuachnaa haina dramaa...
@salimsuleiman6969
@salimsuleiman6969 3 жыл бұрын
Dahh huruma wallah , lkn naww dada mbona wanaume wapo wengi unampenda punga hilo mamae
@kassimkijaz1149
@kassimkijaz1149 3 жыл бұрын
Lokole kapatikana week hii 😂😂😂
@mwanaishazain7985
@mwanaishazain7985 3 жыл бұрын
Sahihi ustadh
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 3 жыл бұрын
Jumaaaaaa leo ni leo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Matildariziki123
@Matildariziki123 3 жыл бұрын
Sisi kwetu Kenya hakuna mambo kama Haya ni yaaibu Sasa ona venye Ana dhalilishwa inahaja gani kujipeleka mtandaoni
@africanproudly4004
@africanproudly4004 3 жыл бұрын
Huku kujichoresha 🤣🤣🤣🤣
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 жыл бұрын
Saana jmn
@africanproudly4004
@africanproudly4004 3 жыл бұрын
@@salomewandya7257 na wanavo msanifu 🤷🏻‍♀️
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 3 жыл бұрын
Yaani wasichana wa siku hizi wanatia Aibu hana shetani wala Shetwan, nadhani hayuko sawa wangempiga makofi pale anapopandisha shetwan tuone kama atakimbia mbio zake hazikamatiki ,anawachezea akili na wanamsanifu sijui aoni Aibu huyu dada. Looooo bongo wanawake wengine Maria Aobu wallah
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
@@ashuraomar4935 anajua anaweza kuolewa na juma ila kajidhalilisha
@nasramiraji7716
@nasramiraji7716 3 жыл бұрын
Halafu wasaambaa ni watu wenye aibu mbona huyo dad's Hana aibu
BINTI ALILIA PENZI LA JUMA LOKOLE ASHINDWA KUJIZUIA AMVAMIA OFISINI
13:26
I Sent a Subscriber to Disneyland
0:27
MrBeast
Рет қаралды 104 МЛН
Who is More Stupid? #tiktok #sigmagirl #funny
0:27
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 10 МЛН
#behindthescenes @CrissaJackson
0:11
Happy Kelli
Рет қаралды 27 МЛН
I Sent a Subscriber to Disneyland
0:27
MrBeast
Рет қаралды 104 МЛН