Akae hapo ili km wanamtoa waende serikali za mtaa baada ya hapo ataludi kuteseka nyumba za kupanga azifai
@BontownMzigu2 ай бұрын
kwel mama umepitia magum Sana Ila ndo Dunia ilivo
@BohkeVictor-qs9hnАй бұрын
Yaani upangiwe nyumba ya 250000😂
@yukundapeter82002 ай бұрын
Mnyoshee Mungu mikono,na choxi la nguvu Mungu atamkalisha kiuno chini,atatambaa km nyoka.
@carenmihayo79912 ай бұрын
Kweli kabisa😊
@francescospeciale65562 ай бұрын
@@carenmihayo7991Mnamzungumzia mungu wakati ninyi nyote ni wasaliti na watu mliofanya mambo ya kutisha...na mnajua kabisa ninachokizungumza.
@user-me5qu5kw4u2 ай бұрын
Cha msingi hapo usihame kamwe mpk wanao wajenge nyumba yao usihame hapo awezi toa wajukuu wake
@carenmihayo79912 ай бұрын
Kweli kabisa
@christaoman88902 ай бұрын
Sasa dada unaomba usaidiwe halafu unataka kufungua biashara ya duka la bei kubwa kiasi hicho duka la vifaa vya ujenzi bora uanze na biashara ya sokoni kuuza vitunguu,nyanya na mboga mboga utafanikiwa kusaidiwa na nyumba ya kupanga tafuta ya bei ndogo pia ili kwa baadae uweze kulipa kodi wew mwenyew
@carenmihayo79912 ай бұрын
Ushauri mzuri asante sana
@mpefu_49362 ай бұрын
Wewe mm naona umelogwa unaama kwenda wapi banana nao mpka watoto wako wajitegemee ndio uondoke acha uoga wewe