Mama atembea na mkwewe na mbaya zaidi mama amepata ujauzito ni mtihani mzito sana fuatilia kisa hiki
Пікірлер: 559
@deusnzelan84133 жыл бұрын
Shehe Mungu akubariki sana mimi ni mchungaji wa kanisani la eagt nimekupenda sana heri wapatanishi maana hao wataitwa wana wa Mungu
@jaggaludegula68263 жыл бұрын
Amen mchungaji
@mabyserolouchcraig24313 жыл бұрын
Amin
@emiliankomba85503 жыл бұрын
Emeen
@jennifeemkosa36123 жыл бұрын
Kweli
@SalimAmani-ts3tfКүн бұрын
Dah! Kw kweli inauma sana mama nae kakosea alikuwa hapasw kuongelea swala la ujauzito pale yaonekana kiupande mwngine amefurah yaani mwnawe anauchungu anazidi kumuumiza kama mwnae angekuwa na plesha siangemuuwa kwa kwli mama alimpenda huyo mkwewe.kwa historia yote niliyosikia. dada umefanya vzr kumsamehe mama.muachie mungu ndiye atakaye ukumu Mbali na hayo ongera sana sana zikufikie shehe umeongea maneno mazuri mungu akulinde kwa kwli unajua kusuruhisha mashallah.
@dadijamoahmed52873 жыл бұрын
Pole sana dada angu Allah akufanyie wepesi inshaallah ila pia msamehe mama yako hapa duniani na kesho Akhera amiin amiin Allah awajaze kheri
@ABDISHAKURMANDA-qv2szАй бұрын
Allah amsamehe mama yetu huyo, na dada pia amsamehe mama yetu Kila Kitu kina weza kumfikia nwanadamu, mama Allah ata kusamehe ,Kuna watu walio Fanya dhambi kubwa zaidi ya Ilo,lakini wakafanya Toba Waka samehewa .
@adijaally32083 жыл бұрын
hata mimi naamin ww dada ni wa pepon ALLAH Amekupa jaribu na umelishinda
@alihemed77213 жыл бұрын
Subhanallah Poole Sana dada angu pole Sana simama na nguzo ya mwenyeenzimungu
@nodinghogo42343 жыл бұрын
Pole sn Dada kuwa na subra Mungu atakusaidia kwa hili
@freddymtashi50203 жыл бұрын
Mungu atakulipa shekhe, pole sana dada inauma sana kuchangia kusima na mzazi daah!
@fatumasalim78083 жыл бұрын
Pole sana dadangu Allah akupe subra dadangu.
@halimamohamed40613 жыл бұрын
Allah akupe subra dada hilo ni zito sana ila kila penye uzito kuna wepesi pia
@MarkaziIBNSiriinOnlineTV3 жыл бұрын
Masha Allah.
@zaituniabdallah Жыл бұрын
Chakufanya hapo ndugu yangu watoto wako boding nenda kweke wapngaji nyumba,toka kapange mbali ishi na mungu wako na sio mwanadamu tena huku ukirejesha msamaha taratibu ndani ya moyo wako,fanya maisha yako dada uyo mama ni fedhuri,kumbe alianza kutongozwa alishindwa hata kumlani shetani.
@abuanfultv67023 жыл бұрын
Hii ina maanisha ALLAH ni mwenye huruma na husamehe tusiyo ya fikiri ALLAH. ALLAH awasamehe wote mama na mwanae na awatie katk pepo yake
@athmaniyahaya37583 жыл бұрын
Dah inauma polle Sana mungu akupe wepes umsamehe mama Mana ndo mamaako hutopata mwengne
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Mm namsamehee lkn sitaki kumuona mbele yangu mana nitakuwa navutapichaaa yake namume wangu huyu mama alijua hilii kitamboooo huyu mama mnafiki hiyo pressure imeshukaa kinafiki tuu
@manay51163 жыл бұрын
Dada pole sanaaa unapitia katika kipindi kigumu zaidi ya sana😭😭😭
@nurhambadru37723 жыл бұрын
Huyu mama hana presha wala ukwaju tahayuri tu.... Hovyoo
@pillyommarhemedi2963 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@famaukassim86193 жыл бұрын
Lkn kisheriya ya hukumu ya kisilamu mtu akizinii kma ameolewa apigwe na Mawe Mpka auliwee
@mishideepsin23863 жыл бұрын
We iyo nipresh alofanya unazan dogo
@reahpaulo50432 жыл бұрын
Mungu atusamehe bila yeye hatuwez hili nigum jaman kwaakili yangu ningemtifua kwanza ndipo nikatafta suluhu duh yeye kashindwa kuusamin umama mimi niwezevp kwafano
@sesiliakasunzu59013 жыл бұрын
Hongera Dada kwa msamaha
@Humanscale8003 жыл бұрын
Huyu Sheikh simjui lakini ni wazi kabisa kuwa Allah amempa hiqma ya hali ya juu zaidi Ma Sha Allah tabarakaLLah. Sheikh Allah akulipe wema kwa kheri hii na amlipe wema huyu dada kwa kusamehe na subra ya hali ya juu. Pia mama Allah amsamehe kama ametupu kweli kweli. Amin.
@shamimumwakapesa99462 жыл бұрын
mmm pole dada
@hamisally35763 жыл бұрын
Dada angu msamehe mama naiman atakuwa amejifunza vingi kutokana na aliyokufanyia mwenyez mungu akuongezee subira inshaallah
@ommariahmadi95963 жыл бұрын
Duh balaa kubwa pole sana
@aahafidh48443 жыл бұрын
Pole sana dada allah atakufanyia wepes ishaalla
@elizabethmichael75403 жыл бұрын
Pole Sana dada
@halimasuphiani86043 жыл бұрын
Najalibu kuvaa viatu vya huyu dada vinanibana😭😭😭 Ila huyu shekh huwa ananipa moyo Sana ata mm mungu amuweke kwa rehema za mwenyezi mungu 🥰🥰
@tarryally17783 жыл бұрын
Vumilia hichi ni kipind kigumu Sana kwako mbn huyo mama Kam Hana wasiwasi😭😭😭
@farhatomar74953 жыл бұрын
Nikweli atauo msamaha katoa kma hana hof
@eshalibaba11953 жыл бұрын
Yani hana presha kabisaa yy liwalo.na liwee
@tarryally17783 жыл бұрын
@@eshalibaba1195 acha tu😭
@saumualoyce66253 жыл бұрын
Tena majibu yake short cut hana maelezo
@geofreyalexander13823 жыл бұрын
Alifurahia shoo ya jamaa
@firdausallymlekwa93963 жыл бұрын
Pole Sana dada kwa mtihani mkubwa Allah ametuumbia mitihani kutuangalia tutashkuru ama tutakufuru Cha msingi tushukuru kwa kusema Alhamdulilah na tutakapo ipasi mitihani yake ametuandalia malipo mazuur Sana msamehe kwa roho Safi mzazi wako
@janewashe72763 жыл бұрын
Uyo mama ni mnafki sana mahusiano yao yalikua tangu kitambo, mpka mimba ndii dah ishakua tabu kweli
@reginajustin24323 жыл бұрын
Inamaana hakujua siku zake za hatar km alishaamua kutembea nae na mimba aachie yy ni mtoto mdg au km sio alidhamiria hichi kitu Mungu wangu mungu wangu tazamana wanao duniani
@aminamohammed61843 жыл бұрын
uyo mama alikua anachat na mkwewe mda kwanini asimwambie mtoto wake mumeoananitaka ananitumia namesej akamuonyesha uyo mama alikua anapenda kuana mkwewake alivyofanya siyo kizuri alikua anapenda kulala na kwewake
@scoviamhiga84103 жыл бұрын
Mafunzo mazuri Sana mungu azidi kukuinua juu baba wa kiroho
@mariamusalumu6792 жыл бұрын
Da huyu dada Tena anamungu Mimi siwezi kabisa kabisa
@florahkimbage95713 жыл бұрын
Huyu mama hapana,, Yan mkavu hata msamaha amelazimishwa tu kuomba,, Hana uchungu wowote hana wasiwasi kabisaaa hata kutoa mkono wa msamaha kawa mzito utafikiri kakosewa Yeye? Eti nasikia presha Mara imepanda Mara imeshuka hata haeleweki!!!,,,, Poooh!! Kiatu Cha huyu dada hakinitoshi kinanibana😭😭😭😭😭😭
@shamimomar17713 жыл бұрын
QQ+
@saidabwanakheri74323 жыл бұрын
Huyu mama hana khofu kabisa yani. Nadhan yy ndo.ibilisi
@beatuslaurent13733 жыл бұрын
Yani nimelia mno mm nisinge weza yn kwanz ningekufa tuu jomn
@annkim26903 жыл бұрын
Huyu mama ni mchawi
@mabyserolouchcraig24313 жыл бұрын
Noo huyu mama anaumia sana hayuko sawa ana mazito sanaa
@zulfaahmad55883 жыл бұрын
Dah hakika dada na ostadhi allah awabariki sana.kosa lakwanza sikosa ispokua kurudia kosa.msaameh mama haina jinsi dada anguu
@gogoboy79503 жыл бұрын
Daa inauma kweli inaonyesha mama bado anamuitaji mkwe wake maana hana hata chembe yauoga wala haibu duuuu hata mama ni mama lakini kwa hiii Two much for your
@ashrayabdallah26203 жыл бұрын
Pole Sana dada Allah akupe subra uwe na moyo wa kusamehe hakika utalipwa kwa Hili japo ngumu ila ukimtanguliza Allah utauvuka mtihani Huu Dah! hakika nimeguswa na Hili pole sana nimehuzunika kwakweli msamehe Mama japo NI ngumu ila Allah atakulipa hakika uyo NI Mama AKo aitabadilika hilo
@mecktildatushabe78983 жыл бұрын
Oooh mama Mungu akusamehee nenda ukatubie iyo dhambi
@thureiyahally34223 жыл бұрын
Afu huyu mama mbona anaonekana mjeuri hata uwo mkono alivoutowa ajadhamiria nyoo huyu mama huyu wallah 😢😢😢😢😢😢😢
@monicaalute1583 жыл бұрын
Kuna la kusamehe lkn sio hili wallah. Km ana maradh bas tufe ugonjwa mmoja
@kalekwamsabuni7374 Жыл бұрын
Shehe Othman mungu akujaalie umri mtefu hakika nimejifunza kitu hakika umeletwa kwetu kutuhudumia
@mwajumakweli67743 жыл бұрын
Uyu mama ajuti wala nini wallah wenda ata siku ulikwenda Dubai waliyapanga
@happyngulo47223 жыл бұрын
Yani ana ata hof kabisa
@kusagaonlinetv39833 жыл бұрын
Huo ulikua mpango wao
@mwajumakweli67743 жыл бұрын
@@kusagaonlinetv3983 miundo mbinu
@roseuwambe80893 жыл бұрын
Ndio walikua wazoefu hawa🤣
@nuswaibanuswaiba13263 жыл бұрын
Ila ni kweli inawezekana alijua km mwanawe hayupo ndio akaja duuu hatali sana
@ndacayisababahati7833 жыл бұрын
Allah akbar inauma sana subhanallah allah akupe subra akujaze imana na atupe sote mwisho mwema atukinge na kila baya ya rab tuweke nyuma ya mgongo wa ibilisi
@rahmapaul11353 жыл бұрын
Yaan huyu mama mbona kama hajutii kosa lake😭😭😭😭
@hadijasalum63733 жыл бұрын
Exactly
@kelvinaudax82873 жыл бұрын
Kabisa yani inaonekana sio Mara ya kwanza
@aishakali30823 жыл бұрын
Assalam alykum warahmatullahi wabarakatuh sheikh Allah akuhifadhi na jamma yako duniani na akhera,,, mm nashukuru kusikia musamaha bt ningeongezea to jambo moja, mwambie mama ya kwamba Allahu amesema mtu aki kosea usiku na ikawa Allah amemusitiri hafai kutoa uchafu wake wazi cz tayari alikua amasamehewa na ALLAHU ndio maana hakuna aliye jua chechote ila alipoandika barua inshaallah atapokea musamaha upande zote na kwa Allahu pia
@jenifakinyaiya48383 жыл бұрын
Hapa kunanamna kubwa sana mashart mengine sio po a🤣
@fettysalum64533 жыл бұрын
Wallah nmeumia xna nmejikuta nalia xna pole xna dadaangu I know nikiasi gn unasokotwa utumbo pole mamy pole
@tamashanuhu26683 жыл бұрын
Daah inauma sana lakini ndo hivyo mama ni mama hana mfanowe... hatuna budi kuwasamehe mama zetu pale wanapotukosea... inshallah nasi tutasamehewa kesho mbele za Allah.
@pili12343 жыл бұрын
pole sana dada kwa mtihani inshallah Allah atakulipa pepo kwa kumsamehe mama yako Allah akupe subra katika kipindi hichi kigumu unachopitia
@piliramadan875 Жыл бұрын
Subuhana aallah mwenyezi-mungu atuodolee mabalaa hayo
@baravuga6223 жыл бұрын
Mama pole sana
@lilianmoyo3163 жыл бұрын
Umefanya vizuri sana kusamehe dada hakuna dawa ya kushinda hiyo vita zaidi ya msamaha
@naamohamed99643 жыл бұрын
Ingekua mie ningeondoka mbali huko hata nikifa nizikwe na manispar wala nisingekuja kutoa hii kesi mtandaoni
Ila nakushauri dada achana na uyo mume hawez kuzini na mama yako mzaz halaf akarud akaingia kwako.
@suziatibu50322 жыл бұрын
Kiatu kimebana😪😪 yan uwiii Mungu anajua jmn hii hali
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Moyo moyo Moyo Moyo jamani Moyo wangu,namimba tena,itoshe tu kusema mweyezi Mungu tuepushe ,na alaaniwe mzazi akimfanyia mwanae ivi,kwani sifa ya. Mama huruma.kakosa huruma ,amlaani ibiriisi
@monarashid76753 жыл бұрын
Msamehe mama yako wee wanaume wala sio watu wazr Hao usije acha mama au baba au ndugu kwa sababu ya mwanaume
@mohdsimai714 Жыл бұрын
Jaman tuwe na moy wa kusamehe
@thushblu47793 жыл бұрын
subhanaallh huyu mama km haja jutia wallahi mungu mwenyewe ndio hakimu ....pole sana dada ila n mtihani mgumu sana.
@evanccast62283 жыл бұрын
Pole sana dada kwa mtihani mkubwaa Mungu akujalie moyo wa imani🙏👏
@shamilakarimu38203 жыл бұрын
mama,hana,wasi ws kbs
@mawananasoro44053 жыл бұрын
Mh pole mwanangu mengine magumu eeh mwenyezi mungu tupe uvumilivu
@azizazzzz80432 жыл бұрын
Subuhaallah Allah Akbar
@aminamohamed39163 жыл бұрын
Salam alekum pole Sana wangu atakupa subra mwanangu inshaallah
@jackiekimario93243 жыл бұрын
Nimeumia sana😭😭😭😭
@abubakarmustafa80473 жыл бұрын
Kwa maigizo,hata picha kusoma huwezi?Huo uhuni mtupu,wamekosa sehemu za kutatua kwa siri hadi TV.Upuuziiiiiiii
@aminajumaa98763 жыл бұрын
@@abubakarmustafa8047 tena hii niaibu ata wasinge leta kwenye online mambo mengine si ya andarani wa llhai
@yusufmakonyo29712 жыл бұрын
@@aminajumaa9876 acheni ubinafsi wenu ndugu zangu, Jambo likishaharibika kufkia hapo haiwez kuwa Siri Tena lazima itafutwe suruhu na suruhu ndo hiyo yaweza kuwa hadharani km ilivyo mahakamani tunashuhudia mangap ya aibu mbele ya hadhara ya watu mahakamani. Huyu shehe kwanza kasaidia Sana kutoa SoMo la vitendo kwa Umma na watu wamejifunza mengi mno. Isitoshe wapo wataboresha ndoa zao kupitia Hilo SoMo na watanusuru ndoa Yao kupitia Hilo pigo la huyo mdada. Pia lazma mjiulize shehe na elimu take Yote hajui Kama Kuna madhara ya kuleta kipind hicho kwa TV mpk ninyi ndo mumkosoe?? Elimu tu hamna Wala ufahamu. Wacha wengine tujifunze kwa shehe.
@asiaenzi55423 жыл бұрын
Mama maraya uyu
@tamaraseff.97073 жыл бұрын
Io sauti ya mama tuu mnafiki hawara uyu.mm hatugefika kwa shehe tugemaliziana uko mistuni heri nifugwe maisha
@priscajubilate2053 жыл бұрын
Mimi hata siamini yaan huyu mama na huyo mwanaume walipanga kabisaaaaa maana kumbuka walikuwa wanachat na huyo mwanaume kipindi akiwa kijijin kwa hiyo huyo mama ni alitaka tuu... Wewe mama khaaaaaa mshipa wa aibu hauna chek alivyokaa
@piliramadan875 Жыл бұрын
Shekhe wangu hiyo hatali
@fatemaale70663 жыл бұрын
Yarab! nimakubwa haya mungu atustir ama kweli dunian kunamazito mungu ampe dada subra ya hal yajuu pamoja na msamaha wake sheikh Allah akulinde na kila aina ya balaa dunia naakuajalie pepo kesho akhera.
@khadijatanzania62373 жыл бұрын
Yani tokea nione hii video naona kama limenikuta mie waallah linauma Sana... Nifunzwa kubwa kwetu jaman. 😭😭😭...Allah amfanyie wepes Sana huu ukhty..
@mathatolya22603 жыл бұрын
Pole sana dada mwenyezi mungu akufanyie wepesi, jambo hili ni zito mungu mwenyewe anajua litaishaje. Mungu msamehe mama kwani amezidiwa maarifa na shetani
@margaretokuku59902 жыл бұрын
Pole.mungu.akupe.nguvu.mama.naye.ajirekebishe
@eliyonamoshi84653 жыл бұрын
Kiukweli mapenzi ya huyo mama na huyo mkwewe kwa kweli mungu akutie nguvu Dada kwakweli Holi Jambo linaumiza mwili akili na maisha kwakweli sio poa kabisa haki 😭😭 inaumwa san
@saranasser5423 жыл бұрын
Shukran sana shaikh allah akulipe sana
@noorululaatv89733 жыл бұрын
Ni nasaha lkn haiwezi Leta mafundisho kwa kuwaonyesha watu... Hii ni aibu ... Shekh hapa unafeli wallah... Weka adabu ya nasaha
@zaituniabdallah Жыл бұрын
Yaani kiukweli hapo msamaha ataupata shauri ya allah ila kiukweli atamsamehe ila taratibu sana
@mariommariom67093 жыл бұрын
Mama ni mama tu hata iweje na Uislam unatufunza kuchukia kosa lkn si kumchukia mkosaji na kuhusu masala ya mume hilo ni jukumu lake lkn shekhe Hawezi mwambie heti aachike maana yeye jukumu lake si kuvunja ndoa Allah Akupe umri mrefu wenye mafanikio sheikh wetu napia pole sana dead yeti kipenzi Allah akupe subra na uvumilivu juu ya hili na kwa kupitia mtihani huu basi Allah akulipe pepo Amiin
@leilamdoe65033 жыл бұрын
Pole sana kipenzi nikweli inauma lkn ndio mama msamehe tu
@shakiraabbas75383 жыл бұрын
Pole sana dada mtihani mzito sana tena sana najalibu kuvaa viatu vya maumivu yako nimeshindwa.kwakweli mmh hatali sana.mimi kwakitendo hiki bora nikose pepo siwezi kumsamehe mama angu hata iwe vip kama vipi tutakutana jehanam😢
@prettyh75093 жыл бұрын
Mh yataka moyoooo
@khadijahilal30163 жыл бұрын
Umenichekesha dada wallahi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣unakosea lkn my jahannam kuzito mpnz allah atupe subra maana mitihani mizito
@tatually68033 жыл бұрын
Pole dada Allah Akufanyie wepesi utalivua inshallah
@magdalenawandi29273 жыл бұрын
Jamani ni kweli au move!!Mungu na atuepushe na moto wa jehanamu wanawake wote
@annaleonard73423 жыл бұрын
Poledada japo huyumama haoneshi kuumia pia aliamua kutoka ndani yamoyo wake kumsaliti mwanae utaenda vp kwabinti yako aloolewa bilataalifa hawa waliambiana njoo huyuhayupo yaan naona kama anamtaalifu tu ninamimba ya mumeo nfyuu ovyoo ww mama
@ninarukundo13353 жыл бұрын
Hana ayibu Na mtoto wa 2 wataza
@MarkaziIBNSiriinOnlineTV3 жыл бұрын
Hahahahaha
@samiaathuman72583 жыл бұрын
Hawa walikuwa wanatoka siku nyingi inavyoonyesha loooh unaweza kukufuru kwakweli
@khaijajumanne13173 жыл бұрын
Pole San dada yang hakik nashindwa kuvaa kiatu chak kipenz inshaallah Allah akupe subra kipenz
@tumajamanimligo78993 жыл бұрын
Pole dad angu
@jobuumwambelo23413 жыл бұрын
Dadaangu msamehe mama, daima kwa sisi tunaojua Dunia ilivyoo na maisha ya kutafuta basi naomba niamini mimi kwamba wanawake hupitia mengi, maana wanaume wanaenda mpaka kwa wagaga ili wapate dawa ya kuwaingilia wanwake, na kwa atakayebisha naomba abishe hili kama amewahi kusikia kwamba mtu anazini na mamayake mzazi ili apatee pesa anadhani kwamba mama anakuwa anafanya hilo tendo akiwa katika akiliyake, basi mimi nakuapia pale mama anakuwa karogwa ndiyo hujikuta katumbukia katika madhbi hayo, Dada kikubwa msamehe mamayako.
@arafakiloli7493 жыл бұрын
Innahlillah wainnah lillah rajiun Allah atuepushe na atupe mwisho mwema.
@piliramadan875 Жыл бұрын
Linauma sana mama kutembea na mkaza mwana😂
@jaliaharuna17843 жыл бұрын
Hana hata wasiwasi huy mam jmn duuu mm ningekat hiy nn yak