CLOUDS DIGITAL INAKUSOGEZEA INFO ZOTE ZA YALIYO JIRI KWA WEMA
Пікірлер: 57
@MaryMmole-en9qz9 ай бұрын
Mama anaogopa kwa mungu atakuja kudaiwa hongera mama
@user-md8op2rv7i9 ай бұрын
Inawezekana kamkataza sana private, hasikii. Isitoshe labda kaona watu wanazani anafurahia anayofanya mwanawe wanadhani amuonyi, kaona watu wajue kuwa afurahii hizo vitu
@aminaayan34609 ай бұрын
Uyu mama anaumia sana tena sana ..acha aseme tu
@user-ef1pg5jp6r7 ай бұрын
Kama ni kweli wema amekosea sana ila mama nae amekosea zaidi kumsema mwanae hadharani.hivi jamani yeye ni mama na yule ni mtoto alaumiwe nani?kama alimshindwa kuna ngazi za kufuata.ameshachelewa.hiyo sio dawa ni kujizalilisha tu.malezi yahusika asilimia fulani.pole mama
@pierreh2559 ай бұрын
Mtu wa media anaonywa kweny media pia ... Mama Yuko sawah
@user-vt7kl8dz3o6 ай бұрын
Tunaweza sema mama wema kakosea kusema hvo mbele za watu lkn anaweza kua sawa pengne huwa anamwambia lkn wema hasikii ndo maan kasema tuwaheshim wazaz
@mwanamgenimwamzandi19419 ай бұрын
Amemfanya kisiri hakukskia hakaamua kumuanika mana haskii, the woman is very correct we r leaving our African culture kwa uzungu huu ambao hauna maadili mema. Good mamaa..
@user-fb9nh4fq6n9 ай бұрын
Saafi mama mwisho watu waseme mamake hamfunzi kumbe mtoto ndo Hana mipaka
@yonamakeleleilenge25459 ай бұрын
Mama una ogeya vizuri Sana kweli
@user-ym6ts2tb1i5 ай бұрын
Ajakosea ata sekunde mama anaumia Sana mistake sofa awa wazazi wanaumia
@salhashaban93469 ай бұрын
Me cjapenda bhana huyu mama anazeeka vibaya ilibidi amwambie wakiwa wenyewe
@alphablondponera23679 ай бұрын
Mama yupo sahihi Sana kama una akili utaelews
@Byeragordian35729 ай бұрын
Great woman❤
@nelsonngowi39506 ай бұрын
Inaonyesha Huyu mama Ana machungu sana. Tabia za mwanae zinamkera. Ukimsikiliza mwanzo utagundua aliahaongea nae mengi kabla ila hajamsikia. Ndio maana kacheulia sebulen.
@anuarymyekakimolo47857 ай бұрын
Mamake hizi za uso hizi Ko wema kapigwa oya inaelekea kaambiw mara nyingi mhun wema kapuuza mama nenda kwa aman huna den
@janesuma-is4wc9 ай бұрын
Sawa kama mzazi kaongea vema ila kiukweli kakosea alipaswa kuita wazee na kuyaongea sio kwa namna hiyo hatakama hamsikilizi kwani kumsema hapo ndio atabadilika wazazi acheni kuzalilisha watoto wenu hadharani
@soniangure52569 ай бұрын
I agree ,this is just toxicity of the highest level .
@mjoko_969 ай бұрын
na wakuseme tena wakusem na bado munaishi maixh ya ovyoo xana tena wew ni wa mfano wape habr majiran zako,,,, nitumi3 namba ya mama nimpe kongole
@wawerulucy78859 ай бұрын
Heshima kwa mama
@damsonshania68639 ай бұрын
Eeeh munguuuu.... Kesho nikanunue kanga😂😂😂😂😂
@marthahussein38509 ай бұрын
Kasema kwa niaba ya mama wengine huwa hatusikii kabisaa tukisemwa na wazaz wetu sio peke yake ambae Hana khanga mabinti wengi siku hiz wana khanga
@dasadremandad92089 ай бұрын
Punguzeni uzungu tanzania ni nchi ambayo yenye maadili yake ata sisi ambao sio wantanzania tunalijuwa hilo from moçambique
@Haika289 ай бұрын
Safi sana mama
@mamertarweyemamu34389 ай бұрын
Wema Ana matatizo kichwani. Yote anayofanyaga Ni abnomal
@julianapeason625413 күн бұрын
brazia hajavaa chupi hajavaa jamani shetani ana tuzo yake mbingunu kila mwaka maana kwenye kitengo chake ana A za mfululizo
@user-op7zl7fo1r9 ай бұрын
Tuache haya yote kwan clouds uyu mtangazaj wa kisaut kama ich kwel 😢
@lindahjoseph83609 ай бұрын
Hahahaaaa sijapentaaaa
@EJIDIJASSON-in2gt8 ай бұрын
Yeah!msimamo mama unao
@shyfettymtunda46199 ай бұрын
Mtu mzima kabisa huyo anakosaje kanga jamani. Ila mjomba nae jamani kaharibu shughuli.🤣🤣🤣🤣🤣
@aminakibunde52969 ай бұрын
Maumivu ni makali mno wazazi tunaumia saana mtoto anapokiuka
@zahrakassim64079 ай бұрын
Mbn sijaona baya aliloongea mama wema
@aubreychuma54499 ай бұрын
Anatafuta kiki tu huu mama
@jumahamis57589 ай бұрын
nice point mama
@pendokabanga85809 ай бұрын
Uwiiii sina khanga
@priscaluvinga51979 ай бұрын
Ni huzuni kwa kweri,wazazi waheshimiwe tu jamani
@tatumakadara57938 ай бұрын
Alipomsema hapo ni bora kwani cku zote analaumiwa mama yake kwa anayoyafanya mama manunu
@damsonshania68639 ай бұрын
Mjomba ameyatimba😂😂😂😂
@maryamalrayami15139 ай бұрын
Good 👍
@paulinajoseph9 ай бұрын
Mama yuko sahihi......anaumia aki
@noelkyando94909 ай бұрын
Safi sana
@tonneymadeit33699 ай бұрын
👏👏👏👏👏
@vibetz99919 ай бұрын
Mama Oyeee😂
@oscarcharles96249 ай бұрын
huyu mama hajaongea vibaya kwani kuongea mbele ya midia kamuonya mwanae na wengine wajifinze.mzazi hakosei
@mariamkiharo63459 ай бұрын
Hata wema ni wa media sana acha aonywe through media labda ndo ataelewa😂😂😂 kongoke kwa mama
@gaspernyiti22539 ай бұрын
Na nyie mko sawa ku post mambo yao kwenye channel yenu
@dasadremandad92089 ай бұрын
Huyu mama apewe ua lake
@lomnyakinaijorie73659 ай бұрын
Mama ni mwafrika hataki ufala
@julianapeason625413 күн бұрын
hivi luludiva kavaa chupi kweli??
@Golden2025Circle-fg3bt9 ай бұрын
Kumbe kanga za muhimu😂😂😂
@madammbago97879 ай бұрын
Mtangzaj una boa ach watu waongee tutaskia htutak kuelezewa
@sagboison62979 ай бұрын
Lulu diva hiyo nguo vipi uishone mwenyewe Tena uone aibu mwenyewe