MAMA WEMA SEPETU ,SIPENDI MWANANGU KUKAA NA WHOZOU BILA NDOA NACHUKIA

  Рет қаралды 64,285

BONGO 24

BONGO 24

Күн бұрын

#bongo24 #harmonize #mrpimbi

Пікірлер: 104
@nashnene6326
@nashnene6326 Жыл бұрын
Mama umeongea cha muhimu, ulimzaa wema 1986? Au 1988? Kwa hiyo Wema ni 37 yrs kama sio 35 yrs😂mmesikia hukoo😅au tuongeze sauti
@marcelinedeogratias2673
@marcelinedeogratias2673 Жыл бұрын
But google says she’s 33
@mwanahussein5935
@mwanahussein5935 Жыл бұрын
Hiyo imeendaaa
@nancychambo6091
@nancychambo6091 Жыл бұрын
Mama Leo kaongea kweli umri wamwanae 1986
@sanurandune8066
@sanurandune8066 11 ай бұрын
😂😂😂86 ndio alizaliwa then 88 niya kitambukisho
@Abu-Hamza254
@Abu-Hamza254 8 ай бұрын
Tanzania COME we STAY iko nyingi sana hata Waislamu
@elizabethmakaranga218
@elizabethmakaranga218 11 ай бұрын
Unamshikisha whuzu wema?mbona hukufanya hivyo huko nyuma ,waache wanachunguzana bado,mm kwani hujui siku hizi wanaanza kuishi ndoa baadaye mama
@elizabethwanjiku7831
@elizabethwanjiku7831 Жыл бұрын
Hungeropoka siku ya birthday. Ungemwacha asherekee. Ulimdhalilisha hadharani ukamharibia siku ulikosa ustaarabu. Muite kando muongee si hadharani
@sunwizy608
@sunwizy608 5 ай бұрын
wema kakaa na mondiiii weeeee mama ukusema kitu leo whozu unaanza kuleta shida 😂😂😂TOKA ZAKOMBELEEEEEEEEEE
@fatumamniga1715
@fatumamniga1715 Жыл бұрын
Mama Wema ulilolifanya ni sahihi mzazi hafurahishwi mwanae akienda kinyume na maadili yetu na utamaduni wetu wa kiafrika umeongea point na nifundisho kwa watoto wetu waache dharau lazima waheshimu wazazi na tamaduni zetu
@khadjamhozya
@khadjamhozya Жыл бұрын
Angaria watangazaji wa tanzania warivyo kuwa wapumbavu na machokora eti wema mamayake anamushauri nini kuhusu kpata😅😅😅😅 mtoto mtangazaji ni mradi ayo tu wengine nyoko nyoko
@princessmimi4404
@princessmimi4404 Жыл бұрын
1986--1988😂😂😂 mama tukuelewe vp na kule insta card y hsptl feki yaonesha 1990 na bday nyuma ya mwaka 2018 alikua na miaka30. Basi hayaaaaa hayatuhusu
@ashamfinanga727
@ashamfinanga727 Жыл бұрын
Ulishindwa nini kumueleza mwenyewe nyumbani
@moviekaa
@moviekaa Жыл бұрын
amkia heshima yako ndo nini?
@adnanjuma4657
@adnanjuma4657 Жыл бұрын
Mama kusema ukweli unatakiwa umushkuru huyo kijana kaamua kumstil mwanao pasipo kujali umuri,mwanao katumika sana lakin kakosa wa kumuoa,huo ushauri wako ungeutoaga zamani ungemsaidia mwanao ila leo umechelewa
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Жыл бұрын
Kamstil nn sasa,kwaiyo kama kamstl ndo wafanye uhun wa kuzarrsha wazaz waish bila kujulikana nyumbn ila mitandaon,,siamn ktk kustlka naamn ktk Mungu kwamba akiamua kukupa wako ata uwej atabk na ww tu so uhun uhun wa kipumbf
@MunahSadiq-bh7ol
@MunahSadiq-bh7ol Жыл бұрын
Mama yuko right
@dostovan5142
@dostovan5142 11 ай бұрын
Hiki kizazi hakijui kuisha kama wana ndoa bila ridha ya wazi ni laana, ni matusi kwa wazazi
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
Vijana wametoka mbio baada ya kusikia comment ya mama sepetu.
@mariambilonkwa5183
@mariambilonkwa5183 Жыл бұрын
Hili neno heshima yako then unaitikia marhaba mhh
@RosemaryLema
@RosemaryLema Жыл бұрын
Tumejua wema n 1986 mama kajkuta kajchanganya ikabd aende sawa na mwanae1988😅
@princessmimi4404
@princessmimi4404 Жыл бұрын
Mwanae kasema kazaliwa 1990 Amefika 33
@nancychambo6091
@nancychambo6091 Жыл бұрын
Mama kaongea kweli umri wa mwanae 1986 kumbe mwanae anajirudishaga nyuma makubwa ndonn Sasa
@BerthaModest
@BerthaModest Жыл бұрын
Uyu dhahil amtaki whozu ni basi ana namna 😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Na Whozu ndio kamsaidia Wema kurudi kuwa alivyo kujiheshimu alishakwisha 😢 .Whozu arudi kwa Tunda watulie waongeze familia hapo anatumika na hata hamna asante.
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 Жыл бұрын
Kweli
@AishaKhamisy
@AishaKhamisy Жыл бұрын
Hata d alikua hampendi
@kiatu
@kiatu Жыл бұрын
Kwa maneno yake anataka waache kuzini, ametumia lugha nyepesi tu.
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 Жыл бұрын
@@kiatu ndio
@ruzaunahemed5948
@ruzaunahemed5948 Жыл бұрын
Ulilo sema ni sahihi ila alipokua na Diamond mbona hukuwa unaongea hivo ww mama mbaguzi 😂😂😂
@adamummy4363
@adamummy4363 Жыл бұрын
Mbona alivyokua na diamond mama ulitulia tu kwa hiyo inaonekana wazi mama anaangalia kipato dunia hii balaa kweli Kweli
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews Жыл бұрын
Anataka ndoa mama sio km hampendi whozu
@ashurahaji4794
@ashurahaji4794 Жыл бұрын
Sio kwamba hampendi hapana ila hapendi anavyokaa kwa kwanamke bila utaratibu
@AminiMsellem-gk3yy
@AminiMsellem-gk3yy Жыл бұрын
WEMA BADO UNA MAMA AMEONGEA UKWELI MTUPU FATA MAELEKEZO YA MAMA YAKO AKITANGULIA MBELE YA HAKI HAKUNA MTU WA KUKUSHAURI HAYO 🙏🙏🙏🙏
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz Жыл бұрын
Ushamuharibu ndio unasema, Tulia tu usijifanye kuwa na hekima..
@nancychambo6091
@nancychambo6091 Жыл бұрын
Kumbe kazariwa 1986 makubwa sasa kujirudisha nyuma ndonn mtu una miaka 37 unasema 33 duuu watu mnapenda utoto dunia hiii wasanii nyie
@SaidChalema
@SaidChalema Жыл бұрын
Sema mama'angu umechelewa mtoto wako ameshazeeka ndo unakumbuka kumsimamia maadiri
@monicathomaskadaso8293
@monicathomaskadaso8293 11 ай бұрын
Kukaa bila kutambulishana si sana, ila kinachomuuma sana mama inaonekana Whozu analelewa na Wema. Hiki ndicho kinamuuma sana mama!!
@rizikikhalid5119
@rizikikhalid5119 Жыл бұрын
Waache wajichanganye bado hawajasema watasema miaka yake halisi akifa
@fauziyaomar7090
@fauziyaomar7090 Жыл бұрын
Mbn diamond kakanae wema bila ya ndoa na hujaaema
@Fatusuleiman
@Fatusuleiman Жыл бұрын
ᴍᴀᴍᴀ ᴜᴍᴇᴏɴɢᴇᴀ ᴜɴɢᴇsᴇ ᴛᴜᴜ ᴍʙᴏɴᴀ ᴋᴀᴋᴀᴀ ɴᴀ ᴅɪᴀᴍᴏɴᴅ ʜᴜᴋᴜsᴇᴍᴀ ᴍᴀsʟᴀɪ ᴍᴀᴏᴋᴏᴛᴏ ʜᴜᴘᴇᴡɪ ᴀᴍᴀ
@florencekafeero220
@florencekafeero220 Жыл бұрын
Yes maama you are right the man should man up
@FAIDAKIBIBI
@FAIDAKIBIBI 11 ай бұрын
Mama kachelewa kumushauri biti yake,katamba tu sana Nahiyo miaka niuongo amefisha miaka
@husseinrashidy-r5d
@husseinrashidy-r5d Жыл бұрын
Waandisha wa habar ni wapumbaf sana mnakua ma fala sana huwez muuliza habar za kipumbaf mzaz kama hizo et kuzaa sijui et mapenz huo ni unafk wapumbaf sana nyie huo ni usenge
@Farajahelene23031
@Farajahelene23031 Жыл бұрын
tz mama g petience ozoko mariam sepetu
@DijaMriri-wc4qd
@DijaMriri-wc4qd Жыл бұрын
Mashallah mama mrembo pia ana saut nzur
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Жыл бұрын
Uyu mama ni kama mama angu kabisa mi neno yakee😅😅
@blandinamanongi8818
@blandinamanongi8818 6 ай бұрын
upo right
@rachelrobert659
@rachelrobert659 Жыл бұрын
Sasa ndio mtandaoni jamn .. cku ya kuzaliwa binti yako 😢
@reginamanyangu7258
@reginamanyangu7258 Жыл бұрын
Mama kaongea kwa uchungu whozu shikamoo😂😂😂😂
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 Жыл бұрын
Super Mom ❣️
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Whozu sikia maneno ya huyo Mama wewe bado kijana mdogo ondoka usikae kwa Mwanamke, huyo Mama kakutukana tena ki uwazi uwazi. Huyu Mama kasahau Wema kukaa na Whozu kastirika katulia kwani kuolewa je hao aliotembea nao walimuoa mbona alichezewa mpaka akashuka thamani, afadhali sasa kukaa na Whozu karudi kueleweka. Whozu rudi kwa Tunda huyu Mama anamdomo sana .
@AishaAthuman-xx4wq
@AishaAthuman-xx4wq Жыл бұрын
Hapan anaongea ukweli
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Жыл бұрын
Kaongea ukwel wanaume wa Sasa wanapenda kuishi kwa wanawake
@eliusfrolian-iw9uy
@eliusfrolian-iw9uy Жыл бұрын
Mama wema she is supper lady
@aminamussa5122
@aminamussa5122 6 ай бұрын
Very intelligent lady!.
@stellahmsigwa6493
@stellahmsigwa6493 11 ай бұрын
Mama alilewa kwanza ndio akaanza kuongea inamaanisha ichi kipo moyoni mda mwingi Leo kapata pakusemea
@neemamrisho7500
@neemamrisho7500 Жыл бұрын
Hongera mama ipo cku wema ata zaa lisilo wezekana kwa binadamu kwa Mungu lawezekana mama umeongea point
@yami_hami
@yami_hami Жыл бұрын
WEMA MSIKILIZE MAMA YAKO HAKUNA KAMA MAMA. KAMA KWELI WHOZU UNAMPENDA WEMA MUOWE ILI MAMA APATE FURAHA NA MPATE BARKA
@DaudFataki
@DaudFataki Жыл бұрын
Mather uposawa kingine hajulikan mwanaume ndiomana wema anamuona kama shogayake wote heren na shedo
@johnnjini5387
@johnnjini5387 Жыл бұрын
Hakika mama anaumizwa na matokeo ya mwanawe
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Mwandishi kanjanja kabisa!!
@vibetz9991
@vibetz9991 Жыл бұрын
Mama hampendi Whozu ,,,😂😂hawez sema tu waz
@sidikassim6759
@sidikassim6759 Жыл бұрын
Muandish unaoji kiswahili unchngnya na kingreza umsomea wp uandshi
@sidikassim6759
@sidikassim6759 Жыл бұрын
wandshi wa hbar kuwn na maswli ya mana ssa hv wandshi w hbar wngi ni WA kuokota mtaani ndio mna maswli Yao hyana msingi maswli ya hvyo hvyoo
@marymolel800
@marymolel800 Жыл бұрын
Afu maza kama kazimua vile 😅
@Fabiolamsofe
@Fabiolamsofe Жыл бұрын
Yn uyu n mama wng kabisa ❤wema n una mama mzr mwenye upendo hekima muheshimishe mama ako asee
@EmanuelHunjuTV
@EmanuelHunjuTV 11 ай бұрын
Ni kweli mama umeongea point mtoto ni mungu mwewe
@wahidaabeid5712
@wahidaabeid5712 11 ай бұрын
Mama unapoint sana mungu atakupa subra na inshallah yatatengenea ameen
@naomikatharinaandrewmnkai6760
@naomikatharinaandrewmnkai6760 Жыл бұрын
Wewe ni mama 🥰😍
@khadijaamiri6629
@khadijaamiri6629 Жыл бұрын
Papi ndoo nini hata party
@Godneverfailed
@Godneverfailed 11 ай бұрын
Huyu mama nimemwelewa anauchungu sana
@corandamisi9005
@corandamisi9005 Жыл бұрын
Alafu uyu mama kama kalewa ivi ao macho yangu
@ashamfinanga727
@ashamfinanga727 Жыл бұрын
Unakumbuka shuka kushakucha
@zamalisaide3209
@zamalisaide3209 Жыл бұрын
Whozu mama mkwe hakupendi ondoka harakaa umariooo utakuponza
@lakiabalozi5633
@lakiabalozi5633 Жыл бұрын
Hawa wakaka wambea mama khaa
@moseskulola6913
@moseskulola6913 Жыл бұрын
Mama mhongo.sana wema 1988 yani mihaka 35 ...mungu amurumihe sana you mama kweli
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty Жыл бұрын
Miaka 35 ni mikubwa
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free Жыл бұрын
Daaah !mama anajua amezaliwa ila kasahau Wema kamwambia 1990 daaaah,
@datty.wozaah865
@datty.wozaah865 Жыл бұрын
Kwahyo whozu anakaa kwa wema😅😅😂
@judithlugongo8804
@judithlugongo8804 11 ай бұрын
Safi sana mama umenena mema
@selemanikitatungwa9283
@selemanikitatungwa9283 Жыл бұрын
Mama hongera kwa kuzaa, pili siku nyingine salamu hii ukiamkiwa kuwa "heshima yako mama,sema iendelee kuwa ya kwangu peke yangu" ndio hivyo mama, samahani kwa kukuelekeza
@AishaKhamisy
@AishaKhamisy Жыл бұрын
Huyu mama anatabia za wamama wa kinyakyusa live bila chenga
@barretobacca9754
@barretobacca9754 Жыл бұрын
Lupyana classic 😅
@mkonojr53
@mkonojr53 Жыл бұрын
Hongera xn mama zidi kumuombea kwa mungu mwanao atapata mtt ishaalah
@mwanahussein5935
@mwanahussein5935 Жыл бұрын
Mama ameongea kwa uchungu jmn
@bettynjoki-kk9sm
@bettynjoki-kk9sm Жыл бұрын
Mama anatakai mtoto wake mzuri
@saeedmagoda9651
@saeedmagoda9651 Жыл бұрын
Mtangazaji upo vzr kaka
@khazzxplore4963
@khazzxplore4963 Жыл бұрын
Sasaa mom nitskujakujitambuliza
@MusaMasika-to8xf
@MusaMasika-to8xf Жыл бұрын
Dudu tamu mamaaa
@SamuDshira-xm9yn
@SamuDshira-xm9yn Жыл бұрын
Wema anaipenda dyudyu sn mama kama anavyokupenda wewe mama.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo,,,
@silvergold5855
@silvergold5855 Жыл бұрын
Yapu
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 Жыл бұрын
❤❤❤
@jestinaluvanda-jm4tc
@jestinaluvanda-jm4tc Жыл бұрын
Mama unapata taabu tatizo mwanao naye anapenda ngono na ndo inavyokuwaga yaan unakuwa tayari hata kuwa kimada miaka buku😊
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 Жыл бұрын
Sana yaan anapenda. Mishipa
@IdrisaHaruna-vk8nr
@IdrisaHaruna-vk8nr Жыл бұрын
Ndo Mimi mama ya singida ilivyo
@AntoniaFabian-r5p
@AntoniaFabian-r5p Жыл бұрын
Mama yupo sahihi sana jaman
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 Жыл бұрын
Ata mimi sipendi wema kudate na uyo kipusa whozu Cjui na siku wakiachana naenda kulewa
@willykyando5647
@willykyando5647 Жыл бұрын
Unawivu pole
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 Жыл бұрын
@@willykyando5647 😂😂😂😂😂 wewe mwehu kweli nitamuoneaje wivu mtu kama whozu niache kumuonea Wivu Mume wangu
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 Жыл бұрын
@@willykyando5647 hiii ni kuchangia mada tu mpenzi kama unapanic kaoge
@willykyando5647
@willykyando5647 11 ай бұрын
@@verobecamfipa8655 sawa
MAMA WEMASEPETU ,AFANYA KUFURU YA ZAWADI KWA WEMA ANGALIA
12:05
DOTTO MAGARI,AMVAA WEMA SEPETU ,UMEKOSEA WIVU ANANYUMBA YAKE
15:54
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 2,9 МЛН
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 29 МЛН
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,6 МЛН
CHIEF GODLOVE ATOA MITAJI KWA AKINA MAMA
20:27
Space Online Media
Рет қаралды 1,2 М.