EXCLUSIVE: KIKEKE AFUNGUKA SABABU ZA KUONDOKA BBC “HAKUNA HAKIKISHO LA MAISHA BORA ULAYA”

  Рет қаралды 206,621

Millard Ayo

Millard Ayo

8 ай бұрын

Пікірлер: 513
@flm1530
@flm1530 7 ай бұрын
Yani mwanadamu ukiwa Africa unapachoka ukienda ulaya unapachoka ukila sana ni shida, ukiwa na njaa ni shida ,,,raha pekee na amani na tulizo lipo ndani ya YESU KRISTO tu
@janerosejohn8373
@janerosejohn8373 7 ай бұрын
Yote Ni ubatili mtupu
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 7 ай бұрын
Amen UBARIKIWE zaidi 🙌🙌🙌
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 7 ай бұрын
Hakika, yote ni ubatili mtupu pasipo *Yesu Kristo*
@kazimilykulwa2516
@kazimilykulwa2516 7 ай бұрын
Fact kabsa,
@saidjuma9782
@saidjuma9782 7 ай бұрын
Yesu ndo nani??? Nyie hapa duniani hakuna maisha bora tufanye ibada tukaishe maisha ya milele
@Babuu200
@Babuu200 7 ай бұрын
Nyie huyu Jamaa anayemhoji Kikeke Anajua 🔥🔥
@ndayisengaamissi6102
@ndayisengaamissi6102 7 ай бұрын
anajua na anajua tena😊
@cosmasjulius
@cosmasjulius 7 ай бұрын
AyoTv inshort ipo vizuri kila sehem anzia kwa wafanyakaz wake, (chunguza)
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 7 ай бұрын
Presenter apewe maua yake, fantastic interview 🔥🔥🙌💯
@Rmkh88
@Rmkh88 6 ай бұрын
Amejitahidi sana awe hazungumzib kwa kutumia maneno ya Kiingereza, na akitamka neno kwa Kiingereza basi amesahau maana yake kwa lugha ya Kiswahili. This is fantastic, tofauti na watu wetu wengi, Kiingereza kingi na hawakijui
@EliahParpulisEvalyneMkulati
@EliahParpulisEvalyneMkulati 7 ай бұрын
Wewe ni mtangazaji nguli sana! Kongole kwa kazi ambazo unafanya! Mungu akupe heri na kukufanikishia yote! Big up sana Salim Kikeke Umeonyesha uzalendo kurudi nyumbani kurudisha na kuchangia katika taifa lako!! Pongezi sana kuonyesha muhimu na dhamani ya kazi yako. Kuwepo nyumbani tu inaonyesha na pia inawapa nguvu wale ambao wanadharau kazi kama yako!! nenda na msimamo huo wa kuonesha na kuelimisha jamii na wengine kuhusu dhamani ya kazi yako na pia mabadiliko ya mwajiri na mwajiliwa. Karibu sana nyumbani.
@user-oo7vr4cb7r
@user-oo7vr4cb7r 7 ай бұрын
Siku zote mkataa kwao no mtumwa Mimi nakuku Bali Sana Kaka Salim like mungu akulinde nafitna za wanadam karbu nyumbani kk
@alhabibsudi7997
@alhabibsudi7997 7 ай бұрын
“Voluntary Redundancy” kwa muda aliotumikia BBC kuna malipo ambayo mwajiri anamlipa mwajiriwa au unalipwa pale tu mwajiri anapokubali ombi lako. Na malipo yanategemea na umri wako na muda uliotumikia, kwa Iyo Kikeke hajarudi mtupu kuna Maokoto yake mfukoni yanamsogeza sogeza katika muda huu alioamua kuja kupambana nyumbani, Well done Kikeke
@athmanmzee7144
@athmanmzee7144 7 ай бұрын
He is one of the best swahili broadcaster in the swahili region.....Great love from Kenya.
@deodartngaiza6664
@deodartngaiza6664 7 ай бұрын
Nakupongeza sana Mr Salimu Kikeke kwa uamuzi wa kurudi nyumbani. Wengine hudharau kwao kwamba Ulaya ni bora. Wewe ni mfano wa kuigwa. Karibu sana Tanzania tujenge wote nchi yetu.
@banguha
@banguha 7 ай бұрын
Wajat sijaja ulaya nilimuomba Mungu sana nipate kazi uku ila tangu nifike ulaya namuomba Mungu sana nilud Tanzania sema mkataba unanibana Yan ndugu zangu wote kila siku nawambia jmni Tanzania ni kuzur mno maisha ya uku ni magumu cjawah kufurahia kuish uku
@melkizedeckelsonmbise4424
@melkizedeckelsonmbise4424 7 ай бұрын
One of the best interview.. Yametemwa madini Sana, nmependa ubunifu, kuanzia kwenye intro ya uyo dada, ilo beat na utulivu wa show...Kikeke toka aondoke BBC sifatilii tena Dira ya Dunia.
@severinmbanza4950
@severinmbanza4950 7 ай бұрын
Hata mm kabisa, BBC sifatilii tena
@barakafundo9208
@barakafundo9208 7 ай бұрын
One of the coolest interviews Big up mwandishi
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 7 ай бұрын
Hongera Bwana Kikeke kwa interview iliyojaa weredi na mvuto wa kipeke. Nimefurahi kusikia kwamba mkono (5) unakuhusu!
@malimachacha4500
@malimachacha4500 7 ай бұрын
Huyu dada aliyeweka sauti at the beginning yuko vizuri, Vijana wa kileo wanatumia lugha ya kwamba apewe maua yake
@ephrahimmasiko9873
@ephrahimmasiko9873 7 ай бұрын
Wasanii na watu mashuhuri kuna cha kujifunza hapa; Salim licha ya kukaa Uingereza miaka 20 bado anatumia lugha moja kwenye mazungumzo. Sijasikia popote akichanganya Lugha ya Kiswahili na Kiingereza. Kuna kubwa la kujifunza hapa. Hongera Salim.
@waltergilbert3967
@waltergilbert3967 7 ай бұрын
kaangalie akiwa anatangaza vitu vya utalii anavyoongea english tupu
@annasolomon9855
@annasolomon9855 7 ай бұрын
​@@waltergilbert3967hio ni utalii umeshasema😅
@nancyg8664
@nancyg8664 7 ай бұрын
@@waltergilbert3967 umeshasema, " UTALII" af hapo anahojiwa ni tofauti na kutangaza
@ireneseth
@ireneseth 7 ай бұрын
Hapo tungesikia yes yu nooo nyoko nyoko
@paulalove1223
@paulalove1223 7 ай бұрын
​@@irenesethmara actually usually ndo kingereza chao😂
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 7 ай бұрын
Amekaa Uingereza miaka 20 anaongea kiswahili murwaa. Kutana sasa na wabongo movie😂😂😂
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 2 ай бұрын
hiki ndo nachojiuliza
@mohamedmacha
@mohamedmacha 7 ай бұрын
Hongera sana Salim Kikeke. Kazi nzuri mtangazaji, mahojiano mazuri.
@stevenvictor437
@stevenvictor437 7 ай бұрын
Mm ni mmoja wa watu ambao nakukubali sana Salim kikeke, endelea kuchapa kazi hata hapa tz tutaendelea kuwa nyuma Yako.
@martinsntonyo8537
@martinsntonyo8537 7 ай бұрын
Kaka Salimu you are a great man mtu wa mfano long live ila nilianza kuchukia dira ya dunia ulivoondoka ndo hvyo hvyo nimeanza tena upya
@user-pj1tb5xz1t
@user-pj1tb5xz1t 7 ай бұрын
Mimi ni mpenzi wa Dira ya Dunia kuodoka kwa S.K kumenifanya niache kuisikiliza.Mungu ampe maisha marefu aweze kutumia kipaji chake kujenga Tanzania.
@victorsabuni6801
@victorsabuni6801 7 ай бұрын
very professional interview congrats🎉
@gasperymisungwi960
@gasperymisungwi960 7 ай бұрын
Kikeke is a star, inspirational and talented
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 7 ай бұрын
Nyumbani ni nyumbani karibu Mbeya. Tunafurahi kurudi home. ❤
@winnerjudith2007
@winnerjudith2007 7 ай бұрын
ni mtu wa mbeya?
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 7 ай бұрын
@@winnerjudith2007 sina hakika sana japo kuna kipindi alikua anahojiwa akasema Mbeya ameishi
@MrNdanguza
@MrNdanguza 7 ай бұрын
​@@monicasimpilu6257hamna bana huyu mwamba mpemba zanzibar.
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 7 ай бұрын
​@@winnerjudith2007sidhani asee kama hichi Chuma cha mbeya
@JilbertDanifordMathayo-sn2gy
@JilbertDanifordMathayo-sn2gy 7 ай бұрын
Kaka SALIMU BBC uliifanya ing'are na hasa kwapenda KISWAHILI. Karibu tunakupenda. MAGUFULI alisema nyumbani kumenoga. Mungu amhifadhi salama.
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 7 ай бұрын
MashaAllah 🎉🎉🎉huyu kaka is very well spoken. No wonder tunampenda,
@EstherKisandu
@EstherKisandu 7 ай бұрын
Huyu anayehoji hapa ni genius 🙌
@user-to9ci3ng3z
@user-to9ci3ng3z 7 ай бұрын
Karibu nyumbani. Naipenda nchi yangu. Nami ni mmoja wa wake wanaopenda nyumbani. Hata hapa Tz maisha mazuri yanapatikana na furaha na mengine mengi Mungu aliyotupatia au kutupendelea sisi wakushi. Mungu fundi. Mungu ibariki Mungu ibariki Tanzania. Usiogope maisha yanaenda tuuuu
@lusekelogerald4714
@lusekelogerald4714 7 ай бұрын
one of the best interview in this year🔥🔥🔥
@nobody07241
@nobody07241 7 ай бұрын
Interview imetulia sana big up kwa mtangazaji
@lelomellowtz
@lelomellowtz 7 ай бұрын
• Tanzania ni pazuri kama una hela, ila kama hauna utazunguka tu mwishowe bado utakua na upweke wa Umaskini.
@kautharyhamza6731
@kautharyhamza6731 7 ай бұрын
Well said
@mandalorian_4.11
@mandalorian_4.11 7 ай бұрын
Well said, lakini kumbuka kupuuzia mipango mingi ya kupata pesa wakati huna kazi ya kueleweka! Kwakufanya hivyo utafurahia sana maisha ya Nyumbani Tanzania.
@UsafiMichael-mc8kt
@UsafiMichael-mc8kt 7 ай бұрын
Sio kweli jamaa unasema Tanzania ũkĩwa huna hela unakuwa mpweke? Nakataa sasa si watanzania wengi si wangekuwa wapweke sana? Kinacholeta upweke mkubwa tz ni watu kutaka kuishi maisha ya kupita uwezo au viwango vyao,mfano hapa dar watu wengi wanaishi kwa upweke sana maana wanapenda kushindana kwenye nyanja Za maisha ,kutaka maisha ya juu na kuishi Kuliko kipato chako ni sababu kuu ya upweke.lakini ukisema kukosa hela sio kweli maana asilimia 80 ya watanzania wanategemea Kilimo na Kilimo kuna MUda wa kusubiri ilĩ mazao yakomae sasa unadhani inakuwaje
@aciamwinyi3991
@aciamwinyi3991 7 ай бұрын
Mashaallah Mwenyezi Mungu akujalie kila kheli nakuona mbali sana, Umuhimu wako Unajulika ni jambo la muda tu.
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 7 ай бұрын
Milard Ayo una watangazaji professional ' Huyu kaka ni mtangazaji wa Kimataifa' Yani ni 🔥🔥🔥
@dreamboy5674
@dreamboy5674 7 ай бұрын
Huoni anaiga sauti ya zuhura yunis
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 7 ай бұрын
Salim Kikeke ❤️
@annamussa185
@annamussa185 7 ай бұрын
Anzisha kampuni yako handsome boy wa Taifa Africa mashariki na kati😍😍😍
@robertlinuma6051
@robertlinuma6051 7 ай бұрын
Sababu sio za msingi sana .ila kwa kuwa kaamuwa .kila pahala watu wanaish life style yao kila eneo dunian.maisha ya ulaya na marekan kama unapata kaz utakiw kuwa mvivu..maana muda wa kupumzika n mdogo sana ..na BILLS za kutosha .hakuna kukwepa kwepa kama huku .
@joshck4117
@joshck4117 7 ай бұрын
kwake ni sababu za msingi
@lydiabandio9416
@lydiabandio9416 6 ай бұрын
Kwako wewe ni hivyo Kwa mwingine sio, so sababu alizozitoa ni sa msingi upweke sio kitu kizuri kabisa.
@augustuss4503
@augustuss4503 7 ай бұрын
Hata mimi nimechoka sana maisha ya Ulaya. Baada ya miaka 27 Denmark nataka kurudi Tanzania.
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 7 ай бұрын
Mimi miaka 23 USA 🇺🇸 I miss home
@chibunews5642
@chibunews5642 7 ай бұрын
Kaka usitamani huku sisi tunatamani kuja huko njia hakuna
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 7 ай бұрын
@@chibunews5642 Sasa tuelewane niko dollars laki bili kwenye bank huku tunalipa ma bili nduguzagu Tanzania
@kdloon2030
@kdloon2030 7 ай бұрын
​@@chibunews5642😂😂😂😂Ukifika huku ndiyo,utafeel hayo tunayo yapitia!
@mpwaguzipwagu3199
@mpwaguzipwagu3199 7 ай бұрын
😂😂😂
@JacoboleKampuni-px9rd
@JacoboleKampuni-px9rd 7 ай бұрын
Legendary
@gigoyrn4394
@gigoyrn4394 7 ай бұрын
😊😊😊 nimechoka maisha ya hapa Denmark wa 12 narudi Tanzania
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 7 ай бұрын
,,,,,😂😂😂😂 mtu uko Mbagala ...tu hapo labda uwende Moshi ... December ukaesabiwe
@mayaally2512
@mayaally2512 7 ай бұрын
Njoo upauke pumbu
@edwinkinyamagoha1228
@edwinkinyamagoha1228 7 ай бұрын
IGA ufeee 😅😅😅
@Pedeshee01
@Pedeshee01 7 ай бұрын
Uzuri wa ulaya hata kama huna pesa unabidilisha wasenge hii kitu mimi ndiyo maana naipenda.
@emilysanga7662
@emilysanga7662 7 ай бұрын
Yuko vizuri sana mkataa kwao mtumwa namkubali sana Salim sana
@OteshaTime_Services
@OteshaTime_Services 7 ай бұрын
Vijana jifunzeni kutulia katika maisha kupitia kwa Bro Salim Kikeke... karibuni
@ayrunyjtayruny279
@ayrunyjtayruny279 7 ай бұрын
Além de kikeke gostei também de postura de apresentador coloca bem as questões 🇲🇿
@JackobGalish-ky3no
@JackobGalish-ky3no 7 ай бұрын
A very good interview
@ztvonline2523
@ztvonline2523 7 ай бұрын
Interview Bora sana Broh Rama #TZA umetulia sana maswali ya ukika pia Salim saf sana .....Bonge moja la Interview 🔥🔥🔥
@anthonygenge4366
@anthonygenge4366 7 ай бұрын
Upo vizuri sana kaka salim, binafc nmeanza kukuckiliza Redion ukitangaza ktk idhaa ya BBC, ulinifanya nikawa siachi kutembea na karedio kadogooo, ilimlad tu nikuckilize ukitangaza mpira wa wingereza, pongezi sana kaka🎉
@victoriaowen909
@victoriaowen909 7 ай бұрын
Role model💕🥰
@user-hq8fo4ph4p
@user-hq8fo4ph4p 7 ай бұрын
Kheri zaidi mtu kuenda nje kwa ajili kupata msingi wa kipato na mabalozi wanastahiki kuwa saidia wananchi wa tanzania wanapokwenda nje ya nchi kuwasimamia kupata ajira kwa wale ambao wanapata tabu ktk suala la ajira ili unapofika mda wa kurudi baada miaka wawe wameshapata misingi ya kimaisha kama mzee kikeke apo na wengneo
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 7 ай бұрын
Genius man🎉
@godfreychaula3969
@godfreychaula3969 7 ай бұрын
interview nzuri na location nzuri ila MILLARD izo wired mike ni very local,itashusha taasisi kwann msingeweka meza na avae wireless mike?,,lifanyieni kazi hilo sio mtangazaji mkubwa ashike maiki mkononi mwanzo mwisho,mmemkosea
@joelsamwel2580
@joelsamwel2580 7 ай бұрын
Mbona zipo izo fatilia interview za Millard ayo
@wahapahapa3279
@wahapahapa3279 7 ай бұрын
Yani ningekua nimeshakusanya ela nyingi ningerudi Tanzania maisha ya ulaya no ya upweke sana, kikubwa ningebaki tu na Access ya kwenda na kurudi tu kwa ajiri ya kutibiwa tu na vacations
@neema_mollel
@neema_mollel 7 ай бұрын
Nampendaga sana kikeke
@user-hq9jf5gs5w
@user-hq9jf5gs5w 7 ай бұрын
Kikeke nakukubali sana katika kazi zako mungu azidi kukubari
@VicentMark
@VicentMark 7 ай бұрын
Namkubali sana Mr Kikeke, ur really an inspiration, Unastahii heshima, U have it all brother
@egbertcharles
@egbertcharles 7 ай бұрын
Upweke au maisha ya Upweke nimoja ya sabau zinazo sumbua sana watu wanao ishi mbali na nchi zao. Maisha bila kuwa karibu na familia au ndugu zako pamoja na marafiki wako nivigumu kufurahia kuishi nje ya nchi. Kuongea na ndugu au marafiki zako kupitia simu haitoshi, kuna muda unaitaji ata salamu ya kugusa mtu kwa mkono, kukaa na kuongea na marafiki zako ana kwa ana. Nimeishi nje/ China wakati wa corona Upweke kidogo unifanye kicha. Maisha Bora na ya furaha yako hapo hapo ulipo nyumbani kijijini kwenu kuliko kwenye nchi za watu. Mungu akutangulie S.Kikeke tunajivunia watu kama wewe. Wale tunao ishi nje ya nchi tukkumbuke kuwa nchi yetu inaitaji msaada wetu ili kuendelea na kutoa maisha ya kiwango cha juu kama maisha tunayo kimbilia kutafuta kwenye nchi za watu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
@SaadIssa-mw4gh
@SaadIssa-mw4gh 7 ай бұрын
Tanzania very social country ❤
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 7 ай бұрын
Point❤
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 7 ай бұрын
Kabisa yaaani ulichoandika
@samwelmichaelchangarawe5800
@samwelmichaelchangarawe5800 7 ай бұрын
nakumbuka enzi za covid kuna siku nimeingia kwenye lift kaihong mall wachina wakatoka wote 😄😂
@egbertcharles
@egbertcharles 7 ай бұрын
That was normal. ... Which city were you living ? @@samwelmichaelchangarawe5800
@user-qf3so2qk6l
@user-qf3so2qk6l 7 ай бұрын
Mungu akubariki sana kikeke kwa maamuzi Yako binafsi yenye hekima na busara
@geofreygomela2118
@geofreygomela2118 7 ай бұрын
I learn alot
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 7 ай бұрын
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@barakarobertmochungu
@barakarobertmochungu 7 ай бұрын
Mwana habari nguri zaidi na mfano wa kuigwa kwa wengine Salim kikeke
@vt-kn6qf
@vt-kn6qf 7 ай бұрын
Sio nguri Brother ni nguli ok
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 7 ай бұрын
Hii intaview angemuoji mirad ayo ingekuwa bonge moja la intaview ila siyo mbaya kijana upo vizuri🎉❤❤❤
@user-xq4en6qt7e
@user-xq4en6qt7e 7 ай бұрын
Huwezi kujua baada ya interview hii kijana atakuwa wapi sio kila kitu afanye Milard maana kuna Vidox nae alikuwa poa saiz kala shavu Clouds Media
@hassanabuu6
@hassanabuu6 7 ай бұрын
Awesome interview ❤
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 7 ай бұрын
Nimechoka maisha ya hapa JORODOM, narudi nyumbani Tanzania
@josephlorri431
@josephlorri431 7 ай бұрын
Hahaha wapo huko...au chini ya mlima hannangw
@petermanala6138
@petermanala6138 3 ай бұрын
​@@josephlorri431😂😂😂😂😂😂
@user-fc3og1eo3x
@user-fc3og1eo3x 7 ай бұрын
Salim kikeke interview yako iko makini na ina somo kubwa salute bro
@medardsotta5211
@medardsotta5211 7 ай бұрын
Legendary Kikeke!
@amibeamibe7261
@amibeamibe7261 7 ай бұрын
hongera sana mtangazaji unayehoji maswali, hakika unauliza maswali kwa umakini na utulivu sanaaa. hakika una utulivu wa kiuandishi. fanya hivyo kwa wengine hadi kwa makamu wa raisi.
@user-di8me2wb7p
@user-di8me2wb7p 7 ай бұрын
Masha ALLAH
@NuelyAlphonce-ts2dx
@NuelyAlphonce-ts2dx 7 ай бұрын
Namkubar sana salim kikeke noma kweli
@user-fb9tp8ol1s
@user-fb9tp8ol1s 7 ай бұрын
Mwenyewe niliishi pale Sheffield ila siku ya mwisho nikarudi nyumbani
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 7 ай бұрын
Ukimwambia mtu aliyeko afrika kwamba ulaya kuna upweke anaona unaongea nini wewe??mi napata pesa yangu nzuri sina muda kuwaza upweke😂😂😂😂😂😂usilolijua ni kama usiku wa giza
@elsonkingtz4506
@elsonkingtz4506 7 ай бұрын
😂😂, salm twambie ukwel, sema hivi nimefanya kaz kwa muda mrefu kila nikitaman kua mtu mkubwa mwenye pesa nashindwa nikaamua Nije Tanzania kutoka na kias cha pesa nilicho nacho nikirud tz ni pesa ya kutosha😂😂😂😂😂
@ndayisengaamissi6102
@ndayisengaamissi6102 7 ай бұрын
​@DENISDIGITAL😂😂😂eti:"sawa Salimu."😂😂😂😂😂
@pceodhc
@pceodhc 7 ай бұрын
Great interview! 👏🏾
@Stan-103
@Stan-103 7 ай бұрын
Millard, nunua wireless microphone, unawachosha watu mikono, sikuhz interview hatufanyi na mic za kushika mkononi😅
@songweforecast9685
@songweforecast9685 7 ай бұрын
MTANGAZAJI YUKO SO SMART,ANAULIZA MASWALI STANDARD,AMETULIA,HANA PAPARA...... NAKUONA MBALI..
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 ай бұрын
Anaye muhoji pia ni nguli
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 7 ай бұрын
Elimu pia zinasaidia sana
@veniciacharles8851
@veniciacharles8851 7 ай бұрын
Interview nzuri nimeipenda,
@annamussa185
@annamussa185 7 ай бұрын
Ni interview lakini kama Dira ya Dunia mpaka Raha🤗
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 7 ай бұрын
Ila suala kutunza ahadi wageni wengi hulalamika juu ya Wtz kutokutunza ahadi pindi wanapo ahid kukutana na mtu mwingine, lingine ambalo bovu ni customer care ni mbovu mno
@salminasalim5630
@salminasalim5630 7 ай бұрын
Kwanza Mr Salim Kikeke wewe ni mfano wa kuingwa na unaroho nzuri sana unaroho ya kusaidia wenzako na Allah Subhanallahu wa Taala anakuwezesha tunamshukuru kwa kutunuku hilo na tunamuomba aendelee kukujalia kila la kheri. Na wa Tanzania viongozi wa juu tambueni umuhimu wa huyu mtu muhimu kwetu aweze kupata nafasi ya kudumu ya juu hapa kwetu aweze kuwezesha watoto/wajukuu wetu kupata alicho nacho
@mweusisimba7185
@mweusisimba7185 7 ай бұрын
Mama ampe kazi tu ata akiongezeka kwenye habari akiwa msemaji mtangazaji wa serikali sio mbaya
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 7 ай бұрын
Umenifubua Cho my brother Salam zangu kutoka USA I'm coming back home Africa zanzibar
@akleiludovick9853
@akleiludovick9853 7 ай бұрын
Seriously 😮 binafsi naplan za ku relocate USA.
@helenarhobi1250
@helenarhobi1250 7 ай бұрын
Safi Kikeke ila mandevu hayo hayapendezi kabisa yanachukiza sana. Hebu naomba uyakate kisha hiyo canter uiweke kichwani kwenye nywele. Ni ushauri wangu kakangu nakupenda sana hasa ulivyokuwa ukitangaza big up!
@j4amas5
@j4amas5 7 ай бұрын
Sunnah hiyo
@mustavic7750
@mustavic7750 7 ай бұрын
Facial hair ni pambo zuri kwa wanaume na ni sunnah pia kwa sisi waislamu, kila mtu ana mitazamo tofauti
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 7 ай бұрын
Very sad.. We.missed Night News!!!!!. Kila la kheri...
@kdloon2030
@kdloon2030 7 ай бұрын
Ni kweli tulioko nnje ya Africa tunaishi maisha ya upweke mnoo,kuongea ni ukiwa kazini,ukirudi home huna wakuongea nae,ni kutazama TV tuu,au kutazama vituko vya bongo kwenye sim.Madem nao wakisha fika huku,nyodo nyingi kama madem wa bongo movie.😢
@personpeter2221
@personpeter2221 7 ай бұрын
Nmechoka kukaa bongo miaka 27 bado cjafankiwa au ndo bongo bahati mbaya??? Nataman niende ulaya nkaishi maisha ya kipweke kuliko hiz shobo zero
@marianneadams1443
@marianneadams1443 7 ай бұрын
😂😂
@DoreenMwakibinga
@DoreenMwakibinga 7 ай бұрын
Umetumia akili kurudi ili kuinteract earlier na Jamii waone ulichonacho hukusubiri na hukusita Big up
@user-bu7rq6tk2c
@user-bu7rq6tk2c 7 ай бұрын
Karibu nyumba mpendwa wetu
@TheboyTz1-yf3xl
@TheboyTz1-yf3xl 7 ай бұрын
Tanzania ukiwa mgenii utaonekana mzuriii wakikuchoka unakuwa hovyooooo hongera kwa kurudii bong kwetu
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 7 ай бұрын
❤🧡
@vascostanleymbise8993
@vascostanleymbise8993 7 ай бұрын
Una kitu kaka, Utafika mbali
@WorshippersofGodarmy-ot1mk
@WorshippersofGodarmy-ot1mk 7 ай бұрын
Hongera rafiki yangu, katk radio
@lusianbenedict6166
@lusianbenedict6166 7 ай бұрын
Nimeipenda hiyo narudi nikiwa na Nguvu Bado
@nancyg8664
@nancyg8664 7 ай бұрын
Walikupenda na pia kuna kitu kipo ndani yako ndomana walikua wanakung'ang'ania. Hongera sana.
@elishasamwely8712
@elishasamwely8712 7 ай бұрын
Hongera sana kaka nakukubali
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 7 ай бұрын
Kikeke tunakumiss kwenye dira ya dunia ww na Zuhra imekuwa siku hizi hatuangalii dira ya dunia mlikuwa vizuri sana tunawapenda sana na kuwatakia kila la kher
@MK-mz8bz
@MK-mz8bz 7 ай бұрын
Kwa hao waupe muda ni pesa lakini waafrica muda ni kuonana tu
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 7 ай бұрын
Pongezi kwake Salmu Kikeke ❤❤❤❤ mkataa kwao ni mtumwaa .hongera.kaka
@SaadIssa-mw4gh
@SaadIssa-mw4gh 7 ай бұрын
Home sweet home,Bongo tamu kwa mwenye akili huenda ughaibuni kutafuta kisha unarudi Home kula chafi
@barakajonas3209
@barakajonas3209 7 ай бұрын
Karibu sana nyumbani Arusha
@lyrics_forum
@lyrics_forum 7 ай бұрын
Millard Umetisha sana Huyu dada anayeongea Voice Over yuko vyema sana, nadhani maskio yangu ndio mara ya kwanza namsikia Mwanamke akireport katika Media yako. Kongole sana
@MusaMkembela-ex6ev
@MusaMkembela-ex6ev 7 ай бұрын
Mwanamke gan?
@SOMEtimeTV-qw3wq
@SOMEtimeTV-qw3wq 7 ай бұрын
That is
@Wajiz0714
@Wajiz0714 7 ай бұрын
Huy jamaa msomi Nana wangekuw wenzet wa bongo neno Moja kingereza , Lakin jamaa aongea kiswahili kitupu
@halimamremi5375
@halimamremi5375 7 ай бұрын
NAKUPONGEZA NDUGIANGU KWA KURUDI NYUMBANI NA KUTHANI UTU WAKO NA TAIFA LAKO KILA LA KHERY INSHAALLAH!!! ❤❤❤
@davidole8257
@davidole8257 7 ай бұрын
Yupo vizuri sana natamani ningekuwa na kituo changu ningemleta huyu mwamba lkn kwenye zile 5G daaaaah kaumia kweli lkn kasema ukweli kwamba Simba walizidiwa
@kafwimbimilambo8556
@kafwimbimilambo8556 7 ай бұрын
Ongera saana salim kikeke
@mohamedhamad2374
@mohamedhamad2374 7 ай бұрын
MTANGAZAJI ANAULIZA VIZURI NA SALIM KIKEKE ANAJIBU VIZURI. MMEFANYA POA SANA KIUFUPI MNAJUA MNO.
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 7 ай бұрын
Anaitwa nani huyu mtangazaji?
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 24 МЛН
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 53 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 22 МЛН
Interview: BBC Swahili - September 2015 - Mohammed Dewji
3:57
Mohammed Dewji
Рет қаралды 28 М.
Wafahamu waandishi na watangazaji wa BBC Swahili
5:10
BBC News Swahili
Рет қаралды 125 М.