Kweli kabisa dada.. Hapo umenena.. Watz lazima sasa tujidai.. Huu uwanja ungekuwa unaliwa ningesema ni keki taamu sana sana sana... Uwanja unameremeta... Sasa natamani kuuona utakao jengwa Dodoma na mzee wetu Magufuli
@johnmlay47594 жыл бұрын
Kwa kweli yajayo yanafurahisha tuzidi kuomba uzima tuishi miaka mingi kwani tutashuhudia mengi mazuli, nimeona pic zake kweli na wadodoma nao utakuwa 🔥🔥🔥🔥🔥 Mola azidi kumlinda kiongoz wetu azidi kuwa mzalendo wa nchi yetu na viongozi wote na watz kwa ujumla tupendane na tuwe wazalendo wa nchi yetu tupende maendeleo ya nchi yetu, Mungu ibariki nchi yetu Mungu ibariki Africa amen.
@ibrahimkambi92884 жыл бұрын
Millard Ayo ningependa kujua utaratibuwa namna ya kuupigia kura uwanja wetu wa Ndege kama uwanja bora Afrika
@ruphysambaya32884 жыл бұрын
hongera mama angu kwakujitahidi leo sauti imekaa poa
@kakawamashariki89784 жыл бұрын
Nimependa sana hiyo Sanaa ya picha ya wanyama kuwepo hapo uwanjani nikiwa mdau wa utalii,Sanaa na mazingira.
@LeeUfudu4 жыл бұрын
Kuna vitengo vingapi hpo uwanjani oooooooh ooooooh jibu moja kwa moja vipo kumi basi tatizo nini sasa unazunguka
@romadanromadan43984 жыл бұрын
MUBARIKIWE na RAISI mutupe na Sisi kenya🇰🇪🇰🇪
@ababuumwanazanzibar49084 жыл бұрын
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
@sofiashaban60894 жыл бұрын
Huyu dada ni mkenya anaogopa kuongea kiswahili cha kenya. Kwaiyo anajichunga aende sawa
@happyjohn58824 жыл бұрын
Hahaaa kumbe umegundua iloo hahaaaa, yeah ni mkenya Kamilii hyuu
@papafranco75064 жыл бұрын
❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@pauldaniel56854 жыл бұрын
Dada haujielewi unaulizwa swali jibu swali
@LeeUfudu4 жыл бұрын
Umeona eeeeeeh
@salimmohamedsalim44484 жыл бұрын
Huyo dada no mkenya 🤣🤣
@kheirmbarouk83734 жыл бұрын
majirani wapi ao mliokusudia nyinyi
@uledimtumwa24064 жыл бұрын
Kenya
@HASASON4 жыл бұрын
Kwanini mnaajiri wakenya wakati watanzania wenye vigezo wapo wengi na hawana ajira?
@triplea34634 жыл бұрын
Huyu dada ndo mkenya au
@beaugosseadam68314 жыл бұрын
Waafrica ni wamoja.
@triplea34634 жыл бұрын
@@beaugosseadam6831 hio sio sababu Mana sijawahi sikia MTz anafanya kazi JKIA
@triplea34634 жыл бұрын
Ila huyu dada ni MTz sio mkenya anakaribiana tu ila sio mkenya nimefatilia vizuri hasa lafudhi yake
@magorymara55154 жыл бұрын
Hii comment yako imekaa kipumba zaid mambo ya kazi hayanaga hizo ni vigezo tu ndo vinakupa kazi somesha watoto usituletee habari
@homeboybeyondtheborders49354 жыл бұрын
Wangeri we mkenya au?
@karyori694 жыл бұрын
Aisee kama upo kichwani mwangu!
@godblessjrtz.86524 жыл бұрын
Ni mtanzania coz kuna kabila la wajaluo Tanzania
@happyjohn58824 жыл бұрын
Yeah ni mkenya hyuu tena Original na sio mjaluoo wala ninii,